Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17

Tulikumbatiana pale na Kaka yangu huku shangazi nae akitusii tunyamaze, shangazi akamkaribisha Kaka ndani , tuliingia ndani yaan tunaangaliana na Kaka hatumalizani kila mtu ana mengi kwa mwenzie, Kaka aliandaliwa chakula akala, mie sikutaka kula cha mtu, mjomba akatoka akakaa nae sebleni maongezi yanaendelea, nilipigiwa cm na Mahamood nikatoka nje kuongea nae, nikamwambia nipo kwa shangazi yangu na Kaka yangu amekuja, bc alifurahi sana akasema bora amepatikana mtu wa kupokea mahari yangu, nirirudi ndani, Kaka akaanza kunitania Amamu umekuwa mrembo, kweli dar haiongopi tulicheka pale yaan ilikuwa raha tu, mda ulifika nikawaaga niende kwangu, Kaka akashangaa Kwan hukai hapa? Shangazi akajibu c umesema amependeza sasa atakaaje hapa wakati amekuwa sasa? Mhhhh bc Kaka akasema twende nikupeleke hadi kwako, shangazi akarukia utampeleka vp wakati na yeye ana gari lake? Jmn shangazi anajibu kila kitu, Kaka akashangaa Amamu una gari?? Embu njoo nje kwanza tuongee vzr unipe Siri ya mafanikio yako,, tukatoka nje ila shangazi akili yake yote ipo kwetu,, akaniuliza hii ndio gari yako? Nikamwambia ndio, nikaifungua tukaingia ndani, akaniuliza vp ulimaliza kusoma hio kozi yako?? Nikamuuliza kozi gn tena? Wakati tangu afe Baba shule ilinishinda? Akasema kwan hukumaliza form 4?? Nikamwambia Kaka bhana usinichoshe kumaliza huko ananisomesha nani? Kaka alishangaa, akasema mbona aliambiwa na shangazi kuwa nimemaliza F4 na nipo tu nyumbani ndio Kaka kutoa hela niende chuo kumbe shangazi alichukua pesa kwa Kaka ili niende chuo niliumia sana nikamwambia Kaka elimu yangu ni ile ile aliyoniacha nayo Baba sina Zaid, bc akaniambia tutaongea vzr kesho maana shangazi alikuwa hana amani mara katoka nje mara kaingia ndani

Nikarudi ndani kuaga then nikaenda zangu kwangu,, tulihaidiana na Kaka atakuja kwangu mapema tu,, nilichukua namba ya cm ya Kaka, bc asbh nimeamka nikafanya zangu usafi, nikaenda buchani nikanunua samaki sato wangu ili nimpikie kaka ugali, kwetu chakula chetu kikubwa ni ugali tena wa mtama

Kaka alinipigia nimuelekeze kwangu nikamuelekeza akafika, yaan alifika mapema hata chai hakunywa nikamuuliza mbona mapema, akasema Amamu umenivuruga ulivyoniambia hujamaliza hata F4 , nikamwambia ndio ivo Kaka, nikamuuliza kwan shangazi ajakuambia chochote nilivyoondoka? Akasema aliongea kuwa ww umeamua kuhama nyumbani ila anahisi umepata mwanaume mwenye pesa, nikamwambia bc unywe kwanza chai, akaniuliza Amamu hapa unaishi na nani? Nikamwambia kunywa chai kwanza then tutaongea,, alikunywa tukamaliza tukaanza maongezi,, nilimuhadisia jinsi nilivyoondoka kwa shangazi na nilivyobakwa na mjomba Kaka angu alilia kwa sauti akaniambia Amamu, mbona hukunitafuta? Nikamwambia ningeanzia wapi? Nikamwambia hadi nilivyorudi kijijini, Baba mdogo alivyonipiga nusu kuniua eti kwann nimechelewa kufika nilikuwa wapi? Na walivyonigeuzia kesi eti mm ndio nilitaka kumbaka mjomba aisee Kaka alilia kama mwanamke , ikabidi nimnyamazishe Kaka yangu, akaniambia, kila cku nilikuwa nakuwaza mdogo wangu ila shangazi ananiambia upo chuo, nimemtumia milion mbili ya kukulipia ada ya chuo kumbe muongo,, bc tukanyamazishana na Kaka, akaniuliza kuhusu pale ikabidi nimwambie tu ukweli kuhusu Mahamood, ila kuhusu kutolewa marinda sikumwambia jmn hii ni aibu yangu mwenyewe ndio maana namwambia adimin furaha asiniweke hadharani ctaki, wamama mtanichamba Mamujee mm

Bc tuliongea mengi kunihusu na Kaka, ndipo na yeye akaanza kuniambia ya kwake,, kumbe Kaka yangu nae kapitia mazito ( wanawake muombeni Mungu awape maisha marefu mlee wanenu Uyatima mbaya sana ) Kaka yangu nae alichukuliwa na shangazi yangu mwengine, tulifanywa kugawanywa mie kuja dar yeye Arusha, alifika Arusha mwanzoni maisha yake yalikuwa mazuri tu, yeye mwenzangu alifanikiwa kumaliza F4 , bc aliishi kwa shangazi pale Arusha ila kama house boy shangazi wa Arusha nae ni mfugaji ko Kaka alikuwa anachunga mifugo,, Sasa cku moja kapeleka ngombe malishoni, cjui ikawaje ngombe mmoja akapotea, alitafuta kote, kwa wenzie wote anae chunga nao bila mafanikio, ndipo kumuambia shangazi, ila shangazi alishindwa kuelewa akampeleka Kaka polisi, akakaa sero wiki tatu hata wa kumuwekea dhamana hayupo, ndipo mapolisi kwa huruma wakamtoa, akawa hana pa kuishi anaishi stendi, ndipo akakutana na vijana wenzie wa mitaani wakaamua waende migodini kwenye machimbo,, Miaka miwili kasota machimboni ila Mungu si Mwanadamu, Kaka yangu katusua

Itaendelea

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 18

Tuliongea mengi na Kaka yangu akaniambia kuhusu biashara zake na nyumba yake kubwa anayoishi Arusha Maeneo ya Unga limited, nikamwambia na mm nyumba yangu ya Salasala, kuhusu Mahamood Kaka hakuwa na shida aliniambia tu mm ni mtu mzima hawezi kunipangia maisha, wakati tupo tunaongea na Kaka, shangazi akampigia cm Kaka kumuuliza upo wp? Kaka akamjibu nipo mjini huku nitakuja huko muda c mrefu niwaage, naanza safari ucku huu, shangazi alikataa cm,, Kaka akaniambia sina hamu hata ya kwenda pale kwa shangazi, nitafute hotel nzuri nikae siku mbili tatu, nikamwambia kwann usikae hapa kwangu? Alikataa kata kata, bc tulitoka na gari yake hadi maeneo ya mwenge tukalipia hotel, akarudi kwa shangazi kuaga lkn shangazi akawa hataki Kaka aondoke pale, ilibidi kaka alazimishe tu, alimpa laki moja akasepa zake

Tulihaidiana na Kaka asbh atakuja kwangu ili nimpeleke kwenye ujenzi wa nyumba yangu Salasala, bc alinifata kwangu tukaelekea, tukakuta mafundi wanaendelea na kazi, Kaka alishangaa kuona Dada yake naenda kumiliki ghorofa, akaniambia Amamu hongera sana, nataka na mm nitoe mchango wangu hapa kwenye nyumba yako,, nikamwambia Kaka kwnn sasa? Akasema ww ni mdogo wangu wa damu nisipo kusaidia ww bc nitakuwa mchawi, ungekuwa huna gari bc ningekununulia ila gari unayo tena mpya kabisa, acha nichangie ujenzi,, nikamwambia Kaka asante sana na Mungu azidi kukufanikisha, akaniuliza nina akaunti benk gn, nikamjibu, nikampa namba za akaunti yangu, Kaka yangu aliniingizia milion kumi cash akaniambia nikikwama chochote bc nimjulishe, nilimshukuru sanaa,, hatimae cku zikaisha Kaka akasepa zake Arusha

Mawasiliano na Mahamood yalizidi kushamili cm kutwa kucha, mimba yangu inazidi kukua tu,, nilikuwa napendwa hadi naona kero, ilifika mahari akawa hataki niendeshe gari mwenyewe nikitaka kutoka bc niite uber au nimwambie yeye anitumie dereva

Nakumbuka siku hio nimeamka zangu asbh kama kawaida yangu lazima nitapike kwanza ndipo maisha yaendelee, nipo chooni, Cm yangu ikawa inaita, nikasema nikitoka nitaichukua acha iite tu, nikaendelea na yangu ila cm inazidi tu, nikasema nani huyo jmn? Nikatoka kwa hasira kuchukua cm kuangalia namba shangazi, mhhhh nikasema kulikoni tena?? Nikaipokea, shangazi akaanza kilio Amamu mwanangu nipo hospital hapa mjomba wako kapata ajari ya pikipiki hee!! Makubwa haya tena, nikamuuliza hospital gn akaniambia muhimbili,, nikamwambia sawa nakuja,, nikamcheki Mahamood watsp kumpa zile taarifa akaniambia anamtuma mfanyakazi wake anifate anipeleke, nikaamua kumcheki Kaka kumpa zile taarifa kumbe na yeye aliambiwa na shangazi tena akamuomba hela ila Kaka akamjibu sina, ndipo kunipigia mm,, Kaka akaniambia usiende popote achana nao, ila roho ya huruma ikaniingia nikamwambia Kaka ngoja nikaone tu,, bc tulimalizana na Kaka, nikajiandaa fasta nilivaa baibui langu hadi nikabu ukiniona hunijui Mamujee mm

Dereva akaja tukaenda hospital, nilivyofika kwanza hakunijua nilimkuta nje ya wodi ya Moi anatia huruma kajishika shavu nikasema ngoja nijifanye sijamuona nimpite nikakae mbele yke nimchore kwanza ila roho ya huruma ikaniingia, nikamfata nikamwita shangazi akaitika kwa sauti kubwa Abeee huku ananitazama usoni, maana naonekana macho tu nikaona isiwe shida nikatoa nikabu, hee Amamu mwanangu sijakujua Mama nikamuamkia sikutaka mambo mengi, nikamuuliza vp ilikuwaje, akaanza kuniambia chanzo cha ajari, mjomba alibebwa nyuma cjui ikawaje akajikuta yupo uvungu wa lory,. Na miguu hainyanyuki, hapo wameletwa tangu jana yake ila bado hajapelekwa Opareshen eti kuna foleni wagonjwa wa ajari wapo wengi kwa hiyo asubiri, au alipie Emmegency, nikamwambia sasa c walipie hio kuliko kuendelea kusubiri mguu c utaoza?? Akaniambia Amamu mwanangu hao wanataka hela cash na mm sina hio hela, nikamuuliza sh ngp?? Milion moja na laki saba,, nikamwambia sawa bc ngoja niende benk nikampe,, shangazi alibaki kaduwaa hata jibu hana,, nikavaa nikabu yangu nikatoka kumfata dereva anipeleke benk,, hatukuchelewa kurudi nikampa shangazi milion mbili cash, kisha nikamuaga, akaniuliza huingii ndani kumuona mgonjwa?? Nikamwambia nitakuja cku nyingine,, bc shangazi machozi yakamtoka huku kawa mdogo,, mie huyo nikasepa zangu

Nilikaa kama wiki iv shangazi akanipigia mumewe anaendelea vzr ila wamemuweka vyuma

Maisha yakaendelea nipo zangu kwangu huku mimba yangu inazidi kukua gafra tumbo likawa kubwa ajabu, mhh mbona tumbo linakuwa haraka iv,, sikuanza kliniki coz Mahamood hakuwepo na aliniambia nimsubiri yeye anipeleke, bc nakumbuka mimba yangu ilifika miez sita kwenda saba sijaanza kliniki,, cku hio Mahamood akanipigia akaniambia anakuja kesho kutwa nijiandae, kweli alifika nikampokea vzr zawad kibao zingine nimetumiwa na mke mkubwa, cheni ya gord, pete na kikukuu vyote gord, nirifurahi nikaongea nae kwa cm kumshukuru,, nikapelekwa kliniki pale kairuki wala hatukusemwa kwa nn tumechelewa Mahamood aliongea na doctor sababu ya kuchelewa kuanza clinic, bc nilifanyiwa vipimo vyote hadi ultrasound,, mhhhh niliogopa ultrasound ilionesha nina mapacha,,,,,,,

Itaendelea
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17

Tulikumbatiana pale na Kaka yangu huku shangazi nae akitusii tunyamaze, shangazi akamkaribisha Kaka ndani , tuliingia ndani yaan tunaangaliana na Kaka hatumalizani kila mtu ana mengi kwa mwenzie, Kaka aliandaliwa chakula akala, mie sikutaka kula cha mtu, mjomba akatoka akakaa nae sebleni maongezi yanaendelea, nilipigiwa cm na Mahamood nikatoka nje kuongea nae, nikamwambia nipo kwa shangazi yangu na Kaka yangu amekuja, bc alifurahi sana akasema bora amepatikana mtu wa kupokea mahari yangu, nirirudi ndani, Kaka akaanza kunitania Amamu umekuwa mrembo, kweli dar haiongopi tulicheka pale yaan ilikuwa raha tu, mda ulifika nikawaaga niende kwangu, Kaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

872
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

572
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

374
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

186
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

170
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

139
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

38
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest