UTAMU WA MABOSS??????14
Alex aliuliza swali kwa Linda inamaana nikikss midm yako nitaondoka nayo?? Linda alikaa kimya.. Alex aliongeza msg ya pili akamwambia Linda naomba nikulipe pesa zingine tufanye hivo..
"Linda kusikia pesa akatabasamu ???????? kweli Alex ni tajiri inamaana yuko tayari kulipia kila kitu????????kweli matajiri ni watram naenjoy mimi eh asante mungu kwa hii riziki ya burebure????????"
Linda alikubali kunaniliu na Alex???????????? wote walisimama na taratibu Alex alipiga hatua kumfuata Linda ????????
Alimshika vyema akamtizama usoni kisha akayashusha macho yake taratibu mpaka zilipo lipc za Linda ????????
Alex alijisogeza taratibu akaweka ???? zake kwenye midm ya Linda wakaanza kunaniliu????????????waling'ang'aniana takribani dakika tatu nzima wakiendelea kuksiana????????
Ilifikia hatua Mabel akawaachanisha maana mmhh yeye mwenyewe alianza kupata mzuka????
"Linda hakutamani aondoke mdmon kwa Alex alijisemea kimoyomoyo dah siwezi kusema uwongo, nimefurahia sana hii kitu????
Alex anajua kunynya????????alafu midm yake ina ladha kama strawberry????????Nataman awe ananinaniliu kila siku et????????
Sijui hata nawaza kitu gani sitakiwi kuwa dhaifu kiasi hiki kwa huyu mwanaume ????????????Linda aliwaza hivo kisha aliketi kitandani kwa aibu akawa anatizama pembeni..
Alex muda huo alikuwa anajilamba tu mdm kwa utram wa lile ks la Linda ????????????Mabel ilibidi awaache wawili wale chmbn kwao akaelekea chumbani kwake..
Baada ya mabel kuondoka Linda alikigawa kitnda kama kawa yake akajilaza????????????
Siku iliyofuata ambayo ni Jumapili, Linda alivaa na kwenda kanisani, "inaonekana kama nimesahau kuhusu kanisa leo lazima niende kanisani..
Linda alijiandaa akapendeza akaenda zake kanisani
Alipotoka kanisani kabla ya kufika nyumbani
Alipokea meseji kutoka kwa rafiki yake Brian akimuhitaji waonane..
Alichukua usafiri na kuelekea huko..alifika akapokelewa wakaagiza msos wakaanza kula..
"Baada ya chakula Brian ambaye ni rafiki wa Linda alimwambia Linda
"You look beautiful by the way" Linda alitabasamu akamwambia asantee????????????alijisikia raha sana kusifiwa na Brian..
Siku hiyo Brian kuna kitu alihitaji kukiongea na Linda alisafisha koo lake vizuri kisha akamtizama Linda usoni.
Linda alishangaa akamuuliza una nini wewe leo uko tofauti sana kuna nini??
Brian alimwambia kuna kitu nataka nikwambie Linda sijui utanichukuliaje lakini nahitaji kuwa muwazi lwako..
"Linda alicheka akamwambia najua unataka kuniambia Umenimiss lakini tyr niko hapa bwana"
"Ni kweli nilikums lakini kuna kingine zaidi linda..
Brian aliamua kusema ya moyoni kwa rafiki yake Linda... linda mwenyewe hakuamini???????? Brian alimtngza Linda na alihitaji kuwa nae katika mahusiano ya kmpnz
"Haya ni maajabu, upo serious Brian??au una homaa" Linda aliuliza na kusimama ili amguse paji la uso lakini Brian akamshika na kumshusha mkono
"Mimi nipo serios Linda, nakpnda na ndio maana nataka kukuambia na nataman kujua kama unanpnda pia" alisema na Linda akamtazama kwa mshangao.
"Hivi kuna mtu anaweza kutafsiri kile ulichoniambia hivi punde? Ni kama ninasikiliza muziki.
Upendo? mapnz ni nini hiki?Simpendi mtu mimi na wewe ninakpnda kama rafiki tu..
"Samahani sana Bryan mimi Sina hsia na ww, samahani ikiwa nitaumiza hsia zako" lakini siko tyr kuwa na ww
Linda alimkataa Brian kamoyo kake kalishaanza kuzama kwa Alex wanaum wengine kwa sasa anawaona kama mijusi tu????????????
Aliondoka pale akamuacha Brian amepiga magoti akiwa anamuomba Linda amkubalie ombi lake.. linda alijiondokea huku akijisemea asante kwa chakula ulichoninunulia nimeshiba kuhusu mpnz Brian sahau..
Linda alielekea nyumbani kwa Alex alifika akashangaa kuna ukimya wa kutosha????????alingalia saa tayari ni mchana...
Alishangaa kwa nini Alex hayuko nyumbani,baada ya muda mfupi Alex alirudi nyumbani na kukuta Linda akitazama sinema,
walitazamana machoni kwa muda..kimoyomoyo Alex akajisemea nahitaji kubadilika kwa ajili yake nahisi kama vile nmpnda??????
Alex ameshaanza kumpnda Linda na linda pia kwa sasa hataki mtu yoyote anamtaka Alex tu nini kitafuata??
Full 1000
WhatsApp 0742133100.