UTAMU WA MABOSS????❤️15
Alex alishaanza kuvutiwa na mwanadada Linda akili yake inawaza kuyaacha madhambi yote aliyokuwa nayo ili atulie na Linda tu..
"Nataka kubadilika kwa ajili yake, na nataman nimuone akikanusha kuwa mimi sio mtu mbaya ninamini kuwa Mimi sio mbinafsi kiasi hichi, Alex aliwaza huku akimwangalia Linda..
Linda alishangaa huyu mbona ananiangalia sana ana nini????????
"Unaniangalia nini??" Alex ilibidi amsogelee kidogo na kumwambia ninauangalia huu urembo ulionao hakika unavutia sana..
Linda alijisogeza pembeni akiacha nafasi katikati iliyowatenganisha wawili hao katika sehemu walizokaa..
Alex alimtazama Linda machoni pake na macho ya Linda yalikuwa yanameta kama nyota aliwaza na kusema hakika huyu ndo mwanamke ninaetamani kumuoa awe mke wangu..
Alex alisogea karibu zaidi na kumuuliza Linda unafanya nini,
"Linda alimwambia Tafadhali simama, mbona ni kama vile unataka kunikalia???????? Alex alisimama haraka, kwa aibu.
"Samahani" aliongea na kuelekea chumbani kwake.
Oh sht???????? nilitakiwa kwenda taratibu maana Linda akili zake anazijua mwenyewe..
Yeye sio kama hao wanawake wengine niliozoea kuwabaruza vile ninavotaka..
"Hivi , nilisema jambo lolote baya kwake? Sitaki kumkosea chochote nitajiheshimu mbele zake ili nimvutie zaidi
Linda nae muda huo alikuwa anawaza ya kwake eh Mungu wangu???????? nimemfokea sijui atachukia..
"Lakini ngoja mbona kama ananipenda au ananipenda? Linda akajiuliza...
"Wakati anayawaza hayo ghafla akashtuka mtu anamuuliza Ni nini kinakufanya uwe na aibu Linda alishtuka na akainua macho na kumuona Betty.
Alishasahau kuwa alimpigia simu waonane..
"Oh Betty karibu nimesahau kuwa nilikuita " akasema Linda na betty akaingia ndani kisha akakaa.
"Upo Sawa kweli?" Akauliza betty
"Ndio ila " akaanza kujiuma uma Linda.
Ila nn? Akauliza betty.
" Sawa. alex alinisogelea sana nikamuomba asimame maana alikuwa anakuja karibu yangu sana
Ehe ulivomwambia hivo ikatokea nini?? Alisimama akaomba samahani then akapanda juu kwa aibu sana yani hata simuelewi yani alikuwa kama mtu anaetaka kunbus"
betty alimsikiliza linda akawa anacheka tu..aligundua rafiki yake mpnz yameshaanza kumuingia ameshapenda huyu..
"Utakula nini na uache kunicheka" Linda akasema lakini betty aliendelea kucheka tu.
"Una wazimu au nini maana unacheka hovyo" Linda alisema
"Samahani" Alisema na kuacha kucheka.
"Utakula nini" Linda aliuliza tena.
"Vitafunio tu na maji"
"Vitafunwa na maji" akauliza linda
"Ndio" alisema bety
"No hauwezi kula hivo bwana hii ni nyumba ya boyfriend wangu tajiri misosi ya hivo haipo em sema msos wa maana nikuletee..
Ehee ????????boifurendi bety alidakia???????? oh sorry nilitaka kusema ni nyumba ya Boss wangu tajiri????Linda alijishtukia na betty akacheka tena
"Sawa nitakupa vitafunwa na juisi, ni sawa kwako"?? akauliza linda
"Ndiyo Mrs Alex????????" alisema Betty huku akitabasam..
Baada ya dakika chache baadaye Linda alikuwa ameshaandaa kitu Cha kumpa Betty na kuanzia hapo wakaanza kuzungumza, kucheka na kuongea.
Baada ya story nyingi bety Aliondoka na kwenda nyumbani kwake jion sana na Alex hata hakutokea kwani alikuwa na aibu..
"labda nikamuangalie maana sio kawaida yake kukaa chumban muda wote huo, Linda alisema huku akisimama na kuingia chumbani na wakati huo, alex pia alikuwa anatoka bafuni..
Nywele zake zilikuwa zikidondosha maji kama matone ya mvua na, macho ya Linda yakaangalia Moja kwa Moja kwenye midm yake ya pink kisha yakashuka kwenye kif????ua chake, gosh nawaza nn mm, Linda akaanza kujiuliza.
"Acha kunichungulia," alisema Alex na Linda akatoka nje .
Alex alimfata Linda na kumvuta na baada ya hapo linda akahisi pumzi yake ni kama vile inataka kukata alikuwa anahemea tisini na tisa point tisa
"Ulifikiri nilikuwa nakutazama" Linda akauliza kwa tab na hsia nying sana????????
"Ndio ulikuwa unanitazama au unaniona ni mzuri sana" Alex aliuliza na Linda akamuangalia tu..
"Nahisi tu ila hauna uzuri wowote" Linda alisema na Alex akatabasamu
Zile stail walizoshkana mmhhh ghafla si Alex naniliu zikampanda???????? akamuweka Linda vizuri kwa ajili ya kumnaniliu mdmn☺️????
'Linda alianza kumzuia Alex asimnaniliu????????hapana alex Usifanye, usifanye, hapana usifanye,oohhhhhhh nooooooooooooo tayari alikuwa ameshachelewa
Alex alimnaniliu kwa dakika kadhaa bila kumwachilia????????Linda alitulia tu akawa anasikilizia utm wa mdm ya Alex..alshika vizuri ili aendelee kumnaniliu kwa muda mrefu kidogo..
"Ee Mungu wangu nimekuwajee????????yani kabisa nafurahia na kumshika vizuri hivi????????aliwaza Linda baada ya kumaliza kubadilishana ....
Alex muda huo alikuwa anamtazama Linda machoni.
"Linda ilibidi aondoke kule chumbani maana kitakachofuata sasa atakuja azagamuliwe bila kujitambua????????
'Linda aliendelea kujilaumu na kujigombeza kwanini anakuwa dhaifu kwa huyu mtu..au ninmpnd??
Argh.....imekuwaje sasa ninampnda bosi wangu Jamani .??Linda aliendelea kuwaza vitu vingi sana alijilaza kwenye kochi seblen akaendelea kufikiria yale yanayoendelea kwenye maisha yake..
Usingizi haunaga hodi ulimpitia Linda palepale kwenye kochi akasinzia hapohapo..
Alex alikaa chmbni muda mrefu bila kumuona Linda ikabidi atoke seblen kumwangalia..
Alimkuta Linda kaishasinzia saa mingi akamnyanyua na kumpeleka ktndn..alimlaza vizuri akamfunika❤️????❤️????
Linda alikuja kuamka badae akaanza kuvuta kumbukumbu akakumbuka alilala seblen mbona sasa niko ktndn nimefikaje hapa..??alipoangalia karibu yake alimuona Alex akiwa amell..
Cha kwanza Linda alijichungulia huko kwa bibi aone kama kuna usalama usikute mwafulani kaishakula chakula chake bila taarifa????????????
Itaendeleaaaa
Full 1000
WhatsApp 0742133100.