Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4

Nilivaa nguo zangu vzr huku nalia, nikasema ee Mungu nimekukosea nn mm? Mbona matatizo kwangu yamekuwa mengi? Kila cku nimekuww mtu wa kubakwa tuu?? Nililia sanaa hadi macho yakawa mekunduu, nikachukua zile hela nikaweka kwenye chupi na ile CM nikaweka kwenye kitopu, nikatoka njee, nikakutana na muhudumu wa ile hotel, akaniambia Binti kuna usafiri wa bajaji hapo nje imelipiwa na Boss amesema ikupeleke nyumbani, nilitaka kukataa ila nikasema ngoja nipande tu, nikapanda ile bajaji nikamuelekeza dereva hadi ninapo kwenda, nilifika nyumbani bahati nzuri sikumkuta Dada jirani wala Kaka hakuwepo, nilifungua mlango maana funguo nilielekezwa na Dada ilipo, nikaoga nikavaa pensi zile hela na cm nikazificha kwenye pensi nje nikavaa sketi nikalala

Niliamshwa na Dada jirani akaniambia Jee mbona umelala mapema ivo? Amka tule alikuwa kabeba chips niliamka nikala mara Kaka akaja tukasalimiana vzr akanipa ticket ya safari, akaniambia amepata gari ya kesho kutwa kwhyo nijiandae kwa safari,, moyoni nilishukuru nikasema ngoja nirudi nyumbani maana huku mjini naishia kubakwa tuu najua sina wazazi ila sina jinsi nyumbani ni nyumbani,, bc Kaka aliniita nje tuongee, akaniambia Jee mdogo wng sio kama nakurudisha nyumbani ctaki ufanye kazi hapa Dar hapana, ila hii Dar sio sehemu salama ww ni mdogo sana ila nitakupa laki moja ya mtaji ukifika nyumbani ufanye biashara na ukiona umekwama kwa chochote bc utanipigia cm ili tujue cha kufanya, ww umekuwa ndugu yangu Sasa nililia mnooo nikasema sijawahi kupata upendo wa namna ile tangu Baba yangu alipofariki nimekuwa mtu wa kusukumwa sukumwa na kupigwa tuu ,, nilimshukuru Kaka mnoo akanipa hela laki na ishirini, ile ishirini nile njiani then laki nikafanye biashara, akanipa na namba yake ya cm tukaagana akaingia ndani kwake mie nikarudi kwa Dada jirani,, hapo sikutaka kumuambia Dada yaliyonikuta kabisa niliogopa asinione Malaya

Cku ya safari iliwadia Kaka alinifata saa kumi alfajiri kunipeleka ubungo, tuliagana pale nilimshukuru Dada jirani kwa msaada wake kwangu pia nilichukua namba yake,,, nilipanda basi safari ya Musoma ikaanza rasmi,, hapo nina hela zangu pamoja na cm nimeweka kwenye pensi

Nilifika nyumbani salama kabisa, nikachukua pikipiki hadi nyumbani kwetu, Marehemu Baba yangu alikuwa na mji wake ambapo ndipo kwetu, alijenga tu nyumba za msonge wakazi wa Mara mtakuwa mnazifahamu, bc nilifika hadi nyumbani nikagonga hodi maana kulikuwa kunaonekana tu kuna watu wanaishi hapo,, nikakaribishwa na sauti ya mwanamke, alivyotoka nikamuona Mama mdogo ni mke wa Baba yangu mdogo ndugu yake Baba,, bc tukasalimiana vzr ila nikamuona kama hakufurahi iv, nikaenda hadi kwenye chumba changu nikaweka begi langu nikalala maana nilichoka sana tulilala njiani na basi, nilishutuliwa na sauti ya Baba mdogo aliniita kwa sauti kali sana Amamu!! Kijijini wananiita Amamu! Nilitoka nikamsalimia aliitika ila kakunja sura yake,, Ww dar ulitoka lini?? Mbona shangazi yako alituambia umetoka mda mrefu sana na huku ndio unafika leo ulikuwa wapi?? Kumbe kweli ww ni Malaya na umembaka mjomba wako huko dar?? Kwann unatupa aibu ww mtoto?? Kabla sijanyanyua mdomo kujibu, baba mdogo akaanza kunipiga, nilipigwa sana,. Nililia kuomba msaada lkn wapi hakunisikia wala kunionea huruma hadi nilipoteza fahamu

Itaendelea

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 5

Nilipata fahamu nikajikuta nipo chumbani kwangu tena chini, nilijaribu kujiinua nikashindwa mwili wote ulikuwa unauma, nikalala pale chini hadi asbh hakuna hata aliyekuja kunitazama asbh ilivyokucha nikajitahidi kujinyanyua mwili mzima ulikuwa umevimba, nikajisachi nione hela zangu zilikuwa vile vile pamoja na cm maana niliweka mfuko wa pensi ndani nje nikavaa nguo kama kawaida, nilitoka nje sikumkuta mtu, nikaenda kuoga nikavaa nguo zangu nikatoka ili nikatafute chochote nile nilikuwa na njaa sana, nikaenda hadi kwenye mabanda nikaagiza chai nikanywa, wakati narudi nyumbani huku natembea kwa shida nikakutana na msichana mmoja tulikuwa tunasoma wote ila yeye alinitangulia kidato, anaitwa Ghati, tulisalimiana vzr yeye tyr kamaliza shule na matokeo yametoka alikuwa ameferi, bc tuliongea akaniambia nasikia ulikuwa dar? Vp mbona umerudi huku tena? Nikamuhadisia mkasa wangu wote hadi kubakwa na mjomba, ila kuhusu yule Mwarabu nilimficha niliogopa asijue nina hela, bc alinihurumia sana akaniambia bora ungebaki dar ukatafuta hata kazi za ndani au bar kuliko kuja huku,, tuliongea mengi tukaagana na Ghati nikarudi home, nimetoka home nikamkuta Mama mdogo nikamsalimia akaniambia Baba yangu mdogo ana maongezi na mm kwhyo nimsubiri nikamwambia sawa nikaingia Chumbani

Nimekaa chumbani nikatafakari sana nikasema bora niondoke hapa nitafute sehemu niende, cjui niende Arusha kwa Kaka yngu ila sipajui na mawasiliano sina, nikatafakari sana nikasema nikiondoka hapa naenda wapi? Nikiwa na mawazo mengi gafra nikaitwa nje nikatoka alikuwa Baba mdogo, nikakaa chini kumsikiliza,, akaniambia kama nimerudi pale bc nitafata sheria za pale, kuanzia Sasa natakiwa nilime shamba na sitakula chakula hadi ucku yaan nikiamka asbh kesho naenda shambani siruhusiwi kula chakula hadi ucku labda ninywe maji tu na ole wangu nilete uvivu pia siruhusiwi kwenda popote Zaid ya shambani na ole akute nimetoka,, nimeenda kufanya umalaya wangu bc ataniua, niliitika nikasema sawa Baba mdogo, nikarudi chumbani nikalia sana nikasema potelea mbali acha niondoke zangu kama kubakwa bc nikazidi kubakwa hadi nife kuliko kuteseka huku tena na ndugu wa Baba yangu nilisubiri giza liingie nitoroke,, nikiwa chumbani nawaza hayo akaja Mama mdogo akaniambia nitoke nikachote maji, bc nikatoka kwenda ramboni kufata maji, nikiwa bado nasomba maji maana nasomba maji na baiskeri, nikapata wazo nichukue baiskeri hadi center ili nikaweke chumba kabisa ili usiku nikitoka nyumbani nipate pa kulala ( gesti) bc nikaacha madumu hapo ramboni nikakimbiza baiskeri hadi center, nikatafuta gesti nikalipia, nilitoa kwenye zile hela nilizopewa na Kaka dar nilikuwa maziwa kwenye maziwa sikuzichanganya na zile zingingine, nikalipa chumba elfu kumi nikaandikisha jina nikasema nitarudi ucku kulala, bc nikakimbiza baiskeri hadi ramboni nikabeba maji yangu hadi nyumbani, nikaingia jikoni nikapika fasta huku nina mipango yangu kichwani, giza lilipo ingia nikatoa begi langu nikalificha nyuma ya nyumba kisha nikarudi ndani, nikatenga chakula vzr tukala, nikawaacha wao wanaangalia taarifa ya habari nikatoa vyombo nje ili nijifanye naviosha nilipotoka ndio kimoja sikurudi ndani nilifata begi langu nikabeba kichwani viatu mikononi huku natembea kwa shida hadi mbele mbele kidogo nikachukua pikipiki hadi center nikamwambia nishushe nikaogopa kumpeleka hadi pale gesti, nikatembea tena hadi gesti, nilivyofika mapokezi walinipa funguo nikaingia ndani

Nilishusha mapazia vzr na kufunga mlango vzr pale gesti ndipo nikatoa cm yangu ili niichaji ,, nikaiangalia vzr cm yangu ilikuwa iPhone nikaweka chaji nikalala, japo kuwa usingizi ulikuwa wa wasiwasi sana, ilivyofika saa kumi na moja alfajiri nikaamka nikaoga nikachukua begi langu na cm yangu nikaweka tena kwenye pensi pamoja na hela zile nyingi nikabakisha hela zile za Kaka niliweka kwenye maziwa nikatoka nje nikachukua pikipiki hadi stendi ya Mabasi ,, basi za Dar zilikuwa zimejaa nikaamua nipande zinazoishia mwanza kisha nilale gest asbh nipande za Dar,, nilifika Mwanza mida ya saa tisa ilikuwa mapema sana nikakata ticket vzr gari ya Dar lux, nikatafuta gesti nikalipia nikaenda kupumzika,, nimekaa zangu pale Mwanza gest ndipo wazo la kuwaza cm yangu likanijia,, nikawasha nikaanza kuangalia angalia japo sikujua kuingilia vzr ile cm lkn ilikuwa imewekwa hadi wtsap,, nikatoka nje nikaagiza chips na soda pamoja na maji, wakati nipo nasubiri chips nikawa naongea na Muhudumu akaniambia KAMA nina safiri nisiwe na shida watu wote wanaolala hapo ambao wanasafiri asbh wanafatwa na gari la hio gest wanapelekwa hadi stendi, bc nikamwambia na mm nina safiri bc watanigongea asbh akasema sawa niwe na amani tu,, nikarudi home kwangu nikafunga mlango vzr nikakaa kucheza cm,, Mara cm ikaja likatokea jina Mahamood" mhhh niliogopa ila nikapokea,, halow Mamujee hujambo?? Nikamwambia cjambo shikamoo,, Marhaba, habari za Tanzania? Nikamjibu nzuri,, akaniambia nilikutafuta sana kwann hukuwasha CM?? Nilikaa kimya, akaniambia bc kuanzia Sasa nisizime cm tena coz atakuwa ananiuliza mara kwa mara,, nikamwambia sawa,, akaniuliza uko wapi sasa?? Nikamwambia Mwanza,, akasema ulifata nn huko?? Nikamuhadisia mkasa wangu wote,, akaniambia nikifika Dar tu nifungue akaunti benk ili anitumie pesa nipange nyumba nikamwambia sawa,, akasema yaan nikifika tu nimjulishe kupitia wtsap na yeye atanipigia ili ajue kama nimefika salama,,, bc nikala zangu pale nikalala,,, kweli alfajiri nikagongewa mlango ili tupelekwe stendi,, nilifika stendi nyegezi Mwanza nikapanda gari Dar lux Safari ya Dar ikaanza tena kwa mara ya pili,, Mamujee kama Mamujee
Muendelezo sh 1000
Njoo fasta WhatsApp uisome
No ni 0743433005

Wanangu wa Kenya ???????? Uganda ???????? Rwanda ???????? Tanzania huduma iko nje nje
WhatsApp +255743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4

Nilivaa nguo zangu vzr huku nalia, nikasema ee Mungu nimekukosea nn mm? Mbona matatizo kwangu yamekuwa mengi? Kila cku nimekuww mtu wa kubakwa tuu?? Nililia sanaa hadi macho yakawa mekunduu, nikachukua zile hela nikaweka kwenye chupi na ile CM nikaweka kwenye kitopu, nikatoka njee, nikakutana na muhudumu wa ile hotel, akaniambia Binti kuna usafiri wa bajaji hapo nje imelipiwa na Boss amesema ikupeleke nyumbani, nilitaka kukataa ila nikasema ngoja nipande tu, nikapanda ile bajaji nikamuelekeza dereva hadi ninapo kwenda, nilifika nyumbani bahati nzuri sikumkuta Dada jirani wala Kaka hakuwepo, nilifungua mlango maana funguo nilielekezwa na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

872
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

572
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

374
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

185
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

170
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

139
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

38
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest