MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 1.
Tukiwa bwenini shuleni nilikuwa najiandaa niende darasani kujisomea na wenzangu
Alikuja Chris na kuingia moja kwa moja bwenini kwetu kwa wasichana
Nilibaki nikishangaa kwani huyu kapitia wapi jamani
Tena kaingia hadi huku ndani
Nikaanza kumgombeza wewe umefuata nini huku au unataka nikusemee
Chris alinijibu nimekufua wewe Irene kunajambo nataka nikuambie maana kila nikitafuta muda nakosa
Nikamuuliza hilo jambo nijambo gani unalo kosa muda wakunieleza Chris
Alimjibu kuwa Irene nakupenda sana hasa nikikuona huwa nakosa hadi kujiamini ila leo nimeona nijipe ujasili na niongee mbele yako
Nikamwambia kuwa hivi unanini wewe haya ondoka haraka sana hapa mimi sitaki nipo hapa kusoma sio kuwa namahusiano
Chris alinisogelea na kunishika mkono akitaka kunibusu
Niliuputa na kumsukuma kisha nilikimbia mbio nilichukia sana
Chris aliona aondoke zake kwenye bweni lao
Siku iliisha siku iliyofuata asubuhi tupo darasani kwetu tunasoma alikuja Chris kwenye meza yangu na kuniachia karatasi
Niliichukua na kuisoma iliandikwa nifuate
Nilichukua ila nilitaka kujua nini anataka kuniambia tena maana nahasira na tabia yake
Alielekea nyuma ya vyoo nilimkuta huko nikamuuliza nini unataka jamani Chris
Chris alijibu ninachokitaka niwewe tuu sio kingine
Nilimjibu kuwa jua kuwa sikupendi hata usemeje umesikia Chris
Nikaondoka zangu nikaludi darasani nilichukia nikawa najiongelea mwenyewe
Hivi watu wengine sijui wakoje hawaelewi kabisaa mimi sipo hivyo angetatuta wahivyo
Mapenzi na mimi nitofauti kabisaa mimi kwanza ni shele sitaki kujihusisha na hayo mambo
Aliniona rafikiangu kipenzi Najma akaniuliza vipi Irene mbona unaongea pekeako kipenzi
Nilimjibu wewe acha tuu nitakuelezea baadae tukiwa bweni nimechukizwa sana
Tulipotoka darasani tulienda bwenini kuoga na kwenda kula
Nilipokuwa bweni na rafikiangu Najma nilimuelezea unajua huyu kijana anaitwa Chris ananiudhi sana
Najma akauliza kafanyaje kwani kipenzi
Nikamwelezea jinsi alivyo msumbufu yaana hadi bweni lawasichana anaingia eti anadai kuwa ananipenda
Najma akashangaa wee! usiniambie Chris huyu ninae mjua mtoto wa wazili
Nikastuka unasema Chris nimtoto wa wazili?
Najma akajibu ndio nimtoto wawazili
Endelea kufuatilia................
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 2.
Nilibaki kimya kidogo kisha nikakibu lakini hatakama ndio anisumbue
Mimi sijali kwasababu sijaja hapa kufanya mzaha nipo hapa kusoma tuu kwanza maisha ya nyumbani kwetu nayajua
Nikifeli naenda kuozeshwa sasa sitaki kuchezea maisha yangu hata kwanini
Yeye nimtoto wawazili maisha yeye nikama mchezo tayari yamefunguka
Mimi kwetu nimezaliwa wakike pekeangu kakazangu watatu na kusomeshwa nimefanyiwa hisanituu yaani baba hakutaka kabisa
Najma mmmh pole kipenzi ila ndio hivyo maana namjua huyo Chris huwa hakatariwi na mabinti
Nikamjibu basi mimi leo ndio nimemkataa
Najma aka guns mmh! Haya kipenzi
Tukaenda zetu kuoga na baada ya hapo tulienda kuchukuwa chakula
Tulikaa tunakula mala alikuja kijana mwengine akanipa kikaratasi
Nikakifungua kilikuwa kimeandikwa nakuhitaji nje nataka kuzungumza nawewe mwisho kiliwekwa sain ya Chris
Nilizidi kuchukia nikatoka hadi alipokuwa amekaa nikamwambia mbele ya wenzie Chris sitaki sitaki huu usumbufu wako umenielewa
Kisha nilitoka kwa hasira nikaenda zangu darasa lakujisomea nawenzangu
Alichukia sana kumfuata pale na kumkataa mbele ya wenzie
Alikuwa nikijana handsome mrefu mweupe ana body nzuri yakuvutia sana na alikuwa anaubabe sana kwa watoto wakike mkali kuwadhalilisha
Na kuwatumia anawapa rushwa viongozi wa pale boding kwenye mabweni akitaka lake lazima lifanikiwe
Hivyo aliinuka nakwenda nje alikuwa na hasira sana aliegemea ukuta kwamuda
Marafikizake walimfuata na kumuuliza tukamfanye nini Chris yule dada sema
Walipoona hajibu wakaanza kwenda darasani nipo akawaambia muacheni
Wakaludi ilikuwa ni ajabu kuacha kufanya jambo wakati anahasira
Huwa anapenda kuzui hasira kwa kufanya mazoezi alienda kukimbia na kupiga pushup
Muda wakuingia kwenda kulala ulifika tulienda kulala
Siku nyingine ilifuata alikuwa anajizui sana Chris lakini ningumu anaumia
Anatamani kunifanya nielewe lakini sitaki kumuelewa
Marafi zake wakamfuata Chris na kumuuliza kweli hili unaliacha lipite kweli
Chris akawajibu huyo sitaki aguswe namtu yoyote
Marafikizake woote wakaelewa kwa mala yakwanza Chris amependa mmmh nihatali
Alikuwa mtu asiniguse nisitake kitu yaani alikuwa kasimama nyuma yangu kama kimvuli nisiungue na jua nila mimi kujua
Nilikuwa nashangaa kunavitu vinatokea tuu nikihoji sipati jibu ndio hivyo na watu woote walikatazwa kuniambia chochote
Sikumoja nilipatwa na homa shuleni nilikuwa nahoma kali sana
Chris alitoa yeye helazake nipate huduma nzuri japokuawa tuna dispensary
Na alikuwa ananiagizia matunda na chakula chakunitia nguvu
Alikuwa hana raha kabisa alikuwa anaumia yeye mpaka wenzie wakajua sasa tulikuwa tunahisi tuu tumepata uhakika
Nilipopona alifurahi sana akanifuata darasani na kuniuliza Irene unaendeleaje sasa
Nikamjibu sio muhimu wewe kujua kwanini unajali kuhusu mimi nimekuambia ukae mbali namimi
Aliondoka zake na kuniacha nilimuambia Najma najisikia vibaya niagie kwa mwalim nitakuwa bwenini nimejipumzisha
Endelea kufuatilia.............
Full 1000
0784468229.