Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MAHABA YA MZOA TAKA 25 (FINAL) ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
Gonga94 ยท Stories

MAHABA YA MZOA TAKA 25 (FINAL) ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Alex aliniona nikiwa nimeongozana na mzoa taka.
"Heeeh kumbe bado hamjaachana!?" Alex alituuliza na mimi niliamua kumjibu.
"Wewe ulitakaje kwani!?"
"Wewe mwanamke kumbe bado unajifanya jeuri sana subiri utaona" Alex aliongea na mimi mda huo hasira zilianza kunishika hasa baada ya kukumbuka kile alichomfanyia dada yangu na kutaka kuvunja mahusiano yetu mimi na Mzoa taka kwa kumtumia Suzi.
"Baada ya kumuambukiza dada yangu umeona haitoshi unataka uniambukize na mimi sindio!?" Baada ya kuongea Alex alishituka.
"Kumuambukiza...!?"
"Kwahiyo unajifanya hujui ulichokifanya kwa dada!?" niliongea na Alex aliamua kuingia kwenye gari yake na kuondoka kwa speed.

Mzoa taka aliniangalia na kuniuliza "Irene kuna kitu gani kinachoendelea mbona sielewi!?"
"Tuingie ndani nitakwambia tu" nilimjibu nakuingia nae mpaka ndani nakuanza kumweleza kile alichoniambia Dada alichofanyiwa na Alex kisha baada ya hapo tulienda kuogeshana.

Tukiwa bafuni tulianza kufanya yetu na mimi kutokana na hamu nilizokuwa nazo sikutaka kujali kama mzoa taka aliwahi kufanya mapenzi na mwanamke mwingine na huenda akawa na magonjwa.
Niliinama na mzoa taka alichomeka mtalimbo wake kwenye kipusa changu na kuanza kunipa utamu.

Baada ya kumaliza kufanyia mapenzi bafuni mzoa taka alinibeba na kunipeleka kitandani "Leo nataka nitoe upwiru wote ili nisije kutamani tena mwanamke mwingine" Mzoa taka aliongea huku akiniweka style ya kifo cha mende na mimi kasi ya kupumua ilizidi kuongezeka kutokana na mazunguko wa damu kwenda haraka.

Tulifanya mapenzi kwa mda mrefu na baada ya mda tulimaliza huku nikiwa hoi.
"Usije kurudia tena kunisaliti Damian" nilimwambia huku tukiwa tumekumbatiana.
"Usijali Irene sitarudia tena" Damian aliongea.

Mimi na Damian tulirudiana na siku ya jumamosi ilifika hivyo niliamua kwenda nyumbani kama mama alivyoniambia.

Nilifika nyumbani na mama aliniambia kuna mtu aliyepanga kunikutanisha nae.
"Mama ni nani huyo unayetaka niongee nae!?"
"Usiwe na haraka Irene atakuja mda sio mrefu ila tafadhali nisije kukuona ukirudiana na yule mzoa taka" Mama aliongea pasipo kujua kama tayari tumerudiana na kuzagamuana juu.

Sikutaka kumjibu zaidi ya kukaa kimya maana kama ningemwambia basi lazima malumbano yangeibuka.

Baada ya masaa kadhaa kupita mtu aliyetaka kunikutanisha nae alifika na alikuwa ni mwanaume wa makamo mwenye miaka isiyozidi 35.

Sikujua mipango ya mama ilikuwaje ila alikuwa akimchangamkia kijana aliyekuwa pale nyumba.
"Patrick kijana wangu karibu sana na jisikie upo nyumbani" Mama aliongea akimkaribisha kijana aliyekuwa akiitwa Patrick wakati huo mimi nilikuwa mtazamaji huku nikiwa na mawazo yangu na nilitamani kujua kile kilichokuwa kikiendelea.

Mama aliamua kunitambulisha kwa Patrick na alijaza sifa za aina akimwambia kuwa na mtoto mmoja na sipo kwenye ndoa na sifa nyingine nyingi.

Baadae aliondoka na kutuacha sisi wenyewe na ndipo Patrick alipoanza kuniuliza maswali yaliyofatana na moja likiwa kama nitakuwa tayari kuolewa na yeye.
"Sipo tayari kuolewa na wewe Patrick samahani kwa hilo" nilimtolea nje Patrick.
"Mbona mama yako kaniambia kuwa upo tayari kuolewa na kaniomba nikuoe?" Patrick aliongea na mimi sikutaka kumfanya mama yangu aonekane ni mbaya mbele ya Patrick.
"Ni kweli nilitaka kuolewa ila ilikuwa zamani kidogo maana kwa sasa nina mtu wangu na tunapenda nae sana" nilimjibu na maongezi mengine yalichukua nafasi yake.

Baada ya maongezi ya mda mrefu Patrick aliaga na kuondoka na mama alimsindikiza huku wakiniacha mwenyewe sebleni.

Ndani ya dekika kadhaa mama alirudi huku akiwa kakasirika.
"Irene ivi unajua nimehangaika kiasi gani kumshawishi huyo kijana akuoe alafu wewe unamwambia kuwa una mtu na haupo tayari kuolewa na Patrick!?"
"Mama huo ndiyo ukweli mimi sikutaka kumdanganya kijana wa watu" Nilimjibu mama yangu bira kumwangalia usoni.
"Aya mlete sasa huyo mwanaume wako tumuone" mama aliongea na mimi niliamua kumwambia ukweli maana ata ningeficha isingesaidia.
"Mbona nimeshakuja nae hapa mama"
"Kwani hana jina na mimi nitamjuaje bira wewe kunitajia jina lake?" Mama aliongea.
"Ni Damian nimeamua kurudiana nae" niliongea na mama alibaki akiwa kashangaa.
"Umerudiana na mzoa taka tena?" mama aliniuliza na mimi nilimkubalia maana nilikuwa naujua utamu niliokuwa nikiupata kwa mzoa taka wangu.

Hiyo siku mama alitukana matusi ya kila aina akinilaumu mimi pamoja na Dada yangu aliyevunja ndoa yake kipindi cha nyuma. Niliondoka nyumbani bira ya kuelewana na mama.

Nilifika nyumbani na Damian alitambua kuwa sipo sawa kwani sikuwa na raha kabisa siku hiyo.
"Irene kuna tatizo gani au nikuzagamue ili urudi kwenye hali yako ya kawaida!?" Damian aliniuliza.
"Niache kwanza kipenzi sipo sawa kwa sasa" nilimwambia na Damian ilibidi aniache.

Wiki mbili zilipita na maisha yaliendelea na baada ya mda kupita Alex hakuwahi kutusumbua tena nahisi ni baada ya kujua kuwa nimeijua siri yake kuwa tayari ni mwathirika.

Upande wa nyumbani bado familia yangu ilikuwa haijamkubali kabisa Damian kama mme wangu hasa upande wa mama yangu na ni kitu kilichokuwa kikinisumbua kwani niliamini lazima kuna siku nitakuwa matatizoni na familia yangu bado ina umhimu mkubwa kwangu.

Nilitaka kuweka kila kitu sawa ili wazazi wangu waweze kumkubali Damian kama mme wangu.

Siku hiyo nilienda mwenyewe nyumbani kwa ajili ya kuongea na wazazi wangu.

Nilifika na nilimkuta mama huku baba akiwa hayupo.
"Mama nahitaji kuongea na wewe" niliongea na mama aliamua kunipa nafasi ya kuongea kitu kilichonifanya nikawa pale.

Nilimwambia kuwa inabidi akubaliane na hali kuwa Damian ni mtu wangu ninayependana nae tena tupo kwenye mahaba moto moto.
"Irene ivi unafikiri watu watatuzungumziaje sisi wazazi wako hasa wakikuona unaishi na mtu aliyewahi kuwa mzoa taka!?" Mama aliniuliza.
"Ni sawa mama ila mimi na yeye tunapendana na hayo ni maneno ya watu tu na kingine yule ndiye baba wa mtoto wangu" nilimwambia mama maneno ya kila aina na baadae alikubaliana na mimi na kuahidi kuanzia siku hiyo atamchukulia na kumheshimu mzoa taka kama mme wangu.

Mwaka mmoja ulipita na nilikuwa na mimba nyingine huku nikiendelea kuishi na Damian au mzoa taka kama nilivyozoea kumuita.

Upande wa dada angu alifanikiwa kuolewa na mwanaume mwingine japo mmewe alikuwa hajui kama dada ni mwathirika na hiyo iliendelea kuwa siri yetu mimi pamoja na dada angu.

Upande wa Alex aliyekuwa mme wangu yeye aliendelea na maisha yake na mpaka sasa anaishi na mwanamke mwingine japo sijui kama ameshaacha tabia yake ya kuwalawiti wanawake.

ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย ย  Mwishooooo.

Bira shaka utakuwa umejifunza mengiย  kwenye mkasa huu, tukutane tena kwenye mikasa mingine ya kusisimua.

Msimuliaji.......Irene.

Mwandishi....Zooper.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAHABA YA MZOA TAKA 25 (FINAL) ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž


Alex aliniona nikiwa nimeongozana na mzoa taka.
"Heeeh kumbe bado hamjaachana!?" Alex alituuliza na mimi niliamua kumjibu.
"Wewe ulitakaje kwani!?"
"Wewe mwanamke kumbe bado unajifanya jeuri sana subiri utaona" Alex aliongea na mimi mda huo hasira zilianza kunishika hasa baada ya kukumbuka kile alichomfanyia dada yangu na kutaka kuvunja mahusiano yetu mimi na Mzoa taka kwa kumtumia Suzi.
"Baada ya kumuambukiza dada yangu umeona haitoshi unataka uniambukize na mimi sindio!?" Baada ya kuongea Alex alishituka.
"Kumuambukiza...!?"
"Kwahiyo unajifanya hujui ulichokifanya kwa dada!?" niliongea na Alex aliamua kuingia kwenye gari yake na kuondoka kwa speed.

Mzoa taka aliniangalia na kuniuliza "Irene kuna kitu gani kinachoendelea mbona sielewi!?"...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mahaba-ya-mzoa-taka-25-final

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mahaba-ya-mzoa-taka
MAHABA YA MZOA TAKA 16 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 16 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 02 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 02 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 03 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 03 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 05 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 05 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 11 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 11 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 07 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 07 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 08 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 08 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 10 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 10 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 09 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 09 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 04 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 04 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 06 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 06 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 13 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž.
MAHABA YA MZOA TAKA 13 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž.
MAHABA YA MZOA TAKA 20 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 20 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 21 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 21 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 15 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 15 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 12 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 12 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 19 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 19 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 24 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 24 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 14 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 14 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 17 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 17 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 18 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 18 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 23 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 23 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 22 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 22 ๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž
MAHABA YA MZOA TAKA 01 ????????
MAHABA YA MZOA TAKA 01 ????????
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

797
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

636
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

269
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

239
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13

180
THE SECRET MESSAGE  3 to 4

THE SECRET MESSAGE 3 to 4

85
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

9
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League

5

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.35K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.1K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.39K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Liverpool FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Newcastle United ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Tottenham Hotspur ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Real Madrid ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayer...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
@majario LIVE

biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele...

THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

๐Ÿ’ฌ03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusฤฑ?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! ๐ŸŽ‰๐Ÿ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest