Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28

Daah hadi naona haya natamani ingekuwa wtsap nikatuma voice note nimalize,,

Nilikaa pale Dubai kwa raha sana outing kama zote kiufupi nilienjoy sana sana, wakati wa kurudi Tz uliwadia, nikaanza kujiandaa kurudi, bi mkubwa akanishauri nisikae bure nitafute kitu cha kufanya, akaniambia nikifika Tz nitafute frem nzuri ya kuuza nguo then yeye atakuwa ananifungia mizigo Dubai ananitumia Tz, kweli nilikubari wazo lake,, jion ilivyofika Mahamood alirudi bi mkubwa akamwambia kuhusu wazo la biashara, Mahamood hakubisha akamwambia tu bi mkubwa aanze kunitafutia huo mzigo coz mm nikifika Tz tu naanza kutafuta flem,, kweli nilijiona mwenye bahati mnoo wala sikuwahi kuwaza kwenye maisha yangu kama ipo siku na mm nitakuwa mtu kwenye watu , niliendelea kukaa pale nikisubiri Mahamood anashuhurikia tiket,, ila nikiwa pale nikawa sielewi,, kuna chumba maalumu ambacho hakifunguliwi ovyo,, na ikitokea kimefunguliwa bc Mahamood yupo hapo au bi mkubwa anaingia ila mara moja moja mno labda kufanya usafi,,. Mhhhh mara ya kwanza nilikuwa sijali, ila kadri nilivyozidi kukaa pale nikawa natafakari sana,, mara nyingine watu wanakuja watu wenye hela ukiwaona mwenyewe unakubali kuwa hawa watu pesa wanayo,, yaan hao watu wanakuja wakati Mahamood yupo na wakija tu wanaingia kwenye hiko chumba,,, nikajiuliza hawa watu niwakina nani?? Na humu ndani wanaenda kufanya nn?? Kweli mwanzo niliumiza kichwa sana na sina wa kumuuliza,, japokuwa mm ni mke wa Mahamood ila nilikuwa sijamzoea sana kumuuliza uliza vitu ovyo nilikuwa cwez, nikasema moyoni hapa hadi nijue humo ndani kunafanyika nn,, hiko chumba kiko chini, nyumba ni ghorofa moja ila ina vyumba vingi,, iko chumba Sasa kipo chini na mm nalala juu, kwenye hio nyumba kuna sebure mbili, juu na chini,, hio sebure ya chini kiufupi haitumiki,, inafanyiwa usafi kila cku ila hawakai wote wanakaa juu,, hiko chumba chenyewe kilichonipa hofu kipo chini pembeni mwa sebure,, nikaanza uchunguzi wangu wa kimya kimya sikumuuliza bi mkubwa wala Mahamood,, chumba changu cha juu dirisha lake linatizama geti kubwa la magari,, nikiona gari linaingia getini watu wakishuka tu, nasogea hadi karibia na ngazi nachungilia kwa chini bc nawaona hao wageni wanavyoingia kwa hiko chumba,,, nilifanya upelelezi wangu ila sikugundua kitu,, nikawa na hofu nikakosa amani najiuliza hawa ni wakina nani hasa?? Mbona wana siri zao wanazificha kwangu??

Bc safari ya kurudi Tz ilizidi kuwadia zilifika kama cku tatu safari ianze, na hapo sijajua chochote kuhusu hiko chumba,,, Waarabu wanapenda sana mambo ya kutoka out sana,, kwenda kwenye pikinik,, mara kula Ice cream, yaan wanapenda sana,,, mm tangu nifike Dubai walishanipeleka sana izo sehemu,,, nakumbuka ilikuwa cku ya jumapili,, wamejiandaa vzr wote wanataka kutoka, kasoro madada wa kazi tu,,, nilikuwa chumbani kwangu,, akatumwa mtoto aje aniambie nijiandae,,, wala sikumbishia nilijiandaa vzr nikajipodoa hasa kisha nikalala,, wakaja kuniita nikawaambia kichwa kunauma sana,,, bi mkubwa akaja hadi chumbani kwangu akaniuliza Mamujee vp? Nikawaambia Dada kichwa kinaniuma sana cwez kutoka leo,, bc akaniletea dawa akaniambia nipumzike kama kuna shida yeyote niwapigie cm,, bc nikamwambia sawa,, Mahamood akuwepo cku hio

Walivyoondoka tu nikamwita Dada yangu wa kazi,, maana kabla alikuja kuniambia kuwa kuna madada wale wa kazi, Sasa wale wawili wa Tz,, wameomba cku tukiondoka bc watupe mizigo kidogo na pesa tuwapelekee ndugu zao,, nikamwambia aniitie mmoja wao,, bc alimwita nikashuka chini maana wao wanalala nje kuna vyumba sio mule ndani,, alivyokuja nikaanza kumuuliza kuhusu kwao akanielekeza vzr nikamwambia sawa nitakwenda,, nikamuuliza kuhusu pale na watu wanavyokuja,, akaniuliza kwan hujui?? Ww c mkewe?? Kwann ajakwambia Mumeo?? Nikawaambia wala hajaniambia na mm sijaolewa mda mrefu sana,, akaniambia bc nikikwambia usimwambie hadi akwambie mwenyewe,, nikawaambia wala usijali mm shida yangu kujua tu bc

Akaniambia Mumeo ni MGANGA Tena Mganga mkubwa sana Dubai,, anatubu watu wakubwa,, Viongozi na Matajiri anafahamika sana sana heeeee Mamujee mm nimeingia wapi?? Tobaaaa,,, nikaishiwa pozi mwili wote ukaingia baridi,,, nikajiuliza kumbe mara ya kwanza nilivyokutana na Mahamood akaniambia nina nyota kali sana tena ya utajiri sikujua ana maana gn kumbe yeye ni mganga??? Hata Roby alivyokuja kwangu na dawa aliziona nilijiuliza amejuaje kama roby ana madawa kumbe ni mganga??? Hata nilivyojifungua wanangu kipindi nipo Arusha alivyokuja hakuwa na haraka ya kujua watoto jinsia gn kumbe alishawaona kwa uganga wake???

Nilikosa raha kwann amenificha hakuniambia mapema?? Nikamchukia kuanzia hapo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 29

Nilijikuta namchukia Mahamood, kwann amenificha hakuniambia mapema kama yeye ni mganga?? Nirirudi ndani nikaingia chumbani kwangu nikalala, mara wakarudi waliokwenda matembezi, bi mkubwa akaja chumbani kwangu kunijulia hali, nikawaambia naendelea vzr, bc aliniletea Ice cream na zawad nyingine,, tukatoka hadi sebleni tukawa tunapiga story,, akawa ananipa mbinu za biashara na jins ya kuliteka soko,, bc nilimsikiliza,, akazidi kuniambia jins ya kufanya biashara, kwanza nikae mwenyewe dukani hata km nitakuwa na wasaidizi,, nilimshukuru sana,, akawa anasema atawakumbuka sana mapacha wangu,, anatamani wakue awachukue akae nao, nikawaambia usijali wakikua tu atakaa nao,,

Cku iliwadia safari ya kurudi Tz ikafika,, wakati tunajiandaa kuelekea airport, Mahamood alinitazama usoni akaniambia Mamujee NAKUPENDA SANA MHHH nikajiuliza au amejua nimejua? Bc nikajiandaa fasta watoto wameandaliwa, na Dada nae, hao tukaelekea airport,,

Tumefika Tz salama kabisa, ila nikawa sina amani na Mahamood,, kwann hakuniambia?? Tulikuwa tunawasiliana vzr ila sikumwambia kuhusu uganga wake,, bc nilipumzika kama wiki mbili tu, Mahamood alikuwa ananisisitizia kuhusu flem,, nikawaambia sawa naanza kutafuta,, akaniambia niende mliman cty nikatafute flem pale ndani,, kweli niliuliza nikapewa utaratibu wa kupata pale,, nilifanikiwa kupata flem pale mliman cty,, Mahamood alinitumia pesa nikalipia,, ndio duka langu la kwanza nililofungua na lipo mpaka leo,,,

Bi mkubwa alinitumia mzigo, ulikuwa mzigo mzuri wa kutosha, nguo za watoto tu kiume na wakike,,, namshukuru Mungu sana sana ndio biashara yangu ya kwanza,,, bc nikawa na biashara yangu,, niliwasiliana na Kaka yangu nikamueleza kuhusu nyumba yangu ambayo najenga mm mwenyewe,, Kaka aliniongezea tena hela ili nimalize ujenzi,, kweli nilimaliza kila kitu na kuipangisha,, kiukweli namshukuru Mungu sana,, hata kama Mahamood anaitumia Nyota yangu bc na mm nafaidika,, nyumba ya Salasala ni jina langu kwenye hati,,, gari jina langu kwenye kadi,, duka ni jina langu,, nikasema hata ivo nashukuru

Niliendelea na biashara zangu ilipita kama miezi miwili na nusu iv Mahamood akaja Bongo,,, nilipunguza mapenzi kwake nikawa namuogopa sana,, cku hio nimekaa zangu dukani kwangu nipo na mdada mfanyakazi wangu,, Mahamood alikuja dukani,, akazunguka mle dukani kama Kuna vitu anavifanya,, nilimuoa ila nikakausha,, bc kuanzia muda huo wateja wakaanza kuingia mfululizo,, tena nikauza sana tofauti na cku zote,, nikasema hili silinyamazii lazima nimuulize,,, tulirudi nyumbani tukala, wakati tupo chumbani nikamuomba nimuulize jambo, akasema niulize mke wangu,, nikamuuliza naomba uniambie pale dukani ulikuwa unafanya nn na ulipomaliza tu wateja wakajaa dukani?? Kwanza alicheka, then akataka kukataa, nikawaambia niambie ukweli na ukinificha tu mm na ww bc hatuwezi kuwa mke na Mume then tunafichana vitu,,,, ndipo akaanza kufunguka,,, yeye ni mganga amerithi kutoka kwa marehemu Baba yake,, alikuwa hapendi kufanya hio kazi ila alilazimishwa sana,,, kumbe bi mkubwa wazazi wa mwanaume walimuona anafaa ndio wakamuolea mtoto wao,, ananiambia uganga wa Baba yake umewasaidia wengi sana. Na alivyofariki mikoba akapewa yeye,, nikawaambia sasa kwa nn umenificha?? Akaniambia angeniambia tu,, akazidi kuniambia anatibu watu wengi mnoo nikamuuliza kwahyo utajiri wako unahusiana na uganga?? Akaniambia sio asilimia kubwa,, akaniambia wao ni Matajiri sana kuanzia Babu yake akaja Baba yake Sasa amerithi yeye ,, nilimsikiliza akaniambia vitu vingi sana

Akaniambia cku ya kwanza niliyokuona niliona Nyota yako, nilitaka nikutumie tu kama wanawake wengine ila nilivyomaliza kufanya nilichofanya nikaambiwa nisikuache,, nikajiuliza nitakupataje tena?? Ndio sababu nikakupa cm na zile pesa,, ila ulivyokuwa hujanitafuta nikauliza wakubwa wangu wakaniambia kila kitu kuhusu ww,, nikawa nakufanyia dawa hadi ukawasha cm Akaniambia nimekupenda hadi wakuu wangu wamekupenda ndio sababu sijakufanya tena kinyume na maumbile ni ww tu ambaye sikufanyi hivo tena coz nakupenda sana na wakuu wangu wamekupenda,, ila bi mkubwa namfanya kinyume na maumbile pamoja na bi mdogo daaahh niliishiwa nguvu

Tunaelekea mwishoni mwa season one
Season two itapatikana whatsapp kw sh 1000
Malizia vipande vichache vilivyobaki vya season one kisha upate na season two zote kwa 1000
Namba ya WhatsApp ni 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28

Daah hadi naona haya natamani ingekuwa wtsap nikatuma voice note nimalize,,

Nilikaa pale Dubai kwa raha sana outing kama zote kiufupi nilienjoy sana sana, wakati wa kurudi Tz uliwadia, nikaanza kujiandaa kurudi, bi mkubwa akanishauri nisikae bure nitafute kitu cha kufanya, akaniambia nikifika Tz nitafute frem nzuri ya kuuza nguo then yeye atakuwa ananifungia mizigo Dubai ananitumia Tz, kweli nilikubari wazo lake,, jion ilivyofika Mahamood alirudi bi mkubwa akamwambia kuhusu wazo la biashara, Mahamood hakubisha akamwambia tu bi mkubwa aanze kunitafutia huo mzigo coz mm nikifika Tz tu naanza kutafuta flem,, kweli nilijiona mwenye bahati...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-28-29

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

870
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

560
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

355
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

170
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

168
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

131
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

33
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest