Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25

Ile sim ya shangazi wala haikunistua, nilishazoea lawama mie, nilimuacha aongee hadi alivyochoka yeye akakata cm, nikatafakari yale maneno ya Mahamood, kuwa huyu ndugu yangu kaja kwangu kwa nia mbaya,, na nilivyoona zile dawa kwenye begi la roby niliamini kabisa kuwa shangazi hana nia nzuri na Maisha yangu,, nilimpigia cm Kaka yangu nikamueleza kila kitu kinachoendelea, alinishangaa sana, akaniambia Mamujee hayo yote umeyataka mwenyewe, iv hao watu kwa wema upi waliokufanyia hadi una waweka karibu yetu?? Nilikwambia tangu mwanzo achana nao,, akaniambia subiri kwanza,, akakata cm,, kumbe akampigia cm shangazi akamwambia achana na Mamujee please, ni ndugu yangu, kama umeona hakuna umuhimu wa kutupenda bc tuachee,, Kaka akanipigia cm, akaniambia shangazi akinipigia cm nisipokee, nikamwambia sawa,, niliendelea na Maisha yangu , Mahamood tulizidi kuwasiliana na alizidi kuwapenda wanae sanaa,, ilipita kama miezi miwili iv Mahamood bdo yupo Dubai kwa mke wake, alinipigia cm akaniambia ananifanyia mpango wa visa na passport ili niende huko nipeleke watoto akawatambulishe ndugu zake maana asilimia kubwa ya ndugu wa Mahamood wapo huko,, nikamwambia sawa,, ila nilikuwa muoga mnoo but sikuwa na jins lazima wanangu wapajue kwao , akaniambia nichague Dada mmoja kwa ajili ya kunisaidia watoto, namshukuru Mungu sana Dada zangu wa kazi wote nimeishi nao vzr kama ndugu zangu, yaan ukifika kwangu huwezi kumtambua Dada wa kazi ni yupi na ndugu ni yupi,, nikamchukua yule nilietoka nae Arusha kwa Kaka, tukaandaa picha kila kitu Mahamood alimuagiza mtu akawa anashuhurikia hilo jambo,, nilitafuta mlinzi wa getini kutoka kwenye kampuni ili nikiondoka niache usalama nyumbani kwangu,, nilimtaarifu Kaka yangu kuhusu safari, alinitakia kila la heri,, bc tukaendelea kusubiri vitu vikamilike ili tuondoke,,, nakumbuka siku hio nipo tu nyumbani kwangu nilikuwa nafua,, huwa nafanya kazi za nyumbani kwangu japo kuwa nina wasichana wawili, napenda sana kufanya kazi,, cm yangu ikaita kuangalia namba ngeni,, nikapokea nikasikia sauti ya mwanaume,, Halow Amamu hujambo?? Nikamsalimia vzr, nikamuuliza nani mwenzangu?? Akaniambia mm ni Baba yako mdogo nikamsikiliza,, akaniambia yupo dar amemleta mtoto wake hospital ya oshen rod anasumbuliwa na kansa, walikuwa Bugando hospital Mwanza ndipo wamepewa rufaa kuja huku,, na amepimwa amekutwa na kansa ya utumbo nikampa pole,, akaniambia anaomba akutane na mm tuongee vzr,, nikamwambia sawa ila nitakujulisha,, nilishangaa sana, nikajiuliza namba yangu kapata wapi,, nikapata jibu ni shangazi tu,, nilikumbuka kile kipigo cha mbwa mwizi alichonipiga hadi nikapoteza fahamu,, wakaniburuza hadi chumbani,, mhhhh!! Dunia hii jamani, haina mwenyewe kwa kweli,, leo hii Amamu mm najulishwa kwenye matatizo,, mhhhh,, nikasema hapa nikimwambia kaka hili Jambo, atampandia gari amfate maana ana uchungu nae sana huyu Baba mdogo, nikanyamaza zangu,, na wao pia wanamuogopa matatizo yao yote wanaleta kwangu mie mnyonge wao,, bc niliendelea kusubiri vitu vikamilike vya safari yetu,, ikaisha kama wiki mbili, sijamjulisha Baba mdogo kitu chochote wala sim sijampigia,,, Mahamood alituambia kila kitu tyr tujiandae kwa safari wiki inayofata tunaondoka, bc tukazidi kufanya maandalizi mimi na Dada, huku tunacheka wenyewe na Dada, tunaambiana huko kwa waarabu tutaenda kuongea vp na watu bc tunacheka wenyewe,, mara tunaulizana iv tukichunwa ngozi jee tunachekaa huku tunajipa moyo, bhana wee liwalo na liwe

Safari iliwadia ilibaki kama cku tatu iv,, nipo zangu kwangu napiga story na madada zangu pamoja na mlinzi,, tupo nje,, nakumbuka siku hio tulikuwa tunabishana Kati ya Diamond na Kiba nani mkali wawili wanamtetea kiba, wawili wapo kwa Mond,, yaan tuligawana, bc ikawa kelele tunabishana haswa,, gafra geti likagongwa,, mlinzi akafungua kuangalia, wakaanza kujitambulisha, maana mlinzi alikuwa mgeni,, akaniuliza niwaaingize? Wanasema ni shangazi yako,, nikamwambia waache wapite,, jamani jamani,, alikuwa shangazi,, Baba mdogo, Roby,, eti wamemleta Baba mdogo nyumbani kwangu aje akae kwa kipindi chote anachouguza mtoto wake, na niwe nampa nauli kila cku ya kutoka Salasala kwenda oshen rod na ya chakula chake na mgonjwa,, kiufupi niwahudumie,, niliwasikiliza vzr hata sikujibu kitu,, nikamwambia Dada awape chakula,, nikaingia chumbani kumlaza mtoto alilala,, nikampigia cm Kaka nikamueleza kila kitu,, akaniambia waache hapo hapo usiwaambie chochote,, Naanza safari mda huu kuja huko,, nataka nionane nao mwenyewe,, usiwaambie chochote kama mm nakuja maana watakimbia,,

Itaendelea

NILIVYOANZA KUINGILIWA KINYUME NA

MAUMBILE
sehemu 26

Jmn wanawake wenzangu nimepitia Coment zote leo, najua wengi wananilaumu kuwa mm nashindwa kujitetea mwenyewe,, kiufupi mm sio muongeaji sn,, tangu nikiwa mdogo najulikana na ndugu wote kuwa Amamu sio muongeaji, nimerithi kutoka kwa Mama yangu, alikuwa mpole mnoo,, ndugu wa Baba walimfanyia kila aina ya vituko lkn Mama yangu hakuwai kunyanyua mdomo,, bc nimerithi kila kitu cha Mama yangu na iv watu wanasema cha kurithi kinazidi bc naona mie nimezidi

Bc nikarudi sebleni baada ya kuongea na Kaka,, nikawakuta wageni bado wanakula,, yaan Roby ndio kamuona Mama yake ndio anazidi kufanya makusudi, mara ashike hiki mara aulize hiki yaan ilimradi tu,, Mara da Amamu nifundishe kuendesha gari kwa gari yako,, au nimpigie rafiki yangu aje kesho anifundishe,, nikamjibu usijali nitakupa,, tumekaa tunaongea namuona Baba mdogo jicho halitulii Mara kangalia huku mara kageukia huku yaan anaonekana ni mtu mwenye maswali mengi kichwani kwake,, nilikaa zangu kimya nawaangalia tu,, ucku umefika nashangaa shangazi na mwanae hata hawaagi kuondoka maana walisema wamemleta Baba mdogo?? Nikashangaa hadi saa nne bdo wapo nikamuita Dada nikamwambia akaandae chumba cha mgeni wa kiume,, hao wengine watalala nao chumbani kwao,, niliwaaga nikawaambia naingia kulala,,, shangazi akaniambia na wao watakao hapa ili asbh tuwahi hospital kwa pamoja nikamwambia sawa,, nikaingia zangu chumbani kwangu,, niliwasiliana na Mahamood kama kawaida huku alinishangaa nisibebe minguo mingi nichukue chache au nisibebe kabisa eti kwenye ndege mizigo inapimwa uzito sasa nisije acha mizigo mingine airport,, bc tuliongea mengi ila sikumwambia kuhusu ule ugeni,, nilivyomaliza kuongea nae nikampigia Kaka nijue kafika wap maana ilikuwa kama saa sita ucku IV, akaniambia ndio anaitafuta charinze,, bc nikamwambia Mungu amlinde nikalala zangu

Asbh kumekucha hata sebleni sijashuka Roby kanifata chumbani,, eti Dada fungua,, nikamuuliza vp kwani?? Eti Mama kasema muanze kujiandaa,, hata sijamjibu na mlango sikufungua nikaendelea kulala,, mara mlinzi ananipigia cm, kuna mgeni getini amejitambulisha ni Kaka yako, nikamwambia aingie, bc kaka akawa amefika kwangu tyr, nikashuka hadi chini, nilifurahi sana kumuona Kaka, akaniuliza vp huyo Baba yako mdogo yupo wp?? Nikawaambia chumbani, akasema nenda kamwambie namwita nikamwambia atatoka mda c mrefu , hadi shangazi yupo hapa,, akasema na shangazi kalala hapa?? Nikawaambia ndio,, akasema kwa sauti,, HUU UKOO MASIKINI HUU nikamwambia Kaka usiseme ivo watasikia,, akaniambia unamuogopa mtu??? Mara shangazi anashuka kwa mbwembwe mwenyewe huku anaimba ( nimeuona mkono wa Bwana nimeuona) ghafra anakutana uso kwa uso na Kaka eti Mwita umelala hapa?? Upo dar hii hii?? Yaan Mwita hajajibu hata swali moja tyr kashamuuliza kumi Mwita akamjibu nimekuja leo,, Mara Baba mdogo nae huyoo,, alivyomuona Mwita akawa mpole,, eti shangazi ananiambia mie, Amamu bado haujajiandaa, nikawaambia bado,, Kaka akauliza kwani mna safari asbh yote hii?? Akasema ndio, Obara anaumwa amelazwa oshen rod wiki ya tatu sasa amegundulika ana kansa ya utumbo,, Kaka akasema sasa Amamu ndio anahusika nn huko hospital?? Shangazi kabla hajajibu, Kaka akamwambia, shangazi iv kwa nn mnapenda sanaa kunyanyasa watu?? Huyu Amamu ana watoto wadogo bado mbaya aende huko kwenye magonjwa ya hatari hatari aje alete shida kwa watoto?? Shangazi akasema amna sio lazima aingie ndani,, Kaka akamwambia shangazi sikia,, huyu Mamujee haendi kokote,, iv we Baba mdogo unakumbuka ulivyompiga huyu Amamu kiasi cha kutaka kumtoa uhai wake?? Sasa ungemuua leo hii ungelala nyumba ya nani? Nani angekupeleka huko hospital?? Baba mdogo kimya,, akamgeukia shangazi, akamwambia shangazi naomba muachane na Amamu please, mumempitisha kwenye shida mnoo na mateso, leo Mungu amempa nafuu bado mnamfata tena? Shangazi akasema Mwita mwanangu, tusikumbushe yaliyopita tugange yajayo,, Mwita akasema yajayo ndo kumfata fata nyumbani kwake? Iv hamuoni hata aibu kuja kujazana hapa? Mnadhani mumewe Amamu atawachukuliaje? Bc walijitetea ila aibu ikawashika,, Kaka akamuuliza Baba mdogo kwani ulivyotoka nyumbani kuja hapa dar ulimtaarifu amamu kama unakuja dar?? Akasema hapana,, Sasa kwa nn unamwambia kwa kumshtukizia kuwa unakaa kwake?? Ba mdogo, kimyaa,, Kaka akawaambia hapa kwa Amamu hakai yeyote kila mtu atakaa kwake au alipofikia, kama msaada unahitajika bc niambieni mm sio Amamu,, acheni kujitia aibu,, mnajidharirisha tu,, mhhhh Kaka aliongea jmn wote kimya,, Kaka akanigeukia mm,, ww Amamu sio unapokea pokea watu tu hapa kwako, umeolewa juzi tu leo mumeo anakuta ukoo wako wote umejaa hapa c atakuzarau?? Acha huruma ya kijinga, hapa mjini kila mtu apambane na familia yake heee Kaka anaongea kihuni tu bc walikubaliana shangazi amchukue ndugu yake akae nae kama misaada tutamsaidia huko huko

Bc tulipanda gari ya Kaka hadi hospital tukamuona mgonjwa kweli hali mbaya

Kaka akasepa zake nikarudi zangu kwangu

Safari ikawadia haoo tukaondoka zetu Dubai

Itaendelea

Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25

Ile sim ya shangazi wala haikunistua, nilishazoea lawama mie, nilimuacha aongee hadi alivyochoka yeye akakata cm, nikatafakari yale maneno ya Mahamood, kuwa huyu ndugu yangu kaja kwangu kwa nia mbaya,, na nilivyoona zile dawa kwenye begi la roby niliamini kabisa kuwa shangazi hana nia nzuri na Maisha yangu,, nilimpigia cm Kaka yangu nikamueleza kila kitu kinachoendelea, alinishangaa sana, akaniambia Mamujee hayo yote umeyataka mwenyewe, iv hao watu kwa wema upi waliokufanyia hadi una waweka karibu yetu?? Nilikwambia tangu mwanzo achana nao,, akaniambia subiri kwanza,, akakata cm,, kumbe akampigia cm shangazi akamwambia achana na Mamujee please,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-25-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

872
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

574
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

374
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

186
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

170
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

139
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

38
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest