Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MAPENZI NI HISIA TAAM 1-----2 epsd 1.

31st May, 2025 Views 80


MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 1.

Tukiwa bwenini shuleni nilikuwa najiandaa niende darasani kujisomea na wenzangu

Alikuja Chris na kuingia moja kwa moja bwenini kwetu kwa wasichana

Nilibaki nikishangaa kwani huyu kapitia wapi jamani

Tena kaingia hadi huku ndani

Nikaanza kumgombeza wewe umefuata nini huku au unataka nikusemee

Chris alinijibu nimekufua wewe Irene kunajambo nataka nikuambie maana kila nikitafuta muda nakosa

Nikamuuliza hilo jambo nijambo gani unalo kosa muda wakunieleza Chris

Alimjibu kuwa Irene nakupenda sana hasa nikikuona huwa nakosa hadi kujiamini ila leo nimeona nijipe ujasili na niongee mbele yako

Nikamwambia kuwa hivi unanini wewe haya ondoka haraka sana hapa mimi sitaki nipo hapa kusoma sio kuwa namahusiano

Chris alinisogelea na kunishika mkono akitaka kunibusu

Niliuputa na kumsukuma kisha nilikimbia mbio nilichukia sana

Chris aliona aondoke zake kwenye bweni lao

Siku iliisha siku iliyofuata asubuhi tupo darasani kwetu tunasoma alikuja Chris kwenye meza yangu na kuniachia karatasi

Niliichukua na kuisoma iliandikwa nifuate

Nilichukua ila nilitaka kujua nini anataka kuniambia tena maana nahasira na tabia yake

Alielekea nyuma ya vyoo nilimkuta huko nikamuuliza nini unataka jamani Chris

Chris alijibu ninachokitaka niwewe tuu sio kingine

Nilimjibu kuwa jua kuwa sikupendi hata usemeje umesikia Chris

Nikaondoka zangu nikaludi darasani nilichukia nikawa najiongelea mwenyewe

Hivi watu wengine sijui wakoje hawaelewi kabisaa mimi sipo hivyo angetatuta wahivyo

Mapenzi na mimi nitofauti kabisaa mimi kwanza ni shele sitaki kujihusisha na hayo mambo

Aliniona rafikiangu kipenzi Najma akaniuliza vipi Irene mbona unaongea pekeako kipenzi

Nilimjibu wewe acha tuu nitakuelezea baadae tukiwa bweni nimechukizwa sana

Tulipotoka darasani tulienda bwenini kuoga na kwenda kula

Nilipokuwa bweni na rafikiangu Najma nilimuelezea unajua huyu kijana anaitwa Chris ananiudhi sana

Najma akauliza kafanyaje kwani kipenzi

Nikamwelezea jinsi alivyo msumbufu yaana hadi bweni lawasichana anaingia eti anadai kuwa ananipenda

Najma akashangaa wee! usiniambie Chris huyu ninae mjua mtoto wa wazili

Nikastuka unasema Chris nimtoto wa wazili?

Najma akajibu ndio nimtoto wawazili

Endelea kufuatilia................

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 2.

Nilibaki kimya kidogo kisha nikakibu lakini hatakama ndio anisumbue

Mimi sijali kwasababu sijaja hapa kufanya mzaha nipo hapa kusoma tuu kwanza maisha ya nyumbani kwetu nayajua

Nikifeli naenda kuozeshwa sasa sitaki kuchezea maisha yangu hata kwanini

Yeye nimtoto wawazili maisha yeye nikama mchezo tayari yamefunguka

Mimi kwetu nimezaliwa wakike pekeangu kakazangu watatu na kusomeshwa nimefanyiwa hisanituu yaani baba hakutaka kabisa

Najma mmmh pole kipenzi ila ndio hivyo maana namjua huyo Chris huwa hakatariwi na mabinti

Nikamjibu basi mimi leo ndio nimemkataa

Najma aka guns mmh! Haya kipenzi

Tukaenda zetu kuoga na baada ya hapo tulienda kuchukuwa chakula

Tulikaa tunakula mala alikuja kijana mwengine akanipa kikaratasi

Nikakifungua kilikuwa kimeandikwa nakuhitaji nje nataka kuzungumza nawewe mwisho kiliwekwa sain ya Chris

Nilizidi kuchukia nikatoka hadi alipokuwa amekaa nikamwambia mbele ya wenzie Chris sitaki sitaki huu usumbufu wako umenielewa

Kisha nilitoka kwa hasira nikaenda zangu darasa lakujisomea nawenzangu

Alichukia sana kumfuata pale na kumkataa mbele ya wenzie

Alikuwa nikijana handsome mrefu mweupe ana body nzuri yakuvutia sana na alikuwa anaubabe sana kwa watoto wakike mkali kuwadhalilisha

Na kuwatumia anawapa rushwa viongozi wa pale boding kwenye mabweni akitaka lake lazima lifanikiwe

Hivyo aliinuka nakwenda nje alikuwa na hasira sana aliegemea ukuta kwamuda

Marafikizake walimfuata na kumuuliza tukamfanye nini Chris yule dada sema

Walipoona hajibu wakaanza kwenda darasani nipo akawaambia muacheni

Wakaludi ilikuwa ni ajabu kuacha kufanya jambo wakati anahasira

Huwa anapenda kuzui hasira kwa kufanya mazoezi alienda kukimbia na kupiga pushup

Muda wakuingia kwenda kulala ulifika tulienda kulala

Siku nyingine ilifuata alikuwa anajizui sana Chris lakini ningumu anaumia

Anatamani kunifanya nielewe lakini sitaki kumuelewa

Marafi zake wakamfuata Chris na kumuuliza kweli hili unaliacha lipite kweli

Chris akawajibu huyo sitaki aguswe namtu yoyote

Marafikizake woote wakaelewa kwa mala yakwanza Chris amependa mmmh nihatali

Alikuwa mtu asiniguse nisitake kitu yaani alikuwa kasimama nyuma yangu kama kimvuli nisiungue na jua nila mimi kujua

Nilikuwa nashangaa kunavitu vinatokea tuu nikihoji sipati jibu ndio hivyo na watu woote walikatazwa kuniambia chochote

Sikumoja nilipatwa na homa shuleni nilikuwa nahoma kali sana

Chris alitoa yeye helazake nipate huduma nzuri japokuawa tuna dispensary

Na alikuwa ananiagizia matunda na chakula chakunitia nguvu

Alikuwa hana raha kabisa alikuwa anaumia yeye mpaka wenzie wakajua sasa tulikuwa tunahisi tuu tumepata uhakika

Nilipopona alifurahi sana akanifuata darasani na kuniuliza Irene unaendeleaje sasa

Nikamjibu sio muhimu wewe kujua kwanini unajali kuhusu mimi nimekuambia ukae mbali namimi

Aliondoka zake na kuniacha nilimuambia Najma najisikia vibaya niagie kwa mwalim nitakuwa bwenini nimejipumzisha

Endelea kufuatilia.............

Full 1000
0784468229.
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest