Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MAHABA YA MZOA TAKA 05 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
Gonga94 ยท Stories

MAHABA YA MZOA TAKA 05 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mzoa taka alienda kufungua dirisha na kidogo ilinisaidia na kuacha kupiga chafya.
Mzoa taka aliamua kunikaribisha "Irene karibu hapa ndiyo kwangu na jisikie upo nyumbani" aliniambia na mimi uvumilivu ulinishinda na kuamua kumuuliza.
"Damian kwani umeshindwa kurekebisha chumba chako walau kikawa kwenye mwonekano unaovutia!?"
"Utanisamehe Irene kwani huwa sina mda kabisa wa kufanya usafi kwenye chumba changu" aliongea na mimi nilijua hasili ya mzoa taka ni uchafu hivyo sikutaka kuingilia maisha yake.

Sikutaka kukaa sana ndani ya chumba cha Mzoa taka, nilimuaga kwa ajili ya kuondoka ila hakutaka kunipa nafasi ya kuondoka bira kufanya nae chochote.

Mzoa taka alijua kunipatia kwani alijua ni sehemu gani anayotakiwa kunishika ili hisia zangu za kufanya mapenzi zipande.
Mzoa taka alinishika na kweli alifanikiwa na wote tulijikuta tukifanya mapenzi ndani ya chumba hicho.

Upande wa nje majirani walikuwa wakiongea yao huku wakiachia vicheko vya kila aina lakini sisi huku tulikuwa hatujali zaidi ya kuendelea kuzagamuana.

Baada ya kumaliza kufanya mapenzi, mzoa taka alinisindikiza huku tukiacha majirani wakituangalia na wakiwa hawaamini kama mimi nimeingia kwenye penzi zito la mzoa taka.

Nilimwambia kuwa iwe mwanzo na mwisho kunileta pale kwake kwani sikufurahishwa na mazingira yale. Mzoa taka alinijibu hatarudia tena na atafanya juu chini atafute sehemu nyingine ya kuishi.

Nilifika nyumbani na nilishangaa kumkuta Alex akiwa nje ya nyumba yetu akinisubiri.
Alex baada ya kuniona alinisogelea kwa ajili ya kunikumbatia.

Kwakuwa nilikuwa nimetoka kufanya mapenzi na Mzoa taka sikutaka kumpata nafasi Alex ya kunikumbatia, badala yake niliingia ndani na kwenda chumbani kuoga kisha baada ya hapo nilitoka kwa ajili ya kumsikiliza.
"Irene nilikusubiri mno ila ningeomba nikutoe out kidogo" Alex aliongea na mimi nilijua thumuni lake, nilitambua kuwa amekumbuka kufanya mapenzi na mimi na ndiyo sababu iliyomfanya akaja nyumbani kwetu.

"Alex mda umeenda siwezi kutoka nyumbani sasa ivi na ata wewe pia naomba uondoke sababu sio mda mrefu baba atakuja hapa nyumbani" nilimwambia.

Alex alikubali na kuondoka ila hakuacha kunisisitizia kuwa siku inayofata atakuja kunichukua na kunitoa out.

Baada ya Alex kuondoka niliamua kuendelea na mambo yangu huku kwenye kichwa changu taswira ya mzoa taka ilikuwa haifutiki kabisa, na ndiye aliyekuwa kwenye akili yangu kwa wakati huo na sio Alex.

Siku iliyofata Alex alinipigia simu, na aliniomba tuonane ila mimi sikutaka kabisa kwenda kuonana nae na badala yake niliweka visingizio vya kila aina kuwa nimebanana na nilimwambia atanitoa out siku nyingine.

Alex alishangaa kwani nilipunguza kumshobokea kama nilivyokuwa nikimshobokea mwanzo na baada ya kunisumbua sana niliamua kukubali kuonana nae na kama nilivyokuwa nikihisi ndicho kilichotokea kwani siku hiyo tulifanya mapenzi na Alex.

Miezi miwili ilipita na upande wangu nilishangaa kupatwa na mabadiliko kwenye mwili wangu. niliamua kwenda kupima na baada ya majibu kutoka niligundua kuwa na ujauzito wa mwezi mmoja na majuma kadhaa.

Nilikuwa na uhakika kuwa mimba niliyokuwa nayo ni ya mzoa taka, hapo sasa akili yangu ilikuwa kwenye wakati mgumu.

Niliwaza nifanye nini ili familia yangu isigundua kuwa na mimba ya mzoa taka na wazo nililolipata nikumtafuta Alex aliyekuwa mpenzi wangu.

Alex siku hiyo alishangaa mimi kumtafuta kwani alikuwa ameshakata tamaa kabisa ilibidi aniulize.
"Irene nini kimetokea mpaka leo umeamua kunikumbuka!?"
Baada ya Alex kuniuliza niliamua kumjibu " Alex sikuwa na njia nyingine zaidi ya kukutafuta wewe sababu ndiye baba wa mtoto aliyetumboni kwangu" niliongea huku nikiwa najua kabisa kitu ninachokifanya ni cha hatari.
"Baba wa mtoto!?" Alex aliniuliza sababu hakuamini kwa kile alichokisikia.
"Ndio Alex, ile siku tuliyofanya mpenzi mara ya mwisho ulinipa ujauzito na sikuwahi kulala na mwanaume mwingine zaidi yako" nilimwambia na Alex kwakuwa alikuwa akiniamini aliamua kuukubali na alikuwa tayari kuitwa baba.

Sikutaka kumwambia mzoa taka kama nina mimba yake, zaidi ya kupunguza nae mazoea.

Baadae familia yangu walikuja kugundua kuwa na mimba hivyo baba alihitaji kumjua mhusika ni nani, nilimwambia Alex aje ajitambulishe nyumbani na bahati nzuri aliweza kukubali.

Baba hakutaka kuona binti yake nikizalia nyumbani hivyo mpango uliandaliwa haraka wa mimi na Alex kufunga ndoa.

Nilifunga ndoa na Alex na mashaka niliyokuwa nayo ni siku mzoa taka atakayojua kuwa nimeolewa na mwanaume mwingine kwani nilihisi anaweza kuja kunivunjia ndoa yangu.

Nilihamia kwao Alex, na bahati nzuri familia yao ilikuwa ikijiweza.

Miezi kadhaa ilipita nikiwa naishi kwa mme wangu na baadae nilifanikiwa kujifungua mtoto wa kike niliyempatia jina la Grace huku baba wa mtoto watu wakimtambua kuwa ni Alex.

Kiukweli sikuwa na furaha kwenye ndoa yangu sababu niliolewa na Alex ilimradi tu, na kilichokuwa kinanyima uhuru ni mazingira niliyokuwa nikiishi kwa wakati huo.

Siku moja niliamua kumwambia Alex atafute nyumba nyingine ili tukaishi kwa uhuru zaidi. Alex alikubali na alienda kuwashirikisha wazazi wake waliokubaliana na kile alichowaambia.

Kwakuwa walikuwa wakijiweza, walimjengea nyumba nyingine kijana wao, na baada ya kukamilika mimi na Alex tulihamia kwenye nyumba hiyo nikiwa pamoja na mtoto wangu.....ITAENDELEA.

.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAHABA YA MZOA TAKA 05 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž



Mzoa taka alienda kufungua dirisha na kidogo ilinisaidia na kuacha kupiga chafya.
Mzoa taka aliamua kunikaribisha "Irene karibu hapa ndiyo kwangu na jisikie upo nyumbani" aliniambia na mimi uvumilivu ulinishinda na kuamua kumuuliza.
"Damian kwani umeshindwa kurekebisha chumba chako walau kikawa kwenye mwonekano unaovutia!?"
"Utanisamehe Irene kwani huwa sina mda kabisa wa kufanya usafi kwenye chumba changu" aliongea na mimi nilijua hasili ya mzoa taka ni uchafu hivyo sikutaka kuingilia maisha yake.

Sikutaka kukaa sana ndani ya chumba cha Mzoa taka, nilimuaga kwa ajili ya kuondoka ila hakutaka kunipa nafasi ya kuondoka bira kufanya nae chochote.

Mzoa taka alijua kunipatia kwani alijua ni sehemu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mahaba-ya-mzoa-taka-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mahaba-ya-mzoa-taka
MAHABA YA MZOA TAKA 16 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 16 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 02 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 02 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 03 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 03 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 07 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 07 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 11 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 11 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 08 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 08 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 10 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 10 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 04 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 04 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 09 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 09 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 06 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 06 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 13 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž.
MAHABA YA MZOA TAKA 13 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž.
MAHABA YA MZOA TAKA 20 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 20 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 25 (FINAL) ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 25 (FINAL) ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 15 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 15 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 21 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 21 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 12 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 12 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 19 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 19 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 24 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 24 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 14 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 14 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 17 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 17 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 18 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 18 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 23 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 23 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 22 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 22 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 01 ????????
MAHABA YA MZOA TAKA 01 ????????
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

756
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

728
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

563
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

236
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

227
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12

165
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13

163
THE SECRET MESSAGE  3 to 4

THE SECRET MESSAGE 3 to 4

78
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

7
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League

4

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.35K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.09K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.38K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Liverpool FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Newcastle United ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Tottenham Hotspur ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Real Madrid ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayer...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
@majario LIVE

biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele...

THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

๐Ÿ’ฌ03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusฤฑ?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! ๐ŸŽ‰๐Ÿ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest