Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

UTAMU WA MABOSS??????3

31st May, 2025 Views 43

UTAMU WA MABOSS??????3

Linda aliingia ofisini kwa Alex bila kujua????????alimkuta mwenye ofisi yuko bize anachezea simu yake alimsalimia habari yako mkuu????????

Alex aliitikia kwa kutikisa kichwa huku akiendelea kuchezea simu????????Linda alisimama akawa anaendelea kusubiri Boss amalize mambo yake waendelee na interview..

Alex alimalizana na simu akaiweka pembeni????????taja jina lako alimwambia huku akigeuza kiti chake chake cha kuzunguka ili aweze kumuona huyo anayefuatia ni nani..

Alex alishtuka baada ya kumuona Linda ofisini kwake????????????youu???Linda akashangaa huyu jamaa vipi kwani tunafahamiana??

Hata hivo inaonekana Linda hakumkariri Alex wakati anampig kule baani toba????????????Alex alimwangalia ???? badae akamwambia anza kazi niletee kahawa yangu haraka changamka????

Linda alishangaa mbona hajakagua cv zangu????????wakati anashangaa shangaa ghafla Alex alianza kufoka..????????huwa sitaki watu wazembe ofisini kwangu inamaana hukutosheka kushangaa nzi wa mtaani kwenu hadi uje kushangaa ofisini kwangu???.????????

????????nimesema uniletee kahawa na ufanye haraka kabla sijakufukuza kazi sasa hivi????????????..

Linda alisogea mpaka kwenye meza ya Alex
nakuweka begi lake kwenye meza yake, najua litamkera lakini nani anajali,akawaza linda..

"Boss mpzi sana huyu anadhani yeye ni mwerevu sana yaan nafika TU kazin na anaanza kunifokea, akawaza linda????????


Linda alitoka nje ya ofisi na kukutana na mwanamke, ni wa rika lake.

"Samahani, tafadhali naweza kupata wapi kahawa" aliuliza????????

"Are you the new PA" Aliuliza na Linda akaitikia kwa kutikisa kichwa

"Mimi ni Ella, sekretari" alisema akitabasamu.

"Mimi ni Linda, nimefurahi kukutana nawe" Linda akajibu

"Kwa hiyo naweza kupata wapi kahawa" Linda alimuuliza na bella akamuelekeza ilipo sehemu inapopatikana kahawa.????????

"Asante" Linda akasema huku akiwa anaelekea sehemu ambayo alikuwa ameelekezwa

Linda alifika ilipo kahawa akawa anajiuliza maswali bila majibu.

"Sasa sijui kama anataka kahawa iwe moto, uvuguvugu au baridi.
nifanye nini sasa. Labda nitengeneze kahawa ya moto, atajua mwenyewe mr kufoka????????.

Baada ya kutengeneza kahawa, alirudi ofisini na kumpa.
Alex Aliinywa ile kahawa alimanusura immwagikie mwilini mwake????????????
.
"Mbona kahawa niya moto sana????????alianza kuhoji Hivi Umenifuata ofisini kwangu uje kunimalizia si ndio????????

"Samahani sana mkuu????????kmmalizia kivipi hili mbona silielewi aliwaza linda????????..

"Nasikia joto sana embu nitengenezee kahawa nyingine" Alisema Alex na kumsukumia Linda kahawa yake na kuifanya imwagike kidogo kwenye meza..

Linda aliichukua na kuimimina kwenye sinki
"Sasa wakati huu, nitaifanya iwe baridi, akawaza linda na kuanza kutengeneza kahawa.????????

Alitengeneza kahawa ya baridi sana akaichukua na kumpelekea Alex???????????? Alex aliichukua na kuionja wee alipiga kelele????????

"Wewe mpzi umeamua kunitengeneza barafu ili nipate mafua hivi hiki kikaragosi kimetumwa na nani kinimalize???????? alex alitoa bonge la tuc Linda alianza kulia aliona ni kama anadhalilishwa sasa..

"Mungu nilifanya nini hadi nistahili kutendewa mabaya haya, mm ni yatima TU na kila ninaekuwa karibu nae ananionea, Linda akawaza????????

"We hebu toka nje alisema Alex ofisi yako iyo hapo mlango unaotizamana na wangu alimwelekeza Linda..

Linda Alifika kwenye ofisi iliyo karibu na ofisi ya alex, akaingia ofisin na ofisi ilikuwa ipo shaghala bagala, kwa maana faili zilikuwa ziko kila mahali kwenye sakafu hadi mezani????????

Linda aliinama chini na kufunga faili kabla ya kuzipanga vizuri kwenye kabat.
Alikaa chini akiwaza afanye nini baada ya kupanga ndipo alipokumbuka kitu...

"Oh begi langu" aliwaza Linda na kutoka nje kwa kasi. Alifika ofisini kwa Alex na kuingia ndani bila kubisha hodi????????

Alichokutana nacho alishtuka sana????????????Linda alimkuta secretary wa Alex ,bibie bella wakiwa wana????????????ofisini bila hata aibu????????

Alex alishtuka kumuona Linda mule ndani akashangaa hii mbuzi imekuja sangapi yani haijui hata kubisha hodi????????

"Samahani" alisema linda na kuchukua begi lake, kabla ya kuondoka.

Linda alijisikia vibaya na kumuona boss wake ni kama Hana adabu kabisa yaan, na pia haeshimu kabisa wnwke alitaka kuropoka kitu lakini akakumbuka Boss wake ni ana mineno mikali alifyata mdomo wake akaamua kutoka kimyakimya..

Mungu aniepushe na janaume kama hili puuh alisema linda alimaliza majukumu yake ya kiofisi akarudi nyumbani

Linda Alifika nyumbani akaoga na kupika tambi na mayai.
Akiwa anakula akasikia na mlango wake ukigongwa????????

Alisimama ili kuangalia ni nani huyo aliekuwa anamgongea kwa wakat huo maana ilikuwa ni kama saa nne usiku...

Alipchungulia alitahamaki mara baada ya kumwona mwenye nyumba wake pale mlangoni..

"Habari za jioni mwenye nyumba Linda alisalimia lakini mwenye nyumba alimjibu kwa kukunja uso...

"Pesa yangu" Alisema akinyoosha mkono wake mbele.

"Bwana, sina pesa sasa lakini nitakupa wiki ijayo" akasema linda

"Wiki ijayo? Una uhakika utanipa wiki ijayo" aliuliza mwenye nyumba na Linda akaitikia kwa kichwa.
Mwenye nyumba akamuangalia kwa sekunde kadhaa Kisha akasema,

"na iwe wiki ijayo kama hutaki kuziona hasira zangu.
Na baada ya kusema hivyo
akaondoka Linda akaingia ndani kumalizia kula..

Upande wa Alex jioni baada ya kutoka kazini alirudi nyumbani akiwa amechoka sana..baada ya kufika nyumbani alimkuta dada yake pale..

"Halo kaka" Mabel, ambaye ni dada yake alex alimsalimia mdogo wake mkaidi na mtata kwelikweli...

Alex alipokea salam na kuiingia ndani na Mabel akafuata nyuma yake.

"Unataka nini" Alex aliuliza ,Mabel akacheka tu bila kusema chochote

"Niambie unataka nini" akauliza tena Alex ..Mabel alimwambia mdogo wake nilikuwa nashida na pesa kidogo..

Za nini??????????Mabel alibaki anajikanyaga yani mdogo ni anafokaga tu muda wote..

Huku kwa Linda alilala na siku iliyofuata aliamka na kuoga na kuvaa suruali nyeupe na top nyeusi..

"sina mavazi rasmi kwa ajili ya ofisini kwa hivyo lazima wayaelewe mavazi niliyo nayo, akawaza linda na kutoka kwa ajili ya kuelekea ofisini..

Wakati Linda yuko nje anafunga mlango aondoke ghafla simu yake ilianza kuita????????

Alipokea na kuanza kuzungumza na huyo mtu aliyempigia mpaka akasahau anatakiwa kuwahi ofisini????????..

Mungu wangu alishtuka baada ya kukata simu na kugundua kuwa yuko nje ya muda mama wee huyo bosi kufoka atanimeza leo????????

Linda aliwahi kituo cha daladala akapanda tax kuelekea ofisini

Itaendeleaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100.
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest