Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 04&05

8th May, 2025 Views 25

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

Sehemu ya 04&05

Nilikaa kule chooni nilijihisi kuharisha ila sikuwa na haja kubwa,
Nilikaa kwenye sinki la choo nikijiinamia huku nikijilaumu ,maana kama mke nikweli nampenda tena sio kidogo yaani nampenda sana tu , moyo uliniuma sana huku nikijiambia nimefanya kosa kubwa sana kumdanganya mke wangu , nikawaza labda nimwambie ukweli anaweza akatulia na mapenzi yakarudi kama zamani ,lakini upande mwingine nikawaza kuwa hata nikimwambia hawezi kubadilisha msimamo wake , nilikaa kule chooni nikaona mke wangu kanyamaza lakini kama anapilika pilika nyingine , nikaona ngoja nitoke nimuone anafanya nini , nikashangaa anahamisha nguo zake anapeleka chumba cha mtoto, nikakaa zangu kwenye kochi nikimwangalia ,alikuwa anakusanya nguo pamoja na vitu vyake vingine huku anasema ,, yaani mi natoa pesa mtu anakula anajaza choo halafu et ananipiga ,? Yaani mi niwakupigwa kweli ,? Yaani pesa nitafute mimi bili za maji nilipe mimi umeme nilipe mimi na kuna lijitu limekalisha makende yake tu linakula linavaa lisijue hata pesa ya dawa yamswaki , halafu ananipiga mimi , mke wangu aliongea hivyo mpaka anamaliza kukusanya vitu vyake akavipeleka chumba cha watoto na kuubana mlango , ukweli niliumia San na nilipata shida Sana nilihisi moyo unakufa ganzi yaani sijui nikwambieje kwa jinsi niliyokuwa najiskia , msomaji nakwambia kweli achana na vitu vyote ila mapenzi yanasiri kubwa sana we fikilia mi nilikuwa naumia lakini sikujua naumia wapi yaani nahisi maumivu tu ,

Niliingia chumbani kwangu nikaona chumba cheupe ,nikachoka nikakaa kwenye kitanda nikijiinamia , nimeyataka mwenyewe haya ,nilijisemea ,nilijilaza nikapitiwa na usingizi ,
Asubuhi nikaamka na nikamuona mke wangu anajiandaa kuondoka kwenda dukani kwake , nikamsalimia hakuitika ikabidi nimwambie mke wangu nakusalimia , akanijibu kwani salamu lazima ? Halafu usiniite mkeo ,kuanzia sasa tumeshaachana na tumeshagawana vyumba na sitaki maelezo mengine , kama ukiona nakukera unaweza kuhama nyumba au mi nihame nikuachie nyumba , aliongea hivyo akaondoka zake na hakuacha pesa ya chakula , maana kila akiondoka lazima aache mezani elfu Tano lakini siku hiyo hajaacha , hiyo haikuniuma sana kwa vile pesa ninazo japo yeye alijua ananikomoa ,
Nilimwandaa mwanangu na nikampeleka shule ,nikapitia kule kwenye nyumba yangu nikakutana na wale mafundi wakaniambia inabidi kesho tuendelee na kazi kwani tofari zimeshakauka , nikawajibu sawa ,tukapanga mipango mingine ikiwemo lenta na plasta ,pamoja na sinki la choo ,niliamua kuifanya nyumba hiyo kuwa yakisasa ,yaani nyumba nindogo inavyumba vitatu na sebule na jiko ,Yani ilikuwa na muonekano mzuri kweli ,
Nilipotoka kule site nikaamua nipitie kule kazini kwetu TAZARA, wafanyakazi wenzangu walifurahi sana kuniona na tukapiga story Sana , nikatoka nikarudi zangu nyumbani ,nikamkuta mwanangu karudi shule ,sikupika nikamnunulia chips na soda akala nikamfundisha baadhi ya maswali yake na siku ikaishia hivyo ,
Usiku mke wangu hakurudi nilimsubilia mpaka saa sita usiku nikaamua kupiga simu yake , simu iliita na haikupokelewa nikaingiwa na wasiwasi labda anatatizo nikapiga kama mala tatu ikapokelewa lakini hakuongea ila nilisikia miguno yaani kama watu wanafanya mapenzi ,
Nikahisi labda nasikia vibaya ,nikaita haloow ,sim ikakatwa , mwenzenu nilichanganyikiwa , nikapiga tena simu ikakatwa nikapiga tena ikawa haipatikani kabisa , nikaendelea kupiga tena natena lakini haikupatikana , nikajiuliza si alipokea nikasikia kama sauti ya mke wangu tena nikama anafanya mapenzi ,maana alikuwa anaguna kabisa tena kama analalamika kabisa ,au sio yeye ,?
Sikutaka kuamini ,unajua kama unampenda mtu Sana hata kama anafanya baya basi wewe utalitafutia sababu liwe zuri, sasa ndivyo ilivyokuwa kwangu sikutaka kuamini kama mke wangu anafanya mapenzi ,
Nilikaa macho mpaka asubuhi yaani Acheni tu mapenzi yaitwa mapenzi ,
Nilimwandaa mtoto wangu huku mtoto nae akiniongezea machungu kwa kuniuliza mama yupo wapi ,nikamjibu tu yupo kazini ila atarudi ,
Nilimpeleka mtoto shule kisha nikapitia kule site na kuwaachia mafundi pesa za matirio na kwenda mpaka dukani kwa mke wangu , nilifika lakini cha ajabu duka limefungwa , ikabidi niwaulize wadada wapale duka la pembeni wakaniambia amefunga tokea jana saa kumi alikuja kuchukuliwa na mumewe , nikastuka nikawauliza mumewe yupi ,?
Wakaniambia mumewe ye ndo alivyotutambulisha na mbona anakujaga hapa kila siku anagari dogo jeusi , yule dada aliniambia bila hata wasi wasi ,wakati mimi nilihisi kama mkojo unataka kutoka , nikamwambia sawa asanteni, nikaondoka ,bila hata kuaga ,
Sikwenda kule site nilirudi nyumbani na kwa vile Niko peke yangu nyumba nzima nilijifungia ndani nikalia , tena nililia kwa sauti kama mtu anamsiba , Acheni kabisa mapenzi yanaumiza ,
Usiku mida ya saa 4 mke wangu alirudi aisee huwezi amini nilipiga goti na kumuomba msamaha ,nikamwambia mke wangu naomba unisamehe nateseka , tuishi Kama zamani ,usiniache , niliongea huku machozi yananitoka , lakini mke wangu hakunijali aliingia chumbani kwa mtoto na kufunga mlango ,nikabaki pale mlangoni nimepiga magoti, mule ndani alikaa kama dakika 10 akatoka alikuwa kabadilisha nguo na viatu , akawa anatoka alifungua mlango nikamuwahi nikamshika mkono na kumwambia mke wangu usiende plz bado nakupenda tena sana tu, nikasikia honi kumbe mke wangu aliletwa na gari tena Rav4 New model, nyeusi nikajisemea huyu ndo yule jamaa walikuwa wanamzungumzia wale wasichana ,
Kwani we unashida gani we si tulishaachana ,? Mke wangu alisema hivyo huku akipanda kwenye gari , nikamfuata dereva wa hilo gar alikuwa ni kijana wa makamo yangu sema yeye alikuwa bishoo maana alivaa nguo za ujana ujana na macheni cheni shingoni ,
Nikamwambia yule jamaa plz huyu ni mke wangu na nampenda sana naomba uniachie mke wangu bado nampenda sana ,niliongea huku nalia , yule jamaa alicheka na kuondoa gari,
Sijui yule mwanamke alinipa nini maana kama kumpenda tu nilimpenda sana tu , nilijikuta nakaa chini huku nalia ,


Nini kitaendelea usikose MUENDELEZO


NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

SEHEMU YA 05

Sijui yule mwanamke alinipa nini maana kama kumpenda tu nilimpenda sana tu,
Nilikaa pale chini huku nalia,
Huwezi amini lakini nakwambia kweli mapenzi yanauma tena usimlamu mtu akinywa sumu au akijinyonga kwa ajili ya mapenzi ,
Nilikaa pale chini kama lisaa lizima huku nikijipa moyo kuwa mke wangu atakuja tu tena muda sio mrefu , nilipoona mmbu wananing'ata na Sion mke wangu akirudi nikaingia ndani nikapitia mpaka chumba cha mwanangu, nilikaa pale kitandani kwa mtoto wangu huku nalia ,nilimwangalia mwanangu nikamkumbatia japo alikuwa kalala na mimi nikapitiwa na usingizi ,
Mke wangu alirudi ilikuwa ni kama saa kumi namoja kasoro, ya usiku , akaniamsha kwa kunistua , tena akaniambia we mpuuzi kwanini hukufunga milango ,? Nikakumbuka nikweli nilisahau kufunga milango yaani jana nilipoingia ndani nilisahau kufunga mlango hata mmoja mpaka nikapitiwa na usingizi,
Vitu vyote vimeibiwa we umekalisha tu ,hebu amka huko uwende sebuleni , mke wangu aliniambia kwa ukali , na nilijikuta naamka tu na kwenda sebuleni, heeh nikashangaa sebule ilikuwa nyeupe ,yaani wameiba TV ,Redio , meza sofa seti yaani nikama mtu amehama , nikakumbuka chumbani kuna pesa kwenye kabati nikakimbilia chumbani kwangu , kwa bahati nikazikuta , nikashusha punzi ndefu nikapumua nikawaza hivi nikweli nilikuwa sijafunga milango ? Sasa hawa waizi wamekuja na pikap au ? Na kwanini wameiba vitu vya sebule tu ? Maana hata chumbani kwangu kulikuwa wazi na hakujaguswa hata kitu, nikarudi chumbani kwa mke wangu nikamkuta kalala tena hana hata presha , nikarudi sebuleni huku natafakari jinsi kulivyoibiwa pale ndani ,
Nikaamua nifunge milango tu nikaenda kulala , asubuhi niliamka nikaenda chumbani kwa mwanangu ili nimwandae kwa ajili ya shule ,nikamkuta mke wangu bado kalala , nikamwamsha mtoto na kumuandaa kisha nikampakiza kwenye gari lashule , nikarudi nyumbani nikaandaa chai maana niliona mke wangu hana dalili ya kwenda kazini ,mke wangu akaamka kwenye muda wa saa tatu na akaenda bafuni kaoga kisha akachukua nguo zake akaanza kufua , nikamfuata na kumwambia mke wangu chai tayari ,akanijibu we pesa umetoa wapi ? Kabla sijamjibu akaanza kufoka niliweka pesa kwenye mkoba wangu sizioni kwanini unakuwa mwizi wewe ,? Kama huna pesa si uwende ukabebe zege kule na wanaume ,? Nikamjibu mke wangu mimi sikuchukua pesa zako , akaniambia sasa hizo pesa umezitoa wapi za kupika chai na machapati yako ,au umeshakuwa shoga ,? Wanakugeuza eee ?? Nilikasirika nikataka kumpa bonge lakof lakini nikasita , hebu nipige uone kama hujaenda kunyea debe , aliniambia mke wangu ,nilirudi chumbani kwangu na hata chai haikunyweka tena ,
Nilikaa kule chumbani mpaka mke wangu alipomaliza kufua na akajiandaa akaondoka bila ya kuniaga , nikajua lazima atakuwa kaenda kazini ,
Namimi nikajiandaa ili niende kule kwenye nyumba yangu ninayojenga , niwe mkweli tu hii nyumba nilikuwa naijenga tu lakini sina furaha ,kumbuka hii nyumba nilikuwa naijenga ili nije nimpe mke wangu kama angeweza kunivumilia , lakini yametokea yakutokea ,mafundi walikuwa wanafunga lenta na wakaniambia niweke oda kabisa ya madirisha na milango maana baada ya wiki mbili watapauwa , mpaka hapo imekatika miezi miwili ,
Nikasema sawa nikaenda kutoa oda na mafund wakafika kwa ajili ya kupima madirisha na milango ,
Muda kama saa kumi nikasema ngoja nipitie dukani kwa mke wangu kisha nirudi nyumbani ,
Nilifika na nikakuta kweli kafungua na duka limejaa si mchezo yaani vipodozi vya ainazote na kaweka mpaka mawigi ,wiving na Rasta za kila aina , na anawafanyakazi wawili pale dukani ,
Nilifika lakini kabla hata sijasalimia mke wangu akatoka na kunivuta pembeni, akaniambia naomba uondoke eneo hili usinitie aibu sahii , hee nikashangaa na kumuuliza aibu ya nini tena ,? Akaniambia inamaana we hujioni ? Hebu jiangalie wewe na mimi halafu utaanza kuwaambia watu mimi nimkeo huoni utanitia aibu , ? Nikamwambia lakini mke wangu ,,,, ,,,
Weeeee koma ishia hapo hapo mi sio mkeo na ndo kitu nnachokikataa hapa naomba uondoke ,
Dada vipi tena kulikoni , alikuja kijana mmoja na kuuliza , mke wangu akajibu si huyu tapeli hapa anataka kunitapel , hee nikashangaa na kumuuliza mke wangu yaani mimi tapeli ??
Nikaona watu wameanza kusogea , yule kijana akanikunja , na kunisukumia ukutani , mi mwenyewe hata kupigana sijui masikini nilijikuta naanguka mzima mzima ,
Potea hapa watu wasije wakakuchoma moto tapel wewe ,mke wangu alisema na mimi kweli nikajikusanya pale chini na kuondoka mdogo mdogo,
Nilitembea huku kichwa kimeelemewa na mawazo , yaani mke wangu ananiita mimi tapeli duh , sikumbuki hata ilikuwaje ila nilikunywa pombe sana siku hiyo nilirudi nyumbani huku mvua inanyesha na sikujali mvua , yaani nililowana na sikuona kama kuna mvua , nilifika nyumbani nayumba yumba , lakini kabla hata sijafungua mlango nikamuona mwanangu kajikunyata pembeni ya ukuta ,mvua inamnyeshea kajiinamia na begi lake lashule kalikumbatia huku analia , aisee pombe ilikata ,

Nini kitaendelea tuonane mtaji wetu ni koment tu mpaka mwisho ,

ITAENDELEA.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA 09 AGE ????

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 06

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 05

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu ya 03

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Episode (1)

mjukuu rewards 100
 

CHAKULA CHA MUME

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKA Sehemu -01

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????11

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????9

mjukuu rewards 100
 

BALAA LA NYUMBA ZA KUPANGA--10

mjukuu rewards 100
 

CHAKA LANGU Episode 1

mjukuu rewards 100
 

Shangazi Kodogo tu ?EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

SHANGAZI KIDOGO TU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 3.

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 8

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 6~7

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 5

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 4

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??????3

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ? EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 11

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 10

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 9

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ,,,,, 3

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

We Kula Tu Binamu Sehemu 1

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

mjukuu rewards 100
 

SHANGA TISA EP: 20

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

mjukuu rewards 100
 

KISURA WA DAMPO SEHEMU 2

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 21

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 20

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 19

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 18

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 17

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 16

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 15

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 14

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 13

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 12

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 11 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 10 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 09

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 08

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 07

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 06

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 05

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 04

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 03

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 02

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 01

mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest