Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Linda aliamka asubuhi iliyofuata na kitu cha kwanza kumjia kichwani ni Alex.
Alimtazama na bado alikuwa amelala fofofo. Alugusa shavu lake na kutabasamu kabla ya kumbusu .
"Nakupenda Alex" alisema na kusimama haraka kisha akakimbilia bafuni.
Alitoka dakika chache baadaye na sasa Alex yuko macho, akibonyeza simu yake.
"Habari za asubuhi babe" alimsalimia na akatazama juu
"Habari za asubuhi kipenzi akajibu Alex . Usiku ulikuwaje" Alex aliuliza na Linda katabasamu
"Ulikuwa mzuri sijui kwako" akajibu Linda
"Ulikuwa mbaya sana, niliota ndoto mbaya kwani haukunibusu usiku wa jana" alisema Alex na Linda akatabasam .
“unapenda kunifanya nione haya kila wakati” akasema Linda na Alex akamkonyeza.
"Nenda tu kaoge maana Unanuka" Linda alisema
"Najua unatania tu ila nitaenda kuoga" Alisema Alex na kusimama kisha akatoka kuelekea bafuni.
Linda alitabasamu na kuruka kitandani kwa furaha.
Siwezi kuamini kuwa sasa nina mpenzi, aliwaza Linda

Alivaa haraka kwenye chumba cha kubadilishia nguo na alipotoka kwenye chumba cha kubadilishia nguo, Alex alikuwa ameshatoka bafuni na ameshavaa nguo zote.
"Nashangaa umechukua muda gani, au hujaoga wewe, Linda akauliza
" .
"Twende bn" alisema na wakaondoka.



Alex alipokuwa ofisini kwake akisaini baadhi ya mafaili Michael aliingia na Alex akatabasamu.
Aliitazama kwa namna ya ajabu kisha akarudi nyuma kisha akamtazama tena.
"Ulishinda jackpot" aliuliza Michael akikaa chini.
"Angalau salamu ungetoa kwanza" Alex akasema
"Sawa, kuna nini" Michael alisema huku akimshika Alex bega.
"Unafanya nini" Alex alisema na Michael akageuza jicho lake "Unajua sisi sio wasichana" akasema Michael
"Najua " Alex akajibu
"Umeshinda bahat na sibu au vipi maana unaonekana kama mtu mwenye furaha sana" akasema Michael
"Hapana"
"Basi niambie tu" akasema Michael
"Sawa. Mimi na Linda ni wapenzi," Alex alisema
"Subiri nini? Wewe ni kweli" Aliuliza Michael kwa bashasha kubwa mno.

"Naonekana kama natania" akasema Alex
"Hongera sana" Alisema Michael Kisha akakaa na kuongea kilichompeleka ofisin kwa Alex.
**********
Muda ulienda na hatimae muda wa kazi ukaisha na Linda pamoja na Alex wakarudi nyumban

Walifika nyumbani bado ilikuwa ni mchana na Alex akaenda moja kwa moja bafuni wakati Linda akienda jikoni.
Alimaliza kupika na kuelekea chumbani kwao , na alipokaribia kukaa kitandani mlango wa bafuni ukafunguliwa .


Alex Alitoka bafuni huku akiwa amejifunga taulo kiunoni na taulo lingine alikuwa analitumia kujisafisha usoni.

"Nataka kutafuta matatizo,Linda akawaza Kisha aliangalia huku na huko lakini hakupata chochote cha kumsumbua Alex isipokuwa simu yake iliyokuwa kando ya linda ... oh simu yake.
Linda alichukua simu yake na kuangalia kwenye wallpaper yake, kama ataona labda ananitumia msichana uchi wake.

"Linda akiwa bado anakagua simu ya Alex mara akasikia..

"Nipe hiyo" Alisema Alex na kujaribu kuja karibu ya Linda lakini Linda alikimbia na Alex akaanza kumkimbiza...

Aliendelea kukimbia huku Alex akimfuata chumbani lakini ilifika hatua Linda asingeweza kukimbia popote tena na akataka kujisalimisha.
Na Alex Alikuwa karibu kumshika mara taulo lake ikalegea na kudondoka.
MUNGU WANGU! Linda alishtuka akitazama fimbo yake kubwa kisha akamtazama Alex usoni mwake na loo Linda akageuza mgongo wake haraka, bila kusema chochote na ghafla akahisi kakumbatiwa kwa nyuma.
"Sijaona chochote" Linda alisema akifikicha macho yake.
Mara Linda akahisi mtu akifungua macho yake na akakutana na Alex.
"Unajua lazima ulipe" Alex akasema
"Huh"
"Itabidi ulipe kwa kuona maumbile yangur," alisema Alex na Linda akatikisa kichwa.
"Sawa shingapi"
"Hapana sitaki pesa yako, tayari ninazo nyingi" akajibu Alex
"Busu" Linda aliuliza
"Hapana nataka kitu zaidi ya busu" alisema na Linda akashtuka na kuangaza macho yake

"What! You must be joking" Linda alisema na kuruka kitandani
"Sawa ndio natania lakini si utanipa busu la usiku mwema" Alisema Alex na haraka Linda akampiga busu kidogo kwenye midomo yake kisha nikatumia blanketi kujifunika kila sehemu ya mwili wake kwa maana alikuwa anaona aibu.
***********
Kesho yake


"Uzinduzi wa Bryan unafanyika sasa na wimbo wa BBC utaibwa, alisema Oscar mkuu wa gang la BBC

"Bwana" wakasema watu wote wakainama
"Yeyote atakayevujisha siri yetu," alisema Oscar
"AKubali kifo kama mwenza wake," walisema vijana wa Hilo gang
"Na yeyote atakayetusaliti"
"Pia atakubali kifo kama mwenzi wake" walisema na Oscar akatabasamu nyuma ya kinyago alichokuwa amevaa.
"Bryan umesikia sheria" Oscar aliuliza
na Bryan akaitikia kwa kichwa
"Je, una uhakika uko tayari kufanya hivi. Je, una uhakika uko tayari kujiunga na BBC"akauliza Oscar kumuuliza Bryan

Maoni

You're not logged in


profile
majario 27 Aug 2025 20:06
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️23 na 24 kesho saa moja kamili
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22



Linda aliamka asubuhi iliyofuata na kitu cha kwanza kumjia kichwani ni Alex.
Alimtazama na bado alikuwa amelala fofofo. Alugusa shavu lake na kutabasamu kabla ya kumbusu .
"Nakupenda Alex" alisema na kusimama haraka kisha akakimbilia bafuni.
Alitoka dakika chache baadaye na sasa Alex yuko macho, akibonyeza simu yake.
"Habari za asubuhi babe" alimsalimia na akatazama juu
"Habari za asubuhi kipenzi akajibu Alex . Usiku ulikuwaje" Alex aliuliza na Linda katabasamu
"Ulikuwa mzuri sijui kwako" akajibu Linda
"Ulikuwa mbaya sana, niliota ndoto mbaya kwani haukunibusu usiku wa jana" alisema Alex na Linda akatabasam .
“unapenda kunifanya nione haya kila wakati” akasema Linda ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 10 Linda  Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS 10 Linda Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS PART 12  Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
UTAMU WA MABOSS PART 12 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

807
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

575
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

493
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

351
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

302
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

186
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

91
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest