Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3  Sehemu ya  04&05
Gonga94 ยท Stories

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 04&05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

Sehemu ya 04&05

Nilikaa kule chooni nilijihisi kuharisha ila sikuwa na haja kubwa,
Nilikaa kwenye sinki la choo nikijiinamia huku nikijilaumu ,maana kama mke nikweli nampenda tena sio kidogo yaani nampenda sana tu , moyo uliniuma sana huku nikijiambia nimefanya kosa kubwa sana kumdanganya mke wangu , nikawaza labda nimwambie ukweli anaweza akatulia na mapenzi yakarudi kama zamani ,lakini upande mwingine nikawaza kuwa hata nikimwambia hawezi kubadilisha msimamo wake , nilikaa kule chooni nikaona mke wangu kanyamaza lakini kama anapilika pilika nyingine , nikaona ngoja nitoke nimuone anafanya nini , nikashangaa anahamisha nguo zake anapeleka chumba cha mtoto, nikakaa zangu kwenye kochi nikimwangalia ,alikuwa anakusanya nguo pamoja na vitu vyake vingine huku anasema ,, yaani mi natoa pesa mtu anakula anajaza choo halafu et ananipiga ,? Yaani mi niwakupigwa kweli ,? Yaani pesa nitafute mimi bili za maji nilipe mimi umeme nilipe mimi na kuna lijitu limekalisha makende yake tu linakula linavaa lisijue hata pesa ya dawa yamswaki , halafu ananipiga mimi , mke wangu aliongea hivyo mpaka anamaliza kukusanya vitu vyake akavipeleka chumba cha watoto na kuubana mlango , ukweli niliumia San na nilipata shida Sana nilihisi moyo unakufa ganzi yaani sijui nikwambieje kwa jinsi niliyokuwa najiskia , msomaji nakwambia kweli achana na vitu vyote ila mapenzi yanasiri kubwa sana we fikilia mi nilikuwa naumia lakini sikujua naumia wapi yaani nahisi maumivu tu ,

Niliingia chumbani kwangu nikaona chumba cheupe ,nikachoka nikakaa kwenye kitanda nikijiinamia , nimeyataka mwenyewe haya ,nilijisemea ,nilijilaza nikapitiwa na usingizi ,
Asubuhi nikaamka na nikamuona mke wangu anajiandaa kuondoka kwenda dukani kwake , nikamsalimia hakuitika ikabidi nimwambie mke wangu nakusalimia , akanijibu kwani salamu lazima ? Halafu usiniite mkeo ,kuanzia sasa tumeshaachana na tumeshagawana vyumba na sitaki maelezo mengine , kama ukiona nakukera unaweza kuhama nyumba au mi nihame nikuachie nyumba , aliongea hivyo akaondoka zake na hakuacha pesa ya chakula , maana kila akiondoka lazima aache mezani elfu Tano lakini siku hiyo hajaacha , hiyo haikuniuma sana kwa vile pesa ninazo japo yeye alijua ananikomoa ,
Nilimwandaa mwanangu na nikampeleka shule ,nikapitia kule kwenye nyumba yangu nikakutana na wale mafundi wakaniambia inabidi kesho tuendelee na kazi kwani tofari zimeshakauka , nikawajibu sawa ,tukapanga mipango mingine ikiwemo lenta na plasta ,pamoja na sinki la choo ,niliamua kuifanya nyumba hiyo kuwa yakisasa ,yaani nyumba nindogo inavyumba vitatu na sebule na jiko ,Yani ilikuwa na muonekano mzuri kweli ,
Nilipotoka kule site nikaamua nipitie kule kazini kwetu TAZARA, wafanyakazi wenzangu walifurahi sana kuniona na tukapiga story Sana , nikatoka nikarudi zangu nyumbani ,nikamkuta mwanangu karudi shule ,sikupika nikamnunulia chips na soda akala nikamfundisha baadhi ya maswali yake na siku ikaishia hivyo ,
Usiku mke wangu hakurudi nilimsubilia mpaka saa sita usiku nikaamua kupiga simu yake , simu iliita na haikupokelewa nikaingiwa na wasiwasi labda anatatizo nikapiga kama mala tatu ikapokelewa lakini hakuongea ila nilisikia miguno yaani kama watu wanafanya mapenzi ,
Nikahisi labda nasikia vibaya ,nikaita haloow ,sim ikakatwa , mwenzenu nilichanganyikiwa , nikapiga tena simu ikakatwa nikapiga tena ikawa haipatikani kabisa , nikaendelea kupiga tena natena lakini haikupatikana , nikajiuliza si alipokea nikasikia kama sauti ya mke wangu tena nikama anafanya mapenzi ,maana alikuwa anaguna kabisa tena kama analalamika kabisa ,au sio yeye ,?
Sikutaka kuamini ,unajua kama unampenda mtu Sana hata kama anafanya baya basi wewe utalitafutia sababu liwe zuri, sasa ndivyo ilivyokuwa kwangu sikutaka kuamini kama mke wangu anafanya mapenzi ,
Nilikaa macho mpaka asubuhi yaani Acheni tu mapenzi yaitwa mapenzi ,
Nilimwandaa mtoto wangu huku mtoto nae akiniongezea machungu kwa kuniuliza mama yupo wapi ,nikamjibu tu yupo kazini ila atarudi ,
Nilimpeleka mtoto shule kisha nikapitia kule site na kuwaachia mafundi pesa za matirio na kwenda mpaka dukani kwa mke wangu , nilifika lakini cha ajabu duka limefungwa , ikabidi niwaulize wadada wapale duka la pembeni wakaniambia amefunga tokea jana saa kumi alikuja kuchukuliwa na mumewe , nikastuka nikawauliza mumewe yupi ,?
Wakaniambia mumewe ye ndo alivyotutambulisha na mbona anakujaga hapa kila siku anagari dogo jeusi , yule dada aliniambia bila hata wasi wasi ,wakati mimi nilihisi kama mkojo unataka kutoka , nikamwambia sawa asanteni, nikaondoka ,bila hata kuaga ,
Sikwenda kule site nilirudi nyumbani na kwa vile Niko peke yangu nyumba nzima nilijifungia ndani nikalia , tena nililia kwa sauti kama mtu anamsiba , Acheni kabisa mapenzi yanaumiza ,
Usiku mida ya saa 4 mke wangu alirudi aisee huwezi amini nilipiga goti na kumuomba msamaha ,nikamwambia mke wangu naomba unisamehe nateseka , tuishi Kama zamani ,usiniache , niliongea huku machozi yananitoka , lakini mke wangu hakunijali aliingia chumbani kwa mtoto na kufunga mlango ,nikabaki pale mlangoni nimepiga magoti, mule ndani alikaa kama dakika 10 akatoka alikuwa kabadilisha nguo na viatu , akawa anatoka alifungua mlango nikamuwahi nikamshika mkono na kumwambia mke wangu usiende plz bado nakupenda tena sana tu, nikasikia honi kumbe mke wangu aliletwa na gari tena Rav4 New model, nyeusi nikajisemea huyu ndo yule jamaa walikuwa wanamzungumzia wale wasichana ,
Kwani we unashida gani we si tulishaachana ,? Mke wangu alisema hivyo huku akipanda kwenye gari , nikamfuata dereva wa hilo gar alikuwa ni kijana wa makamo yangu sema yeye alikuwa bishoo maana alivaa nguo za ujana ujana na macheni cheni shingoni ,
Nikamwambia yule jamaa plz huyu ni mke wangu na nampenda sana naomba uniachie mke wangu bado nampenda sana ,niliongea huku nalia , yule jamaa alicheka na kuondoa gari,
Sijui yule mwanamke alinipa nini maana kama kumpenda tu nilimpenda sana tu , nilijikuta nakaa chini huku nalia ,


Nini kitaendelea usikose MUENDELEZO


NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

SEHEMU YA 05

Sijui yule mwanamke alinipa nini maana kama kumpenda tu nilimpenda sana tu,
Nilikaa pale chini huku nalia,
Huwezi amini lakini nakwambia kweli mapenzi yanauma tena usimlamu mtu akinywa sumu au akijinyonga kwa ajili ya mapenzi ,
Nilikaa pale chini kama lisaa lizima huku nikijipa moyo kuwa mke wangu atakuja tu tena muda sio mrefu , nilipoona mmbu wananing'ata na Sion mke wangu akirudi nikaingia ndani nikapitia mpaka chumba cha mwanangu, nilikaa pale kitandani kwa mtoto wangu huku nalia ,nilimwangalia mwanangu nikamkumbatia japo alikuwa kalala na mimi nikapitiwa na usingizi ,
Mke wangu alirudi ilikuwa ni kama saa kumi namoja kasoro, ya usiku , akaniamsha kwa kunistua , tena akaniambia we mpuuzi kwanini hukufunga milango ,? Nikakumbuka nikweli nilisahau kufunga milango yaani jana nilipoingia ndani nilisahau kufunga mlango hata mmoja mpaka nikapitiwa na usingizi,
Vitu vyote vimeibiwa we umekalisha tu ,hebu amka huko uwende sebuleni , mke wangu aliniambia kwa ukali , na nilijikuta naamka tu na kwenda sebuleni, heeh nikashangaa sebule ilikuwa nyeupe ,yaani wameiba TV ,Redio , meza sofa seti yaani nikama mtu amehama , nikakumbuka chumbani kuna pesa kwenye kabati nikakimbilia chumbani kwangu , kwa bahati nikazikuta , nikashusha punzi ndefu nikapumua nikawaza hivi nikweli nilikuwa sijafunga milango ? Sasa hawa waizi wamekuja na pikap au ? Na kwanini wameiba vitu vya sebule tu ? Maana hata chumbani kwangu kulikuwa wazi na hakujaguswa hata kitu, nikarudi chumbani kwa mke wangu nikamkuta kalala tena hana hata presha , nikarudi sebuleni huku natafakari jinsi kulivyoibiwa pale ndani ,
Nikaamua nifunge milango tu nikaenda kulala , asubuhi niliamka nikaenda chumbani kwa mwanangu ili nimwandae kwa ajili ya shule ,nikamkuta mke wangu bado kalala , nikamwamsha mtoto na kumuandaa kisha nikampakiza kwenye gari lashule , nikarudi nyumbani nikaandaa chai maana niliona mke wangu hana dalili ya kwenda kazini ,mke wangu akaamka kwenye muda wa saa tatu na akaenda bafuni kaoga kisha akachukua nguo zake akaanza kufua , nikamfuata na kumwambia mke wangu chai tayari ,akanijibu we pesa umetoa wapi ? Kabla sijamjibu akaanza kufoka niliweka pesa kwenye mkoba wangu sizioni kwanini unakuwa mwizi wewe ,? Kama huna pesa si uwende ukabebe zege kule na wanaume ,? Nikamjibu mke wangu mimi sikuchukua pesa zako , akaniambia sasa hizo pesa umezitoa wapi za kupika chai na machapati yako ,au umeshakuwa shoga ,? Wanakugeuza eee ?? Nilikasirika nikataka kumpa bonge lakof lakini nikasita , hebu nipige uone kama hujaenda kunyea debe , aliniambia mke wangu ,nilirudi chumbani kwangu na hata chai haikunyweka tena ,
Nilikaa kule chumbani mpaka mke wangu alipomaliza kufua na akajiandaa akaondoka bila ya kuniaga , nikajua lazima atakuwa kaenda kazini ,
Namimi nikajiandaa ili niende kule kwenye nyumba yangu ninayojenga , niwe mkweli tu hii nyumba nilikuwa naijenga tu lakini sina furaha ,kumbuka hii nyumba nilikuwa naijenga ili nije nimpe mke wangu kama angeweza kunivumilia , lakini yametokea yakutokea ,mafundi walikuwa wanafunga lenta na wakaniambia niweke oda kabisa ya madirisha na milango maana baada ya wiki mbili watapauwa , mpaka hapo imekatika miezi miwili ,
Nikasema sawa nikaenda kutoa oda na mafund wakafika kwa ajili ya kupima madirisha na milango ,
Muda kama saa kumi nikasema ngoja nipitie dukani kwa mke wangu kisha nirudi nyumbani ,
Nilifika na nikakuta kweli kafungua na duka limejaa si mchezo yaani vipodozi vya ainazote na kaweka mpaka mawigi ,wiving na Rasta za kila aina , na anawafanyakazi wawili pale dukani ,
Nilifika lakini kabla hata sijasalimia mke wangu akatoka na kunivuta pembeni, akaniambia naomba uondoke eneo hili usinitie aibu sahii , hee nikashangaa na kumuuliza aibu ya nini tena ,? Akaniambia inamaana we hujioni ? Hebu jiangalie wewe na mimi halafu utaanza kuwaambia watu mimi nimkeo huoni utanitia aibu , ? Nikamwambia lakini mke wangu ,,,, ,,,
Weeeee koma ishia hapo hapo mi sio mkeo na ndo kitu nnachokikataa hapa naomba uondoke ,
Dada vipi tena kulikoni , alikuja kijana mmoja na kuuliza , mke wangu akajibu si huyu tapeli hapa anataka kunitapel , hee nikashangaa na kumuuliza mke wangu yaani mimi tapeli ??
Nikaona watu wameanza kusogea , yule kijana akanikunja , na kunisukumia ukutani , mi mwenyewe hata kupigana sijui masikini nilijikuta naanguka mzima mzima ,
Potea hapa watu wasije wakakuchoma moto tapel wewe ,mke wangu alisema na mimi kweli nikajikusanya pale chini na kuondoka mdogo mdogo,
Nilitembea huku kichwa kimeelemewa na mawazo , yaani mke wangu ananiita mimi tapeli duh , sikumbuki hata ilikuwaje ila nilikunywa pombe sana siku hiyo nilirudi nyumbani huku mvua inanyesha na sikujali mvua , yaani nililowana na sikuona kama kuna mvua , nilifika nyumbani nayumba yumba , lakini kabla hata sijafungua mlango nikamuona mwanangu kajikunyata pembeni ya ukuta ,mvua inamnyeshea kajiinamia na begi lake lashule kalikumbatia huku analia , aisee pombe ilikata ,

Nini kitaendelea tuonane mtaji wetu ni koment tu mpaka mwisho ,

ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 04&05

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

Sehemu ya 04&05

Nilikaa kule chooni nilijihisi kuharisha ila sikuwa na haja kubwa,
Nilikaa kwenye sinki la choo nikijiinamia huku nikijilaumu ,maana kama mke nikweli nampenda tena sio kidogo yaani nampenda sana tu , moyo uliniuma sana huku nikijiambia nimefanya kosa kubwa sana kumdanganya mke wangu , nikawaza labda nimwambie ukweli anaweza akatulia na mapenzi yakarudi kama zamani ,lakini upande mwingine nikawaza kuwa hata nikimwambia hawezi kubadilisha msimamo wake , nilikaa kule chooni nikaona mke wangu kanyamaza lakini kama anapilika pilika nyingine , nikaona ngoja nitoke nimuone...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilimdanganya-mke-wangu-nimefukuzwa-kazi-kumbe-nnalikizo-miezi-3-sehemu-ya-04-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilimdanganya-mke-wangu-nimefukuzwa-kazi-kumbe-nnalikizo-miezi
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3  SEHEMU YA    15
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 15
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3          SEHEMU YA  17
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 17
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3            SEHEMU YA  18      ...
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 18 ...
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3       Sehemu ya 03
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 03
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3     SEHEMU YA   16
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 16
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA 06
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 06
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA   10
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 10
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3                SEHEMU YA   07&08
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 07&08
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI,     KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI, KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA 11&12
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 11&12
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3       SEHEMU  YA 13
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 13
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3      SEHEMU YA   09
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 09
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA   14
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.18K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

1.03K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

637
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

393
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

322
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

310
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

267
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

241
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

228
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

172

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’ LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest