TAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????
SEHEMU YA 01
Nikiwa ndio mara yangu yakwanza kuingia ofisini yaani ndio nimeajiliwa tuu hakika nilikutana nawatu wakila aina pale ofisini????????????
Walikuwa kilammoja na tabia zake wasichana niwarembo haswa na wanamagari yao????????
Mimi hata baiskeli sina nilikuwa najiona waajabu wahadhi ya chini mnoo????????
Basi nilipangiwa kitengo changu cha kazi nikafunga moyo sikujali mtu nilipiga kazi bila kumtizama mtu yeyeto????????????
Walinipenda kwakuwa nilikuwa nikitumwa na mtu yeyote sijawahi kumgomea ????????
Wengine walikuwa wananipa kazi zao nawafanyia sijawai hata kuwakatalia ????????
Japo kuwa walinidharau na kuniona kama house girl ila sikujali walinituma tuma hovyo wala sikujali..
Nilikuwa naenda kwa furaha sijawahi kumnunia mtu au kumchukia mtu????????
Nikiwa kazini pale siku hiyo nilikuwa nimechoka choka nika jikuta natafuta sehem nijipumzishe
Nikaenda kukaa kwenye packing ya magari nikaegemea gari moja zuri sana lakifahari????????
Alikuja mbaba mwenye hiyo gari nimbaba wa kiarabu mrefu kidogo anamwili wa wastani anabody nzuri hivi ????????????
Alipofika akaniona akaniuliza unafanya nini hapa
Niliogopa nikamjibu samahani nilikuwa kichwa kinaniuma nikaona nipumzike hapa ????????
Akaniambia kwanini usimwambie matron wenu huko akuruhusu uende nyumbani ukapumzike
Nilimjibu sawa nitafanya hivyo ila sio tatizo kubwa sana ngoja niende ofisini ????????
Niliondoka haraka na kwenda zangu ofisini
Lakini yule baba alinitizama sana nikiondoka nabaada ya hapo aliondoka
Nikiwa ofisini alikuja mkaka mmoja akaniita na kisha akaniuliza unaitwa nani
Nilimjibu naitwa Natasha
Akaniuliza unaishi wapi
Nilimjibu naishi buguruni rozana
Akaniuliza hapa upo kitengo gani
Nikamwambia kitengo changu
Kisha akaniambia niandike namba yangu ya sim kwenye karatasi nimpe????????????
Sikuogopa kwakuwa alikuwa nikiongozi wetu hivyo nilimwandikia na nilimjiibu kila alichoniuliza
Kisha aliniruhusu niende kwenye kitengo changu
Nilifanya kazi zangu vizuri nakisha muda wakutoka ulipofika niliondoka nyumbani
Nilikuwa hivyo kila siku pale kazini nanidham na upendo sijawahi mdharau mtu
Ila wao ndio wananidharau mimi wananionaje sijui vile sijirembi nawala sijishaui
Basi bwana sikuhiyo kulikuwa na sherehe ofisini walisuka vizuri walipendeza sana wadada wakaka pia ????????
Namimi sikuhiyo nilisuka notres na kujipodoa pia nilivaa gauni nzuri ilinishika kishepu changu????????
Nilipendeza sana nilivaa kiatu kirefu na nilikuja na bajaji niliingia kama wa mwisho hivi ????
Watu wote walishindwa kunitambua kwa haraka walinisifia na kujiuliza nanihuyu ????????
Nilipendeza sana kila mtu alitaka kucheza na mimi
Wakaingia viongozi kuanzia meneja hadi mkurugenzi bodi nzima ya viongozi????????
Tuliikaribisha kisha sherehe ilianza na alisimama meneja na kutoa nasaha zake na kuelezea manufaa ya kampuni na hasara ????????
Kisha tulipongezwa kwa kuwa na manufaa makubwa baada ya hapo alikaribishwa mkurugenzi mkuu ambaye watu wengi hawakuwa wanamjua
Akasimama yule mbaba niliekuwa nimeegemea gari yake ????????????
Watu wote walishangaa na wasichana kumsifia hakika ni handsome wamaana ????????????
Alikua nimtu mzima kiasi ila anaejijali nimwarabu mwenye pesa nyingi
Aliongea hapo na kutupongeza sana kisha aliruhusu sherehe ianze watu wale chakula wanywe na kucheza mziki watu wewe????????????
Tulikula chakula watu walikunywa mivinyo nakucheza mziki sana kila mtu alikuwa na wake hahahaaa????????
Mimi nilichukua juice yangu nikawa na kunywa zangu taratibu peke yangu huku natizama muda nisichelewe nyumbani si mnajua sinaga usafiri my wenu na usiku ukiwa mwingi nitazikosa bajaji????
Nikiwa nipo mwenyewe ghafla????????alikuja kiongozi wa tim yetu???????? akaniita na kuniambia unaitwa huku naomba unifuate
Nyieeeeee????????nani huyo ananiita????????
Niliinuka na kinywaji changu nikamfuata jamaa alinipeleka kwa nyuma kunasehem imejificha sana na pia imetulia sana????????
Mama weeee mbona huku tenaaa????????kunaniiiii..
Itaendeleaaaa...
Full 1000
WhatsApp 0742133100.