Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19

Bc bhana yale majibu ya Dactari yalitupa mshituko sana hasa mie, nikamwambia Mahamood itakuwaje? Mahamood akanitia moyo akaniambia ngoja turudi nyumbani KWANZA,, nilihisi kudata jmn, bc hatukwenda hata nyumbani tulienda hotel pale Mahamood anapenda kufikia, alinitoa wasiwasi sana akaniambia yeye ni Baba na hatahakikisha watoto wake wanazaliwa salama kwa gharama yeyote ile labda iwe mapenzi ya Mungu,, bc alimpigia cm bi mkubwa kumpa zile taarifa walikuwa wanaongea kiarabu,, nikashangaa napewa cm niongee na bi mkubwa, nikazungumza nae anaongea Kiswahili kama cha mombasa ila ni muarabu, akaniambia Mamujee usijali itabidi MUME wangu akuoe rasmi kisha uje huku Dubai ukae hadi ujifungue ndipo urudi Tanzania, nikabaki. Mhh!! mhhh!!! Mhhhh, haya!! Kiufupi nilishikwa na kigugumizi japo kuwa kwa maumbile yangu harisi nina kigugumizi ila pale kiliongezeka bc nikarudisha cm kwa Mahamood

Nakumbuka siku hio nilikuwa kama mfalme wa inchi za kiarabu, mara nabebwa, mara nashushwa, mara naulizwa nikufanyie nini yaan tafrani tu nikaulizwa km nipo tyr kufunga ndoa nikasema ndio, akaniomba namba za Kaka yangu, akampigia akajitambulisha , akamuambia kuhusu ndoa, Kaka hakupinga kabisa ila akamwambia utaratibu ufanyike, bc Mahamood akamwambia kaka kama yupo tyr ampelekee mahari Arusha, Kaka akamwambia asubiri kwanza atampa majibu, wakakubariana ndani ya cku mbili majibu yatakuwa tyr

Tukiendelea kusubiri majibu ya Kaka ndipo Mahamood akaamua amuambie mkewe mdogo wa Uingereza coz hawezi kufunga ndoa bila ya kumpa taarifa, kabla hajamwambia akaniambia Mamujee huyu mke wangu ni mkorofi balaa cjui kama atanielewa, ila vyovyote vile mm ni mwanaume,, bc akampigia cm, Mhhhhh cjui ikawaje maana Mahamood alitoka nje kuongea na cm mm kaniacha ndani ila alivyorudi kapoa kawa mwekunduu,, mhhhh niliogopa nikamuuliza vp,, kabla hajajibu cm yake ikaita ni huyo mkewe,, Mahamood akapokea bc ile halow aliishia hapo hapo mwanamke anaongea yeye tu, Mahamood akitaka kuongea anakatishwa,,, nikasema Amamu mie mbona mikosi kwangu haiishi jmn,, bc waliongea mwisho Mahamood akapaniki akakata cm,, nilivyoona ile hali nikanyanyuka nikachukua pochi yangu nikashuka chini,, nikahisi moyo unaenda mbio htr,, mara namuona Mahamood nae ananifata Mamujee, Mamujee, sikugeuka nyuma hadi nje ya geti, alivyoona vile akarudi ndani nadhani alifata funguo ya gari,, nikatoka nje nikaita bajaji, nikamwambia nipeleke mwenge, hapo nimepanga niende ile hotel aliyofikia Kaka, bc ikanipeleka hadi mwenge nikapata wazo, nikamwambia nishushe hapa hapa sikutaka aone ninapo elekea maana ile bajaji nilichukulia pale Hotelini chini nikahofia anaweza kuuliza,, nikamlipa hela yake nikarudi nyuma kidogo nikachukua bajaji nyingine hadi pale Hotelini, nikaripia nikaingia room, hapo cm yangu inaita hatari,, nikavua nguo zote nikawasha AC nikaanza kulia, nililia hadi nikajiona mwepesi cm yangu iliendelea kuita tu ni Mahamood anapiga wala sikupokea, kumbe na yeye alitoka akaanza kunifatilia akaenda hadi kwangu akakuta cjafika, akaamua apaki gari nje anisubiri maana funguo nilikuwa nazo, akapiga cm weeee wala sikupokea, Mara naona cm ya Kaka yangu, nikapokea akaniuliza upo wp nikamjibu nipo mwenge kwan vp akasema amna nilitaka kujua then nikwambie mwanaume wako anataka kuleta mahari ila nimemwambia anipe mda wa cku mbili,, nikamwambia sawa, kumbe Kaka ametumwa na Mahamood anipeleleze,, tukaongea na Kaka akaniambia Sasa mwenge unafanya nn mida hii ww mtoto wa kike, nikamwambia leo nalala Hotelini kwako ulipo fikia ukiwa dar,, kumbe Kaka ananichora tu,, akaniuliza room gn upo hapo, nikamtajia, bc akaniaga akaniambia tu kesho nenda kwako,, nimekaa kama nusu saa mlango wangu ukagongwa nikajua Muhudumu, nafungua tu nakutana na Mahamood,, akanibeba huku analia, nisamehe mke wangu,, naomba usipate presha ukaharibu huo ujauzito,, hujui ni kiasi gn nimetafuta mtoto,, imefikia hatua hadi kutaka kupandikiza,, naomba Mamujee nielewe nitakupa hakuna wa kunizuia kama mke wangu atakuwa tayari nimpe taraka bc nitafanya ivo lkn lzm nikuoe Mamujee,, nililia mm tukalia wote,, tukasameheana, , cm ya bi mdogo ikazidi kuita Mahamood hakupokea, tulilala pale hadi asbh,, tukajiandaa kuondoka kwetu

Nikawa namtafakari bi mdogo, kwann hataki mi niolewe?? Mbona yeye hakukataliwa na bi mkubwa?? Nilimuwaza sana,. Hapo ndo hajui kama mm mjamzito,, bc bi mdogo alivyoona Mahamood apokei cm yake akampigia bi mkubwa,, bi mkubwa akampigia cm Mahamood wakaongea kiarabu huku wanachanganya na Kiswahili kidogo,, kumbe bi mdogo kasema ole wake amuoe huyo mwanamke, kama shida ni mtoto yupo tyr akapandikizwe, bi mkubwa akamwambia muache aoe tu kwan shida nn?? Akasema akilazimisha kumuoa bc sitakuwa radhi leo hadi kesho kiama mhhhh cjui nitamuweza mie huyu bi mdogo??? Vita ni vita Muraa

Itaendelea

All reactions:

1.6K1.6K

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 20

Bc bhana vita ikaanza rasmi kati yangu na bi mdogo, nilikuwa naogopa balaa, nashukuru Mahamood na bi mkubwa walikuwa upande wangu na walinitia moyo sana, hasa Mahamood hakutaka kabisa nipate presha, cm zilizidi kupigwa kutoka kwa bi mdogo akimpigia mume wake akimsisitiza asioe,, zile cku mbili walizokubaliana Kaka na Mahamood zikafika na Kaka alipiga cm kwa Mahamood na kumpangia mahari, bc ilibidi tusafiri na Mahamood kwenda Arusha kwa Kaka, Mahamood alichukua watu wake watatu wawili walikuwa wa ofisini kwake na mmoja ni muarabu mwenzie, tuliondoka na magari mawili hadi Arusha, Mungu alitusaidia tulifika salama kabisa, tulikuta Kaka anatusubiri alishaandaa watu wake, mhhhh nilivyofika kwenye nyumba ya Kaka,, kweli Mungu c Mwanadamu,, nilikuta nyumba kubwa ina kila kitu, magari yake matatu kapaki hapo kwake, mhhhh nikamtania Kaka, angalia usijekuwa Freemason Kaka akanijibu umejuaje na lazima nikutoe ww kafara tulicheka pale nikaingizwa chumbani,, nilikuta house girl wawili na house boy mmoja,, Mahamood hakutaka kuchelewa alisema anatoa mahali na ndoa hapo hapo, bc ikabidi Mahamood mwenyewe atoke akatafute mashehe,, ikabidi nisilimishwe kwanza ndipo ndoa ifungwe, tukafanikiwa kufunga ndoa rasmi na Mahamood,, vitu vyote hivo tunafanya hatujashirikisha ndugu yetu yeyote nipo mm na kaka tu,, ndoa ilipita salama bc Mahamood akaongea na Kaka kuhusu ujauzito wangu unahitaji mtu wa kuniangalia na yeye haishi Sana Tanzania , so anaomba aondoke na mm kwenda Dubai,, Kaka yangu alikataa kata kata akamwambia hapana shemeji,, huyu ndugu yangu ndio mimba yake ya kwanza inabidi ajifungulie kwetu isitoshe tupo wawili tu kama macho,, cwez kumruhusu ndugu yangu kwenda huko kwa hali yake hii japokuwa ni mkeo,, bc Mahamood akakubali mm nibaki Arusha hadi nijifungue, ila yeye atakuwa anakuja kuniona,, tulikubaliana hivo,, wale wageni wakaondoka kuja dar nikabaki na Mahamood tukawa tunakaa Hotelin wiki Mahamood anarudi dar anakaa kama wiki mbili anakuja Arusha,,

Nilivyokaa na Kaka ndio nikajua vzr maisha yake,, alikuwa na Maisha ya starehe htr, pombe sana wanawake ndio usiseme kila cku naletewa wifi mpya kutambulishwa nadhani mnawajua watu wa madini,, Kaka yangu ni mfanya biashara mkubwa wa madini,, yaan pale Arusha anajulikana htr yupo kwenye kundi la watu wenye pesa,, Sasa wanawake nao hawapo nyuma kila cku analeta mpya,, nikaona hapana,, cku moja Kaka karudi mapema amerudi peke yake cku hio, mzima hata pombe hana kichwani,, kwake pia kuna kaunta huwa kama ajanywa nje bc analewea ndani Sasa cku hio karudi mkavu,, huwa anakawaida akirudi hata iwe saa ngapi lazima aite Amamuuuu tena kwa fujo,,,. Njoo ndugu yangu wa damu, wewe ndio unajua thamani yangu kuliko mtu yeyote yule njoo mdogo wangu,, cku hio karudi kimya kimya, nikajiuliza kulikoni?? Nikamfata chumbani kwake kugonga,, nikasikia analia tena sauti kubwa,, nikamwita Kaka vp? Unaumwa?? Akaniambia hapana Amamu,, nikamwambia bc fungua mlango,, akanifungulia huku analia, nikasema vp, kapoteza pesa?? au kaachwa?? Mhhhh,, nikamuuliza vp mbona unaniogopesha mwenzio? Akaanza kuniambia, nawakumbuka wazazi wetu sana,, nakumbuka maisha niliyopitia mm,, na ww Dada yangu?? Eti ulibakwa na mjomba na wakakupiga nusu ya kukuua?? Nikamwambia Kaka tuyaache hayo achana nayo tuangalie maisha yetu upya,, akaniambia hapana,, kesho naenda Musoma, nataka nikamfate Baba mdogo aniambie kwann alitaka kukuua?? Nikamwambia hapana Kaka,, nikamuomba sana apunguze starehe sio nzuri, hata wazazi wetu huko walipo hawawezi kufurahia wakijua unaishi haya maisha,, bc alinihahidi kubadilika ila kuhusu Baba mdogo lazima akaonane nae

Mahamood alisafiri kwenda kwa bi mdogo mm kabla cjajifungua ila nilikuwa mwishoni sana,, alikuwa anawasiliana na mm kwa shida sana kama kawaida yake,, inaweza kuisha wiki bila salamu, cku akikutafuta sory zinakuwa nyingi,, nikawa ctaki kujipa presha na ukizingatia nimechoka,, Kaka yangu alikuwa ananipa kila kitu ( kasoro sex) nilijikuta nina amani ya moyo wala sikuwaza kuhusu Mahamood,, nakumbuka siku hio nimeshika cm yangu ile nafungua wtsap tu nakutana na voice note, nikaifungua, hee! Mke wa Mahamood cjui namba yangu kapata wapi,, nikaisikiliza ni matusi jmn,, tena anatukana Kiswahili anachanganya na kingereza,, eti ww malaya,, huwezi kuolewa na Mume wangu, na ole wako uendelee kudil na Mume wangu utajua ujui,, yaan vitisho vingi na matusi,, kiukweli niliumia sana nikasema shida yote hii ya nn?? Kwanza huyo mumewe wala sikumpenda kwa hiali yangu, kukosa kunibaka ningekuwa nae mm?? Niliumia nikaanza kulia nikasema Mahamood akinitafuta namwambia ckutaki na anikome,, ilipita wiki hakunitafuta nikamtumia voice note na mm Mahamood,, nikamwambia kwann ulinibaka wakati ulijua fika upo na wake zako?? Na kwa nn uliniingilia kinyume na maumbile yangu?? Nakuchukia!! Mwambie huyo mkeo ukweli,, asinitukane mm, sina makosa,, pia naomba unitumie taraka yangu kwenye cm pindi tu utakapo upokea ujumbe huu,, na nikijifungua hawa watoto nitawaambia ukweli Baba yenu alinibaka kwanza kabla sijampenda,,,,,, nilivyomaliza kuongea nikatuma,, nikatuma na ile voice note ya mkewe,, nikakaa zangu kimya haikupita nusu saa cm ya Mahamood inaingia

Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19

Bc bhana yale majibu ya Dactari yalitupa mshituko sana hasa mie, nikamwambia Mahamood itakuwaje? Mahamood akanitia moyo akaniambia ngoja turudi nyumbani KWANZA,, nilihisi kudata jmn, bc hatukwenda hata nyumbani tulienda hotel pale Mahamood anapenda kufikia, alinitoa wasiwasi sana akaniambia yeye ni Baba na hatahakikisha watoto wake wanazaliwa salama kwa gharama yeyote ile labda iwe mapenzi ya Mungu,, bc alimpigia cm bi mkubwa kumpa zile taarifa walikuwa wanaongea kiarabu,, nikashangaa napewa cm niongee na bi mkubwa, nikazungumza nae anaongea Kiswahili kama cha mombasa ila ni muarabu, akaniambia Mamujee usijali itabidi MUME wangu akuoe rasmi kisha uje...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

872
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

574
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

374
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

186
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

170
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

139
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

38
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest