Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI  NI  HISIA TAAM  1-----2 epsd 1.
Gonga94 · Stories

MAPENZI NI HISIA TAAM 1-----2 epsd 1.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 1.

Tukiwa bwenini shuleni nilikuwa najiandaa niende darasani kujisomea na wenzangu

Alikuja Chris na kuingia moja kwa moja bwenini kwetu kwa wasichana

Nilibaki nikishangaa kwani huyu kapitia wapi jamani

Tena kaingia hadi huku ndani

Nikaanza kumgombeza wewe umefuata nini huku au unataka nikusemee

Chris alinijibu nimekufua wewe Irene kunajambo nataka nikuambie maana kila nikitafuta muda nakosa

Nikamuuliza hilo jambo nijambo gani unalo kosa muda wakunieleza Chris

Alimjibu kuwa Irene nakupenda sana hasa nikikuona huwa nakosa hadi kujiamini ila leo nimeona nijipe ujasili na niongee mbele yako

Nikamwambia kuwa hivi unanini wewe haya ondoka haraka sana hapa mimi sitaki nipo hapa kusoma sio kuwa namahusiano

Chris alinisogelea na kunishika mkono akitaka kunibusu

Niliuputa na kumsukuma kisha nilikimbia mbio nilichukia sana

Chris aliona aondoke zake kwenye bweni lao

Siku iliisha siku iliyofuata asubuhi tupo darasani kwetu tunasoma alikuja Chris kwenye meza yangu na kuniachia karatasi

Niliichukua na kuisoma iliandikwa nifuate

Nilichukua ila nilitaka kujua nini anataka kuniambia tena maana nahasira na tabia yake

Alielekea nyuma ya vyoo nilimkuta huko nikamuuliza nini unataka jamani Chris

Chris alijibu ninachokitaka niwewe tuu sio kingine

Nilimjibu kuwa jua kuwa sikupendi hata usemeje umesikia Chris

Nikaondoka zangu nikaludi darasani nilichukia nikawa najiongelea mwenyewe

Hivi watu wengine sijui wakoje hawaelewi kabisaa mimi sipo hivyo angetatuta wahivyo

Mapenzi na mimi nitofauti kabisaa mimi kwanza ni shele sitaki kujihusisha na hayo mambo

Aliniona rafikiangu kipenzi Najma akaniuliza vipi Irene mbona unaongea pekeako kipenzi

Nilimjibu wewe acha tuu nitakuelezea baadae tukiwa bweni nimechukizwa sana

Tulipotoka darasani tulienda bwenini kuoga na kwenda kula

Nilipokuwa bweni na rafikiangu Najma nilimuelezea unajua huyu kijana anaitwa Chris ananiudhi sana

Najma akauliza kafanyaje kwani kipenzi

Nikamwelezea jinsi alivyo msumbufu yaana hadi bweni lawasichana anaingia eti anadai kuwa ananipenda

Najma akashangaa wee! usiniambie Chris huyu ninae mjua mtoto wa wazili

Nikastuka unasema Chris nimtoto wa wazili?

Najma akajibu ndio nimtoto wawazili

Endelea kufuatilia................

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 2.

Nilibaki kimya kidogo kisha nikakibu lakini hatakama ndio anisumbue

Mimi sijali kwasababu sijaja hapa kufanya mzaha nipo hapa kusoma tuu kwanza maisha ya nyumbani kwetu nayajua

Nikifeli naenda kuozeshwa sasa sitaki kuchezea maisha yangu hata kwanini

Yeye nimtoto wawazili maisha yeye nikama mchezo tayari yamefunguka

Mimi kwetu nimezaliwa wakike pekeangu kakazangu watatu na kusomeshwa nimefanyiwa hisanituu yaani baba hakutaka kabisa

Najma mmmh pole kipenzi ila ndio hivyo maana namjua huyo Chris huwa hakatariwi na mabinti

Nikamjibu basi mimi leo ndio nimemkataa

Najma aka guns mmh! Haya kipenzi

Tukaenda zetu kuoga na baada ya hapo tulienda kuchukuwa chakula

Tulikaa tunakula mala alikuja kijana mwengine akanipa kikaratasi

Nikakifungua kilikuwa kimeandikwa nakuhitaji nje nataka kuzungumza nawewe mwisho kiliwekwa sain ya Chris

Nilizidi kuchukia nikatoka hadi alipokuwa amekaa nikamwambia mbele ya wenzie Chris sitaki sitaki huu usumbufu wako umenielewa

Kisha nilitoka kwa hasira nikaenda zangu darasa lakujisomea nawenzangu

Alichukia sana kumfuata pale na kumkataa mbele ya wenzie

Alikuwa nikijana handsome mrefu mweupe ana body nzuri yakuvutia sana na alikuwa anaubabe sana kwa watoto wakike mkali kuwadhalilisha

Na kuwatumia anawapa rushwa viongozi wa pale boding kwenye mabweni akitaka lake lazima lifanikiwe

Hivyo aliinuka nakwenda nje alikuwa na hasira sana aliegemea ukuta kwamuda

Marafikizake walimfuata na kumuuliza tukamfanye nini Chris yule dada sema

Walipoona hajibu wakaanza kwenda darasani nipo akawaambia muacheni

Wakaludi ilikuwa ni ajabu kuacha kufanya jambo wakati anahasira

Huwa anapenda kuzui hasira kwa kufanya mazoezi alienda kukimbia na kupiga pushup

Muda wakuingia kwenda kulala ulifika tulienda kulala

Siku nyingine ilifuata alikuwa anajizui sana Chris lakini ningumu anaumia

Anatamani kunifanya nielewe lakini sitaki kumuelewa

Marafi zake wakamfuata Chris na kumuuliza kweli hili unaliacha lipite kweli

Chris akawajibu huyo sitaki aguswe namtu yoyote

Marafikizake woote wakaelewa kwa mala yakwanza Chris amependa mmmh nihatali

Alikuwa mtu asiniguse nisitake kitu yaani alikuwa kasimama nyuma yangu kama kimvuli nisiungue na jua nila mimi kujua

Nilikuwa nashangaa kunavitu vinatokea tuu nikihoji sipati jibu ndio hivyo na watu woote walikatazwa kuniambia chochote

Sikumoja nilipatwa na homa shuleni nilikuwa nahoma kali sana

Chris alitoa yeye helazake nipate huduma nzuri japokuawa tuna dispensary

Na alikuwa ananiagizia matunda na chakula chakunitia nguvu

Alikuwa hana raha kabisa alikuwa anaumia yeye mpaka wenzie wakajua sasa tulikuwa tunahisi tuu tumepata uhakika

Nilipopona alifurahi sana akanifuata darasani na kuniuliza Irene unaendeleaje sasa

Nikamjibu sio muhimu wewe kujua kwanini unajali kuhusu mimi nimekuambia ukae mbali namimi

Aliondoka zake na kuniacha nilimuambia Najma najisikia vibaya niagie kwa mwalim nitakuwa bwenini nimejipumzisha

Endelea kufuatilia.............

Full 1000
0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NI HISIA TAAM 1-----2 epsd 1.


MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 1.

Tukiwa bwenini shuleni nilikuwa najiandaa niende darasani kujisomea na wenzangu

Alikuja Chris na kuingia moja kwa moja bwenini kwetu kwa wasichana

Nilibaki nikishangaa kwani huyu kapitia wapi jamani

Tena kaingia hadi huku ndani

Nikaanza kumgombeza wewe umefuata nini huku au unataka nikusemee

Chris alinijibu nimekufua wewe Irene kunajambo nataka nikuambie maana kila nikitafuta muda nakosa

Nikamuuliza hilo jambo nijambo gani unalo kosa muda wakunieleza Chris

Alimjibu kuwa Irene nakupenda sana hasa nikikuona huwa nakosa hadi kujiamini ila leo nimeona nijipe ujasili na niongee mbele yako

Nikamwambia kuwa hivi unanini wewe haya ondoka haraka sana hapa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-1-2-epsd-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????  NO: 03
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 03
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??  NO: 04
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 04
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA   NO: 15
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA NO: 15
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????  NO: 18
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 18
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??  NO: 16
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 16
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA  NO: 17
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA NO: 17
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

1.44K
AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65*

AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*

680
JOGOO WA KIENYEJI 1----5

JOGOO WA KIENYEJI 1----5

263
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.

218
SHAMIRA Sehemu ya 65&66

SHAMIRA Sehemu ya 65&66

215
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.

201
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 13.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 13.

200
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 14.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 14.

171
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)

SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)

165
SHAMIRA 67 to 70

SHAMIRA 67 to 70

113

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.76K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.84K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.74K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.72K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*BILLIONS OF LOVE💓💓*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVE💓💓* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"💓😽 BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea💵" Nyie njooni niwaambie kitu ……… mnazijua chapati? Sambusa je ? 😂😂 nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

SHARON 1 mpka 5 Post Mpya
SHARON 1 mpka 5
@majario LIVE

🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺 *SHARON* Sehemu ya 1 Kwa majina naitwa sharon hillary, mm ni mtoto wa 3 kuzaliwa katika familia ya watoto watatu, so mm ni wa mwisho kuzaliwa wa kwanza ni kaka yetu anaitwa...

Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy 🇸🇳 Post Mpya
Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy 🇸🇳
@majario LIVE

Mara baada ya filimbi ya mwisho akatoa kadi yake nyekundu,anataka kumuona mtu amfuate kuhoji maamuzi yake. Kuna afisa mmoja wa benchi la Al Ahly alitaka kwenda,baada ya kuona kadi nyekundu imeshikwa...

SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3) Post Mpya
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 71 Mwandishi; lissa wa huru media Nikamwambia sawa nashukuru kama mimi ndo kiboko yako. Basi mchumba akaenda kuoga akatoka mwepesi kabisa akavaa kisha akachuku pochi aknihasabia laki 8 .akanipa...

🚨 SIMAMA KWANZA USIPITE! 🌍 BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA Post Mpya
🚨 SIMAMA KWANZA USIPITE! 🌍 BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA
@majario LIVE

Tanzania 🇹🇿, Kenya 🇰🇪, Congo 🇨🇩, Burundi 🇧🇮, Rwanda 🇷🇼, South Africa 🇿🇦 na USA 🇺🇸 Wote wamevaa rangi za nchi zao… lakini NANI AMEUA STYLE ZAIDI? 👑🔥 ⚠️ CHAGUA NCHI MOJA...

SHAMIRA 67 to 70 Post Mpya
SHAMIRA 67 to 70
@majario LIVE

62 MPK 70 (SEASON THREE) 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 67&68 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikiwa nawaza sana pale akaingia husna .akagonga mlango...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12
@majario LIVE

:01 Natafuta ni wapi nianzie na ni wapi nimalizie, sijui kabisa yaani kwa maana moyo wangu, roho yangu, na hisia zangu vyote kwa pamoja vimejawa na furaha isiyo kifani. Maisha yangu ni...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 14. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 14.
@majario LIVE

Alinilegesha jamani king anajua kuandaa, anajua kutia sio Polepole jamani, nilijikuta nimempa yote bila kumbania, jamaa kumbe kiu ilikuwa kubwa na Mimi nilikuwa naukata kweli make kufanya hii kitu na...

AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65* Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 13. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 13.
@majario LIVE

Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Baada ya king kuzimia,ilibidi apate huduma ya kwanza, Mimi ilibidi niludishwe kwenye Sheree, tulimaliza saa Saba usiku, nilikuwa nimechoka mno, nilioga nakuingia kulala, hata vicram pia alikuwa hoi,...

JOGOO WA KIENYEJI 1----5 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 1----5
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 1 Mwandishi:lissa mwalla Naitwa Talya jones,ni mtoto wa pili katika familia ya watoto wawili,wakwanza kakangu tommy na mie ndio last born sasa,baba yetu alikua mwanajeshi na mama yetu ni nesi.baba...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11. Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Mama alipokea nikamuita atoke nje,vicram alibaki tu akinishangaa, mama alitoka akatukalibisha ndani, niliomba niongee nae pembeni, tulitoka nililia Kwa mama mpaka na mama nae akaanza kulia, badae nikaamua...

SHAMIRA Sehemu ya 65&66 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nilimuangalia sana nikamuuliza unamuongeleaa mtoto gani kwanza .akanambia ahaa si mtoto wangu ambae ulikuwa unakujaga nae nyumbani kuomba msada ama.nikasema sawa kumbe unakumbukumbu. Unahisi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest