Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MADAM NIPE KIDOGO BASI 13
Gonga94 · Stories

MADAM NIPE KIDOGO BASI 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi mahusiano yetu yakawa yanaendelea ila ni kwa siri sana, na mimi ndio niliekuwa natraka usiri, kwa sababu nilikua naona aibu sana kuonekana kuwa nina mahusiano wa kimapenzi na aliekuwa mwanafunzi wake..

Maisha yakaenda na kiukwlei yalikuwa ni mapenzi mujarabu, yaan mubashara, laity kama watu wangekuwa wanajua namna ambavyo nilikuwa napendwa na Kendrick basi wangenionea wivu…

Alikuwa anawapenda wanangu wote kama watoto wake wa kuwazaa kabisa, yaan wote wanakuwa wanamuita baba na hio ndio ilikuwa fahar yake, basi akaenda zake chuo, sijui hata alikuwa anafanyaga kazi gani, maana alikuwa anapambana sana kuhudumia familia yake…

Alikuwa anasoma engeniariang, na akasoma miaka minne, na nwakati wote huo mapenzi ni bam bam, nitake nini nisipewe, yaan sikohoi ameshafika…

Mtoto wangu mkubwa alikuwa ana miaka kumi na moja, na mdogo alikuwa ana miaka mitano na wote walikuwa wanasoma, na walikuwa wanasomeshwa na Kendrick…
Alimaliza kusoma na Mungu alikuwa upande wake, maana baada ya kumaliza tu chuo akapata kazi dar es salam, nikajikuta nakuwa na wasiwasi, ila alikuwa anapambana kuniaminisha kuwa hakuna mwanamke hata mmoja duniani ambae ameshawah kumpenda kama ambavyo alikuwa ananipenda mimi, na alikuwa ana thibitisha hilo kwa vitendo kabisa yaan…

Maisha yakaenda na akaanza harakati za kutafuta uhamisho, ingawa ilikuwa ngumu ila nilihamia dar pamoja na familia yangu ili niweze kukaa na mume wangu mtarajiwa Kendrick, na baada ya swala la uhamisho kukamilika, akataka akapeleke posa kwetu, nikakubali…
Akawapanga ndugu zake na kweli posa ikapelekwa nyumban, na wazaz wangu walipomuona kendirck ni kama walishtuka, maana alikuwa kwenye miaka ishirini naa na mimi nilikuwa nina thelathin na kitu maana tulikuwa tumepishana miaka kama kumi, hivyo ukiangalia tu haraka haraka utajua kabisa kuwa mimi nilikuwa mkubwa, ila kwakuwa nilimpenda wazaz wangu hawakuwa na shida na mimi, issue ikaja kuwa kwao sasa…

Baada ya wazaz wake kuniona walishtuka maana nkwanza walikuwa wananijua, maana nimeshawah kukutana nao shule, na wanajua kabisa kuwa nilikuwa mwalimu wa kijana wao…
“ kama unataka kumuoa huyu sisi hatumtaki, umekosa wanawake wa rika lako, unbakuja kutuletea mzee mwenzetu, sasa n hivi hauwezi kumuoa huyu mwanamke hata iweje, na hautakaa uwe nae, labda kama mimi sio mama yako, akasema mama yake na Kendrick nikashangaa Kendrick anatabasamu kisha akasema “ ni kwlei mimi najua nimewekewa libwata mama, maana hizi sio akili zangu, nakupenda na nakuheshimu sana mama yangu, ila nikuambie tu ukweli kuwa, nimekuja kumtambulisha na sio kumuomba ushauri mtu kuwa niwe nae au laa, maana moyo wangu umeshamchagua na hakuna ambae anaweza kunitenganisha nae hata kwa bahati mbaya…………

Kisha akanishika mkono akaanza kuondoka na mimi, mama yake akaanza kusema “ ukiutoa mguu wako ukiwa na huyo mwanamke, nakuahidi mimi sio mama yako tena…
“ nakupenda sana mama yangu ila nasikitika kusema kuwa hakuna laana za namna hio………….
Kisha hao tukaondoka zetu, tulipofika nje ikabidi na mimi nimuulize maana hata mimi sikuwa namuelewa kabisa yaan..
“ kwa nini haujafata uamuzi wa wazaz wako?...
“ victoria hata nani aseme nini mimi siwez kukuacha, maana najua mateso na mapito ambyo nimepitia kukupata hivyo siwez kuruhusu mtu aje kututenganisha kirahisi namna hii…

Kwakuwa posa ilishakubaliwa nyumban kwetu, basi harakat za ndoa zikaanza baada ya muda kupita nikafunga ndoa na hatimae nikawa mke halali wa Kendrick….amba
Hakuna ambae aliamini kuwa nimeolewa na kendrick ila wakati wote Kendrick alikuwa ananitoa
Wasiwasi na kunionesha kuwa, hajali maneno ya watu na anachokiangalia ni furahja yangu mimi nay eye pamoja na familia yetu…

Siku moja nilikuwa nimetoka zangu kazini, nafika nyumban nashangaa namkuta mama yangu mkwe pamoja na dada yake Kendrick wakufiukia, ni kama binamu tu, waliponiona tu wakaanza kucheka vile vicheko vya kinafki, nikawasalimia kisha nikapitiliza moja kwa moja mpaka chumban kwangu, ila kabla sijaingia ndani nikashangaa mama mkwe anakuja na kuingia chumban kwangu kisha akalala kitandani kwangu na kusema “ embi tuambie umetumia dawa gani mpaka umemfanya mwanangu akuoe bibi kizee kama wewe, tena ulieolewa ukaachika na una mtoto, ni kwamba unataka kumuambukiza mwanangu uzee au…
ITAENDELEA…………..

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MADAM NIPE KIDOGO BASI 13


Basi mahusiano yetu yakawa yanaendelea ila ni kwa siri sana, na mimi ndio niliekuwa natraka usiri, kwa sababu nilikua naona aibu sana kuonekana kuwa nina mahusiano wa kimapenzi na aliekuwa mwanafunzi wake..

Maisha yakaenda na kiukwlei yalikuwa ni mapenzi mujarabu, yaan mubashara, laity kama watu wangekuwa wanajua namna ambavyo nilikuwa napendwa na Kendrick basi wangenionea wivu…

Alikuwa anawapenda wanangu wote kama watoto wake wa kuwazaa kabisa, yaan wote wanakuwa wanamuita baba na hio ndio ilikuwa fahar yake, basi akaenda zake chuo, sijui hata alikuwa anafanyaga kazi gani, maana alikuwa anapambana sana kuhudumia familia yake…

Alikuwa anasoma engeniariang, na akasoma miaka minne, na nwakati...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/madam-nipe-kidogo-basi-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi madam-nipe-kidogo-basi
MADAM NIPE KIDOGO BASI* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA
MADAM NIPE KIDOGO BASI* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA
MADAM NIPE KIDOGO BASI 5
MADAM NIPE KIDOGO BASI 5
MADAM NIPE KIDOGO BASI ……… 3
MADAM NIPE KIDOGO BASI ……… 3
MADAM NIPE KIDOGO BASI 15
MADAM NIPE KIDOGO BASI 15
MADAM NIPE KIDOGO BASI* *________________________________________*  *SEHEMU YA SITA*
MADAM NIPE KIDOGO BASI* *________________________________________* *SEHEMU YA SITA*
MADAM NIPE KIDOGO BASI 12
MADAM NIPE KIDOGO BASI 12
MADAM NIPE KIDOGO BASI 7
MADAM NIPE KIDOGO BASI 7
MADAM NIPE KIDOGO BASI 17
MADAM NIPE KIDOGO BASI 17
MADAM NIPE KIDOGO BASI*👄  *__________________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*
MADAM NIPE KIDOGO BASI*👄 *__________________________________________* *SEHEMU YA KWANZA*
8--9 MADAM NIPE KIDOGO BASI 💋
8--9 MADAM NIPE KIDOGO BASI 💋
*MADAM NIPE KIDOGO BASI* _*  *SSEHEMUYA 01 NA 2
*MADAM NIPE KIDOGO BASI* _* *SSEHEMUYA 01 NA 2
MADAM NIPE KIDOGO BASI 10
MADAM NIPE KIDOGO BASI 10
MADAM NIPE KIDOGO BASI 14
MADAM NIPE KIDOGO BASI 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest