Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2

1st Jun, 2025 Views 22

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2

Shangazi kanifukuza bila hata kuniulumia hakujali kuwa nimebakwa na mumewe nilitoka pale huku nachechemea cjui pakwenda, giza lilikuwa limeingia tyr,, nikatoka hadi stendi ya basi tulikuwa tunaishi bunju, nikapanda gari hadi ubungo ili nilale stendi asbh nipande gari za kwetu,, nilifika ubungo vzr huku nalia, nikiwa natembea kuelekea geti la kuingilia nikamsukuma Mama mmoja iv nilikuwa sijamuona nilimsukuma kwa bahati mbaya, yule Mama alinirudishia alinisukuma kwa nguvu hadi nikadondoka chini nikamwambia Mama mbona umenisukuma kiasi hiki?? Akaniambia tena ukome unavyotembea uwe unaangalia mbele sio macho chini kama mwizi bc nikajiinua ili niondoke zangu wakati nanyanyuka pale kumbe nilipoteza hela niliyopewa na shangazi kama nauli ya kwetu sikujua kama sina hela niliingia stendi nikasogea hadi kwenye gari za Musoma, ile nataka kutoa hela nikate ticket nikajikuta sina hela, nikapekua kila sehemu lkn wapi nikaanza kulia pale tena kwa nguvu, watu waliniuliza nalia nn niliwabia nimepoteza nauli ila hakuna hata aliye nijari, nilitoka pale stendi hadi yale maeneo Niliondoka nikaanza kutafuta hela ila wapi,, nikatoka nikaanza kutembea hata sijui naenda wapi,, nilifika mahari nikakaa chini huku nalia, hapo sijakula chochote tangu asbh, nikatamani nimpigie shangazi wa Arusha anapokaa Kaka yangu ila sikuwa na namba zao, nilikaa pale hadi ucku mwingi ukaanza kuingia niliogopa nikasema hapa nitabakwa tena Mamujee mm alipita Dada mmoja amevaa vzr tu nikamfata nikamsalimia vzr nikaanza kumuomba msaada,, nikamfata naomba unisaidie japo pa kulala tu kwa cku iyo,, yule Dada aliniangalia juu mpaka chini, akaniambia nitafute mtu mwingine yeye hana msaada,, yule Dada alivyoondoka akaja Kaka akaniuliza binti vp? Mbona unaangaika ucku wote huu? Nikamwambia sina pa kwenda nimetoka mkoani nimekuja kufanya kazi za ndani Sasa mtu niliyeambiwa atakuja kunipokea simuoni, ilibidi nidanganye,, bc aliniangalia vzr akaniambia twende nikakutafutie pa kulala kesho nimtafute bosi wangu, bc nilimfata yule Kaka, tulipanda basi hadi kwake, tumefika kwake vzr tukaingia ndani alikuwa kapanga chumba na sebule,, akaniambia nenda kaoge mm naenda kukutafutia chakula,, akanionyesha choo kilipo nikavua nguo nikaenda kuoga nikavaa nguo zangu vzr huku nina wasiwasi sijui hatima yangu, Kaka akarudi kabeba chips mbili na soda akanipa nikala na yeye akaenda kuoga, akaniuliza jina langu nikamwambia naitwa Mamujee, basi akaniambia Sasa ingia chumbani ukalale, niliogopa nikasema hapana nitalala hapa hapa panatosha,, akaniambia Jee noo ingia chumbani ulale na mm nitalala hapa sebuleni,, bc nikanyanyuka japo kwa uoga nikaingia chumbani,, wakati nashusha neti nilale Kaka akagonga mlango, nikainuka kufungua huku natetemeka akaniomba achukue shuka, alivyotoka nikafunga mlango kwa ndani nikalala

Asbh palivyokucha nikaamka zangu nikatoka sebleni ila sikumkuta Kaka, nikaanza kufanya usafi ndani kuanzia chumbani hadi sebleni nikapanga kila kitu vzr, nikaoga nikachukua begi langu nikakaa kwenye sofa nimsubiri Kaka aje nimuage niondoke zangu,, bc Kaka alikuja akaniita Jee vp umeamka salama? Nikajibu ndio shikamoo Kaka, aliitika vzr, alibeba soda mbili na chapati, akaniambia Jee njoo tunywe chai, mm ni msera sina hata jiko,, tunaanza kula huku ananiuliza maswali kwetu ni Musoma sehemu gn nikawa namjibu, vp kuhusu wazazi wako nikamwambia mm ni yatima,, bc Kaka aliumia sana akaniambia Jee kaa hapa na mm nitakutafutia nauli urudi nyumbani maana hata ukirudi pale ubungo nina uhakika uwezi kumpata huyo bosi wako Zaid tu utafanyiwa vitu vibaya maana hii Dar es salaam sio kabisa, bc aliniuliza nauli ya kwenu sh ngapi nikamwambia akasema nisubiri apate mshahara,, tulikaa pale huku tukiangalia Tv ilikuwa sio siku ya kazi kaka hakwenda kazini,, mchana ilipofika alitoka alivyorudi akarudi kabeba jiko la gesi na sefuria tatu na hotpot mbili ila havikuwa vipya akaniambia amechukua kwa rafiki yake tuvitumie kwa muda hadi nikiondoka hatamrudishia maana sio vzr kula mgahawani,, bc niliinuka nikaviosha vzr akanielekeza magenge akanipa na hela nikaenda kununua vitu vya kupika

Nilinunua vitu vyangu nikarudi nikaanza kupika zangu, nakumbuka nilipika pilau nikaweka kwa hotpot ili tule hadi ucku,, Kaka alifurahi akaniambia Jee kumbe unajua kupika vzr iv?? Bc cku ikaisha kesho yake Kaka alikuwa anaenda kazini akamwita mpangaji mwenzie ni mdada, akamwambia huyu ni ndugu yangu anaitwa Mamujee naomba ushinde nae vzr,, Kaka akaondoka zake nikabaki na huyo jirani ,, ilivyofika jion nikaanza kupika chakula ili Kaka akija tule

Mjeeeeeee mnitie moyo kwa comments na like za kutosha

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 3 Bc nikaandaa zangu chakula ili Kaka akija tule, Kaka akarudi ila hakuwa na raha kabisa, akaniambia Jee hii Dunia ni ya ajabu sana, cjui watu wapoje? Wanapenda kuwaza Negative kwa kila jambo? Nikamuuliza kivip Kaka? Akaniambia watu wamempigia cm mpenzi wake kuwa yeye amereta mwanamke ndani na kesho anakuja kujua mbivu na mbichi,, akaniambia nisijali ataniombea kwa yule jirani ili nilale nae,, bc nikawa mpole nikakosa cha kusema, asbh Kaka aliongea na yule jirani akakubali mm kukaa kwake,, bc kama kawaida nikafanya usafi ndani nikatoa begi langu kupeleka kwa jirani ili akija mwenyewe asinikute mule, bc tulikaa na yule Dada jirani huku tukipiga story mbali mbali, mara yule mpenzi wa Kaka akaja alikuwa na funguo zake akaingia hadi ndani, mie nilikuwa kimya na yule Dada jirani aliniambia nisiende kule maana yule Dada anajisikia sana asije akanionyesha ovyo,, Kaka akarudi akaja huku kwa jirani akanipa hela ya kula yeye akaenda ndani kwake,, nilikaa pale kwa jirani wa Kaka hadi wiki iliisha sikuingia ndani kwa Kaka ila Kaka alikuwa ananipa hela ya matumizi kama kawaida,, nakumbuka siku moja Kaka arirudi kazini akaja huku kwa jirani, akaniuliza Jee unapajua Kariakoo?? Nikamwambia hapana maana niliona kama mtego ananipa,, akanipa hela elfu 50 akaniambia nenda ununue vitu vyako muhimu kesho kutwa nakuletea ticket ya kwenda nyumbani,, bc yule Dada jirani akaniambia kunisindikiza kkoo,, bc nirifurahi sana kwa wema wa Kaka ila nilipata mawazo sana kuwa narudi Musoma naenda kukaa kwa nani? Nikasema bc kama shangazi yangu wa damu kanifukuza bc acha nirudi nyumbani

Asbh tulijiandaa na Dada jirani kwenda kkoo, tulifika vzr nikanunua chupi na sidiria na losheni tu nikabakisha hela kidogo ili nikifika Musoma niuze hata maandazi, bc tukawa tunarudi njiani tukielekea stendi gafra Dada jirani akapigiwa cm na mpenzi wake, akaniambia Jee ww nenda nyumbani mm nitakuja baadae, akanielekeza vzr na funguo alipo iweka, bc akaondoka na mm nikaenda stendi, nimesimama zangu stendi gafra ikaja gari mbele yangu nashangaa anaanza kuniita, nikawa sijamuelewa ni nani? Niliosimama nao stendi wakaniambia Dada unaitwa ww,, nikaenda yule Baba akaanza kutabasamu akaniambia panda twende nikupeleke hapo utakesha usafiri ni shida,, bc na ushamba wangu hata bila kuuliza unanipeleka wp nikapanda gari, nikamuelekeza ninapo enda akasema sawa,, Mara tukafika sehemu akapaki gari akashuka akaingia ndani, akanifata akaniambia haya njoo mara moja,, alikuwa mbaba mrefu kama muarabu IV, nikashuka akanipeleka hadi chumbani ilikuwa hotel, tukaingia ndani akaenda kuchukua vinywaji akaleta,, alinipa soda ila yeye alikuwa anakunywa pombe, niliogopa nikamwambia naomba niondoke, akasema subiri nitakupeleka, akaniuliza una CM? Nikamwambia hapana, akaniambia yeye kesho anasafiri kwenda Dubai ila anataka niwe mpenzi wake maana ameona Nyota yangu ni kali sana na itamfaa sana kwenye biashara zake kwa hiyo tuwe wapenzi,,, sikumuelewa chochote nilikaa kimya tu, nilienda chooni kukojoa nikaacha soda yangu ikiwa wazi, nilivyorudi akanilazimisha ninywe soda yngu, bc nikainywa mara nikaanza kupata kizungu zungu, na sikujua kinacho endelea, nilikuja kushtuka nipo uchi wa mnyama na nguo zangu zimekunjwa vzr zipo kwenye meza,, nikanyanyuka nikaanza kupata maumivu sehemu ya haja kubwa, nikasogea mezani ili nivae nikakuta vipimo vya ukimwi viwili vimegandamizwa na karatasi yenye maandishi"NIMEKUPENDA SANA MTOTO MZURI, HAYO HAPO NI MAJIBU YA UKIMWI YANGU NA YAKO TUPO VZR KUANZIA SASA MM NA WW NI WAPENZI,, HAPO CHINI YA NGUO ZAKO NIMEKUWEKEA CM PAMOJA NA HELA MILIONI TATU ZITAKUSAIDIA HADI NIRUDI SAFARI,, NIMEKUWEKEA LAIN KWENYE CM PLEASE USIBADILISHE,,,," niliogopa sana nikajikagua nikakuta nimeingiliwa kinyume na maumbile nikavaa nikachukua zile hela kweli zilikuwa milion tatu na CM ya smartphone pamoja na chaji cm ilikuwa mpyaa

Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MY HEART 03--04

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

*MY HEART* *1---2 *

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

ANIPHA 6--7.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 05

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY???15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA? Sehemu 13.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY ???11

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest