Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

Yale maneno ya mke mwenzangu yalinifanya nitafakari anayosema ni kweli au ameamua kugombanisha sababu kapewa taraka? Nikazidi kuchanganyikiwa mbona kama asemacho ni kweli mbona adui zangu wanazidi kuongezeka Mamujee mm? Nilibaki na bumbuwazi sijui nifanye nn? Nimuamini mke mdogo wa Mahamod? Au nimuamini Mahamod kwa kumleta mkewe nyumbani kwangu anisaidie kazi? Nilipooza nikawa mnyonge sana huku shangazi na mwanae sijui wanapanga nn juu yangu? Huku nako naambiwa haya?

Sikuongea chochote maana Roby alikuwa ananiangalia kama anataka kujua nimeongea na nani na nimeongea nn

Nikaanza kupata wasiwasi cjui ulitokea wapi ila nilipata hofu sana

Roby alikaa kwangu kama siku tatu iv akaniaga anaondoka nikamwambia sawa wasalimie sikumpa hata mia

Aliondoka zake nikabaki napambana na maisha yangu,, bi mkubwa sikumwambia chochote kuhusu ile cm ya mke mwenzetu nilikaa kimya

Maisha yakaendelea hatimae mimba ilifika miez tisa na ujifunguaji wangu ni Opp nikaandikiwa cku ya kufanyiwa opp bc nilikaa kujiandaa ila nipo nimechanganyikiwa nafikilia maneno ya bi mdogo bado yapo kichwani hata nijisaulishe vp ila hayatoki,,,, mume wangu ananipigia cm kunitia moyo maana presha ndio lilikuwa tatizo kwangu inapanda mara kwa mara nilitamani nipate mtu wa kumuhadisia yale maneno ila sikumpata nimwambie nani? Kaka yangu? Hapana sina uhakika nayo kama sio ya kweli huoni nitakuwa nimeweka doa kwa kaka yangu juu ya Mahamod?? Cjui nimwambie nani matatizo yangu sina Wazazi hata shangazi yangu simuamini yeye ndio yupo tayari kufurahia kifo changu

Nikapata wazo ngoja nimuhadisie Dada yangu wa kazi yeye nipo nae kwa mda mrefu ananifahamu vzr na anawafahamu vzr wakina Mahamod nilishaenda nae Dubai

Zilibaki kama wiki mbili ndio tarehe yangu ya Opp nilimuaga bi mkubwa kama nanyoosha miguu kidogo nafanya mazoezi, huwezi kufanya mazoezi kipindi hiki huoni unajitafutia matatizo Mamujee?? Bi mkubwa alikuwa ana wasiwasi na hali yangu, nikamwambia siendi mbali nanyoosha miguu tu pia sitakuwa peke yangu naenda na Dada, bc aliruhusu ila kishingo upande nikamwita Dada nikamwambia twende tukafanye mazoezi

Tukiwa njiani na Dada nikaanza kumsimulia yale maneno niliyoambiwa na bi mdogo, Dada akaniambia Dada Mamujee usikatae wala simuamini Mwanadamu yule unaemuamini ndio huyo ana kuhumiza? Aisee Dada wa kazi alinipa kauli ambayo ilinifanya niamini kuwa inawezekana bi mkubwa na mumewe hawana nia nzuri na mm na hivi Mahamod ni mganga na chumba chake cha Uganga haruhusiwi kuingia mtu yeyote zaidi ya Mahamod mwenyewe na bi mkubwa tu

Nikamuuliza Dada sasa mm nifanyaje? Akaniambia nenda kwenu kama ulivyoambiwa,, mhh kwetu wapi? Inamaana niende Musoma? Kwa nani yule Baba mdogo aliyeshirikiana na mkewe kunipiga hadi kunusurika kifo?? Nilijiuliza mwenyewe baada ya Dada yangu wa kazi kunambia niende kwetu,, nikawaza au niende tena kwa Kaka Arusha nikajifungue huko kama hawa mapacha?? Lkn kaka namwambia nn? Hata ivo kaka mwenyewe hata mke hana kila cku kunibadirishia wanawake tu mara waje wanipe makesi yao niwasuruhishe yaan ni shida tu

Bc nikasema liwalo na liwe nitakaa hapa hapa nione

Nilirudi nyumbani na Dada nikamkuta bi mkubwa ana wasiwasi kweli vp mbona mmechelewa nilijua umepata shida bado kidogo nikupigie cm kumbe cm hukubeba? Nikamwambia Dada ondoka shaka nipo sawa

Cku zilikimbia hatimae cku ya kujifungua ilifika nikapelekwa hospital nikalazwa ili kesho yake nifanyiwe opp nikiwa pale hospital nikaanza kuota mandoto ya ajabu ajabu mara nimejifungua mtoto kafa mara mtoto wangu kaibiwa

Usiku presha ikapanda sana nikapewa vidonge Dactar akaniambia Mamujee acha kupaniki relax, nikamwambia docta mbona najiona nipo sawa? Akaniambia presha ipo juu sana so jitahidi kutoa mawazo, bc asbh palikucha kabla sijaingia kwenye chumba cha Opp nimeingia kwenye vipimo mapigo ya mtoto hayaonekani nikawaisha kwenye operation presha bado ipo juu ikabidi nipewe vidonge kwanza operation isubiri presha ishuke, badala ya saa 4 asbh nimekuja kufanyiwa opp saa kumi jioni,,, nimekuja kupata fahamu nipo wodini kitu cha kwanza nikaomba mtoto nikaambiwa subiri upate nguvu nimekaa mtoto sipewi jmn mwisho nikaamua kuuliza mtoto wangu yuko wapi? Nimekuja kupewa jibu usiku kwamba mtoto wangu amefariki
OH My God njooni msome yote mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

Yale maneno ya mke mwenzangu yalinifanya nitafakari anayosema ni kweli au ameamua kugombanisha sababu kapewa taraka? Nikazidi kuchanganyikiwa mbona kama asemacho ni kweli mbona adui zangu wanazidi kuongezeka Mamujee mm? Nilibaki na bumbuwazi sijui nifanye nn? Nimuamini mke mdogo wa Mahamod? Au nimuamini Mahamod kwa kumleta mkewe nyumbani kwangu anisaidie kazi? Nilipooza nikawa mnyonge sana huku shangazi na mwanae sijui wanapanga nn juu yangu? Huku nako naambiwa haya?

Sikuongea chochote maana Roby alikuwa ananiangalia kama anataka kujua nimeongea na nani na nimeongea nn

Nikaanza kupata wasiwasi cjui ulitokea wapi ila nilipata hofu sana

Roby alikaa kwangu kama...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-34

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

870
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

560
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

355
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

169
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

168
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

131
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

33
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest