Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15

Bc jmn majibu yalivyotoka mhhhhh eti mjamzito nikamuuliza doctor itakuwa inamda gn, akaniambia kama wiki mbili iv yaan bado changa kabisa , bc akanipa dawa maana nilikutwa na maleria,, nilichanganyikiwa nikasema nitafanyaje kuhusu hii mimba? Hapo inaenda wiki ya pili hatujawasiliana na Mahamood,,,, nikatoka nje nikaenda pale nilipoambiwa na shangazi,, kweli nilimkuta amekaa ananisubiri,, akaniuliza vp una shida gani? Nikamwambia ni maleria tu,, akaanza kuniuliza eti una ishi wp? Maana nilikuwa nimependeza tu ukiniona hata ngozi yangu unajua tu nimebadirika sio Amamu yule,,, nikamwambia naishi kwa rafiki yangu,, akaniambia kwa nn sikwenda kijijini?? Nikamwambia nilikwenda ila baba mdogo alinifukuza , yaan shangazi akajifanya kama sio yeye eti anashangaa kwnn alikufukuza?? Nikasema cjui,, bc aliongea pale kama mtu mwema jmn,,, ila sikumfatilia sana maana nilikuwa na mawazo kuhusu ujauzito wangu,, akawa anaiangalia cm yangu maana niliitoa kwenye pochi nilikuwa naongea na mteja wangu,, akaniuliza unafanya kazi gn? Nikamjibu biashara,, ila alishindwa hata kuuliza huo mtaji umepata wp?? Bc alichukuwa namba yangu ya cm tukaagana maana ckutaka ajue ninapo ishi,, nikachukua bajaji hadi kwangu nimefika kwangu mawazo tele cjui nafanyaje Mamujee mm?? Bc niliendelea na dozi yngu hadi namalizia doz sijapigiwa cm na Mahamood, ila nikimuangalia wtsap pia simuoni,,, bc nikaendele kujiuguza hadi nikapata nguvu nikarudi kwenye biashara zangu,, hapo inakaribia mwezi,, shangazi akawa ananipigia cm Mara kwa Mara kujua naendeleaje,,, cku hio nimetoka zangu kwenye biashara zangu nimefika kwangu tu na cm yangu ikaita kuangalia namba za nnje,, nikapokea alikuwa Mahamood aliniuliza naendeleaje? Nikamwambia vzr tu, akaniomba samahani kwa kuwa kimya mda mrefu eti mke wake mdogo ni mkorofi sana huwa anakagua cm?? Nikamwambia sawa,, ila sikumwambia habari za mimba,, tuliongea akaniuliza kama nina shida yeyote au kama nina uhitaji wa pesa? Nikamwambia hapana,, bc akaniahidi atanipigia tena kesho yke,, tuliagana nikaendelea na Mambo yngu, nilijiuliza sn nafanyaje kuhusu huu ujauzito?? Ila nafsi inaniambia mbona hela unayo benki ya kukutosha tu hata huyo Mahamood asipo kuja?? Bc nikawa najipa moyo tu,, maisha yakaendelea ila mawasiliano na Mahamood yalikuwa ya tabu sana,, niliendelea kupambana hadi mimba yngu ikafika miezi mitatu cjamwambia Mahamood,,

Cku hio nimeshinda nimelala sana hata chakula nilishindwa kula nilishindia juice tu,, nikashangaa cm yangu inaita namba za Mahamood za hapa bongo,, nikapokea akaniambia amefika niende Hotelini,, nikajikuta namjibu tu siwezi kwenda popote cjisikii,, akaniuliza Mamujee unanijibu nn?? Nikamwambia sijisikii kutoka nikakata cm,, nikaanza kulia nikasema ina maana hadi kafika Tanzania hajaniambia ndio ananikurupusha niende Hotelini?? Nikanyanyuka nikaoga nikalala maana ckuwa hata na nguvu,, ucku wa saa tatu iv akanipigia nimfungulie get, kweli nikafungua akaingiza gari ndani, tumefika ndani wala sijamchangamkia ,, akaenda kuoga akaja nilipo kaa, akaniuliza nina shida gn?? Nikamwambia sina shida nipo kawaida,, bc alinibembeleza pale akaniambia nisijali akinioa ndio atakuwa huru kuongea na mm hata mbele ya wake zake,,, tulilala vzr na mechi tukapiga ila ile ya kipole maana naumwa,,, asbh kumekucha kama kawaida yangu lazima nitapike asbh ndio maisha yaendelee akaniona ninavyotapika tena huku machozi yananitoka akaniuliza nn shida? Nikamwambia siko sawa,, akaniuliza tena una mimba?? Nikamwambia ndio,, akaniuliza mbona hujaniambia?? Nikamwambia ningekwambia saa ngp wakati alikuwa hapigi cm?? Akaniambia sawa jiandae twende hospital,,, nilijiandaa hadi Agakhan hospital,, tulifika pale akaongea na doctor nifanyiwe ultrasound ili ajue ujauzito una mda gn,, mda wote huo nipo kimya hata yeye hachangamki sana,,, nikafanyiwa vipimo vzr na majibu yakatoka mimba yangu ina miezi mitatu na wiki tatu,, Mahamood alinitazama usoni,, akaniambia twende,,, hapo sielewi mwenzangu anawaza nn?? Tukatoka hadi nje tukaingia kwenye gari kimya kimya,,, tulienda hadi kwenye hard yake ya magari,, akashuka akaniacha kwenye gari,, alikaa kama nusu saa akaja kunifata nikashuka akanishika mkono tukaelekekea upande wa magari,,, akawaita wafanyakazi wake akawaambia msaidieni mke wangu kuchagua gari zuri lenye thamani yeyote ile nikajikuta machozi yananitoka nikaanza kuchagua gari, huku cjui hata aina ya magari,, wale wadada wakawa wananisaidia, nikachagua Verossa, bc Mahamood akawaambia wale wafanyakazi waandike jina langu kwenye kadi,, tuliondoka hadi Hotelini tukala tulifurahi yaan Mahamood alifurahi sana sana tena ckutegemea kesho yke akanipeleka driving school ili nijifunze kuendesha gari,,, akaniambia Mamujee nakuoa sasa ctaki mtoto azaliwe kabla ya ndoa,,, huku naendelea kujifunza gari nikawa nakaribia kumaliza,,, cku hio kanifata shule tukaingia kwenye gari yake hakuniambia tunaenda wp,, tukafika sehemu akapaki tukashuka huku akiwasiliana na watu,, kumbe alikuwa anaenda kuninunulia kiwanja Salasala jmn jmn Mamujee mie umasikini kwisha tena mhhhhh!!! Bc nikaonyweshwa kiwanja changu kikubwa sana kipo kwenye ramani,, nikamshukuru sana huku nalia,, akaniambia hapana ww ni mke wangu,,, akaniambia hapa nakujengea ghorofa mhhh!!! Bc tulirudi nikawa naweza kuendesha gari sikuchukua mda mrefu sana nikakabiziwa gari yangu na kadi yangu yenye jina langu,, Mahamood alikaa sana kama miezi miwili iv akaniambia anaenda Dubai kumpa taarifa mke mkubwa, ataenda na kwa mdogo, ili tuje kufunga ndoa rasmi,,, hapo kule Salasala ujenzi unaendelea

Nitarudi!!!!

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 16

Bc Mahamood alisafiri akaniacha pale pale nyumbani kwangu na kuniachia jukumu la kusimamia ujenzi wa nyumba yangu Salasala, alinunua vitu vya ujenzi vya kutosha na kuwaacha mafundi na kuniachia pesa ili mafundi wakihitaji chochote niweze kununua,, maisha yaliendelea mimba yangu ilikuwa ilitimiza miez mitano iv nipo tu mwenyewe ila Mahamood tunawasiliana kila cku,, Mahamood akiwa Dubai anakuwa hana shida mnawasiliana kama kawaida,, nakumbuka siku hio nimeamka zangu najiandaa niende Salasala nikakae na mafundi nilipigiwa cm na shangazi,, aliniuliza uko wapi nikamdanganya mjini, akaniomba sana niende nyumbani kwake, nikamuahidi nitaenda nikitoka huko,, bc niliendelea na ratiba yngu nikaenda kwa mafundi nikahakikisha kila kitu kipo sawa maana Mahamood lzm anipigie cm anataka ripoti

Nikarudi zangu nyumbani kwangu nikapaki gari nikachukua bajaji nikaenda kwa shangazi ckutaka ajue kama nina gari,, hata kuhusu ujauzito sikutaka ajue, tumbo langu lilikuwa dogo mno huwezi kujua kama nina mimba hadi nikuambie mwenyewe, nimefika kwa shangazi alinipokea vzr jmn tena kwa kuwaambia wanae mkaribisheni Dada mhhhh, bc niliingia ndani vzr,, wakaniletea kinywaji lkn nilikataa nikawaambia nimetoka kula muda sio mrefu,, bc akaanza kuniambia alichoniitia kuwa Kaka yangu wa Arusha anapiga cm mara kwa mara anataka kuongea na mm,, nilifurahi kusikia habari za Kaka yangu ila sikufurahishwa kwann hakumpa namba zangu wakati anazo?? Nikamwambia sawa shangazi nashukuru sana ila naomba namba zake,, akanijibu namba zake sikupi ila nampigia hapa kwenye cm yangu uongee nae mhhhh, nilitulia kimya, nazani alim beep maana gafra cm ya shangazi iliita alipokuwa akaanza kuongea nae yeye kwanza walikuwa wanaongea kiruga,, then akamwambia Amamu huyu hapa ongea nae, ila nilishangaa shangazi anaongea na Kaka kistarabu mnoo nikajiuliza kulikoni?? Bc nikaanza kuongea na Kaka yangu, nikajikuta nalia nikamwambia Kaka mbona umeniacha mwenzio? Hata kunitafuta hakuna?? Akaniambia mbona napiga cm mara nyingi kwa shangazi ananiambia umetoka? Mara upo jikoni?? Nikabaki kusema haya sawa maana shangazi alikuwa ananikata jicho balaa,, akaniambia anakuja kesho kutwa kutusalimia mara moja ana mambo mengi sana ya kuongea na mm,, bc tuliagana na Kaka nikampa cm shangazi wakaendelea kuongea,, cm ilivyokata shangazi akaanza kuniambia ni kweli Kaka yangu alikuwa anapiga cm ila yeye hakujua nilipo ndio sababu akawa anamdanganya ,, bc nikasema sawa mm niende,, akaniambia mbona haraka ivo,, nikamjibu tu naenda kupumzika nimechoka sana,, bc tuliagana huku akinisisitiza kesho kutwa niwahi mapema ili Kaka akija anikute pale,,, Niliondoka lkn nilikuwa na hamu sana ya kukaa na Kaka yangu ili ajue mapito yangu yote nilifika kwangu nikajikuta mawazo yamenishika nawaza kuhusu wazazi wangu, Cm yangu ikaita Mahamood alipiga akaniambia washa data nikupigie WhatsApp,, bc nikawasha, tukaanza kuongea, akaniambia kavae mtandio ufunike hiko kichwa, nikaingia chumbani nikajifunika, kumbe alitaka niongee na mkewe mkubwa bc nikashangaa tu cm imeshikwa na mwanamke, mzuri huyo muarabu, akanisalimia assalamualaikum!! Nikaitika, nikamuamkia, akaniambia ww ndio Mamujee?? Nikamwambia ndio, akasema karibu kwenye familia yetu mdogo wangu , Mm ndio Dada yako mkubwa, ila yupo anae nifata, karibu sanaa,, Mhhhh!! Nilishangaa sana jmn,, nikamwambia asante nimekaribia,, akaniambia hongera kwa kutubebea mtoto tumboni ,, nikaona kama anajifuta machozi,, akaniambia mdogo wangu ww ndio umepata bahati, kabla hujaingia umebeba mimba?? Akaniambia nina mwaka wa kumi na Mume wangu sijabahatika uzazi mhhhh, nikajiuliza kurikoni Mambo haya jmn?? Bc nikamwambia usijali Dada Mungu atafungua milango,, akanijibu inshallah!! Tuliagana pale cm akachukua Mahamood,, akaanza kuniambia kweli Mamujee wake zangu wote hawajabahatika uzazi hata bi mdogo nae kumbe hajazaa,, mhhhh nilijiuliza sn,,, bc tuliagana na Mahamood,, niliwaza sana jmn, nikaogopa, nikasema hawa watu wa aina gn?? Mamujee umasikini unaniponza mie, kuingia sehemu hata siijui vzr,,,

Bc cku zilipita ikawadia cku ambayo Kaka yangu anakuja dar, nilitamani sana cku hii ifike jmn, niliona kama cku haziendi,, niliamka mapema sana, nikaenda Salasala nikahakikisha mafundi wapo vzr,, shangazi akanipigia cm niwahi, nikatoka Salasala moja kwa moja hadi kwa shangazi na gari langu, sikujari wala nn,, nimefika napaki gari tu, namkuta shangazi amekaa nje na mjomba,, walikuwa wanakodoa macho kuangalia anashuka nani kwenye gari,, c mnajua vioo vya giza,, nikazima gari nikashuka kisha nikaroki, kumaanisha hakuna mtu mwingine ndani ya gari ujue shangazi alipata kigagaziko Amamu ni ww mwanangu?? Nikatabasamu tu , nikawasalimia akamwambia mwanae mletee Dada kiti,, nikaletewa kiti nikakaa, nikatoa cm yngu nikaingia mitandaoni sikuongea chochote,,, bc mjomba akainuka kwa aibu kuingia ndani,, shangazi akaniuliza Mamujee una biashara gn mwanangu?? Nikamwambia hizi hizi ndogo ndogo,, akaniuliza hilo gari lako,, nikamwambia ndio langu ujue aliniangalia kisha akahema mhhh tumekaa pale hadi jion frani iv,, shangazi akapigiwa cm na Kaka akawa anampa maelekezo mara nashangaa gari prado inaingia, inapaki nilipopaki gari yangu,, kuangalia namuona Kaka yangu anashuka,, yupo peke yake, amependeza kawa bonge la braza meni,, nikanyanyuka nikamrukia tukaanza kulia,, nikajiuliza Kaka huyu ni Mwita au naota,, shangazi akaja kutukumbatia wote kwa pamoja,,,

Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15

Bc jmn majibu yalivyotoka mhhhhh eti mjamzito nikamuuliza doctor itakuwa inamda gn, akaniambia kama wiki mbili iv yaan bado changa kabisa , bc akanipa dawa maana nilikutwa na maleria,, nilichanganyikiwa nikasema nitafanyaje kuhusu hii mimba? Hapo inaenda wiki ya pili hatujawasiliana na Mahamood,,,, nikatoka nje nikaenda pale nilipoambiwa na shangazi,, kweli nilimkuta amekaa ananisubiri,, akaniuliza vp una shida gani? Nikamwambia ni maleria tu,, akaanza kuniuliza eti una ishi wp? Maana nilikuwa nimependeza tu ukiniona hata ngozi yangu unajua tu nimebadirika sio Amamu yule,,, nikamwambia naishi kwa rafiki yangu,, akaniambia kwa nn sikwenda kijijini?? Nikamwambia nilikwenda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-15-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

870
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

560
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

355
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

171
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

170
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

131
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

33
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest