Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
47 views
VYOTE NDANI GONGA94
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
Mume wangu! Niliita kwa mshangao mkubwa maana sikutarajia, nilikuwa nimesimama sehemu moja nimeigwa butwaa
Mahamood, niliita tena ndipo akageuka huku akifuta machozi, akanitazama na kusema "uko salama mke wangu?"
"Ndiyo" nilisema huku nikisogea na kuketi kitandani namtazama hata siamini "kuna tatizo gani?" Nilimuuliza "unaumwa?"
Akatikisa kichwa kumaanisha haumwi, nikamuuliza mbona umekonda sana halafu pia unalia, kuna tatizo gani niambie"
Nimepitia mengi sana magumu mke wangu, naomba umisamehe sijakutafuta kwa kipindi chote hiki, ndipo na mimi nikamuuliza "sasa kwani ulikuwa na shida gani huko ukashndwa kunitafuta
Akasema kule uingereza kuna sheria ngumu sana, mke wa pili, bi Fatima alinipeleka mahakamani talaka yake iliendana na kugawana mali zangu nusu kwa nusu nimeparangana na hiyo kesi miezi miwili baada ya kuimaliza tu nikapigiwa simu kutoka dubai, mke wangu mkubwa amechukua fedha na kupotea.
Mhhhh nilishtuka sana nikawaza mbona magumu yanatokea kwa wakati mmoja nikamuuliza kwani ulikuwa umegombana mke mkubwa akasema tatizo lilianzia kwenye ile mimba
Nikamuuliza mimba ilisababishaje? Akasema mle alitaka naye aitwe mama ndio maana aliamua kubeba mimba bila kumshirikisha
Niliduwaa kwanza, "kwa hiyo mke ushajua alipo?"
Alasema hajajua alipo, ndipo nikamuambia si atumie madawa yake kujua alipo, akasema mkewe mwenyewe alikuwa ashaujua uchawi hivyo amejisindika ili nisijue yuko wapi. Niliogopa sana
Sasa mbona umekonda? Akasema ni mateso yamenikondesha nimeteseka sana
"Basi kaa hapa nitahakikisha nakuhudumia hadi unenepe sawa? Akasema sawa, maisha yakaendelea vizuri yeye hakutaka tena kurudi dubai.
Siku ya kwanza niliamua kumpikia chakula mwenyewe, nilikuwa najua anapenda nini hivyo nikamuandalia vizuri kisha akaja tukala kwa pamoja huku nikimtia moyo.
Safari ya Dubai nikawa nimeshaiahirisha kwa sababu niliyekuwa namfuata amekuja mwenyewe. Ilipofika saa tatu tu tulienda kulala.
Tulijaribu kufanya mapenzi lakini Mahamood alishindwa kwa sababu alikuwa na msongo wa mawazo sana akaniambia tutafanya kesho, hivyo tukalala.
Usiku saa nane nikashtuka kutoka usingizini, nilipotazama kitandani niko peke angu, nikajiuliza vipi mwanaume yuko wapi, au yuko bafuni lakini kwa kuwa chumba kilikuwa ni masta, nilitazama bafun hakukuonekana kama kuna mtu.
Nikaendelea kujilaza huku nikisubiri arudi dakika zaidi ya kumi mtu harudi ikabidi niwashe taa nitazame simu na laptop vyote kaacha kitandani sasa kaenda wapi?
Nikashuka huku naita "Mahamood...Mahamood" nikafungua mlango
Nilipofungua nilichungulia nikatazama barazani nikamkuta Mahamood amejilaza chini kwenye sakafu, anajiviringisha huku akiweweseka kama mtu anayepitia maumivu makubwa sana
UNAJICHELEWESHA KUMALIZA, kwa sh 1000 unasoma mkasa huu mpaka mwisho
Soma kupitia WhatsApp 0743433005
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sik...
😂 CHIZI MLA NDOGO WAKE ZA WATU🔥 SEHEMU YA TANO ( Onyo ukiwa mtoto au ujakomaa akili usisome simulizi hii) 👉 Uwiiiiiiiiiiiiiii usuingize kwa nguvu mdogo mdogo uko sijazoea Aaaaaaaaa chomoa kwanza inauma chomoa...👇
MJESHI WANGU ___01 05 ......"mwajuuuu!! We mwajuu...! Mwajuma....." nilikuwa nikimsikia dada yangu ananiiita kwa Fujo kwelii ,sikutaka kuitika nilikuwa kimyaaa kwa sababu nilijua nilicho kifanya huko ndani, nilikuwa nmejibana kimyaa nyuma ya mti mkubwa
ulio kuwa mbele kabisa na nyumba yetu Nilimsikia mama nae anamjibu kwa hasiraa "Bwana hayupo embu nitolee kelelee" "Ila...
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭🔥🔥🔥 Part 10 (Moshi mkubwa juu ya anga) wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia janga kama hili sijui labda kwa baba zetu na babu zetu , wazee wote wa msindo
na vijiji jirani walikataa kwa pamoja hapana na sisi hatujawahi kuona kabisa janga kama hili ..endelea sio tu kukataa b...
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 20* Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
Niliwaza sana hapa nachomokaje siwezi kuliwa kizembe hivo🤨🤨🤨niliwaza cha kumdanganya kikakosa🤨🤨 Meneja alinishika mkono...
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
Mume wangu! Niliita kwa mshangao mkubwa maana sikutarajia, nilikuwa nimesimama sehemu moja nimeigwa butwaa
Mahamood, niliita tena ndipo akageuka huku akifuta machozi, akanitazama na kusema "uko salama mke wangu?"
"Ndiyo" nilisema huku nikisogea na kuketi kitandani namtazama hata siamini "kuna tatizo gani?" Nilimuuliza "unaumwa?"
Akatikisa kichwa kumaanisha haumwi, nikamuuliza mbona umekonda sana halafu pia unalia, kuna tatizo gani niambie"
Nimepitia mengi sana magumu mke wangu, naomba umisamehe sijakutafuta kwa kipindi chote hiki, ndipo na mimi nikamuuliza "sasa kwani ulikuwa na shida gani huko ukashndwa kunitafuta
Akasema kule uingereza kuna sheria ngumu sana, mke wa pili, bi Fatima alinipeleka...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-38
Maoni