MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
Shangazi yangu mkorofi sana namjua vzr ananitafutia sababu na hii mimba niliyonayo sijui yukoje anafahamu fika mm na Roby hatuwezi kukaa pamoja hata nusu saa ila ameamua kumuacha nyumbani kwangu wala hafikilii kuhusu hali yangu, niliwatizama mtu na mama yake wanaenda kusengenya tena nyumbani kwangu
Roby akarudi baada ya kuachana na mama yake, akaanza kunikejeri vp da Amamu unaenda kuzalia wp Ulaya au Buza? Nikaishia kumtazama tu, nikamwita Dada wa kazi aniletee matunda nile maana kula yangu ilikuwa ya tabu sana akarukia yeye mletee ale si unajua tena mke wa muarabu anatakiwa ale ashibe huko leba si mchezo kuwekwa mitambara?? Nikamwambia Roby naomba tuheshimiane kama umekuja nyumbani kwangu kwa heri bc ukae kwa heri ila kama umekuja na yako yatakurudia mwenyewe
Bhana eee kwani uongo? Si mnafirwa nyie? Nani asiyejua kama waarabu wafiraji?? Nikamwambia ndio kwani nikifirwa mkundu si wangu? Ww kinakuwasha nn?? Kama kufirwa kunalipa na ww c ukafirwe kwan mkundu huna? Nilimjibu wala sikumkawiza sikujali hata kama Dada yangu wa kazi anatuangalia
Eti bana ee mm ndio nishakuja kwako hata ukichukia sitoki ww ulivyokuwa unakaa kwetu? Malipo ndo haya shoo kama hupendi kunya huyo mtoto atoke
Dada yangu wa kazi akaniambia Dada acha usijiumize
Basi roho iliniuma yaan natukanwa nyumbani kwangu? Nikanyanyuka nikamuacha Roby nikaenda chumbani nikamkuta bi mkubwa amelala na watoto nikatoka tena nikashuka chini nikaenda nje kwa mafundi waliokuwa wananijengea frem nikakaa kimya
Nimekaa nje na mafundi wao wanajenga mie nawaangalia vp Dada mbona kama una mawazo sana? Hapana nimetoka kupunga upepo tu bc tukawa tunapiga story na mafundi
Bi mkubwa alitoka alikuwa akinitafuta akanikuta nipo na mafundi, Mama Wawili mbona huko huku? Nikamwambia nipo tu nimeona wote mmelala nikaona nisiwasumbue,
Tulirudi ndani tukaenda kukaa sebleni mara Dada wa kazi akaniletea yale matunda niliomuagiza, tupo sebleni na Roby nae akaja sijui alitoka kuoga maana alikuwa kabadilisha nguo kavaa kikaptura kifupi vile vinaitwa vikumanina nadhani mnavipata kavaa na kitop tumo lote wazi, kaona nipo na mtu na hamjui ila hata salamu hajampa kafika katukuta tunaangalia mieleka kaja nilipokaa kachukua limoti kabadilisha kaweka miziki
Nilibaki namuangalia, Bi mkubwa akaniuliza huyu ndugu yako? Nikamwambia ndio ni mtoto wa shangazi yangu bi mkubwa aliguna tu mhhh
Jioni nikiwa nimejilaza kwenye kochi nipo na huyo Roby alikuwa bize na cm yake bi mkubwa yupo juu anawapa chakula cha usiku watoto mara cm yangu ikaita kuangalia ni bi mdogo wa kati nikasema mama mama mama nafwa na hivi kapewa taraka moja mbona hasira zake zote juu yangu mie Mamujee? Niliogopa kupokea ila nikasema ngoja nipokee tu sina jinsi halow habari za mida? Nikaduwaa maana kanisalimia kwa heshima na utulivu, nikamjibu salama Dada,, mdogo wangu nisamehe sana kwa nilivyokwambia mara ya kwanza nikamwambia haina shida Dada wala usiombe msamaha mm sina tatizo na ww, Sawa Mamujee ila nataka nikuambie jambo ila uniambie kama utakuwa na kifua? mhhh nikamwambia Dada kama unahofu na mie bc usiniambie ila mie sina shida, haya ngoja nikwambie huyo mke mwenzio hapo hakuja kwa bahati mbaya usione amekuja huko ukadhani kweli unapendwa kaja kukuuguza huyo mwenzio kafata huyo mtoto akishirikiana na mumeo lengo lao ni KAFARA na damu ya Mahamod ndio inatakiwa itoe alitakiwa atoe hio kafara mda tu kwa hao mapacha ila Mumeo alikataa kwa sababh hana watoto wengine ila ulivyopata ujauzito ndio wameamua wamtoe huyo wa tumboni na huyo mke mkubwa yupo kusubiri mtoto,,,, nimeamua nikaambiwa ukweli si wamejifanya kunipanda kichwani wameshauriana nipewe taraka sasa nimekwambia ukweli akili kichwani mwako ukimtaka mtoto huyo bc nenda kajifungulie kwenu huyo mke mwenzio sio mtu mzuri pamoja na huyo mumeo
Daaahhh nilichoka hapo Roby ananitazama usoni nilivyokuwa naongea na cm
Muendelezo unapatika WhatsApp tu, kwa sh 1000
Njoo umalize sasa hivi
Namba ya WhatsApp 0743433005
(WHATSAPP NO +255743433005).