Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

UTAMU WA MABOSS???13

31st May, 2025 Views 23

UTAMU WA MABOSS???13

"Alex baada ya kumpongeza Linda aliondoka akaenda zake kupumzika.. hata hivo Linda alimfuata nyuma mpaka sehemu alipokaa..

Linda Alifika kwa Alex na kunyoosha mkono wake
"Pesa yangu" Alex alihema huku akimtizama Linda machoni

"Samahani nimesahau" Alex alisema na kufungua waleti yake na kumpa Linda pesa yake..

Linda aliikusanya na kuiweka kwenye mkoba wake mdogo..

" alex alimwambia Linda Dada yangu anakuja kukuona na anakaa hadi kesho, hivyo nataka uendelee kuigiza kama mpnz wangu hadi atakapo ondoka..

"Linda alimwambia Alex Subiri ... dada yako anakuja" aliuliza kwa mshangao

Kabla Alex hajamjibu mara ghafla akasikia geti linafunguliwa.

"Usisahau tulichopanga," Alex alisema huku akichungulia anaeingia ni nani kwa mbali alimuona dada yake Mabel..

Mabel aliingia na Alex akadhan anaenda kumkumbatia hivyo akatanua mikono yake cha ajabu ni kwamba Mabel alipita pembeni na kwenda kumkumbatia Linda.

"Wow unaonekana mrembo kuliko nilivyofikiria," alisema Mabel huku akimkagua Linda kila kona"
"Asante" Linda aliitikia..
"Ninapenda tabasamu lako, unatabasamu zuri kuliko hata mbunifu mpya wa chikago Mabel aliendelea kumsifia wifi yake Linda..
OMG!! Hakika wewe ni unaendana sana na kaka yangu" Mabel alisema kwa sauti ya shangwe..

"Asante. Ungependa kula nini" Linda aliuliza
"Mabel akajibu Chochote"
"Nitapika tambi basi"
"Ndio ni sawa" Mabel alisema na Alex akasimama huku akiwatazama wote wawili Linda na Mabel

"Hata hivo Alex alizidi kuvutiwa na Linda tabia zake ukarimu wake ukiachilia mbali ukichaa wake Linda ni mwanamke anaejielewa sana..

"Linda alielekea jikoni kumwandalia wifi yake chochote kitu akawaacha ndugu wawili pale watete kikwao..

"Baada ya linda kuondoka Mabel alimgeukia alex akamuita Hey Bro" Alex alitoa macho kwa mshangao akamuuliza dada yake ndo unaniona sio?

"Acha wivu Bro nilikuwa bize na wizo kwanza.. ni mwanamke mrembo sana..

"Sawa lakini naomba usimtie stress na usimwulize maswali ya kijnga na ya kipmbav coz nakufahamu. Akasema Alex

Nimekuelewa bana alisema Mabel na kukimbilia kwenye gari lake na kutoa mabegi yake

Linda alimaliza kuandaa chakula akarudi sehemu alipo Alex..

"Alimwambia Alex dada Yako yuko poa sana nimempenda maana amechangamka sana nina hakika akili zake ni kama zangu?,..

Alex hakujibu kitu zaidi ya kumtizama tu Linda usoni..

Linda alielekea chumbani kwa wifi yake Mabel
Akamkuta anapanga nguo kabatin
"Chakula kiko tayari, nikuletee hapa au utakula mezan, Linda aliuliza

"Hapa ingekuwa bora zaidi" Alisema na Linda akaondoka na kurudi na sahani ya tambi na glass ya juisi.

"Asante" alisema Mabel na Linda akaitikia kwa kichwa

Linda Alienda chumbani kwake na kuchukua simu yake kisha akaona missed calls kibao za marafiki zake
"Nimpigie nani kwanza? Akawaza linda

OMG ? ? ngoja nimpigie kwanza chaumbea wangu Betty nataka nimwelezee kila kitu kuhusu mimi na Alex nisikie atanishauri nini

Alimpigia simu Betty na akaipokea..

Betty ni kweli anapenda umbea sana Linda alimsimulia kila kitu kuhusu Alex

"OMG! ngoja..unampenda" Betty alimuuliza Linda
" .... Uhm.. sidhani"hahahaaa betty alicheka kisha akamuuliza Linda mbona kama vile unatabasamu niambie ukweli bwana

"Umeanza lini kumpenda bana embu nambie " Betty aliuliza Linda akaendelea kutabasamu
"Hata sielewi" Alisema Linda na wote wakacheka

"Wakati Linda na Bety wanaongea ghafla Mabel na Alex waliingia kule chumbani kwa Linda wakiwa wanakimbizana??Linda alishtuka ikabidi akate simu..

Mabel alimwambia Linda wifi yangu kipenz kuna maswali kidogo nataka kuwauliza wewe na kaka yangu je mko tyr??

Wakajibu tuko tayari haya kaeni hapo nianze kuwahoji...

"Mara ya kwanza ninyi wawili mlikutana wapi ndo mkaanza kupndana??? Linda na Alex walitizama kwa mshangao baada ya kuhojiwa hilo swali??

Alex alimtizama Linda kwa uoga kimoyomoyo akajisemea eh mungu ziba huu mdomo wa Linda asije akajibu chochote?

Linda alitabasamu kisha akataka kuongea kitu ila Alex akamuwahi???Alex aliamua kulijibu hilo swali na maswali mengine yote..

Mtihani wa mwisho waliopewa Linda na Alex ni kupeana juice ya miwa laivu mbele ya Mabel..mabel aliwaambia najua Mnapendana sana..

Hivo basi kaka yangu Alex ninataka umkss wifi yangu hapa mbele yangu nikiwa nawatazama?

Linda alitoa macho???kukss tena??

"Ee mungu.....sasa tutakisje nass ni wapnz bandia?? Linda alichukua simu yake haraka akamtumia Alex msg palepale..

Alimuuliza wewe ni chizi eh?? Unakubalije tukss na unajua kabisa sisi sio wpnz??

Alex aliijibu ile msg kama ifuatavyo..

Linda najua sisi sio wpnz lakini sasa tutafanyaje?? Kumbuka tusipofanya hivo anavotaka dada tutashtukiwa..

sitaki familia yangu ijue kinachoendelea kati yetu maana wanaweza wakanilaani mimi..kwani nikikss Linda nitaondoka na mdom wako??

Itaendeleaaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100.
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY???15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA? Sehemu 13.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY ???11

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest