Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS?????? 5
Gonga94 Β· Stories

UTAMU WA MABOSS?????? 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS?????? 5

Michael alimcheka sana Alex alimwambia Linda ndo mwanamke pekee watakaewezana naye???????? Alex alichukia sana..

"Sijui hata wewe ni rafiki gani ambae hata haujali kama rafiki Yako yuko katika matatizo,badala unipe pole ndo kwanza unanicheka na kumsifia huyo mwanamke ????????"

Kwanza umefuata nini ofisini kwangu??Michael alimwambia Alex nimekuja kwa sababu Bi Brown alisema anahitaji kuletewa bidhaa" okay aliitikia Alex..

Alifunga laptop yake mara moja akakumbuka alikuwa na mkutano na miss Kate.
"Labda nimfukuze tu Linda, hana faida. ananiletea shida tangu aanze kufanya kazi hapa.
Hata ratiba yangu ya leo siijui hawezi hata kunikumbusha vitu muhimu badala yake ananisahaulisha tu????????????..

"Ninapaswa kumchunguza,Alisema Alex kisha
Akasimama na kwenda ofisini kwake linda na kitu cha kwanza alichokiona kilimshtua????????

Alex Alifika ofisini kwa Linda akakuta Linda amelala muda wa kazi!,
Oh nilisema msichana huyu hayuko tayari kufanya kazi. Anafikiri ni rahisi kufanya kazi katika kampuni ya Fan star Ltd????????????

Aliwaza kumwamsha akaghaili kuna wazo lilimjia Alex akatabasamu..alimsogelea Linda akaanza kusokota nywele zake taratibu na kuzifanya ziwe rafu sana...

"Nina hakika itakuwa ngumu sana kwake kuzichana, akawaza Alex na baada ya hapo
Alichukua ufunguo wa gari lake na kuiacha kampuni huku akitabasamu...

Alifika kwenye mgahawa ambapo yeye na miss Kate walikubaliana kukutana.
Aliingia kwenye mgahawa huo na kumuona kate akiwa amekaa sehemu yenye ubaridi huku akibonyeza simu yake...

"Hi, miss Kate" Alex alisema mara moja akiwa anaelekea sehemu aliko kate na Kate akatabasamu.
"Halo Alex, unaonekana nadhifu sana kama kawaida yako" alisema Kate huku akiachia tabasamu lake la kupendeza..

"Unapaswa kuwa makin na usinitege, si unajua baba yangu ataniua ikiwa nitajaribu kufanya ujinga na mshirika wake wa biashara" akasema Alex...

Kate alitabasamu tu huku akimkumbatia Alex..

Bas Alex alimwita mhudumu ambaye walimuagiza vitu wanavyovitaka.
Na muhudumu akaenda mara Moja kuwaletea vinywaji na vyakula walivyoagiza.

Huku ofisini Linda Akiwa amelala hodi ikamuamsha na akatabasamu kidogo kuona ni Ella, sekretari wa Alex.
"Halo Linda" alisalimia na Linda akajibu "Halo"

"Subiri...huo ni mtindo wa nywele wa aina gani" aliuliza ella na Linda akamtazama kwa mshangao.

"Unamaanisha nini kusema mtindo wa nywele gani? Maana nywele zangu nimezibana tu kawaida ella alicheka tu akamwambia
"Hata hivyo nimekuja kukusalimia TU ndio nikakutana na nywele zako ambazo haziko kwenye mpangilio mzuri, unakaaje hivo ofisini bado Linda hakumuelewa.

"Mbona sikuelewi" Linda Alisema kwa sababu hakuwa anaelewa ella anasema nini "
"Labda uangalie nywele zako. Bye" Alisema ella na kuondoka ofisini kwa linda.

Linda alichukua simu yake na kujitazama kupitia kamera na akashtuka sana.
Nani amenifanya hivi?????????nahisi huyu ni Alex ndo amefanya huu ujinga

"Naapa Alex ni anataka kuuww Leo maana Nina uhakika YEYE ndio kazivuruga nywele zangu..

Alisimama kwa hasira na kwenda ofisini kwa Alex lakini hakumkuta, akaamua kumsubiri.
Dakika 30 baadaye, Alex aliingia na alionekana kuwa na wasiwasi sana mara baada ya kumuona Linda..

"Nini.....unafanya nini ofisini kwangu" alisema na Linda akamuangalia kwa dharau.

"Sikujua kuwa wewe ni msusi . kwa hivyo mtindo uliotengeneza kwenye nywele zangu unaitwaje" akasema Linda????????

"Unaongea nini? mimi nitakuwaje msusi? umerukwa na akili wewe Alisema Alex

"Kwahiyo unasema kuwa si wewe uliyefanya hivi kwenye nywele zangu" Linda alimuuliza Alex huku akizinyoosha nywele zake zilizovurugika.

"Hapana. Sijawahi hata kufikiria kukugusa Toka nje ya ofisi yangu miss Linda" Alisema Alex na linda akamtazama kwa hasira...yani hili????????

"Nimeingia hapa peke yangu kwa hiyo nitaenda nje mwenyewe," Linda alisema na kuendelea kusimama.
"Huyu jamaa ananikera kila siku, ngoja nitamtafutia dawa yake, akawaza linda..

Hata hivyo aliondoka na kumuacha Alex ofisini kwake kazi ziliendelea ikafika jioni muda wa kutoka..

Siku hiyo Linda hakuwa na pesa ya nauli hivyo akaamua kutembea kwa miguu..

Mara gari lilipita lakini likasimama mbele ya Linda na kurudi nyuma.

Linda alilitambua gari hili ni gari la Alex,..

Gari lilisimama pembeni yake na Alex alitoa kichwa nje akamtazama.

"Nini" aliuliza linda

"Utasimama tu hapo na kuendelea kunitazama au utapanda kwenye gari" Alisema Alex..

" Hapana. usijali, nitatembea tu" Linda alisema akijaribu kuringa kidogo alidhan Alex atambembeleza na kumuambia 'tafadhali ingia kwenye gari nikurudishe nyumbani' lakini badala yake, akampa ishara dereva wake aendelee na safari kheee Linda alishangaa????????akaanza kupiga kelele kabla hawajaenda mbali

"Subiri!!!!!" Linda alipiga kelele na gari likasimama mara moja.

" Nini " akauliza Alex

"Nitaingia kwenye gari" Linda alisema na kukimbilia siti ya nyuma alipokaa Alex alikaa pembeni yake kisha akamwambia dereva sehemu anakoshukia????????????"

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS?????? 5

UTAMU WA MABOSS?????? 5

Michael alimcheka sana Alex alimwambia Linda ndo mwanamke pekee watakaewezana naye???????? Alex alichukia sana..

"Sijui hata wewe ni rafiki gani ambae hata haujali kama rafiki Yako yuko katika matatizo,badala unipe pole ndo kwanza unanicheka na kumsifia huyo mwanamke ????????"

Kwanza umefuata nini ofisini kwangu??Michael alimwambia Alex nimekuja kwa sababu Bi Brown alisema anahitaji kuletewa bidhaa" okay aliitikia Alex..

Alifunga laptop yake mara moja akakumbuka alikuwa na mkutano na miss Kate.
"Labda nimfukuze tu Linda, hana faida. ananiletea shida tangu aanze kufanya kazi hapa.
Hata ratiba yangu ya leo siijui hawezi hata kunikumbusha vitu muhimu badala yake ananisahaulisha tu????????????..

"Ninapaswa kumchunguza,Alisema...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS πŸ₯΅β€οΈ18- 21
UTAMU WA MABOSS πŸ₯΅β€οΈ18- 21
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS ????❀️19~20
UTAMU WA MABOSS ????❀️19~20
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS πŸ₯΅β€οΈ22
UTAMU WA MABOSS πŸ₯΅β€οΈ22
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS ????❀️  Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS ????❀️ Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS????❀️15
UTAMU WA MABOSS????❀️15
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS????❀️16
UTAMU WA MABOSS????❀️16
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 10 Linda  Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS 10 Linda Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS PART 12  Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
UTAMU WA MABOSS PART 12 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

55
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

41
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.26K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❀️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest