Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MADAM NIPE KIDOGO BASI ……… 3
Gonga94 · Stories

MADAM NIPE KIDOGO BASI ……… 3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Kila mtu alimshangaa, maana alikuwa ni kijana mwenye nidhamu sana, hakuna mtu hata mmoja ambae angefikiria kuwa yale majibu yalikuwa yanatoka kwa Kendrick…

Kuna mwalimu alikuwa anaitwa Feisal alikuwa ananitaka, akataka sasa kwenda kummalizia hasira, ila mwalimu mmoja akaja akasema “ muacheni mimi nitaongea nae…
“ unajua kafanya nini huyu kijana, amemtongoza mwalimu, anatakiwa kuadhibiwa vikali sana, akasema mwalimu Feisal na wakati huo Kendrick hakuwa hata na wasiwasi kana kwamba anachokifanya ni sahihi sana…..
Yule mwalimu akamfata na kumuuliza ‘ unampenda sana madam si ndio..

Kendrick akawa kimya, walimu waliokuwa pale wakawa wanataka kimchapa. Ila Yule mwalimu alikuwa ni mwalimu wa nidhamu akawazuia, kisha akasema “ hawezi kupigwa, maana kila mtu ana haki ya kupenda, na anahaki ya kupendwa, huyu sio mtoto mdogo, na nina uhakika kabisa anajua ni nini anafanya, nina uhakika kabisa kuwa hisia za mapenzi nay eye anazo kama watu wengine, hivyo mimi nitaondoka nae, na sitaki kuona wala kusikia mtu yoyote Yule akimpiga huyu mtoto….

Kisha akamfata Kendrick na kuondoka nae, waliingia kwenye ofisi yake ya taaluma kisha wakaanza kuongea, waliongea sana, na sijui kwa kweli walikuwa wanaongea nini, ila waliongea kwa karibu lisaa lizima, na baada ya hapo Kendrick akatoka pekee yake, akaniangalia kwa dakika kadhaa kisha akatabasamu na kuondoka zake….

Kuanzia siku hio tabia zake zikabadilika, alikuwa anaishi kama mtu mzima sana, kimaamuzi na kivitendo kabisa, alikuwa hataki utani kabisa na maisha yake, akawa anasoma kwa juhudi kubwa sana, mpaka maendeleo yake yakaanza kurudi kuendelea kuwa ni miongoni mwa wanafunzi ambao wanafanya vizuri sana…

Maisha yakaenda, hakuwa ananisumbua tena, ila ikitokea nimeingia darasan alikuwa ananiangalia sana, nilikuwa nina uhakika kuwa hakuwa ananielewa kabisa, ila alikuwa anavuta taswira yangu mimi nay eye…

Sikujali nikawa napambania majukum yangu, maana sikutaka mazoea yoyote nae..
Ila sasa akaanza wivu, yaan akawa hatamani kuniona hata nikiongozana na mwalimu wa kiume au hata mwanafunzi wa kiume, yaan kwa wanafunzi alikuwa anaenda kumuanzishia vagi la maana, ila kwa walimu a alikuwa anatulia ila atafanya jambo lolote lile, ili kuhakikisha kuwa mimi na huyo mwanaume hatukai kwa utulivu…

Hapo sijui Yule mwalimu alimuambia nini Kendrick mpaka akawa hanisumbui, ila alikuwa hawezi kukaa bila kuniona, yaan kwa kuwa nilikuwa vijijini, alikua kila weekend anakuja kwangu kuomba kunichotea maji pamoja na wenzake, niliona kama jambo la kawaida sana…

Kumbe mwamba anatafuta namna nzuri ya kuonana na mimi kila wakati, nikajua kichaa chake kimeshapoa, maana sikuona usumbufu wake tena, kumbe alikuwa ametulizwa kwa muda na alikuwa amepewa maelekezo mengine kabisa, ambayo alikuwa ana uhakika kuwa mimi ni wake kwa namna yoyote ile…

Basi maisha yakawa yanaendelea, na kama mnavyojua mimi ni mwanamke na damu inachemka sana, hivyo nikawa nawaza kuingia kwenye ndoa sana, nilikuwa natamani sana kuolewa, au kuwa na mwanaume, ukilinganisha nilishawah kuingia kwenye ndoa, kuna namna hata mwili wangu ulikuwa unahitaji mwanaume wa kunikung’uta vumbi kidogo…

Basi kuna siku tulienda semina walimu wote, nikakutana na mwalimu mmoja, ambae ilikuwa kama utani tu tukazoeana, tukajikuta tunakuwa watu wa karibu sana yaan, tukawa tunawasiliana sana, tukajikuta tunaingia kwenye mahusiano…
ITAENDELEA……………

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MADAM NIPE KIDOGO BASI ……… 3




Kila mtu alimshangaa, maana alikuwa ni kijana mwenye nidhamu sana, hakuna mtu hata mmoja ambae angefikiria kuwa yale majibu yalikuwa yanatoka kwa Kendrick…

Kuna mwalimu alikuwa anaitwa Feisal alikuwa ananitaka, akataka sasa kwenda kummalizia hasira, ila mwalimu mmoja akaja akasema “ muacheni mimi nitaongea nae…
“ unajua kafanya nini huyu kijana, amemtongoza mwalimu, anatakiwa kuadhibiwa vikali sana, akasema mwalimu Feisal na wakati huo Kendrick hakuwa hata na wasiwasi kana kwamba anachokifanya ni sahihi sana…..
Yule mwalimu akamfata na kumuuliza ‘ unampenda sana madam si ndio..

Kendrick akawa kimya, walimu waliokuwa pale wakawa wanataka kimchapa. Ila Yule mwalimu alikuwa ni mwalimu wa nidhamu akawazuia, kisha...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/madam-nipe-kidogo-basi-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi madam-nipe-kidogo-basi
MADAM NIPE KIDOGO BASI* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA
MADAM NIPE KIDOGO BASI* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA
MADAM NIPE KIDOGO BASI 5
MADAM NIPE KIDOGO BASI 5
MADAM NIPE KIDOGO BASI 15
MADAM NIPE KIDOGO BASI 15
MADAM NIPE KIDOGO BASI* *________________________________________*  *SEHEMU YA SITA*
MADAM NIPE KIDOGO BASI* *________________________________________* *SEHEMU YA SITA*
MADAM NIPE KIDOGO BASI 12
MADAM NIPE KIDOGO BASI 12
MADAM NIPE KIDOGO BASI 7
MADAM NIPE KIDOGO BASI 7
MADAM NIPE KIDOGO BASI 17
MADAM NIPE KIDOGO BASI 17
MADAM NIPE KIDOGO BASI 13
MADAM NIPE KIDOGO BASI 13
MADAM NIPE KIDOGO BASI*👄  *__________________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*
MADAM NIPE KIDOGO BASI*👄 *__________________________________________* *SEHEMU YA KWANZA*
8--9 MADAM NIPE KIDOGO BASI 💋
8--9 MADAM NIPE KIDOGO BASI 💋
*MADAM NIPE KIDOGO BASI* _*  *SSEHEMUYA 01 NA 2
*MADAM NIPE KIDOGO BASI* _* *SSEHEMUYA 01 NA 2
MADAM NIPE KIDOGO BASI 10
MADAM NIPE KIDOGO BASI 10
MADAM NIPE KIDOGO BASI 14
MADAM NIPE KIDOGO BASI 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest