MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
Na Mtaalam wa Simulizi
Naitwa Mamujee ni mzaliwa wa Musoma, sijabahatika kusoma sana niliishia f2 sababu ya kukosa mtu wa kunisomesha pindi tu nilipofiwa na Baba yangu, Mama yangu alifariki kitambo sanaa tangu nilipokuwa darasa la nne, Baba yangu alipofariki tu mm nikachukuliwa na shangazi yangu anaeishi Dar,. Kaka yangu alipelekwa kwa shangazi yangu mwingine anaishi Arusha, tumezaliwa wawili tu mm na Kaka yangu!!
Nilifika Dar kwa shangazi nilipokelewa vzr, shangazi yangu alikuwa Mwalimu wa shule ya msingi, pale nyumbani tulikuwa tunaishi na mjomba pamoja na watoto wa shangazi watatu,. Kiufupi pale nilikuwa kama house girl, kazi zote za nyumbani ni zangu, watoto wa shangazi walilelewa kama mayai hawawezi kufanya kazi yeyote, tuliishi vzr na shangazi huku nikiendelea kuwa mfanyakazi pale nyumbani ila sikujari sababu nilikuwa najua mm ni yatima sina pa kwenda bc nilivumilia,, ilikuwa imepita kama mwaka ivi tangu nije dar, nikawa mwenyeji nikazoea jiji vzr japo sikuwa mtu wa kujichanganya sana,, siku moja nimeamka zangu nyumbani nafanya zangu usafi shangazi na wanae walikuwa wametoka kama kawaida yao, nilikuwa bize sana na kazi zangu sikujua kama mjomba yupo ndani, nilifanya kazi zangu zote nilivyomaliza nikaingia bafuni kuoga ili nijiandae niende Solomon, nikiwa chumbani kwetu navaa nikaona mlango umesukumwa kwa nguvu, akaingia mjomba chumbani,, akanikamata kwa nguvu huku ameniziba mdomo, mjomba akanibaka nililia sanaa, sikuwahi kukutana na mwanaume tangu nimezaliwa mjomba ndio alikuwa wa kwanza, niliumia sana, mjomba akanitishia sana ole wangu niseme au nihadisie kwa mtu yeyote yule ataniua, nililala chumbani huku nikiwa na maumivu makali hadi shangazi aliporudi alinikuta nipo chumbani na sijapika chakula,, akaniuliza mbona Mamujee hujapika chochote na umelala kulikoni?? Nikamjibu naumwa huku nalia, bc akaniambia inuka ukanunue dawa umeze, nilinyanyuka kwenda kuchukua hela kwa shangazi ili nikanunue dawa, huku nachechemea, shangazi alivyoona nashindwa kutembea vzr bc akahisi kitu, akaniuliza umefanya nn huko chini hadi unashindwa kutembea?? Nilipigwa sana na shangazi akinituhumu nimeanza umalaya nimtaje huyo mwanaume aliyenifanya kitendo hiko,, nilipigwa sana niliomba msamaha kwa shangazi nikamwambia mm sio malaya ila hakunielewa kabisa, kipigo kilipo nizidia ndipo nikamwambia shangazi ukweli kuwa mjomba amenibaka bc shangazi hakunielewa kabisa akasema mm muongo namsingizia mumewe, mm ni Malaya tangu utoto, nimerithi umalaya wa Mama yangu,, shangazi hakutaka kunielewa wala hakutaka kumsubiri mjomba ili amuulize aliamua kunifukuza nyumbani kwake aliingia chumbani kwetu akabeba begi langu akaniuliza nje akanipa na elfu 60 ili nitumie nauli ya kunifikisha Musoma
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.