Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21

27th Aug, 2025 Views 97




Linda Aliamka na kusimama haraka akakumbuka kwamba alilala ofisini kwa Alex wakati anatakiwa kufanya kaziz
Alitoka chumbani na kukutana na Alex akibonyeza simu yake.

Alex Alinyanyuka mara baada ya kumuona lindaa na kumfata na akamkalisha kwenye kiti chake.

"Unajisikiaje" aliuliza na Linda akaitikia kwa kichwa
"Una njaa" alimuliza na Linda akaitikia kwa kichwa.
"Sina nguvu ya kuzungumza, akasema Linda..

"Uhm....Linda samahani sana kwa kukukumbusha kumbukumbu zako za huzuni," alisema Alex
"Siyo kitu" akajibu Linda mara ghafla wakasikia mlango unagongwa na Alex akamruhusu anaegonga aingie ndani ya ofisi yake.
Alikuwa ameagiza pizza na ukawa imefika wakat huo.

"Alex fungua pizza Linda alisema huku akitabasamu.

Linda Alichukua kipande na alikuwa karibu kukiweka kinywani meake wakati Alex akimzuia.

"Nitakulisha" Alex alisema
"Lakini ... lakini ..." Linda akawa anataka kusema kitu ila Alex akamzuia
"Shhhhh na kula" Alisema Alex na kusukuma kipande cha pizza mdomoni mwa linda.

Linda alitafuna pizza huku alex pia akichukua kipande cha pizza na kula.
Linda alichukua ice-cream yake na kunywa yote.

"Unataka zaidi" aliniuliza Alex na Linda akaitikia kwa kichwa taratibu.

Alex alimlisha ice-cream yake na mpaka Linda akawa anahisi kama tayar wameshakuwa wapenzi.

Alex alikuwa karibu kuweka kijiko kingine cha ice cream kwenye mdomo wa Linda mara mlango ulifunguliwa na Micheal akaingia.

"Ni nini kinaendelea hapa . Je! Nyie ni wapenzi?" Aliuliza na Linda akapaliwa ghafla.
“Argh...ona umesababisha apaliwe” Alex alisema huku akimpa Linda glasi ya maji
"Samahani. nadhani natakiwa kuondoka. Kwaherini wapendanao” Alisema na kuondoka.
OMG! Linda aliona aibu sana baada ya Michael kumkuta Alex anamlisha.

Alex Alikuwa karibu kumlisha tena Linda lakini Linda akamzuia.
"Nitajilisha mwenyewe"
"Oh sorry" Alisema Alex na kumpa ice cream.


Alex alimtazama Linda akichukua ice-cream yake na akajisema kuwa ni mrembo sana.

"oh Alex kwanini hujamuona huyu binti ni mrembo muda wote huu, Alex akawaza.

"Nitaenda ofisini kwangu sasa" Alisema Linda na Alex alisimama na akamzuia
"Huendi popote, unabaki na mimi" akasema Alex
"Lakini nataka kwenda kufanya kazi" akajibu linda
"Nimesema hapana" Alex akasema na Linda akakaa.
"Ohookkkk" alisema na Alex akatabasamu.


Muda ulienda na hatimae muda wa kurudi nyumban ukafika.
.Alex na Linda walifika nyumban na Alex akataka kumfurahisha zaidi Linda hivyo akaingia jikon, Alex akasema kuwa YEYE ndio atapika siku hio.


"Nilikuambia usipike sasa angalia umefanya nini" Linda alisema na Alex akawa anamtazama .

" nilikwambia usipike ila ulipuuza na sasa amechoma chapati, akasema Linda
"...Hebu tusafishe hii kisha tutapika chapati pamoja. Hii iliyoungua iweke mfuko wa taka" Linda alisema na Alex akatii.

"Ndio mama" alisema na Linda akacheka.
"Kwa hio mm nafanana na mama yako Linda alisema huku akicheka.




"Yeye ni mrembo sana wakati anatabasamu, nadhani nilijinyima tabasamu lake wakati huu wote. nitaendelea kufanya kila kitu ili kukueudusha, akasema Alex

Walisafisha kila mahali na
Na kutoa kikaango, mafuta, bakuli na kijiko.
WaAlianza kupika na ilikuwa furaha sana walipo kuwa pamoja .
Walimaliza kupika na wote wakapumua kwa uchovu.

"Nyie wasichana mnajuweza kweli" Alex alisema maana alikuwa amechoka zaidi na linda akacheka.

"Hujui chochote" Alisema linda na Alex alienda kwenye friji na kuchukua chupa ya maji baridi ili ajipooze.

"Unapaswa kupakuwa chakula kwani nina njaa sana" Alex alisema na wakachukua chapati hadi kwenye meza ya chakula. Alex alikuwa anajisemea namna anavyomuona Linda alivyo mrembo kwenye macho yake na Linda ni kama alisikia Alex akisema kitu na kuliza.
"Nini. Nataka kula" Alex alinong'ona
"Inabidi tuombe kwanza" Alisema Linda na Alex akakodoa macho.

"Sawa" alisema na Linda akaanza kuomba huku Alex akisema Amina huku macho yake yakiwa kwenye chapati 🤣🤣🤣.

Linda alimaliza maombi na haraka Alex akaweka chapati kinywani mwake.
"Mmmm tamu" alisema Alex .
"Tunapaswa kupika pamoja mara kwa mara," alisema na Linda akatikisa kichwa.
Baada ya kuimaliza kula
Walikaa kwenye kochi kutazama sinema.
Alex alichukua rimoti kubadilisha chaneli lakini Linda alimzuia
"Nataka kuibadilisha," Alisema Alex
"Hapana huwezi kufanya hivyo"
"Na kwanini unadhani siwezi kufanya hivyo"
"Cos...cos...cos"
"Ona hujui"
"Nipe tu" alisema na Linda akamdharau
"Hebu angalia unaweza kuikamata" Alex alimnyang'anya na loo Linda aliongea na Alex akaanza kusogeza rimoti kila juu lakini Linda alijaribu kuirukia na kumdondikea Alex
katika harakati hizo.

Walitazamana kwa muda na mimi Alex akawa anaitilea macho zaidi midomo ya Linda lakini Linda akamtekenya na Alex akacheka.

"Kwa nini ilibidi anitekenye na wakat nilitaka kumbusu Alex akawaza.




"Nilivyomdindikea Alex tukatazamana nayeye akawa akinitazama kwenye midomo yangu na najua anataka kufanya nini lakini sitaki ijirudie kwa vile sisi sio wapenzi kwanini tuwe tunapigana mabusu kila mara, akawaza linda

19

Hatimaye Alex alimpa Linda rimoti na akaitumia kugonga nayo kichwa chake.
"It's OK.I'm going upstairs" Alisema Alex na kusimama
"Ngoja . Huwezi kuniacha pekee yangu hapa" alisema Linda huku akiwa anamfata

"Unataka nini tena kama ni rimant nimekupa " Alisema Alex lakini Linda alimrukia na kutaka Alex ambebe
"Tafadhali unaweza kunipandisha ngazi hadi chumbani kwetu. Unajua sijisikii vizuri," Linda alisema na Alex akacheka.

Tulipata chumba cha wafamyakazi na wakat wote Linda alikuwa
mgongoni mwake.

Sitaki kushuka, mgongo wake ni sehemu nzuri ya kupumzika akawaza linda.

"Shuka chini" Alisema lakini Linda hata hakumjibu"

Alex alianza kumzungusha mpaka Linda akaanza kuhisi kizunguzungu kweli akamuachia alex na kuanguka kitandani.
"Ahhh gosh...unataka kuniua" Linda alimuuliza Alex.

"Hapana wewe ndio unataka kuniua" alisema na Linda hakukubali.

"Nilikuomba unipe lift na wewe ukakubali lakini kwa kuwa sikuwa tayari kushuka, unatakiwa kusubiri hadi niwe tayari kushuka" Linda alimwambia Alex lakini Alex hakukubali.
"Hapana nilikuambia kuwa nilikuwa nimechoka sana, ulitakiwa kuzingatia Hilo, ukweli kwamba nilikuwa nimechoka sana," alisema alex.

Waliendelea kubishana mpaka Alex akambusu linda lakini Linda akamsukuma.

"Samahani, nilifanya hivyo ili kukunyamazisha tu," alisema Alex.

"Ungeweza tu kusema ninyamaze," Linda alisema
"Samahani" Alisema tena na Linda hakumjibu.

"Natamani tu kusahau kuhusu mapenzi yangu kwake lakini kumuona kila siku sijui kama nitaweza, alijisemea Linda Kisha akajilaza kitandani na kujifunika kwa kutumia blanketi kisha akalala.


"Mbona kama , Linda aliniepuka tu? Sasa naelewa, ni kosa langu kutaka kumbusu bila yeye kutarajia,
na sidhani kama atazungumza nami kwa muda. Gosh nimefanya nini? Alex akawa anajiuliza .



Linda aliamka asubuhi iliyofuata na kuangalia upande mwingune na kugundua Alex hayupo kitandani nae kitandani.

Linda alisimama na kufanya mambo muhimu.
Alishuka na kukutana na Alex akiwa tayar ameshavaa nguo za kazin huku akibonyeza simu yake.
"Habari za asubuhi" alimwambia, bila kumtazama

"Linda bado umenikasirikia,ila ,
nilisema samahani. Sawa angalia sitorudia tena kukukera" Alisema alex.
"Sawa nimekusamehe" alisema Linda akiwa bado hawez kumtazama.

"Lakini huniangalii" alisema Alex na Linda akanyanyua macho na kumtazama na Alex akatabasamu
"Umeridhika" Linda aliuliza
"Twende" alisema Alex na wakaondoka kwenda kazin....

Walifika kwenye kampuni na moja kwa moja akaenda ofisini kwake.


"najua bado ana hasira na mimi lakini itakuwa kwa muda, Alex akawaza

Michael aliingia na kumsalimia
"Hey, nimemuona mpenzi wako mpya bana Mr lover boy ," Michael alisema na kukaa
"Lover boy my foot. Nani kakwambia mimi nina mpenzi , kumbuka sijawah kupenda" Alex alisema na Michael akacheka.

"Huwezi kunidanganya. Ona bora umchukue msichana huyu kabla mtu mwingine hajamchukua" akasimama Michael
"Unafikiri hivyo" nilimuuliza na akaitikia kwa kichwa
"Lakini sasa ana hasira na mimi," Alex alisema kwa huzuni
"Usijali kuhusu hilo, atasahau muda si mrefu," alisema Michael na alex akatabasamu.

"Asante bro" Alex alisema
"Kwa nini upo hapa " Alex akauliza
"Nimekuja kuangalia kama kuna drama nyingine ya mapenzi inaendelea" Alisema Michael huku akiwa anacheka.

"Tamthilia ya mapenzi.unachekesha sana" akasema Alex kwa dharau
"Ndio, nilikuwa natania tu. Nilikuja kukuangalia" akasema Michael
"Nzuri rafiki. Mimi ni rafiki mbaya sana, sijafika ofisini siku chache zilizopita." Akasema Alex
"Hapana usije. Unatakiwa umtunze mpenzi wako" Alisema Michael na Alex akamuangalia na kufungua baadhi ya faili.


"Nitafanya Nini Mimi, Je! Nikimuambia nampenda nitakuwa ninafanya jambo sahihi kweli? Akawaza linda

"Nampenda Alex lakini si yeye ananipenda pia ingawa amekuwa akiigiza na amekuwa yuko kirafiki siku hizi. na jambo moja ni kwamba yeye huwa anajaribu kunibusu kila mara, Inawezekana kuwa ananipenda au ni tamaa tu? Argh...hii inanichanganya sana argh...nahisi kuchanganyikiwa, akawaza linda

20

Baadae usiku**********

ALex alipanga kumuomba Linda watoke for date na hakuwa na uhakika kama atakubali.

" hata sijui nisemeje.
Nimekuwa nikifanya mazoezi kwa zaidi ya saa 2 sasa na bado sijapata neno sahihi, la kumuambia Linda,akawa anawaza alex
" ' Linda tafadhali unaweza kwenda na mimi kesho'akasmea Alex akiwa anafanya majaribio ya namna ya kumuomba Linda atoke.

"Hiyo inasikika vizuri?
Argh...sijui. Sawa Alex lazima ufanye hivi, Alex alijisemea Kisha
Alienda ofisini kwake na kugonga
"Ingia" sauti ya Linda iliitikia na Alex akaingia ndani
"Nikusaidieje" aliuliza Linda na alex alihisi uwepo wake hauhitajiki.
"Uhm...kweli i...i..i.. Linda " alex akaanza kujiuma uma.

"Wewe nini" aliuliza Linda
"Nataka u..toke out na mimi" Alex alisema na
Alihisi Linda atakataa.
"Najua..najua na sikulazimishi" Alex alisema kwa kujishuku na Linda akatabasamu
"Bwana Alex, ningependa kwenda na wewe out so usijal" akasema Linda.

"Umekubali" Alex aliuliza na Linda akaitikia kwa tabasamu.
"Kwahiyo unafanya nini" Alex aliuliza huku akikaa chini
"Ninatuma ujumbe kwa kampuni ya chakula na vinywaji" akajibu Linda

"Mh ni vizuri" Alex alisema na kuendelea kutazama anachofanya.
"Lo upendo ni wa ajabu, siwezi kuamini kuwa sasa niko katika mapenzi, Alex aliwaza


"OMG! Kutoka out na Alex, hiyo ni nzuri, ninamaanisha kuna uwezekano wa 50% kuwa ananipenda.
Ni kweli ninaenda naye kwenye miadi? iweje akiniuliza kuwa anatoka na mm kwa sababu miadi ya biashara au labda kuhusu mimi kujidanganya kuwa mpenzi wake au labda ananipenda au......Argh...acha kubahatisha , Linda akawa anawaza
Date, OMG!!!!! Linda alijisemea kwa furaha


Kesho yake

Linda alivaa kwa ajili ya date huku Alex akimsubiri chini.
Alivaa gauni fupi jeusi, alipaka rangi nywele zake kuwa nyeupe.
Alivaa highhills na pochi na kuweka lipstic kidogo kwenye midomo yake.
Alishuka ngazi na nusura adondoke 😃😃😃baada ya kuona Alex anashangaa.

"Wow you look beautiful...mpaka najihisi nimepungukiwa na maneno" alisema na Linda akawa anaona haya
"Asante, wewe mwenyewe hauonekani mbaya," Linda alisema na Alex akatabasamu
"Twende" alisema na kumfungulia mlango wa gari kwenye siti ya nyuma.

"Asante" Linda alisema na kuingia kisha Alex akaingia kutoka upande wa pili.
"Wapi bwana" aliuliza Sam
"Nimetuma anuani kwenye simu yako" Alisema Alex na Sam akaiangalia simu yake kisha akaitikia kwa kichwa na kuiondoa gari.
Uendeshaji ulikuwa wa shida sana kwamba Alex alianza kuhisi hamu ndani yake na hiyo ilimfanya akose raha.

Walifika hio sehemu dakika chache na kila mahali palikuwa kimya tu wimbo hafifu wa kimahaba uliokuwa ukipigwa.
Waliingia na hakukuwa na mtu hata Mmoja.

"Alex mbona mahali hapa hakuna watu" Linda alimuuliza
"Nimenunua sehemu hii kwa siku ya Leo " alisema na Linda akapumua.

Walikaa na wkamuita muhudumu
"Unakaribishwa kwenye mgahawa wa plazza, nikupe nini" Muhudumu alisema na Alex akamtazama Linda
"Utakula nini?" Alex aliuliza
"Kuku na chips ni sawa" akasema Linda
"Kuku na chips kwa watu wawili" alisema na India akatabasamu
muhudumu aliondoka na kurudi dakika chache na chakula.

"Kwahiyo Alex tuko hapa kwa ajili ya nini" Linda aliuliza akiwa anakula
.
"Ni kwaajili ya biashara?" Linda aliuliza na Alex akatikisa kichwa kwa ishara ya kukataa
" Halafu "Alex alisema Kisha
Akamshika Linda mikono na akawa anamtazama akiwa ameshtuka.
"Linda tafadhali utakuwa mpenzi wangu" Alisema Alex
"Lakini mimi tayari ni mpenzi wako, namaanisha mpenzi wako bandia" akasema Linda

"Hapana, nataka uwe mpenzi wangu wa kweli, fanya ukweli wakati huu," alisema na Linda akashtuka
"Na wewe je" Linda aliuliza na mimi nataka iwe kweli akasema Alex kwa furaha.
" Nimekubali " Linda Alijibu na Alex akamsogelea na kumkumbatia kwa nguvu.

21

"Ndio nimekubali" Linda alisema na Alex akambusu kwenye paji la uso na Linda akaona haya
"Asante Linda, hii ina maana kubwa kwangu" alisema na Linda akatabasamu

"Unataka kucheza" aliuliza Alex
"Siwezi kucheza" akajibu Linda
"Usijali, nitakufundisha, Alisema Alex ,dj ongeza sauti ya wimbo juu kidogo" Alisema na muziki ukaja juu kuliko hapo awali
"My lady" alisema Alex na kumnyooshea mkono Linda
Na Linda akapokea na kusimama.

"Uko tayari kwa hili," aliuliza na Linda akaitikia kwa kichwa.
****************
Walimaliza kuinjoy Kisha wakarudi nyumban

Walifika nyumbani na moja kwa moja wakaingia chumbani kwao kubadilisha nguo huku Alex akiwa anamsubiri Linda sebuleni.
Linda alitoka bafuni na simu yake ikaanza kuita mara moja.

" ni nani huyo? Linda akawaza na alingalia na Brian iliandikwa kwa ujasiri kwenye skrini.
"Ee Mungu wangu...nilimsahau kabisa, akawaza linda.

Linda alipokea simu tukatoa salamu.

"Linda vipi kuhusu nilichokuambia" aliuliza
"Bryan samahani sana ila siwezi kukubali pendekezo lako" Linda alisema na Linda alijisikia vibaya kwa kumkataa lakini hakuwa na namna.

"Sawa. Lakini una mpenzi?" Aliuliza
"Ndio"
"Nani huyo"
"Bryan, ni Alex, Alex ni mpenzi wangu"
"Wow siwezi kuamini kuwa umeniacha kwa sababu ya Alex" alisema na Linda akasikia maumivu kwenye sauti yake.
"Samahani "
"Ni sawa" alisema na kukata simu.

Linda akashusha pumzi na kuiacha simu yake kitandani.
Samahani sana kwa kukufanyia hivi Bryan, Linda alijiambia
************************************



"Darling twende tukale chakula cha jioni nje" Mabel alisema kwa sauti ya uchovu.
"Kweli, nitakudanganya maana , sitaki kupika chochote usiku wa leo, akaendelea kusema Mabel.

"Kweli unafikiri hivyo" aliniuliza na Mabel akautikia kwa kichwa
"Basi twende" Alisema Michael na kuchukua ufunguo wa gari lake.
Wakiungia kwenye gari na kuelekea kwenye mgahawa uliokuwa barabarani.

Walifika pale na kuingia ndani kabla ya kukaa mahali fulani kwenye kona.
Waliagiza chakula na Michael akaanza kumlisha kitu ambacho kilimfanya Mabel aone aibu sana
****************************


"Bosi mshukiwa wetu e..alitoroka. samahani sana bwana" Mmoja wa wavulana wangu alisema akipiga magoti.
"Vipi! Nilikutuma kwa fujo na umempoteza yule mwanamke, ufunguo wetu pekee uliibaki" Alisema mwanaume Mmoja wa makamu ambae hakufahamika kwa hasira huku yule jamaa akiendelea kuomba.

Mwanaume yule alinyoosha mkono wake kwa jamaa aliye nyuma yake ambaye alijua nilichomaanisha. alimkabidhi bunduki na akawa anachezea bunduki akiizungusha katikati ya vidole yake.

"Wako wapi wengine waliokwenda nanyi kwenye hii misheni" aliuliza huyu mwanaume asiefahamika na yule kijana akaws snaekezea walipo na yule mwanaume asiejulikana akafyatua risas na kumuuwa.

"Wapo wa 5 kati yao na sasa wamebaki 4 tu.
"Nani mwingine anataka kusali sala yake ya mwisho" aliuliza na wote wakaanza kutetemeka.
"Sir alitudanganya" kijana wa kwanza alisema na yule mwanaume wa makami akamzomea
"Mwanamke mchafu atakupotea je wakati wewe sio game"
"Samahani bwana"
"Sawa, nina hakika unanifahamu, nenda kuzimu," Alisema na kumpiga risasi kila mmoja wao.

"Waegeshe na hakikisha unawakata kila sehemu ya mwili wao na kuwatoa viungo muhimu" Alisema yule mwanaume
"Ndio boss" wafanyakazi wake wengine na kuinama kisha wakaondoka.

Mwanaume yule asiejulikana alikuwa anakaribia kuingia kwenye gari mara simu yake ikaanza kuita mfukoni mwake.

Alitoa na kutabasamu alipoona ni nani anayepiga.

"Halo habari yako" alisema yule mwanaume
"Sijambo bwana" alisema

"Nimekuambia usiniite tena bwana, niite kwa jina langu" akasema yule mwanaume katili
"Sawa Oscar"ukajibu upande wa pili

"Kwanini ulinipigia simu" akauliza
"Oscar niko tayari, niko tayari kujiunga na ibada ya damu nyeusi" ulisikika upande wa pili na yule mwanaume katili akatabasamu.
"Unataka kujiunga na BBC? Wow that's incredible, come for intiation kesho" alisema.
"Sawa Oscar" ulisikika upande wa pili nikakata simu.

Aliekuwa anataka kujiunga na hichi KIKUNDI CHA kifedhuli alikuwa ni Brian.
"Unataka kujiunga na BBCWow that's incredible, come for intiation kesho" Alisema Brian moyo wake ukaruka kwa furaha
"Sawa Oscar" Brian na akakata simu.

" bosi wangu, mmiliki wa baa ninayofanya kazi. Aliniomba nijiunge na mambo ya ibada lakini sikukubali ofa na sasa nataka revange revange revange!!!!!!!!! Akawa anasema Brian kwa hasira

nAKUJA.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21  >>> https://gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-18-21

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
profile
majario 27 Aug 2025 19:14
je wewe uliishia kipande cha ngapi
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest