Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

Hayaaaaa mjeeeeeee tumalize

Tulifika Dubai salama salmini, tukapokelewa vzr, bonge la jumba jmn waarabu kibao humo ndani ila wafanyakazi wako wa ndani wapo wanne, wawili wa Tz, mmoja mkenya,, mwengine wa Msumbiji,, nikapewa chumba changu cha kukaa na watoto ila Dada akapelekwa kwa wenzie, mhhhh nilikuwa naogopa jmn, nikimtazama bi mkubwa alivyo na mm nilivyo vitu viwili tofauti bi mkubwa mashallah! Mzuri kaumbika haswa na rangi yake tamu,, yupo soft yaan ananukia balaa , nikajitazama mm na weusi wangu huu nikasema huyu Mahamood kipo alichofata kwangu sio bure,, nyumba imejaa watu, ukitambulishwa hadi unachoka,, mtoto wa shangazi, mara huyu mjukuu wa Dada yaan ndugu kibao wote weupe,, ila nashukuru walinipokea vzr kwa kuniheshimu sana mm na wanangu, tumekaa km cku tatu iv za kuondoa uchovu, cku ya nne nikaamka zangu asbh nikaenda kusaidiana na wadada kazi,, maana nishaoga kazi jmn, kukaa bure cwez tena kwa watu ndio kabisa, nikafika uani nikaanza kazi,, wale wadada wakawa hawataki niwasaidie, eti Dada acha hizo ni kazi zetu,, yule binti yngu akawa anawaambia huyu kazoea hata kwake tunafanya nae kazi , cjui ikawaje akaniona ndugu mmoja wa mule, mbio hadi kwa bi mkubwa,, wee bi mkubwa akashuka chini, a aniita Mke mdogo,, mbona?? Kwann unafanya kazi na watu wa kazi wapo?? Hayo sio majukumu yako,, unataka Mumeo akukute hapo atulaumu sisi huku sisi hatufanyagi kazi,, kumbe hawafanyi kazi yeyote jmn hata chupi wanafuliwa mhhhh mie cwez hivo vitu aka,, bc niliacha nikaingia ndani,, niliendelea kukaa pale huku najiona kama nipo kifungoni tu, cku hio nimekaa zangu chumbani kwangu nipo peke yngu maana asbh watoto wanatolewa wanakaa huko kama kulishwa, kuogeshwa kila kitu huko mm narudishiwa watoto usiku wakiwa wamelala,, bc nipo zangu chumbani, mara hodi bi mkubwa akaingia,, akaniuliza vp mbona huna raha? Nikawaambia amna Dada nipo sawa mbona? Akasema hamna bhana sifurahii ww kuwa ivo?? Niambie bi mdogo au umemmiss Mumeo?? Nikamjibu mbona kila cku namuona tu , akaniambia unakataa tu ila mm ni mtu mzima najua umemiss Mumeo mhhhh nikamwambia Dada hapana mm nipo vzr tu ondoa hofu,, bc tukawa tunapiga story ananiambia walivyokutana na Mahamood, kumbe alichumbiwa tu bila kuonana na Mahamood, wala walikuwa hawajuani ila wazazi wa Mahamood ndio walimpenda bi mkubwa, wakamuomba aolewe na mtoto wao,, akaniambia alikuwa bikra kabisa alivyoingia kwa ndoa, tuliongea mengi sana hadi alivyomruhusu Mumewe kuoa mke wa pili alipo jiona yeye uzazi umekuwa wa shida kwake,, akasema hata Yule bi mdogo wa Uingereza kumbe bi mkubwa ndio alimtafutia Mumewe ili amuoe Akaniambia nilivyojiona uzazi umekuwa wa shida kwangu nikawaambia Mume wangu AOE ila Mume wangu alikuwa hataki hata kusikia, nilimlazimisha sana hadi kushirikisha ndugu zake ndipo akakubali kuoa ila kwa sharti mm nimtafutie huyo mke, bc nilimuahidi kumtafutia, akasema cku moja alivoenda kwenye shughuri ya Mama ake mdogo alikuwa anaozesha mwanae ndipo akakutana na bi mdogo na yeye alikuja harusini upande wa Bwana harusi,, bc bi mkubwa akampenda yule Dada, akamuomba mawasiliano wakabadilishana vzr, bc wakaanza kuwasiliana taratibu ndipo kumuuliza kama kaolewa, akamwambia hajaolewa,, ndipo bi mkubwa kumuomba aolewe na mumewe Kama bi mdogo,, ndipo yule bibi kukubali akakutaniswa na Mahamood , wakaridhiana ndipo ndoa ikafungwa,, ndipo yeye kupelekwa kuishi huko Uingereza maana Mahamood anabiashara zake huko pia na nyumba zake mbili , nilimshangaa huyu mwanamke nikasema huyu mwanamke ana moyo wa dhahabu jmn,, mhhhh, bc tuliongea mengi mnoo,, akanitania leo nitakuachia Mumeo ulale nae ingawa ni zamu yngu ila acha nikupe mdogo wangu uondoe uchovu uchangamke nikaona aibu, nikamwambia Dada hapana bhana,, bc tukatoka kwenda kula,, ucku umefika nikaingia chumbani kwangu nikaletewa wanangu, nikawalaza kwenye kitanda chao, nikaingia bafuni ili nioge nilale,, natoka bafuni mlango wangu unagongwa, kufungua Mahamood, nikamwambia vp mbona ucku, akasema amekuja kulala,, nikawaambia kivp c upo kwako?? Akasema bi mkubwa amemuomba alale kwangu wiki nzima mhhhh,, nikamwambia c zamu yake?? Akasema ndio ni zamu yake ila amekuruhusu,, Mahamood akaniambia akiwa Dubai bc ni zamu ya bi mkubwa,, akiwa Tz ni zamu yngu,, na kwa bi mdogo ivo ivo,, bc tukaenjoy kwa penzi la ugenini,, Mahamood ananiambia nilivyokumiss nilikuwa najikaza tu nitafanyaje sasa ,, bc asbh Mahamood kaenda kazini kwake,, bi mkubwa akaanza kunitania,, Leo bi mdogo umechagamka,, kumbe kweli ulimmiss Mumeo , eti c ungeniambia Dada namuomba Mahamood anifanyie massage nitoe uchovu, mm wala nisinge kunyima nikacheka sana huyu Dada ana moyo wa tofauti

Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

Hayaaaaa mjeeeeeee tumalize

Tulifika Dubai salama salmini, tukapokelewa vzr, bonge la jumba jmn waarabu kibao humo ndani ila wafanyakazi wako wa ndani wapo wanne, wawili wa Tz, mmoja mkenya,, mwengine wa Msumbiji,, nikapewa chumba changu cha kukaa na watoto ila Dada akapelekwa kwa wenzie, mhhhh nilikuwa naogopa jmn, nikimtazama bi mkubwa alivyo na mm nilivyo vitu viwili tofauti bi mkubwa mashallah! Mzuri kaumbika haswa na rangi yake tamu,, yupo soft yaan ananukia balaa , nikajitazama mm na weusi wangu huu nikasema huyu Mahamood kipo alichofata kwangu sio bure,, nyumba imejaa watu, ukitambulishwa hadi unachoka,, mtoto wa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-27

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

870
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

560
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

355
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

169
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

168
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

131
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

33
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest