MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
Nilivyofungua mlango nikamkuta Edina, nikamuuliza vp? Akaniambia jee naomba tuongee, nikamwambia sawa ila sio ndani kwangu tukae hapo nje, akasema sawa, tukakaa akaanza kuniambia nisamehe sana kwa yote niliokufanyia, cjui nimekutwa na nn nazani nimechanganyikiwa tu maisha magumu,, nikamwambia ucjal yameisha,, akaendelea kuniambia Jee please naomba na mm nitafute Danga kama lako maana mm pia biashara yangu ni kuuza mwili wangu ila kwa sasa kila kitu hakiendi? Akaendelea, nilikuwa na Bwana Mzungu alikuwa ananisaidia sana ila nilikuwa nampa nyuma Sasa kaondoka kwao na kurudi cjui atarudi lini,, mhhh nikasema tobaa, mbona Dunia iko iv jmn?? Jee mie nitaweza ya Mahamood kweli?? Nikamwambia Edina mie sina Bwana, yule ananitaka kweli ila mm hapana,, eti bc Jee niunganishe mm nikasema bc ngoja niongee nae kwanza muhusika,, bc alifurahi Edina akaanza kuniambia ohh mie nimefanya sana umalaya ila sijapata Bwana wa kunionga nikaripia, nimeenda Zanzibar sana kutafuta wazungu na waarabu ila naambulia laki, laki mbili ikizidi tano, ila ww una bahati Jee bc nikamwambia mie naingia kulala kesho niingie mzigoni
Nilimtafakari sana Edina, nikasema iv akimpata Mahamood huyu c nitamwagwa mazima mie? Vp kuhusu maisha yangu yataenda vzr? Nikamkumbuka Shangazi yangu alivyonipiga kama Mbwa mumewe alivonibaka, nikakumbuka kipigo cha Baba mdogo hadi kuzimia, nikasema nikimpoteza Mahamood kwa sasa nimekwisha,, hapo benki nina kama milion 4 iv, nikasema hapa lzm niwe mjanja, mm ni yatima sina yeyote kila mtu hanitaki nisipo jisimamia mwenyewe haya maisha bc nitaendelea kuwa mtumwa,
Sio kwamba nilikuwa ctaki kuipanga nyumba kama Mahamood alivyokuwa anataka ila nilikuwa naogopa akija Tanzania c atafikia hapo? C atakuwa ananiingilia nyuma kila cku
Zilipita km cku tatu nawasiliana na Mahamood vzr ila swala la nyumba akawa halizungumzii coz nilimwambia nitamjulisha nikiwa vzr,, bc Edina hakuacha kuniulizia km ombi lake nimemfikishia kwa muhusika namwambia bado
Cku moja nimerudi zangu mihangaikoni nilikuwa nina hamu ya ugali, bc nikawa nasonga ili nile nilale, Mahamood akanipigia cm, akaniambia Jee nakupenda sana, unajua kwa nn nimekupenda? Nikamwambia hapana akasema ww una Nyota kali mnoo,, nilivyokuona mara ya kwanza tu nikaona unawaka kama jua,, nilikupita na gari lkn nikageuza kukufata,, Jee ww hujui tu ww ni Tajiri ,, nikabaki nashangaa, utajiri upi anao uzungumzia Mahamood?? Aliongea mengi sana, akaniambia yeye ana wake wawili mke mkubwa yupo Dubai, na mdogo yupo Uengereza,, na hapa Tanzania ana hard kubwa sana anauza magari hapa Dar na Zanzibar, akaniambia kama nitakuwa tyr nitakuwa mke wake wa tatu na nitaishi hapa Tanzania,, mhh Jee mie jmn nilipenda maongezi yake ila kifiro tu mhhh bc tuliagana
Kumbe Edina alikuwa ananisikiliza yote yale, nashangaa asbh ananiambia namdanganya tuu nimeshindwa kumuunganisha na huyo Bwana, nikamwambia hapana nilieongea nae sio huyo
Bc ilipita kama cku tatu, Edina aliniita akanipa chakula, akaniambia Jee leo usipike kula hiki chakula, nilishakataaga maana haijawahi kunipa chakula hata cku moja tangu nimehamia pale,, ila nikakipokea na kumshukuru nikaingia ndani kwangu
Itaendelea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 10
Vipenzi mnisamehe tu kwa kuichelewesha hii story, ila niliwaambia kabla jmn nipo bize mnoo, niliamua kuileta huku coz nilijua mtaweza kuvumilia hamna midomo michafu kama magrupu mengine maana ningekuwa grupu lingine bc ningejuta story yangu mwenyewe lkn ingenitoa kisirani,, mnivumilie tu!!
Nikapokea chakula nilichopewa na Edina nikaingia ndani,, nikakiweka kile chakula chini wala sikukila wala nn na wala sikufikilia kama kuna ubaya wowote ila nilikuwa nimeshiba zangu chips, napenda sana chips mwenzenu na zimenitoa kitambi ila siachi , asbh naamka najiandaa kutoka kama kawaida , Edina anagonga,, vp Jee kwema? Nikamwambia kwema tu cjui ww,, ulikula kile chakula?? Naomba sahani nioshe, nikamwambia wala sijala nilichoka sana jana mwenzio,, bc Edina akaniambia kwa hasira naomba sahani yangu na hiko chakula mhhhh nikajiuliza kwan kulikoni? Chakula hiki hiki au kuna mengine?? Nikachukua chakula chake nikampa,, akasonya bonge la sonyo, mhhhh nikasema hapa ipo namna sio bure,,, bc kuanzia siku hio ndio bifu langu na Edina likaanza rasmi,, nikitoka vijembe, nikirudi vijembe, akaanza kunichafua mtaaani kuwa mm mchawi naroga wanaume ili wanihudumie,, nilivyoona hali ya pale inazidi kuwa mbaya na mm ugomvi siuwezi nikaamua nilikubari wazo la Mahamood la kupanga nyumba nzima,, nikaongea na Mahamood kuwa anitumie hio hela nipange nyumba, ila ni kule kule bunju siwezi kukaa sehemu nyingine tofauti na kule bc alikubali bila kipingamizi
Nilitafuta dalali nikamwambia aina ya nyumba ninayo itaka akanitafutia nikaiona ni nzuri tu ipo kwenye geti ipo peke yake,, nikamwambia Mahamood akasema nipige picha nimtumie, nikafanya hivo bc akanitumia hela ya kulipia ya mwaka mzima,, nilimshukuru Mahamood ila nikifikiria kifiro naishiwa nguvu,,, bc nikajiandaa kuhama pale, nikaongea na yule Dada mwingine akaniambia nitafute mtu anirudishie garama zangu, nikamwambia sawa ila mm naondoka akipata mtu wa kuhamia pale bc atanitumia hio hela,, nilisubiri Edina katoka nikaleta gari nikabeba vitu vyangu nikasepa
Maisha nikaanza upya kwenye nyumba mpya huku naishi mwenyewe nyumba nzima,, nilimkumbuka Kaka yangu aliyekuwepo huko Arusha nikatamani nimtafute aje tuishi wote ili tupambane na maisha yetu ila sikuwa na mawasiliano nao na nikitaka namba zao lazima niende kwa shangazi ndio ana namba zao, na mm sikutaka kabisa kukutana na shangazi wala mjomba
Bc zilipita km cku tatu iv Edina akanipigia cm, wala sikupokea ilivyokata nikamblok moja kwa moja, cku zilienda maisha yakaendelea huku nawasiliana na Mahamood vzr ,, nakumbuka hio cku nimeamka zangu kwangu nikafanya usafi ndani na nje maana nyumba kubwa Sasa nikawa nimechoka, nikasema leo sitoki ngoja niende sokoni ninunue ndizi zangu nipike nilimisi sana kupika,, bc nikajiandaa vzr ile nataka kutoka tu cm yangu ikaita kuangalia namba ngeni mhhh, nikajiuliza nani tena? Halow Mamujee mpnz mzima? Mhh nikashangaa huyo anae niita mm mpenzi nani?? Ila sauti yke nikiisikiliza vzr kama Mahamood? Sasa mbona hii namba kama ya Tanzania?? Bc nikamjibu nzuri,, akasema mm Mahamood nipo Tanzania njoo mliman cty sasa iv
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni