Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS?????? 5
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS?????? 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS?????? 5

Michael alimcheka sana Alex alimwambia Linda ndo mwanamke pekee watakaewezana naye???????? Alex alichukia sana..

"Sijui hata wewe ni rafiki gani ambae hata haujali kama rafiki Yako yuko katika matatizo,badala unipe pole ndo kwanza unanicheka na kumsifia huyo mwanamke ????????"

Kwanza umefuata nini ofisini kwangu??Michael alimwambia Alex nimekuja kwa sababu Bi Brown alisema anahitaji kuletewa bidhaa" okay aliitikia Alex..

Alifunga laptop yake mara moja akakumbuka alikuwa na mkutano na miss Kate.
"Labda nimfukuze tu Linda, hana faida. ananiletea shida tangu aanze kufanya kazi hapa.
Hata ratiba yangu ya leo siijui hawezi hata kunikumbusha vitu muhimu badala yake ananisahaulisha tu????????????..

"Ninapaswa kumchunguza,Alisema Alex kisha
Akasimama na kwenda ofisini kwake linda na kitu cha kwanza alichokiona kilimshtua????????

Alex Alifika ofisini kwa Linda akakuta Linda amelala muda wa kazi!,
Oh nilisema msichana huyu hayuko tayari kufanya kazi. Anafikiri ni rahisi kufanya kazi katika kampuni ya Fan star Ltd????????????

Aliwaza kumwamsha akaghaili kuna wazo lilimjia Alex akatabasamu..alimsogelea Linda akaanza kusokota nywele zake taratibu na kuzifanya ziwe rafu sana...

"Nina hakika itakuwa ngumu sana kwake kuzichana, akawaza Alex na baada ya hapo
Alichukua ufunguo wa gari lake na kuiacha kampuni huku akitabasamu...

Alifika kwenye mgahawa ambapo yeye na miss Kate walikubaliana kukutana.
Aliingia kwenye mgahawa huo na kumuona kate akiwa amekaa sehemu yenye ubaridi huku akibonyeza simu yake...

"Hi, miss Kate" Alex alisema mara moja akiwa anaelekea sehemu aliko kate na Kate akatabasamu.
"Halo Alex, unaonekana nadhifu sana kama kawaida yako" alisema Kate huku akiachia tabasamu lake la kupendeza..

"Unapaswa kuwa makin na usinitege, si unajua baba yangu ataniua ikiwa nitajaribu kufanya ujinga na mshirika wake wa biashara" akasema Alex...

Kate alitabasamu tu huku akimkumbatia Alex..

Bas Alex alimwita mhudumu ambaye walimuagiza vitu wanavyovitaka.
Na muhudumu akaenda mara Moja kuwaletea vinywaji na vyakula walivyoagiza.

Huku ofisini Linda Akiwa amelala hodi ikamuamsha na akatabasamu kidogo kuona ni Ella, sekretari wa Alex.
"Halo Linda" alisalimia na Linda akajibu "Halo"

"Subiri...huo ni mtindo wa nywele wa aina gani" aliuliza ella na Linda akamtazama kwa mshangao.

"Unamaanisha nini kusema mtindo wa nywele gani? Maana nywele zangu nimezibana tu kawaida ella alicheka tu akamwambia
"Hata hivyo nimekuja kukusalimia TU ndio nikakutana na nywele zako ambazo haziko kwenye mpangilio mzuri, unakaaje hivo ofisini bado Linda hakumuelewa.

"Mbona sikuelewi" Linda Alisema kwa sababu hakuwa anaelewa ella anasema nini "
"Labda uangalie nywele zako. Bye" Alisema ella na kuondoka ofisini kwa linda.

Linda alichukua simu yake na kujitazama kupitia kamera na akashtuka sana.
Nani amenifanya hivi?????????nahisi huyu ni Alex ndo amefanya huu ujinga

"Naapa Alex ni anataka kuuww Leo maana Nina uhakika YEYE ndio kazivuruga nywele zangu..

Alisimama kwa hasira na kwenda ofisini kwa Alex lakini hakumkuta, akaamua kumsubiri.
Dakika 30 baadaye, Alex aliingia na alionekana kuwa na wasiwasi sana mara baada ya kumuona Linda..

"Nini.....unafanya nini ofisini kwangu" alisema na Linda akamuangalia kwa dharau.

"Sikujua kuwa wewe ni msusi . kwa hivyo mtindo uliotengeneza kwenye nywele zangu unaitwaje" akasema Linda????????

"Unaongea nini? mimi nitakuwaje msusi? umerukwa na akili wewe Alisema Alex

"Kwahiyo unasema kuwa si wewe uliyefanya hivi kwenye nywele zangu" Linda alimuuliza Alex huku akizinyoosha nywele zake zilizovurugika.

"Hapana. Sijawahi hata kufikiria kukugusa Toka nje ya ofisi yangu miss Linda" Alisema Alex na linda akamtazama kwa hasira...yani hili????????

"Nimeingia hapa peke yangu kwa hiyo nitaenda nje mwenyewe," Linda alisema na kuendelea kusimama.
"Huyu jamaa ananikera kila siku, ngoja nitamtafutia dawa yake, akawaza linda..

Hata hivyo aliondoka na kumuacha Alex ofisini kwake kazi ziliendelea ikafika jioni muda wa kutoka..

Siku hiyo Linda hakuwa na pesa ya nauli hivyo akaamua kutembea kwa miguu..

Mara gari lilipita lakini likasimama mbele ya Linda na kurudi nyuma.

Linda alilitambua gari hili ni gari la Alex,..

Gari lilisimama pembeni yake na Alex alitoa kichwa nje akamtazama.

"Nini" aliuliza linda

"Utasimama tu hapo na kuendelea kunitazama au utapanda kwenye gari" Alisema Alex..

" Hapana. usijali, nitatembea tu" Linda alisema akijaribu kuringa kidogo alidhan Alex atambembeleza na kumuambia 'tafadhali ingia kwenye gari nikurudishe nyumbani' lakini badala yake, akampa ishara dereva wake aendelee na safari kheee Linda alishangaa????????akaanza kupiga kelele kabla hawajaenda mbali

"Subiri!!!!!" Linda alipiga kelele na gari likasimama mara moja.

" Nini " akauliza Alex

"Nitaingia kwenye gari" Linda alisema na kukimbilia siti ya nyuma alipokaa Alex alikaa pembeni yake kisha akamwambia dereva sehemu anakoshukia????????????"

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS?????? 5

UTAMU WA MABOSS?????? 5

Michael alimcheka sana Alex alimwambia Linda ndo mwanamke pekee watakaewezana naye???????? Alex alichukia sana..

"Sijui hata wewe ni rafiki gani ambae hata haujali kama rafiki Yako yuko katika matatizo,badala unipe pole ndo kwanza unanicheka na kumsifia huyo mwanamke ????????"

Kwanza umefuata nini ofisini kwangu??Michael alimwambia Alex nimekuja kwa sababu Bi Brown alisema anahitaji kuletewa bidhaa" okay aliitikia Alex..

Alifunga laptop yake mara moja akakumbuka alikuwa na mkutano na miss Kate.
"Labda nimfukuze tu Linda, hana faida. ananiletea shida tangu aanze kufanya kazi hapa.
Hata ratiba yangu ya leo siijui hawezi hata kunikumbusha vitu muhimu badala yake ananisahaulisha tu????????????..

"Ninapaswa kumchunguza,Alisema...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 10 Linda  Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS 10 Linda Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS PART 12  Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
UTAMU WA MABOSS PART 12 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

808
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

575
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

493
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

351
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

303
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

186
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

91
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest