Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS??? 4
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS??? 4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS??? 4

Katika upande wa Alex siku hiyo Aliamka mapema sana kuliko kawaida yake, na hakujua ni kwanini.

Alioga na kufanya mambo muhimu.
Akaingia kwenye gari na Sam ambae ni dereva wake na wakaondoka.

Wakati wako njiani kuelekea kazini gari lao lilipata ajali waligongana na gari la mtu mwingine Alex na sam walishuka haraka kuangalia kilichotokea..

Sasa katika mitaa hiyo kulikuwa na jam sana siku hiyo Linda mwenyewe alikuwa hapo hapo akisubilia jam ipungue arudi kwenye daladala aendelee na safari ya kuelekea kazini..

Linda alishuka kwenye gari kutokana na joto kali ikabidi asimame nje apunge upepo..sasa Alex aliposhuka kwenye gari lake alitizama huku na kule kwa mbali kidogo akamuona Linda ?

Huyu mshnz bado hajafika ofisini mpaka saiz??Alex alimsogelea Linda akamkurupua..unafanya nini hapa,?? unatakiwa kuwa kazini sasaivi?"..

"Ni kweli Boss ila we mwenyewe si unaona hiyo Jam ningepita wapi??Alex alimuuliza Sam gari yao kama imeharibika sehemu yoyote akasema iko sawa imechubuka kisehem kidogo..

Walimalizana na yule mwenzao walokwaruzana nae then Alex akamwamuru Linda apande kwenye gari waondoke kwenda kazini..

"Ingia kwenye gari" Alex alimwambia Linda na Linda akaingia ndani ya gari..

Sam aliendelea kuendesha gari na Alex alibonyeza simu yake huku Linda akiendelea kujisikia vibaya, na kukosa aman maana hakuwah kuwa karibu na Alex hata mara moja..

Walifika kazini kwao na Linda akatoka nje ya gari.

Alex naye alishuka akaelekea ofisini kwake na wafanyakazi wote walimsalimia lakini hakuwajibu, si kama hii ni mara ya kwanza, ni kawaida yake kutokujibu Salam??

Alifika ofisini kwake na kitu cha kwanza alichoona ni keki ya vifuniko kwenye meza yake??
"Leo sio siku yangu ya kuzaliwa nani kaweka keki hap?. Alex aliifungua ile keki na kuishangaa maana ilikuwa ni Keki ni nzuri sana..

Alex aliitazama vizuri akaona kitufe juu yake na akajaribu kuondoa hicho kitufe lakini alishindwa, kwa hivyo aliibonyeza hicho kitufe na kitu kilichofuata alihisi keki ikishuka usoni mwake.

"Nani alifanya hivi? kwa hiyo ilikuwa ni mtego after all, yaan mtu anapanga kunichefua asubuh yote hii ofisini kwangu??ni nani huyu, akafoka Alex huku uso wake ukiwa umejaa keki.

Mara Alex alisikia sauti ikifuatiwa na kicheko hafifu... ni Linda ndo alikuwa anamcheka Alex maana alivosikia anafoka alikimbia kwenda kuchungulia kilichotokea??

Linda alishangaa kumuona Alex akiwa katika muonekano kama wa katuni???aliangua kicheko bila kujali yule ni Boss wake???

Linda!!!!???toka sasa hivi ofisini kwangu kabla sijakufukuza kazi hapa??Linda alitoka huku akifikiria vile aliinunua hiyo cake lengo ikiwa kutoa shukurani kwa Alex kwa kumpa ajira lakini kwa bahati mbaya imemkera??

Hata hivo Linda alimwambia Alex samahan boss sikuwa na lengo baya, najua Leo ni siku Yako ya kuzaliwa ila nilitaman kukuona unatabasamu, niamin sikuwa na lengo baya ila kila kilichotokea kimetokea bahat mbaya, akasema Linda.

Alex alimsogelea Linda na kumshika shingo kwa nguvu na kumfanya anyong'onyee.

"Kwanini umefanya hivyo" aliuliza Alex lakini hata Linda hakumjibu.
"Ninasema kwanini umefanya hivyo" aliuliza tena Alex.
"Samahan kwa niluchokufanyia" akasema Linda.

"Oh, samahan kwamba ndio itafuta kila kitu ila you are fired, umefutwa kazi akasema Alex na linda akamuangalia kwa sekunde kadhaa Kisha akasema, Mimi siwez kuacha kazi??

"Owww unanijibu jeuri eh?? Unanijibu kana kwamba wewe ndo Boss hapa na unafanya unachotaka"

Alex aliuliza huku akiwa kamkba Linda na Linda alihisi kama anapoteza pumzi hivyo
Akampg Alex tek la mpmb???Alex alipiga kelele huku anajiziba pale kwenye naniliu yake..

Alipiga kelele huku akiita "Linda!" Shetani wewe toka hapa ofisini na usirudi tena hata hivyo Linda tayari alikuwa ameshatoka nje ya ofisi.

"Kanifanyia nn huyu mpzi ameniumiza naniliu zangu zinauma vibaya mno?? Ahhh
naapa nitammaliza huy binti, siku ile makofi leo kaugusa usalama wangu wa taifa kesho kitatokea nini??

Kule ofisini kwa Alex aliingia rafiki yake Michael akashangaa Alex amejishikilia kule ikulu alafu ni anaugulia kwa malalamiko ya maumivu makali..
.
"Ni nini kinaendelea hapa. Nimemuona Linda akitoka ofisini kwako akitabasamu kama mtu aliyeshinda bahati nasibu " Alisema Michael..

" Oh keki kuna cake hapa nani kakuletea Bro hebu niionje kwanza???

"Usiguse hiyo keki" akasema Alex
"Kwanini" akauliza Michael
"Angalau unapaswa kuwa na wasiwasi juu yangu wewe unawaza kula tu???

"Subiri ...nini kimekutokea kwani?? Au unaumwa bushaa?? " aliuliza Michael na Alex akamwambia kila kitu kilichotokea??

si huyo mwnmke shetani kidogo anichomoe naniliu zangu?Michael alivyo mjnga alianza kumcheka rafiki yake Alex huku anakula ile cake aliyoikuta pale ofisini kwa Alex????

Michael alimwambia Alex angalau umepata kiboko yako huyu sasa ndo mtawezana?????cha kufanya saivi muite aje azikande kande hizo miambili amsini zako maumivu yapungue??

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS??? 4

UTAMU WA MABOSS??? 4

Katika upande wa Alex siku hiyo Aliamka mapema sana kuliko kawaida yake, na hakujua ni kwanini.

Alioga na kufanya mambo muhimu.
Akaingia kwenye gari na Sam ambae ni dereva wake na wakaondoka.

Wakati wako njiani kuelekea kazini gari lao lilipata ajali waligongana na gari la mtu mwingine Alex na sam walishuka haraka kuangalia kilichotokea..

Sasa katika mitaa hiyo kulikuwa na jam sana siku hiyo Linda mwenyewe alikuwa hapo hapo akisubilia jam ipungue arudi kwenye daladala aendelee na safari ya kuelekea kazini..

Linda alishuka kwenye gari kutokana na joto kali ikabidi asimame nje apunge upepo..sasa Alex aliposhuka kwenye gari...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 10 Linda  Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS 10 Linda Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS PART 12  Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
UTAMU WA MABOSS PART 12 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

855
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

609
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

534
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

432
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

314
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest