Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29

15th Jun, 2025 Views 20

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28

Daah hadi naona haya natamani ingekuwa wtsap nikatuma voice note nimalize,,

Nilikaa pale Dubai kwa raha sana outing kama zote kiufupi nilienjoy sana sana, wakati wa kurudi Tz uliwadia, nikaanza kujiandaa kurudi, bi mkubwa akanishauri nisikae bure nitafute kitu cha kufanya, akaniambia nikifika Tz nitafute frem nzuri ya kuuza nguo then yeye atakuwa ananifungia mizigo Dubai ananitumia Tz, kweli nilikubari wazo lake,, jion ilivyofika Mahamood alirudi bi mkubwa akamwambia kuhusu wazo la biashara, Mahamood hakubisha akamwambia tu bi mkubwa aanze kunitafutia huo mzigo coz mm nikifika Tz tu naanza kutafuta flem,, kweli nilijiona mwenye bahati mnoo wala sikuwahi kuwaza kwenye maisha yangu kama ipo siku na mm nitakuwa mtu kwenye watu , niliendelea kukaa pale nikisubiri Mahamood anashuhurikia tiket,, ila nikiwa pale nikawa sielewi,, kuna chumba maalumu ambacho hakifunguliwi ovyo,, na ikitokea kimefunguliwa bc Mahamood yupo hapo au bi mkubwa anaingia ila mara moja moja mno labda kufanya usafi,,. Mhhhh mara ya kwanza nilikuwa sijali, ila kadri nilivyozidi kukaa pale nikawa natafakari sana,, mara nyingine watu wanakuja watu wenye hela ukiwaona mwenyewe unakubali kuwa hawa watu pesa wanayo,, yaan hao watu wanakuja wakati Mahamood yupo na wakija tu wanaingia kwenye hiko chumba,,, nikajiuliza hawa watu niwakina nani?? Na humu ndani wanaenda kufanya nn?? Kweli mwanzo niliumiza kichwa sana na sina wa kumuuliza,, japokuwa mm ni mke wa Mahamood ila nilikuwa sijamzoea sana kumuuliza uliza vitu ovyo nilikuwa cwez, nikasema moyoni hapa hadi nijue humo ndani kunafanyika nn,, hiko chumba kiko chini, nyumba ni ghorofa moja ila ina vyumba vingi,, iko chumba Sasa kipo chini na mm nalala juu, kwenye hio nyumba kuna sebure mbili, juu na chini,, hio sebure ya chini kiufupi haitumiki,, inafanyiwa usafi kila cku ila hawakai wote wanakaa juu,, hiko chumba chenyewe kilichonipa hofu kipo chini pembeni mwa sebure,, nikaanza uchunguzi wangu wa kimya kimya sikumuuliza bi mkubwa wala Mahamood,, chumba changu cha juu dirisha lake linatizama geti kubwa la magari,, nikiona gari linaingia getini watu wakishuka tu, nasogea hadi karibia na ngazi nachungilia kwa chini bc nawaona hao wageni wanavyoingia kwa hiko chumba,,, nilifanya upelelezi wangu ila sikugundua kitu,, nikawa na hofu nikakosa amani najiuliza hawa ni wakina nani hasa?? Mbona wana siri zao wanazificha kwangu??

Bc safari ya kurudi Tz ilizidi kuwadia zilifika kama cku tatu safari ianze, na hapo sijajua chochote kuhusu hiko chumba,,, Waarabu wanapenda sana mambo ya kutoka out sana,, kwenda kwenye pikinik,, mara kula Ice cream, yaan wanapenda sana,,, mm tangu nifike Dubai walishanipeleka sana izo sehemu,,, nakumbuka ilikuwa cku ya jumapili,, wamejiandaa vzr wote wanataka kutoka, kasoro madada wa kazi tu,,, nilikuwa chumbani kwangu,, akatumwa mtoto aje aniambie nijiandae,,, wala sikumbishia nilijiandaa vzr nikajipodoa hasa kisha nikalala,, wakaja kuniita nikawaambia kichwa kunauma sana,,, bi mkubwa akaja hadi chumbani kwangu akaniuliza Mamujee vp? Nikawaambia Dada kichwa kinaniuma sana cwez kutoka leo,, bc akaniletea dawa akaniambia nipumzike kama kuna shida yeyote niwapigie cm,, bc nikamwambia sawa,, Mahamood akuwepo cku hio

Walivyoondoka tu nikamwita Dada yangu wa kazi,, maana kabla alikuja kuniambia kuwa kuna madada wale wa kazi, Sasa wale wawili wa Tz,, wameomba cku tukiondoka bc watupe mizigo kidogo na pesa tuwapelekee ndugu zao,, nikamwambia aniitie mmoja wao,, bc alimwita nikashuka chini maana wao wanalala nje kuna vyumba sio mule ndani,, alivyokuja nikaanza kumuuliza kuhusu kwao akanielekeza vzr nikamwambia sawa nitakwenda,, nikamuuliza kuhusu pale na watu wanavyokuja,, akaniuliza kwan hujui?? Ww c mkewe?? Kwann ajakwambia Mumeo?? Nikawaambia wala hajaniambia na mm sijaolewa mda mrefu sana,, akaniambia bc nikikwambia usimwambie hadi akwambie mwenyewe,, nikawaambia wala usijali mm shida yangu kujua tu bc

Akaniambia Mumeo ni MGANGA Tena Mganga mkubwa sana Dubai,, anatubu watu wakubwa,, Viongozi na Matajiri anafahamika sana sana heeeee Mamujee mm nimeingia wapi?? Tobaaaa,,, nikaishiwa pozi mwili wote ukaingia baridi,,, nikajiuliza kumbe mara ya kwanza nilivyokutana na Mahamood akaniambia nina nyota kali sana tena ya utajiri sikujua ana maana gn kumbe yeye ni mganga??? Hata Roby alivyokuja kwangu na dawa aliziona nilijiuliza amejuaje kama roby ana madawa kumbe ni mganga??? Hata nilivyojifungua wanangu kipindi nipo Arusha alivyokuja hakuwa na haraka ya kujua watoto jinsia gn kumbe alishawaona kwa uganga wake???

Nilikosa raha kwann amenificha hakuniambia mapema?? Nikamchukia kuanzia hapo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 29

Nilijikuta namchukia Mahamood, kwann amenificha hakuniambia mapema kama yeye ni mganga?? Nirirudi ndani nikaingia chumbani kwangu nikalala, mara wakarudi waliokwenda matembezi, bi mkubwa akaja chumbani kwangu kunijulia hali, nikawaambia naendelea vzr, bc aliniletea Ice cream na zawad nyingine,, tukatoka hadi sebleni tukawa tunapiga story,, akawa ananipa mbinu za biashara na jins ya kuliteka soko,, bc nilimsikiliza,, akazidi kuniambia jins ya kufanya biashara, kwanza nikae mwenyewe dukani hata km nitakuwa na wasaidizi,, nilimshukuru sana,, akawa anasema atawakumbuka sana mapacha wangu,, anatamani wakue awachukue akae nao, nikawaambia usijali wakikua tu atakaa nao,,

Cku iliwadia safari ya kurudi Tz ikafika,, wakati tunajiandaa kuelekea airport, Mahamood alinitazama usoni akaniambia Mamujee NAKUPENDA SANA MHHH nikajiuliza au amejua nimejua? Bc nikajiandaa fasta watoto wameandaliwa, na Dada nae, hao tukaelekea airport,,

Tumefika Tz salama kabisa, ila nikawa sina amani na Mahamood,, kwann hakuniambia?? Tulikuwa tunawasiliana vzr ila sikumwambia kuhusu uganga wake,, bc nilipumzika kama wiki mbili tu, Mahamood alikuwa ananisisitizia kuhusu flem,, nikawaambia sawa naanza kutafuta,, akaniambia niende mliman cty nikatafute flem pale ndani,, kweli niliuliza nikapewa utaratibu wa kupata pale,, nilifanikiwa kupata flem pale mliman cty,, Mahamood alinitumia pesa nikalipia,, ndio duka langu la kwanza nililofungua na lipo mpaka leo,,,

Bi mkubwa alinitumia mzigo, ulikuwa mzigo mzuri wa kutosha, nguo za watoto tu kiume na wakike,,, namshukuru Mungu sana sana ndio biashara yangu ya kwanza,,, bc nikawa na biashara yangu,, niliwasiliana na Kaka yangu nikamueleza kuhusu nyumba yangu ambayo najenga mm mwenyewe,, Kaka aliniongezea tena hela ili nimalize ujenzi,, kweli nilimaliza kila kitu na kuipangisha,, kiukweli namshukuru Mungu sana,, hata kama Mahamood anaitumia Nyota yangu bc na mm nafaidika,, nyumba ya Salasala ni jina langu kwenye hati,,, gari jina langu kwenye kadi,, duka ni jina langu,, nikasema hata ivo nashukuru

Niliendelea na biashara zangu ilipita kama miezi miwili na nusu iv Mahamood akaja Bongo,,, nilipunguza mapenzi kwake nikawa namuogopa sana,, cku hio nimekaa zangu dukani kwangu nipo na mdada mfanyakazi wangu,, Mahamood alikuja dukani,, akazunguka mle dukani kama Kuna vitu anavifanya,, nilimuoa ila nikakausha,, bc kuanzia muda huo wateja wakaanza kuingia mfululizo,, tena nikauza sana tofauti na cku zote,, nikasema hili silinyamazii lazima nimuulize,,, tulirudi nyumbani tukala, wakati tupo chumbani nikamuomba nimuulize jambo, akasema niulize mke wangu,, nikamuuliza naomba uniambie pale dukani ulikuwa unafanya nn na ulipomaliza tu wateja wakajaa dukani?? Kwanza alicheka, then akataka kukataa, nikawaambia niambie ukweli na ukinificha tu mm na ww bc hatuwezi kuwa mke na Mume then tunafichana vitu,,,, ndipo akaanza kufunguka,,, yeye ni mganga amerithi kutoka kwa marehemu Baba yake,, alikuwa hapendi kufanya hio kazi ila alilazimishwa sana,,, kumbe bi mkubwa wazazi wa mwanaume walimuona anafaa ndio wakamuolea mtoto wao,, ananiambia uganga wa Baba yake umewasaidia wengi sana. Na alivyofariki mikoba akapewa yeye,, nikawaambia sasa kwa nn umenificha?? Akaniambia angeniambia tu,, akazidi kuniambia anatibu watu wengi mnoo nikamuuliza kwahyo utajiri wako unahusiana na uganga?? Akaniambia sio asilimia kubwa,, akaniambia wao ni Matajiri sana kuanzia Babu yake akaja Baba yake Sasa amerithi yeye ,, nilimsikiliza akaniambia vitu vingi sana

Akaniambia cku ya kwanza niliyokuona niliona Nyota yako, nilitaka nikutumie tu kama wanawake wengine ila nilivyomaliza kufanya nilichofanya nikaambiwa nisikuache,, nikajiuliza nitakupataje tena?? Ndio sababu nikakupa cm na zile pesa,, ila ulivyokuwa hujanitafuta nikauliza wakubwa wangu wakaniambia kila kitu kuhusu ww,, nikawa nakufanyia dawa hadi ukawasha cm Akaniambia nimekupenda hadi wakuu wangu wamekupenda ndio sababu sijakufanya tena kinyume na maumbile ni ww tu ambaye sikufanyi hivo tena coz nakupenda sana na wakuu wangu wamekupenda,, ila bi mkubwa namfanya kinyume na maumbile pamoja na bi mdogo daaahh niliishiwa nguvu

Tunaelekea mwishoni mwa season one
Season two itapatikana whatsapp kw sh 1000
Malizia vipande vichache vilivyobaki vya season one kisha upate na season two zote kwa 1000
Namba ya WhatsApp ni 0743433005.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29 https://gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-28-29 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 37

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 36

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

Obi's Pain Chapter 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 02.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DEAR DOCTOR 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MPANGAJI ... 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

Obi's Pain Chapter 1

mjukuu rewards 100 Comments 1
 

MSHANGAZI EPISODE 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MSHANGAZI EPISODE 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

YAMENIKUTA

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 9

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINSI YA KUTUNZA UKE

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

PART 5 MY HEART

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest