MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12
Hayaaaaa mjeeeeeee maana lawama ndoo mbili
Bc tulienda kula vitu vya baharini c mnajua tena Zanzibar, pweza cjui ngisi, mm sikutaka hata kula chochote, Mahamood alikula then tukarudi hotel,, tupo zetu hotel naogopa hata kulala nahofia asiniingilie tena,, Mahamood akatoa laptop yake akaanza kunionyesha picha zake na familia yake,, kiukweli alikuwa Tajiri hasa maana ananyumba nzuri kubwa tena ghorofa, yaan kama zile tunazoziona kwenye video , akaniambia Mamujee naomba unizoee, nakuahidi nitakupenda na kukupa chochote utakacho,, nikamwambia hapana mm cwez hivo unavyonifanyia , akasema bc sawa sikufanyii tena, ila niahidi utakuwa wangu peke yngu,, nikamwambia sawa!!! Bc akaniambia nilale tu nisiogope anifanyi kitu tena, bc usingizi ukanipitia kweli, kuja kushtuka asbh nimefunikwa shuka vzr na Mahamood amelala fofofo,, nikaamka nikawa nachezea cm, nikakuta msg kutoka kwa Edina,, Jee mambo? Nimekuja hapa kwako mbona haupo?? Sikumjibu ila nikajiuliza huyu kwangu amapajuaje?? Nikaamua niachane nae,,, bc Mahamood aliamka akanikuta nishaoga kabisa na yeye akaenda kuoga akavaa tukashuka chini kula,, akaniambia sasa tunaondoka turudi dar,, tulifatwa na gari yake tukaenda kwanza kwenye hard yake then tukapanda ndege hadi dar
Tumefika dar moja kwa moja hadi Hotelini alipofikia,, tukala tukawa tunapiga story, kiukweli jmn Mahamood ni muungwana sana ila tabia yke chafu ndio inanifanya nimuone shetani,, bc tuliongea mengi hadi kuhusu familia yangu,, akaniambia Mamujee usijali mke wangu,, mara anishike hapa, mara anibusu bc kero tu!! Nikamwambia nataka niende kwangu,, akaniambia subiri nitakupeleka,, tuliendelea kukaa pale bila kunifanya chochote
Jioni ilipofika akaniambia haya twende huko kwako, tulitoka hadi kwangu, alivyofika tu akaanza kuzunguka nyumba nzima, akaniambia Mamujee hapa ndipo umepapenda? Nikamwambia ndio,, akasema haya bhana, tuliingia ndani, sebleni kwangu hakukua na kitu chochote, tv ilikuwa chumbani na kitanda bc akaniambia mbona huna kochi? Sikumjibu maana kama hela nilikuwa nayo ila bc tu,, akakaa kidogo tu akaniambia mm nasepa,, nikamuuliza unaenda wp? Akaniambia Hotelini, mhhhh, nikamwambia Kwan hulali hapa? Akacheka akasema silali kwenye nyumba ya mwanamke mhhhh nikamwambia sawa ila nikajifanya nimenuna, akaniuliza vp una shida yeyote? Nikamwambia sina, bc akanibusu akasepa zake,, mhhhh nikaanza kuona wivu jmn nikajikuta moyo unauma cjui kwann nikajiuliza kwann Mahamood ameondoka? Au ameenda kwa wanawake wengine?? Nikajikuta nalia hata sikula kitu nikalala
Asbh naamka naangalia cm nakuta missed call kibao za Mahamood, nikakumbuka alivyonifanyia jn nikashikwa na wivu upya nikaoga najiandaa nikanywe supu hapo jirani kuna bar kubwa tu, mara cm yangu ikaita kuangalia Mahamood, akaniambia njoo unifungulie geti, nafika getini naona magari mawili, la kwake na kenta ya mizigo,, nikafunga gari la mizigo likaingia,, jmn jmn kumbe Mahamood alinifanyia shopping ya nyumba nzima tena kutoka GSM sofa seti, tv kubwaaa nch 52, friji kubwa Boss, jiko kubwa la gesi, oven, microwave, masefuria yale mazito meza na viti vya chakula, zuria, na showcase daah cjui niseme nn mie bc akamwambia wale watu waingie wanipangie vzr,, walivyomaliza wakaondoka tukabaki na Mahamood,,. Akaniuliza mbona jana hukupokea cm? Nikamwambia nililala,, nikajikuta namkumbatia na kumbusu mhhh,, akaniambia Mamujee naomba bc maana hilo busu lako,, nikamwambia ctaki nyuma, akasema hata mm sitaki nyuma bc kwa mara ya kwanza aliniingilia mbele ila kwa tabu sana maana tangu nibakwe na mjomba sikuwahi kupagusa tena,, bc alifurahi sana maana alikuta kama bikra tu japokuwa mjomba aliitoa bikra yangu
Tulivyomaliza tukaoga akaniambia anipeleke kwenye hard yake ya magari ili akanitambulisha!!!
Itaendelea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 13
Samahanini jmn ile niliyoposti Jana badala ya kuwa namba 12 nikajikuta naandika 11, kwhyo 11 zitakuwa mbili,,, tuendelee
Nikajiandaa vzr nikavaa baibui jipya ila ndani nikavaa jeans, Mahamood alinisifia sana na kuniambia nimependeza,, tulitoka pale safari ya kuelekea huko kwenye biashara yake,, tumetoka tu nje nikamwambia njaa inaniuma tuingie pale bar ili tunywe supu, alinishangaa, akaniambia Mamujee unaenda bar?? Nikamwambia tunywe tu supu, akaniambia sipendi mwanamke anae kwenda bar, ujue bar ni sehemu ambayo inavishawishi sana sasa unanishangaza unavyoniambia mtoto wa kike peke yako kuwa unaingia bar eti kunywa supu?? Mhhh nikasema hii tena kazi, nilikaa kimya sikuendelea kuongea tena,, bc wote tukawa kimya ,. Nikashangaa gari linaingia mliman cty , akashuka yeye akaroki milango nikabaki mwenyewe kwenye gari, hazikupita hata dakika 20 akarudi kabeba take away,, akaniambia haya kula, ctaki tena kusikia umeingia bar mhhhh jmn!! Nilifungua kile chakula nikakuta kuku, egg chop, kachori, sambusa za nyama, yaan vitu vingivingi tu na juice,, huyo kawasha gari tukaendelea na safari kimya kimya eti amenuna mm kuingia bar ,,, bc nikawa nakula zangu nikachukua nyama nikamlisha nilijikuta naanza kumpenda Mahamood jmn bc alikula vzr, Mara tukafika hio sehemu, alishuka akaniambia maliza kula kwanza, nikabaki kwenye gari ila jicho langu lote nje naangalia ile sehemu ni kubwa magari ni mazuri ni mengi hatari, nikaona wafanyakazi wake wanaume na wadada, bc kuna kidada kimoja kizuri kina shepu, alivyomuona Mahamood anaingia akamkonyeza mwenzie nikawaona wanajiweka vzr nguo zao, yule mwenye kishepu akajiangalia tako lake huku anajiweka vzr nawachora tu c mnajua tena kwenye gari vioo vya giza, wa nje haoni ndani ila wa ndani anaona nje bc Mahamood akawasogelea akawapa mikono huku wanatabasamu wenyewe ,, Mahamood alivyokuwa anaingia ndani nikaona wanaongea huku wanamuangalia anavyo ondoka,, nikajiuliza hivi Mahamood hawa wadada ajawafanya nyuma kweli?? Mhhhh!! Nikamaliza kula, mara cm yangu ikaita nikaona namba ile aliyotumia Edina kunitumia msg, nikapokea nikamuuliza nani?? Mie Edina naomba tuonane tuongee,, nikamwambia sipo dar kwa sasa nipo Musoma,, nikakata cm,,, Mara Mahamood akaja huku kaongozana na mbaba mtu mzima iv,, akafungua mlango akanishusha huku amenishika mkono,, akamwambia yule mbaba huyu ni mke wangu mdogo,, nikamsalimia yule Baba, tukaingia humo ndani,, wale wadada wakawa wanaangalia kwa mbali, Mahamood akawa ananizungusha kwenye magari ananielekeza aina za magari huku kanishika mkono, tukaingia hadi ofisini kwake, nikakuta picha yake imebandikwa ukutani,, ofisi nzuri,, bc akawaita wale wafanyakazi wote nikatambulishwa kwao,, nikaona wale wadada wanatizamana cjui walikuwa wanajiuliza huyu bosi huyu Dada kampendea nn maana Mamujee mm mwembamba mrefu mweusi sina hata tako
Mara nikashangaa kumuona msanii mmoja mkubwa sana hapa bongo wa bongo freiva, kaja kuchukua gari yake,, akawa anaongea na Mahamood,, bora bosi leo nimekukuta mwenyewe bwana, hawa watu wako wamegoma kabisa kunipunguzia,, Mahamood akauliza gari gn umelipia? Akaambiwa, akamwambia hio gari ipo juu sana bosi hio bei waliokupa ni sawa kabisa,, bc tulikaa pale ofisini wale wafanyakazi walitoka nikabaki na Mahamood ,, tukawa tunapiga story tu
Tulivyotoka pale tukaenda Hotelini alipofikia, tukala tukaanza kuongea,, ndipo akaniambia vzr cku aliyoniona alikuwa anatoka msimbazi police pale kkoo alikuwa anaenda kuonana na mtu pale sasa wakati anarudi kuelekea Hotelini ndipo akaniona nimesimama zangu stendi , akaniambia Mamujee nimekupenda mnoo,, akaanza kunitania ulivyosimama kishamba shamba pale stendi cjui kama vibaka hawakupanga kukuibia nikampiga kibao, akachukua mto akanipiga nao tukaanza kukimbizana mle ndani tukajikuta tumesex tena njia ya kawaida tu
Alinihahidi vitu vingi sana hasa kufunga ndoa na kunijengea nyumba,, akaniambia akitoka huku Tanzania bc anaenda kwanza Uingereza kwa mke wa pili then atarudi tena Tanzania,, Dubai hatoenda kwa sasa coz alikuwa huko juzi,, akaniambia akitoka Uingereza anakuja kunitafutia eneo ili anijengee nyumba yangu kwanza ndipo tufunge ndoa,, kweli nilijikuta napata faraja namuona kama Malaika aliyeshushwa kuniokoa,, akaniambia kuanzia Sasa hio biashara zangu niache nitafute fremu maeneo ya kkoo niuze mabaibui na magauni, yeye atakuwa ananiagizia mzigo kutoka Dubai,, ila akaniambia ole wako unisaliti nakuua Mamujee mhhhh, bc tulilala pale hadi asbh hata kwangu sikurudi
Asbh yake yeye alikuwa anaenda kazini kwake na mm nikamuomba niende kwangu, bc tulikubaliana akaniitia gari likanipeleka hadi kwangu,, nilivyofika kwangu nikaanza kuvikagua vile vitu nikashukuru Mungu
Nikakumbuka mapito yangu yote jinsi nilivyokuwa nafanyishwa kazi kwa shangazi kama mtumwa, naamka saa kumi napiga kazi, mara nipo kwa kuku, maana shangazi alikuwa anafuga kuku, ngombe, bc hadi kukamua mazoea ilikuwa ni mm na hakunilipa hata mia mbovu, shukurani yake kunifukuza kama mbwa wakati mumewe kanibaka nilijikuta nalia, nikafungua begi langu nikatoa namba za cm za Kaka aliyenisaidia pale ubungo ucku, nilikosa matumaini, sijui pakwenda, ila Kaka alinisitiri hata hakuofia usalama wake ila aliangalia usalama wangu
Nikapiga cm iliita sana bila kupokelewa, ckukata tamaa nilizidi kupiga tu ndipo ilipokelewa na sauti ya mwanamke, nikaomba niongee na Kaka Denis,, akaniuliza ww nani?? Nikamwambia mie mdogo wake Mamujee, ukimwambia hivo ataelewa,, bc yule mtu alitulia kimya kwanza kisha akaniambia Denis amefariki ana wiki mbili sasa mwenzenu nina mkosi gn Mamujee mm nilitegemea nimepata ndugu yangu,, kumbe haikuwa ivo Kaka Denis amefariki?? Nilipiga kelele moja nikapoteza fahamu nipo peke yngu ndani
Itaendelea
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.