Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21

Cm ya Mahamood ikaingia, nikajiuliza nipokee au niachane nayo? Nikasema ngoja nipokee maana ni Mume wangu, halow Mamujee unaendeleaje? Nikamwambia cjambo, eti mke wangu naomba univumilie, najua unaumia sawa, ila nivumilie mama, huyu mwanamke ni mkorofi sana, amechukua namba yako kwenye cm yangu, ctaki kumwambia kuhusu swala la mimba, nahofia anaweza kufanya hata kitu kibaya, ndio sababu nipo kimya kwa sasa, nasubiri ujifungue kwanza,, nilimuoa huyu mwanamke sababu ya bi mkubwa kukosa uzazi , ckujua kama hata yeye atachelewa kuzaa, wakati namuoa yeye nilimuhakikishia kuwa sitaoa tena yeye ndio wa mwisho, Sasa ningefanya nn na yeye uzazi umekuwa wa shida kwake? Ina maana nikae bila mtoto kweli?! Hapana naomba univumilie,, kama unashida yeyote ya pesa bc nikutumie, naomba utulie, acha presha, ujifungue kwanza,

Aliongea mengi sana kunibembeleza nikamwambia sawa inatosha, maana tyr nilikuwa naona kabisa presha yangu iko juu

Nikamuuliza tu vp ujenzi wangu kule Salasala, maana alimuachia mtu ausimamie, akaniambia unaendelea vzr na wameanza kupaua,, bc nikamwambia sawa bye

Niliendelea kukaa pale kwa Kaka ila akawa amepunguza kidogo Mambo ya wanawake, anawaleta ila wawili, wenyewe hata hawajuani kila mtu anajijua yupo mwenyewe na mm nilikuwa hata siwaopoi maana mie kwangu tupo watatu maisha yaliendelea na cku zikazidi kuisha,, tulikubaliana na Mahamood kabla kuwa nisubiri uchungu niombe Opareshen coz tulihofia watoto wawili harafu marinda sina mhhhh, bc tukawa tyr tunajua mm ni Opareshen tu, hata wakati nipo dar doctor wangu aliniandikia ivo so kwenye fairi langu ilikuwa ipo wazi kuwa nataka opp, nazani mnajua hospital za kulipia hazina shida zinakusikiliza mteja unataka nn,, na nilivyofika Arusha tyr nilishatafuta hospital ya kujifungulia, trh yangu ya opp ilifika nikaenda hospital vzr nilipelekwa na Kaka pamoja na wifi mmoja, nilifika hospital nikalazwa ili kuandaliwa kwa opp,, Kaka alimtafuta Mahamood ila hakupatikana, nikafanyiwa opp vzr nikajifungia salama watoto wa kiume,, nilifurahi sana pamoja na Kaka yangu maana tyr tumeongezeka, tulikuwa wawili ila sasa tupo wanne bc nilikaa hospital kama cku tano iv nikaruhusiwa kurudi nyumbani, niliendelea kula uzazi pale kwa Kaka wala sikuwa na hofu tena kuhusu Mahamood nilisema akinitafuta sawa ila asiponitafuta pia sawa , nilikaa hadi namaliza 40 Mahamood kimya ukimtafuta pia hapatikani, nikasema mhhhh hii sio kawaida kulikoni? Namba ya bi mkubwa sina huwa naongea nae kupitia cm ya Mahamood, nikaona hii hali sio ya kawaida,, namtafuta vp sina njia nyingine? Ila namba ya bi mdogo ninayo aliyonitumia matusi, ila cwez mtafuta!! Nikaongea na Kaka kuhusu ile hali na wasiwasi wangu,, Kaka aliniuliza tu ile ghorofa hati yake jina la nani?? Yaan Kaka unaacha kufikilia wanangu kuhusu Baba yao unawaza ghorofa?? Akaniambia Amamu hao watoto ni wangu, Baba yao awepo au asiwepo wala usijali, niambie tu hati ya nyumba yako inajina la nani?? Nikamwambia inajina langu,, akaniuliza tena una uwakika?? Nikamwambia ndio, akasema bc achana nae yaaan Kaka mipombe imemuaribu jmn,, cjui na mirungi pia, maana anaongea kihuni tu, aliniuliza kuhusu gari yangu nimeacha wap nikamwambia pale pale kwangu ila usalama upo tu, huwa nampigiaga jirani yangu ananiangalizia, bc Kaka akasema kama huumpati huyo mumeo achana nae nikamwambia bc mm nikifikisha miezi mitatu narudi kwangu, akaniambia sawa, kula uzazi kwanza kwa Kaka yako,, bc niliendelea kukaa kwa Kaka ila ckuacha kumtafuta Mahamood ila mafanikio hakuna

Cku moja nipo zangu tu sina hili wala lile, nishaanza kupendeza uzazi umenipenda mwenyewe kuhusu mengine nimemuachia Mungu,, nashangaa mlinzi wa Kaka ambaye ndio house boy, anakuja kuniita eti kuna mgeni wangu,, nimetoka namuona Mahamood, alivyoniona alifurahi, akaniambia nilijua tu tyr umejifungua, nikamwambia kwahyo ulifanya makusudi?? Nikamwambia karibu ndani,, akasema hapana siingii ndani, naomba toa maelekezo kwa watu wako humo ndani tutoke mara moja,, bc nikawaaga madada nikatoka na Mahamood, tukaenda kwenye hotel moja iv, tukaagiza chakula na vinywaji hatukuchukua room,, wakati tunakula na kunywa ndipo akaanza kuniomba samahani, kumbe bi mdogo alivunja cm na alikata kata laini zote za cm, kwahyo alikosa mawasiliano kabisa, mhhhh nikaamua kumuelewa tu, ndipo akaniuliza umejifungua watoto gn?? Nikamwambia wa kiume, maana mda wote huo alikuwa hajauliza chochote kuhusu watoto, akaniambia naomba picha nikamuonyesha ,, Watoto wangu wote machotara nywele Sasa kama Baba yao Mahamood alifurahi akasema nilitegemea hili,, bc alikuwa na cm nyingine kweli tofauti na ile ya mwanzo, akampigia cm bi mkubwa,, yaan bi mkubwa alifurahi jmn yule mwanamke cjui ana roho gn jmn, nikaongea na bi mkubwa akanipa hongera,, Mahamood akamtumia bi mkubwa picha,, bc Mahamood akaweka status yake watoto wake akaandika inshallah, hatimae nimekuwa Baba,, nikamwambia huogopi?? Akasema nilikuwa nasubiri wazaliwe salama tu mm sio mjinga wa kupelekeshwa na wanawake he mara ananionyesha status ya bi mkubwa nae kawaweka watoto kaandika My babies , nikasema bi mdogo lazima aue mtu

Itaendelea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 22

Adimin sory sana pamoja na wajumbe, nilitamani kurudi ila bize sanaa walah! Hii sikukuu kwa sisi wafanya biashara ndio wakati wetu wa kupata chochote, sasa nimejikuta hata muda wa kushika cm sina kabisa!!! Natamani kuimaliza hii story......

Bc tulikaa pale Hotelini tukimaliza chakula chetu,,, tulirudi nyumbani ili Mahamood akawaone watoto wake, bc alifurahi sana kuwaona wanae akasema hii kweli damu yngu,, alikaa pale akimsubiri Kaka ili amshukuru,, akaniambia Mamujee naomba turudi dar, nikamwambia sawa ila tulipatana na Kaka watoto wafikishe miezi mitatu, akaniambia hapana, nataka tuwahi nikasimamie ile nyumba iishe kwa haraka, kabla sijarudi Dubai muwe mmehamia na watoto, nikamwambia sawa, MUDA uliisha Kaka hakurudi mapema cku hio, Mahamood aliondoka kulala Hotelini,, bc Kaka aliporudi nilimpa zile habari akakubali mm kurudi dar na Mahamood,, bc asbh tuliamka mapema sana tukajiandaa kuondoka, Kaka akanipa msichana wa kazi mmoja nije nae, Mahamood alitufata tukaanza safari ya kurudi

Tumefika dar vzr tukaanza maisha mapya ya ulezi wa mapacha ( Mtanisamehe majina ya watoto wangu sita yataja kurinda heshima ya familia yangu maana humu tupo wengi na tayari nishajitaja jina langu Mamujee so watu watanijua) bc Mahamood alinitafutia msichana mwengine kwa watu wa makampuni nikawa na wasichana wawili,, tuliishi vzr sana Mahamood alipenda sana watoto wake, nyumba yangu iliisha kabisa, namshukuru Mungu mnoo, nikahamia kwenye nyumba yangu na familia yangu,, kipindi hicho chote choko choko za bi mdogo zinaendelea, mara anitumie matusi, yaan shida tupu, Mahamood alinisisitiza sana nisimjibu kitu hadi pale atakapo yaweka sawa

Nipo zangu kwangu Salasala nishaanza kuzoea maisha yangu na Mahamood yupo anaenda kwenye biashara zake anarudi jioni,, nakumbuka cku moja shangazi yangu alinipigia cm nimuelekeze kwangu anataka aje anishukuru,, mumewe amepona,, nikamwambia shangazi usijali haina haja akasema hapana nielekeze kwako nije,, nikaongea na Mahamood kwanza akaniambia sawa mwache aje,, nikamwambia shangazi kwa sasa mm naishi Salasala, akasema sawa nitakuja jumapili nikitoka kanisani, bc jumapili ilifika kweli shangazi akaja na familia yake , amefika pale kwangu hakuamini akakosa furaha akawa mnyonge sana,, watoto wake wakawa wananiuliza Dada hapa ni kwako? Nikawaambia ndio,, shangazi alishangaa mm kujifungua bila kumjulisha, nikamwambia nilikwenda Arusha kwa Kaka, bc Mahamood alionana na shangazi yangu wakafahamiana ,. Ila shangazi alishikwa na butwaa sana hakuamini Amamu mm kuishi nyumba kama ile na Mume wangu Muarabu bc tuliongea mengi akanishukuru kwa ile pesa niliyompa kumuuguzia mumewe, nikamwambia shangazi usijali sisi ni ndugu uwe na amani,, muda wao wa kuondoka uliisha wakaondoka zao

Kumbe yale maisha yangu aliyoyaona shangazi yangu hapa kwangu yalimpa maswali sana na akaingia na chuki moyoni mwake, shangazi yangu ana mtoto wake wa kike mkubwa tu, tunalingana na mm kiumri ila mm ni mkubwa kama mwaka,(anaitwa Roby) pia na yeye alikuja nyumbani kwangu na mama yake, nashangaa Roby ananipigia cm Dada naomba nije kwako nina shida na ww,, hapo sijui chochote wala sifikirii kama anaweza kunifanyia jambo baya,, nikamwambia sawa njoo,, hapo Mahamood anajiandaa kusafiri kwenda Dubai,, alikuja kwangu vzr nilitegemea labda anakuja na kuondoka kumbe amekuja kuishi nashangaa amefika na begi kubwa, nikajiuliza kulikoni? Dada wa kazi akampokea vzr akaingiza room kwao,, hee kumbe mgeni kaenda kuoga kabadilisha na nguo kabisa Sasa nguo aliyoenda kuivaa jmn bora aliyovua,, kavaa kipensi kifupii na kisingrendi tumbo lote nje,, kaja kakaa sebleni hapo sebleni nimekaa na Mume wangu,, yaan mara ashushe mguu mara apandishe juu hadi Mahamood akashindwa kukaa akaenda chumbani,, kweli sikujua lengo lake ila kwa vitendo vile tu nilijua hapa ametumwa na Mama yaje anichukulie Mume

Itaendelea

Soma mpaka mwisho kwa Tsh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21

Cm ya Mahamood ikaingia, nikajiuliza nipokee au niachane nayo? Nikasema ngoja nipokee maana ni Mume wangu, halow Mamujee unaendeleaje? Nikamwambia cjambo, eti mke wangu naomba univumilie, najua unaumia sawa, ila nivumilie mama, huyu mwanamke ni mkorofi sana, amechukua namba yako kwenye cm yangu, ctaki kumwambia kuhusu swala la mimba, nahofia anaweza kufanya hata kitu kibaya, ndio sababu nipo kimya kwa sasa, nasubiri ujifungue kwanza,, nilimuoa huyu mwanamke sababu ya bi mkubwa kukosa uzazi , ckujua kama hata yeye atachelewa kuzaa, wakati namuoa yeye nilimuhakikishia kuwa sitaoa tena yeye ndio wa mwisho, Sasa ningefanya nn na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-21-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

870
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

560
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

355
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

170
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

168
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

131
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

33
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest