Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
24 views
VYOTE NDANI GONGA94
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Nilifanikiwa kuingia Dar salama ilikuwa ucku sana ikabidi nilale stendi za Dar lux pale shekilango,,, asbh palivyokucha nikaanza kutembea mdogo mdogo huku nikijiuliza wapi naenda, nikapata wazo la kwenda bunju maeneo ya shangazi maana kule nimepazoea angalau, bc nikatafuta usafiri hadi huko, nilifika stendi pale nikasema ngoja nielekee upande huu wa pili yaan shangazi kwake upande wa kushoto mie nikaelekea kulia,, nikakutana na madalali nikawaomba wanitafutie chumba mda huo huo kisizidi elfu 50,, bc nilizunguka na madalali hadi nikapata chumba kizuri cha elfu 50, nikaripia mwaka mzima kwa laki sita, nikatoa 50 ya dalalli, nikaingia kwa chumba nikafanya usafi vzr, nyumba ilikuwa nzuri madirisha ya vioo na wapangaji watatu tu,, nikatoka nikaelekea madukani nikanunua godoro 5/6 , feni, jiko dogo la gesi na sufuria nne, ndoo tatu za maji yaan vitu vidogo vidogo vyote,, nikarudi geto nikapanga vitu vyangu vzr, nikasema sasa ngoja ninunue mchele, unga, sukari, mafuta, na vile vikontena vya kuwekea, yaan ndani palikuwa pazuri, bc nikaingia bafuni nikaoga nikalala ilikuwa jion tu, hapo bado nina hela kama milion moja na laki saba iv, nikatafakari sana nikasema nitafute biashara nifanye cjui nifanye biashara gn? Ilipita kama cku tatu iv Mahamood akanipigia cm, akanilaumu mbona siingii Wthsap? Nikamwambia nimechoka sana, akaniuliza Sasa umefanyaje kuhusu nyumba ya kuishi? Nikamwambia nipo kwa rafiki yangu, akaniambia bc nitoke niende nikafungue akaunti Crdb, mhhhh nilijifikiria nilitaka nisifanye ivo ila roho nyingine ikaniambia acha ujinga, utakufa masikini, kama kukubaka amekubaka tyr, embu fungua akaunti hiyo,, bc nikamwambia sawa, akanielekeza yeye mwenyewe niende mliman cty ndio nikafungulie huko,, bc nikanyanyuka nikaenda kufungua hio akaunti kisha nikamtumia akaunti namba yngu,,, bc nikawa natafakari kuhusu biashara gn nifanye nikapata wazo niuze vipodozi, mm napenda sana urembo, nikimuona mtu ana ngozi nzuri na ananukia vzr huwa napenda sana,, ile pesa yangu nikaweka benki milion moja nikabaki na ile laki saba,,, ilipita kama wiki Mahamood alinipigia cm ameniingizia hela kwenye akaunti yangu milion 4 niliogopa! Akaniambia nitafute nyumba nzima nilipie niishi peke yngu yeye akija Tanzania atakuwa anakuja hapo,, niliogopa mnoo, nikasema hapana cwez kuendelea kubakwa tena na huyu mtu, siendi tafuta nyumba wala nn nitaishi hapa hapa na akija Tanzania bc nitamkimbia,, bc maisha yangu yakaendelea hapo bado cjaanza biashara, naishi tu mwenyewe, ilipita kama wiki tatu iv nikaona nipo mpweke ndani napooza kukaa kimya nikapata wazo nichukue hela nikanunue Tv, bc nikatoa milion moja benki nikanunua Tv flat na kitanda pamoja na Azam,, sasa cku naongea hivo vitu jirani yangu aliona nae ni binti tu ila mm mdogo kwake, akaanza mazoea na mm kila cku anakuja chumbani kwangu mara aniulize shemeji ajambo? Yaan alinizoea gafra tu,, nilianza biashara ya vipodozi naenda kkoo nanunua vipodozi vile vzr na pafyumu nzuri nikawa nazungusha kwenye masaluni ya wadada nauza cash au nakopesha,, mtu akiniagiza kitu chochote naenda kumchukulia namletea, biashara ikaenda vzr nikaanza kupendeza,, Mahamood akawa haachi kunipigia cm Mara kwa Mara ananiahidi vitu vingi sana,, yule jirani akazidi kunizoea yaan kila nikiongea na cm na Mahamood lazima aje asikilize,, cku moja nimetoka nimemuacha chumbani kwangu nilikuwa nje nanunua soda, cm yangu nimeacha ndani haina hata password, naingia ndani tu namkuta yule Dada ameshika peni na karatasi anaandika namba ya Mahamood kutoka kwenye CM yangu alivyoona nimeingia alishtuka sana
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sik...
😂 CHIZI MLA NDOGO WAKE ZA WATU🔥 SEHEMU YA TANO ( Onyo ukiwa mtoto au ujakomaa akili usisome simulizi hii) 👉 Uwiiiiiiiiiiiiiii usuingize kwa nguvu mdogo mdogo uko sijazoea Aaaaaaaaa chomoa kwanza inauma chomoa...👇
MJESHI WANGU ___01 05 ......"mwajuuuu!! We mwajuu...! Mwajuma....." nilikuwa nikimsikia dada yangu ananiiita kwa Fujo kwelii ,sikutaka kuitika nilikuwa kimyaaa kwa sababu nilijua nilicho kifanya huko ndani, nilikuwa nmejibana kimyaa nyuma ya mti mkubwa
ulio kuwa mbele kabisa na nyumba yetu Nilimsikia mama nae anamjibu kwa hasiraa "Bwana hayupo embu nitolee kelelee" "Ila...
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭🔥🔥🔥 Part 10 (Moshi mkubwa juu ya anga) wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia janga kama hili sijui labda kwa baba zetu na babu zetu , wazee wote wa msindo
na vijiji jirani walikataa kwa pamoja hapana na sisi hatujawahi kuona kabisa janga kama hili ..endelea sio tu kukataa b...
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 20* Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
Niliwaza sana hapa nachomokaje siwezi kuliwa kizembe hivo🤨🤨🤨niliwaza cha kumdanganya kikakosa🤨🤨 Meneja alinishika mkono...
Nilifanikiwa kuingia Dar salama ilikuwa ucku sana ikabidi nilale stendi za Dar lux pale shekilango,,, asbh palivyokucha nikaanza kutembea mdogo mdogo huku nikijiuliza wapi naenda, nikapata wazo la kwenda bunju maeneo ya shangazi maana kule nimepazoea angalau, bc nikatafuta usafiri hadi huko, nilifika stendi pale nikasema ngoja nielekee upande huu wa pili yaan shangazi kwake upande wa kushoto mie nikaelekea kulia,, nikakutana na madalali nikawaomba wanitafutie chumba mda huo huo kisizidi elfu 50,, bc nilizunguka na madalali hadi nikapata chumba kizuri cha elfu 50, nikaripia mwaka mzima kwa laki sita, nikatoa 50 ya dalalli, nikaingia...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-6
Maoni