Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS??????3
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS??????3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS??????3

Linda aliingia ofisini kwa Alex bila kujua????????alimkuta mwenye ofisi yuko bize anachezea simu yake alimsalimia habari yako mkuu????????

Alex aliitikia kwa kutikisa kichwa huku akiendelea kuchezea simu????????Linda alisimama akawa anaendelea kusubiri Boss amalize mambo yake waendelee na interview..

Alex alimalizana na simu akaiweka pembeni????????taja jina lako alimwambia huku akigeuza kiti chake chake cha kuzunguka ili aweze kumuona huyo anayefuatia ni nani..

Alex alishtuka baada ya kumuona Linda ofisini kwake????????????youu???Linda akashangaa huyu jamaa vipi kwani tunafahamiana??

Hata hivo inaonekana Linda hakumkariri Alex wakati anampig kule baani toba????????????Alex alimwangalia ???? badae akamwambia anza kazi niletee kahawa yangu haraka changamka????

Linda alishangaa mbona hajakagua cv zangu????????wakati anashangaa shangaa ghafla Alex alianza kufoka..????????huwa sitaki watu wazembe ofisini kwangu inamaana hukutosheka kushangaa nzi wa mtaani kwenu hadi uje kushangaa ofisini kwangu???.????????

????????nimesema uniletee kahawa na ufanye haraka kabla sijakufukuza kazi sasa hivi????????????..

Linda alisogea mpaka kwenye meza ya Alex
nakuweka begi lake kwenye meza yake, najua litamkera lakini nani anajali,akawaza linda..

"Boss mpzi sana huyu anadhani yeye ni mwerevu sana yaan nafika TU kazin na anaanza kunifokea, akawaza linda????????


Linda alitoka nje ya ofisi na kukutana na mwanamke, ni wa rika lake.

"Samahani, tafadhali naweza kupata wapi kahawa" aliuliza????????

"Are you the new PA" Aliuliza na Linda akaitikia kwa kutikisa kichwa

"Mimi ni Ella, sekretari" alisema akitabasamu.

"Mimi ni Linda, nimefurahi kukutana nawe" Linda akajibu

"Kwa hiyo naweza kupata wapi kahawa" Linda alimuuliza na bella akamuelekeza ilipo sehemu inapopatikana kahawa.????????

"Asante" Linda akasema huku akiwa anaelekea sehemu ambayo alikuwa ameelekezwa

Linda alifika ilipo kahawa akawa anajiuliza maswali bila majibu.

"Sasa sijui kama anataka kahawa iwe moto, uvuguvugu au baridi.
nifanye nini sasa. Labda nitengeneze kahawa ya moto, atajua mwenyewe mr kufoka????????.

Baada ya kutengeneza kahawa, alirudi ofisini na kumpa.
Alex Aliinywa ile kahawa alimanusura immwagikie mwilini mwake????????????
.
"Mbona kahawa niya moto sana????????alianza kuhoji Hivi Umenifuata ofisini kwangu uje kunimalizia si ndio????????

"Samahani sana mkuu????????kmmalizia kivipi hili mbona silielewi aliwaza linda????????..

"Nasikia joto sana embu nitengenezee kahawa nyingine" Alisema Alex na kumsukumia Linda kahawa yake na kuifanya imwagike kidogo kwenye meza..

Linda aliichukua na kuimimina kwenye sinki
"Sasa wakati huu, nitaifanya iwe baridi, akawaza linda na kuanza kutengeneza kahawa.????????

Alitengeneza kahawa ya baridi sana akaichukua na kumpelekea Alex???????????? Alex aliichukua na kuionja wee alipiga kelele????????

"Wewe mpzi umeamua kunitengeneza barafu ili nipate mafua hivi hiki kikaragosi kimetumwa na nani kinimalize???????? alex alitoa bonge la tuc Linda alianza kulia aliona ni kama anadhalilishwa sasa..

"Mungu nilifanya nini hadi nistahili kutendewa mabaya haya, mm ni yatima TU na kila ninaekuwa karibu nae ananionea, Linda akawaza????????

"We hebu toka nje alisema Alex ofisi yako iyo hapo mlango unaotizamana na wangu alimwelekeza Linda..

Linda Alifika kwenye ofisi iliyo karibu na ofisi ya alex, akaingia ofisin na ofisi ilikuwa ipo shaghala bagala, kwa maana faili zilikuwa ziko kila mahali kwenye sakafu hadi mezani????????

Linda aliinama chini na kufunga faili kabla ya kuzipanga vizuri kwenye kabat.
Alikaa chini akiwaza afanye nini baada ya kupanga ndipo alipokumbuka kitu...

"Oh begi langu" aliwaza Linda na kutoka nje kwa kasi. Alifika ofisini kwa Alex na kuingia ndani bila kubisha hodi????????

Alichokutana nacho alishtuka sana????????????Linda alimkuta secretary wa Alex ,bibie bella wakiwa wana????????????ofisini bila hata aibu????????

Alex alishtuka kumuona Linda mule ndani akashangaa hii mbuzi imekuja sangapi yani haijui hata kubisha hodi????????

"Samahani" alisema linda na kuchukua begi lake, kabla ya kuondoka.

Linda alijisikia vibaya na kumuona boss wake ni kama Hana adabu kabisa yaan, na pia haeshimu kabisa wnwke alitaka kuropoka kitu lakini akakumbuka Boss wake ni ana mineno mikali alifyata mdomo wake akaamua kutoka kimyakimya..

Mungu aniepushe na janaume kama hili puuh alisema linda alimaliza majukumu yake ya kiofisi akarudi nyumbani

Linda Alifika nyumbani akaoga na kupika tambi na mayai.
Akiwa anakula akasikia na mlango wake ukigongwa????????

Alisimama ili kuangalia ni nani huyo aliekuwa anamgongea kwa wakat huo maana ilikuwa ni kama saa nne usiku...

Alipchungulia alitahamaki mara baada ya kumwona mwenye nyumba wake pale mlangoni..

"Habari za jioni mwenye nyumba Linda alisalimia lakini mwenye nyumba alimjibu kwa kukunja uso...

"Pesa yangu" Alisema akinyoosha mkono wake mbele.

"Bwana, sina pesa sasa lakini nitakupa wiki ijayo" akasema linda

"Wiki ijayo? Una uhakika utanipa wiki ijayo" aliuliza mwenye nyumba na Linda akaitikia kwa kichwa.
Mwenye nyumba akamuangalia kwa sekunde kadhaa Kisha akasema,

"na iwe wiki ijayo kama hutaki kuziona hasira zangu.
Na baada ya kusema hivyo
akaondoka Linda akaingia ndani kumalizia kula..

Upande wa Alex jioni baada ya kutoka kazini alirudi nyumbani akiwa amechoka sana..baada ya kufika nyumbani alimkuta dada yake pale..

"Halo kaka" Mabel, ambaye ni dada yake alex alimsalimia mdogo wake mkaidi na mtata kwelikweli...

Alex alipokea salam na kuiingia ndani na Mabel akafuata nyuma yake.

"Unataka nini" Alex aliuliza ,Mabel akacheka tu bila kusema chochote

"Niambie unataka nini" akauliza tena Alex ..Mabel alimwambia mdogo wake nilikuwa nashida na pesa kidogo..

Za nini??????????Mabel alibaki anajikanyaga yani mdogo ni anafokaga tu muda wote..

Huku kwa Linda alilala na siku iliyofuata aliamka na kuoga na kuvaa suruali nyeupe na top nyeusi..

"sina mavazi rasmi kwa ajili ya ofisini kwa hivyo lazima wayaelewe mavazi niliyo nayo, akawaza linda na kutoka kwa ajili ya kuelekea ofisini..

Wakati Linda yuko nje anafunga mlango aondoke ghafla simu yake ilianza kuita????????

Alipokea na kuanza kuzungumza na huyo mtu aliyempigia mpaka akasahau anatakiwa kuwahi ofisini????????..

Mungu wangu alishtuka baada ya kukata simu na kugundua kuwa yuko nje ya muda mama wee huyo bosi kufoka atanimeza leo????????

Linda aliwahi kituo cha daladala akapanda tax kuelekea ofisini

Itaendeleaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS??????3

UTAMU WA MABOSS??????3

Linda aliingia ofisini kwa Alex bila kujua????????alimkuta mwenye ofisi yuko bize anachezea simu yake alimsalimia habari yako mkuu????????

Alex aliitikia kwa kutikisa kichwa huku akiendelea kuchezea simu????????Linda alisimama akawa anaendelea kusubiri Boss amalize mambo yake waendelee na interview..

Alex alimalizana na simu akaiweka pembeni????????taja jina lako alimwambia huku akigeuza kiti chake chake cha kuzunguka ili aweze kumuona huyo anayefuatia ni nani..

Alex alishtuka baada ya kumuona Linda ofisini kwake????????????youu???Linda akashangaa huyu jamaa vipi kwani tunafahamiana??

Hata hivo inaonekana Linda hakumkariri Alex wakati anampig kule baani toba????????????Alex alimwangalia ???? badae akamwambia anza kazi niletee kahawa yangu haraka changamka????

Linda alishangaa mbona hajakagua cv zangu????????wakati...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 10 Linda  Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS 10 Linda Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS PART 12  Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
UTAMU WA MABOSS PART 12 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

852
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

608
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

533
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

429
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

313
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest