Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

1st Jun, 2025 Views 16

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

Hayaaaaa mjeeeeeee tumalize

Tulifika Dubai salama salmini, tukapokelewa vzr, bonge la jumba jmn waarabu kibao humo ndani ila wafanyakazi wako wa ndani wapo wanne, wawili wa Tz, mmoja mkenya,, mwengine wa Msumbiji,, nikapewa chumba changu cha kukaa na watoto ila Dada akapelekwa kwa wenzie, mhhhh nilikuwa naogopa jmn, nikimtazama bi mkubwa alivyo na mm nilivyo vitu viwili tofauti bi mkubwa mashallah! Mzuri kaumbika haswa na rangi yake tamu,, yupo soft yaan ananukia balaa , nikajitazama mm na weusi wangu huu nikasema huyu Mahamood kipo alichofata kwangu sio bure,, nyumba imejaa watu, ukitambulishwa hadi unachoka,, mtoto wa shangazi, mara huyu mjukuu wa Dada yaan ndugu kibao wote weupe,, ila nashukuru walinipokea vzr kwa kuniheshimu sana mm na wanangu, tumekaa km cku tatu iv za kuondoa uchovu, cku ya nne nikaamka zangu asbh nikaenda kusaidiana na wadada kazi,, maana nishaoga kazi jmn, kukaa bure cwez tena kwa watu ndio kabisa, nikafika uani nikaanza kazi,, wale wadada wakawa hawataki niwasaidie, eti Dada acha hizo ni kazi zetu,, yule binti yngu akawa anawaambia huyu kazoea hata kwake tunafanya nae kazi , cjui ikawaje akaniona ndugu mmoja wa mule, mbio hadi kwa bi mkubwa,, wee bi mkubwa akashuka chini, a aniita Mke mdogo,, mbona?? Kwann unafanya kazi na watu wa kazi wapo?? Hayo sio majukumu yako,, unataka Mumeo akukute hapo atulaumu sisi huku sisi hatufanyagi kazi,, kumbe hawafanyi kazi yeyote jmn hata chupi wanafuliwa mhhhh mie cwez hivo vitu aka,, bc niliacha nikaingia ndani,, niliendelea kukaa pale huku najiona kama nipo kifungoni tu, cku hio nimekaa zangu chumbani kwangu nipo peke yngu maana asbh watoto wanatolewa wanakaa huko kama kulishwa, kuogeshwa kila kitu huko mm narudishiwa watoto usiku wakiwa wamelala,, bc nipo zangu chumbani, mara hodi bi mkubwa akaingia,, akaniuliza vp mbona huna raha? Nikawaambia amna Dada nipo sawa mbona? Akasema hamna bhana sifurahii ww kuwa ivo?? Niambie bi mdogo au umemmiss Mumeo?? Nikamjibu mbona kila cku namuona tu , akaniambia unakataa tu ila mm ni mtu mzima najua umemiss Mumeo mhhhh nikamwambia Dada hapana mm nipo vzr tu ondoa hofu,, bc tukawa tunapiga story ananiambia walivyokutana na Mahamood, kumbe alichumbiwa tu bila kuonana na Mahamood, wala walikuwa hawajuani ila wazazi wa Mahamood ndio walimpenda bi mkubwa, wakamuomba aolewe na mtoto wao,, akaniambia alikuwa bikra kabisa alivyoingia kwa ndoa, tuliongea mengi sana hadi alivyomruhusu Mumewe kuoa mke wa pili alipo jiona yeye uzazi umekuwa wa shida kwake,, akasema hata Yule bi mdogo wa Uingereza kumbe bi mkubwa ndio alimtafutia Mumewe ili amuoe Akaniambia nilivyojiona uzazi umekuwa wa shida kwangu nikawaambia Mume wangu AOE ila Mume wangu alikuwa hataki hata kusikia, nilimlazimisha sana hadi kushirikisha ndugu zake ndipo akakubali kuoa ila kwa sharti mm nimtafutie huyo mke, bc nilimuahidi kumtafutia, akasema cku moja alivoenda kwenye shughuri ya Mama ake mdogo alikuwa anaozesha mwanae ndipo akakutana na bi mdogo na yeye alikuja harusini upande wa Bwana harusi,, bc bi mkubwa akampenda yule Dada, akamuomba mawasiliano wakabadilishana vzr, bc wakaanza kuwasiliana taratibu ndipo kumuuliza kama kaolewa, akamwambia hajaolewa,, ndipo bi mkubwa kumuomba aolewe na mumewe Kama bi mdogo,, ndipo yule bibi kukubali akakutaniswa na Mahamood , wakaridhiana ndipo ndoa ikafungwa,, ndipo yeye kupelekwa kuishi huko Uingereza maana Mahamood anabiashara zake huko pia na nyumba zake mbili , nilimshangaa huyu mwanamke nikasema huyu mwanamke ana moyo wa dhahabu jmn,, mhhhh, bc tuliongea mengi mnoo,, akanitania leo nitakuachia Mumeo ulale nae ingawa ni zamu yngu ila acha nikupe mdogo wangu uondoe uchovu uchangamke nikaona aibu, nikamwambia Dada hapana bhana,, bc tukatoka kwenda kula,, ucku umefika nikaingia chumbani kwangu nikaletewa wanangu, nikawalaza kwenye kitanda chao, nikaingia bafuni ili nioge nilale,, natoka bafuni mlango wangu unagongwa, kufungua Mahamood, nikamwambia vp mbona ucku, akasema amekuja kulala,, nikawaambia kivp c upo kwako?? Akasema bi mkubwa amemuomba alale kwangu wiki nzima mhhhh,, nikamwambia c zamu yake?? Akasema ndio ni zamu yake ila amekuruhusu,, Mahamood akaniambia akiwa Dubai bc ni zamu ya bi mkubwa,, akiwa Tz ni zamu yngu,, na kwa bi mdogo ivo ivo,, bc tukaenjoy kwa penzi la ugenini,, Mahamood ananiambia nilivyokumiss nilikuwa najikaza tu nitafanyaje sasa ,, bc asbh Mahamood kaenda kazini kwake,, bi mkubwa akaanza kunitania,, Leo bi mdogo umechagamka,, kumbe kweli ulimmiss Mumeo , eti c ungeniambia Dada namuomba Mahamood anifanyie massage nitoe uchovu, mm wala nisinge kunyima nikacheka sana huyu Dada ana moyo wa tofauti

Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MY HEART 03--04

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

*MY HEART* *1---2 *

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

ANIPHA 6--7.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 05

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY???15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA? Sehemu 13.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY ???11

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest