Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS?????? 8
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS?????? 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS?????? 8

Alex baada ya kuuona uso wake alipiga makelele kwa hasira ????????

Alipogeuka kumtazama Linda tayari alikuwa ameshaondoka

"Nitawashangaza sana wazazi wangu wakiniona na makeup naweza kuwakumbusha kuhusu siku nilivyomleta mpnz wangu nyumbani wakiwepo na nikall nae ,hio siku walinigombeza sana, Alex akawa anajisemea.

"Na wataanza kuniuliza naoa lini, hii makeup itawafanya wahisi vitu vingine..

Alex Alifika nyumbani dakika chache baadaye na akakuta chakula cha jioni tayari kimewekwa lakini wazazi wake hawapo mezani,

Alex alipumua kwa utulivu, maana alikuwa anawaza ataweza vipi kuingia ndani Hali ya kuwa ana makeup usoni mwake.

Angalau hakutakuwa na maswali kutoka kwao.
Alipanda chumbani kwake na kukutana na Mabel akiwa ndani ya chumba chake akibonyeza simu yake.

"Una ujasiri gani wa kuingia chumbani kwa kaka yako mkubwa bila ridhaa yake" Alex aliongea akivua viatu vyake na kuviweka kwenye henga ya viatu.

Mabel alicheka.kisha akasema
"Pole kaka" bila hata kumtazama Alex .

Aliendelea kuchezea simu yake huku akiondoka kule chumbani kwa kaka yake..

"Nashukuru Mungu hakuona vipodozi vyangu usoni duh???????? aliwaza Alex

Alivua nguo zake na kwenda kuoga.
Alivaa nguo mpya za kulalia na kushuka chini aliwakuta kila mtu ameketi na pia Alex alienda kuketi baada ya kumpg bs mama yake kwenye mashavu yake...

"Habari za jioni baba" Alex alisalimia lakini baba yake alimtazama tu Alex akajua anataka kusema jambo.

"Sema unachotaka baba maana ni kama unataka kuongea jambo" alisema Alex akiwa anakula.

Baba yake Alex Aliacha kula na kumtazama alex.

"Tunafanya tena kumbukumbu ya miaka kadhaa ya ndoa yetu kesho ambayo ni Ijumaa"
"Ooookkkk" alisema Alex

"Unasemaje oookk" Alisema baba yake Alex kwa kejeli "Tunawaalika watu wote na nataka umualike mpnz wako" akasema baba yake Alex.

"Nini?? Kwanini??" Akauliza Alex kwa mshangao

"Cos ni aibu sana kwa wewe kutomleta mpnz wako hapa tumuone hivi huoni umri unaenda huo?? Unataka tuanze kuhisi vitu vingine??," alisema baba yake Alex na Alex akahema.

"Nimepoteza hamu ya kula"Alex lisema na kusimama.

Aliondoka pale mezani huku akijisemea ni kweli nimewapitia wengi ila kusema kweli kwa wote niliowapitia hata sioni wa kumuoa????????siwezi kuoa hata mmoja wao wote ni wapuz tu..

"Leo ni siku ya kumbukumbu ya wazazi wangu na sina rafiki wa kike.
Nifanyeje?,Alex akajiuliza.

" Hivi Siwezi kumuomba Linda afanye hivyo aje nimtambulishe kama rafiki yangu wa kike kwa wazazi wangu????????, hata sijui kama ana mpnz au laa naogopa hata kumwambia maana Linda ni mwenda wazimu yule,

Ila mimi ni bosi wake' Linda anatakiwa kufanya kila ninachotaka na anapaswa kunielewa, nitamuamlisha kwa lazima..

Alilala na kesho yake mapema alijiandaa na kisha akaanza safari kuelekea ofisini kwake..

Alex Alifika kwenye kampuni na wafanyikazi wake wote walimsalimia lakini walikuwa kana kwamba wananong'ona pemben na wanamshangaa.

"Wananishangaa nn Hawa wapuzi? Je! hawajui kuwa ninaweza kuwafuta kazi wakati wowote ninapotaka, akawaza Alex.

Alifika ofisini kwake na Linda alikuja baada ya dakika 2.
"Umechelewa kwa dakika 2" alisema Alex huku akiwa anachukua kahawa yake.

"Samahani bwana," alisema linda
“Kaa” Alex alimuamuru na linda akakaa mara moja.
"Kuna nn? Linda aliuliza kwa mshangao.

"Naongelea mambo ya kunipodoa kwa nn ulifanya hivyo" Alex akasema kwa ukali na Linda akacheka kidogo.

Alex aligonga meza kwa nguvu na Linda akaruka.

"Nitakupa ofa kisha nikuadhibu baadae" akasema Alex

"Ni ofa gani" aliuliza Linda
"Unatakiwa uwe mpnz wangu kwa leo na nitakulipa dola elfu 34" Alex alimwambia Linda na Linda akashtuka.
"Usishtuke dili hili au hautaki" Alex alimuuliza Linda

"Nimekubali, mradi hautafanya ujinga" akasema Linda
"Unamaanisha nini kusema hivyo" Alex alimuuliza na Linda akatabasamu
"I'm sure you know what I mean" Alisema Linda na kusimama akiwa anataka kuondoka mara akageuka nakusema ..

"Sina nguo maalum ninayoweza kuvaa"
"Basi twende shopping" Alex alisema na Linda akatoa macho
"lakini una mkutano na kampuni ya MK na unatakiwa kula chakula cha mchana na Mkurugenzi Mtendaji wa Nesco, Bi Julie akasema linda

"Alex alimwambia Linda Mbona unaongea sana. Tayari Nina shauku kubwa ya kwenda shopping na wewe
"Futa appointment zote"

"Bwana, unaghairi ratiba zako zote kwa sababu unataka kwenda kufanya manunuzi na Mtu wako wa siku moja tu????..

"Linda Kwa kuwa ulikubali kuwa mpnz wangu kwa leo kwa nini nisiweze kwenda kufanya manunuzi na wewe" nitafanya kila kitu nakuapia..

" SAWA " akajibu linda
"Twende sasa????????
Walielekea nje kwenye gari huku kila mmoja akiwa anamwangalia mwenzie kwa tabasamu????????

Itaendelea ????

Soma yote kwa kulipia 1000

Njoo WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS?????? 8

UTAMU WA MABOSS?????? 8

Alex baada ya kuuona uso wake alipiga makelele kwa hasira ????????

Alipogeuka kumtazama Linda tayari alikuwa ameshaondoka

"Nitawashangaza sana wazazi wangu wakiniona na makeup naweza kuwakumbusha kuhusu siku nilivyomleta mpnz wangu nyumbani wakiwepo na nikall nae ,hio siku walinigombeza sana, Alex akawa anajisemea.

"Na wataanza kuniuliza naoa lini, hii makeup itawafanya wahisi vitu vingine..

Alex Alifika nyumbani dakika chache baadaye na akakuta chakula cha jioni tayari kimewekwa lakini wazazi wake hawapo mezani,

Alex alipumua kwa utulivu, maana alikuwa anawaza ataweza vipi kuingia ndani Hali ya kuwa ana makeup usoni mwake.

...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 10 Linda  Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS 10 Linda Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS PART 12  Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
UTAMU WA MABOSS PART 12 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

808
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

575
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

493
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

351
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

303
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

186
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

91
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest