Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........10
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea........

ENDELEA NAYO..
Mwanamama katalina alienda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa mwanadada Angelina,na aliwakuta wakimbebeleza binti Anjelina aliyegoma kabisa kurudi  kufanya kazi kwenye kampuni ya FNF,
"Anjelina unajua ni kipi kilichonileta hapa?",mwanamama katalina aliuliza baada ya kufika.
"Hapana mama sijui",Angelina alijibu kwa unyenyekevu wa hali  ya juu.
"Kesho jitajidi sana uje kuna zawadi imeandaliwa kwa ajili yako na kampuni tuliloingia nalo mkataba wa nyie kuvaa viatu vinavyotengenezwa na kampuni hilo", Mwanamama katalina aliongea.
"Zawadi ya kuaibika mama na sura yangu nitaiweka wapi", Angelina bado hakukubaliana nae kabisa mwanamama katalina.

Uwepo wa wao watatu kuwa pale yani mwanamama katalina,Manka na mama yake mzazi walifanya ushawishi mkubwa uliomfanya mpaka Angelina akubali kwenda.
                  
Baada ya maongezi ya mda mrefu kati ya Albert na Diana wakiwa bado wanaendelea kuongea, kijana Albert alichukua simu na kuiwasha na baada ya simu yake kuwaka alikutana na ujumbe huku namba iliyotumika kutuma ujumbe huo ikiwa ni ngeni,
"Mama mzazi ni mmoja tu duniani sijui kwanini umesahau kile nilichokwambia kwamba mama yako yupo kwenye hatari Albert",
Ni ujumbe uliosomeka kwenye simu yake na ulimtoa kwenye mudi ya kuendelea kuongea na Diana, ata Diana aliliona hilo.
"Albert kuna tatizo?",Diana ilibidi amuulize baada ya kumuona ameishiwa raha na tabasamu kufutika usoni.
"Ndio diana naomba niende tutaongea siku nyingine", Albert hakutaka kusubiri kuona Diana ataongea nini aliamua kuondoka maeneo yale akimuacha Diana kwenye maswali yasiyokuwa na majibu.
"Huyu itakuwa kuna kitu kinachomsumbua sio bure lakini mimi hayanihusu mambo yake nikipata ninachokitaka ata urafiki kati yangu na yeye lazima ufe, sina kingine cha kufanya zaidi ya kuheshimu makubaliano niliyoweka na baba yangu", Diana aliongea kuonyesha kuwa yupo na Albert kwa sababu flani.

Nae palepale simu yake iliita ilimlazimu aipoke,
na mtu aliyempigia hakuwa mwingine bali ni Stewart,
"Diana nipo nyumbani kwenu nakusubiri nimepiga stori na baba yako mpaka amechoka nakuondoka",Stewart aliongea.
"Ivi unakichaa Stewart nani aliyekuelekeza nyumbani kwetu unawezaje kuja bira kuwa na ruhusa yangu na ulipajuaje?",Diana aliongea maneno ya kutosha na upande wa Stewart hakuwa ata na wasiwasi wowote zaidi ya kumuimiza awahi kurudi nyumbani yupo anamsubiri.

Albert baada ya kuachana na Diana alimtafuta Mary kwenye simu ili ajue ni kwanini amemtumia ule ujumbe na majibu aliyopatiwa ni waonane sehemu tulivu ili waweze kuongea vizuri,
Albert hakujali kama tayali giza limeshaanza kutanda mda huo aliitaji kujua atafanya nini kumsaidia mama yake mzazi alienda mpaka sehemu aliyoitwa na Mary na kufanyikiwa kumkuta akimsubiri,
"Nilijua huwezi kuja",Mary aliongea baada ya kumuona Albert.
"Mama yangu ni mhimu kuliko kitu chochote kile na ndiyo mana nipo hapa nahitaji uniambie nani aliye nyuma ya haya yote unayoniambia", Albert aliongea na mda huo alikuwa bado kasimama.
"relax Albert kwanza unatakiwa ukae ili unisikilize kwa umakini zaidi",Mary aliongea tana akiwa hana wasiwasi wowote ule.
"Aya nimekaa nani anayetengeneza mipango ya kumuangamiza mama yangu kama akishindwa kuwa Miss Tanzania?",Albert kwa mara nyingine tena aliuliza.
"Unataka kumjua huyo mtu?"
"Ndio tena sasa ivi tu"
"Aliyekaa mbele yako ndiyo anamipango ya kumuua mama yako kama tu akikoswa uMiss Tanzania",Mary aliongea.
"Unamaanisha wewe ndiyo una hiyo mipango ya kumuangamiza mama yangu kama usipokuwa Miss Tanzania?".

Albert alinyenyuka kwenye kitu alichokuwa amekaa na kumfata Mary ambae hakuwa na wasiwasi wowote ule.
"Nitakuua nakwambia ukijaribu kumuua mama yangu ole wako umguse na kuanzia sasa ivi nitafanya juu chini usiendelee na mashindano labda sio mimi Albert", Albert aliongea huku mboni za macho yake zikibadilika na kuwa nyekundu.
"Wewe ndio unatakiwa uniogope mimi na sio mimi kukuogopa, naitwa Mary na unachotakiwa kufanya kwa sasa nikunisikiliza kile ninachokitaka, una usiku wa leo tu wakujiuliza uwe upande wangu au ufanye kile unachoona ni sahihi ili mama yako afe, na kaa ukijua sipo peke yangu kwenye hilijambo na ole wako upeleke tarifa polisi usije kunilaumu kwa kitakacho mtokea mama yako Albert, kesho asubuhi nahitaji jibu langu upo upande gani wangu au upande wako?", Mary baada ya kumpiga mkwala Albert alinyenyuka na kuondoka maeneo yale.
"Huyu mwanamke mbona anajiamiani sana, subiri nitamwonyesha",ni maneno yaliyotoka  mdomo mwa Albert baada ya Mary kuondoka.
                
Upande wa Diana alifika nyumbani mida ya usiku na kweli alimkuta Stewart akiwa pale tena wanaongea na baba yake vizuri hali iliyomshangaza kidogo,
"Mwenzako kakusubiri sana na ametoka uingeleza kwa ajili yako", Mr.James aliongea na kumfanya Diana ashangae ni lini Stewart alienda uingeleza ila hakutaka kumwambia baba yake ukweli.

Mr.James ilibidi awapishe kwa ajili ya mazungumzo,

"Stewart ndio ujinga gani huu ulioamua kuufanya?",diana alimuuliza Stewart tena akiwa hana utani ata kidogo.
"Umesahau kama na wewe ulilala nyimbani kwetu Diana?, ata mimi leo nilitamani kuja kulala nyumbani kwenu na uzuri nilikufatilie ile siku bira wewe kujua ndiyo mana imekuwa vyepesi mimi kuja kwenu",Stewart aliongea.

Diana hakuwa na kingine tena zaidi ya kukubaliana na hali na stori mbalimbali ziliendelea lakini Stewart alikuwa tofauti na Albert kwani ni mtu mwenye matani mengi na hii ilimfanya Diana atabasamu na mpaka ulifika mda wa kula wote wakapata chakula kisha baada ya hapo Stewart alionyeshwa chumba anachotakiwa kulala usiku huo.

Upande wa Albert baada ya kufika nyumbani  hali haikuwa nzuri kutokana na kile alichoambiwa na Mary aliwaza sana ni kitu gani anatakiwa afanye ili mama yake awe salama mana kwa maneno aliyoambiwa na Mary yalimfanya aanze kuamini kuwa Mary alikuwa anamanishe kile alichokisema.

"Huyu inatakiwa niende nae kwa akili lasivyo nitampoteza mama yangu na ata nikisema niende kutoa tarifa polisi bado haitasaidia kitu zaidi ya kuongeza matatizo zaidi, ngoja nikubaliane nae alafu nione kapanga kufanya nini",Albert akiamua kufanya maamuzi ya kukubali ili aone atakachoambiwa na Mary ni kipi, alipanda kitandani na kulala.
              
Siku mpya ilifika na Albert asubuhi hiyohiyo alimtumia ujumbe Mary na kumtarifu kuwa yupo tayali kuwa upande wake ili mama yake awe salama,
Ata upande wa Mary baada ya kuupata ujumbe ule alilukaluka kwa furaha nakuona sasa mipango yake inaenda vizuri na amebakiza hatua chache tu afikie kile alichokuwa akikitaka, kwanza alimtarifu Albert wanapaswa kukutana jioni ya siku hiyo na amueleze kiundani zaidi ya kipi anachohitaji,

Angelina nae aliamua kwenda kwenye kampuni ya FNF kama alivyoambiwa na mwanamama katalina na alipofika alishangaa akiitwa ofisini kwa mwanamama huyo,
"Angelina unakumbuka nilichokwambia jana", ndicho alichoongea mwanamama katalina.
"Ndio mama nakumbuka"
"Hii ni zawadi yako imeletwa na hatukutaka washiriki wengine wajue mana ingeonekana jambo la ajabu sana kwa kile kilichotokea jana, yakupaswa uchukue naamini utaipenda".

Angelina aliichukua na kuangalia ndani ya box lile alikutana na simu ya garama na ndio zawadi aliyopatiwa na kampuni ile ya viatu.
"Hutakiwi kukata tamaa tuna miezi miwili tu imebaki fanya mazoezi ya kutembea na viatu vya aina ile na inatakiwa uniahidi kuwa kesho tutakapofanya mazoezi kwa mara nyingine hutoniangusha Angelina".Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Angelina kutafakari kile alichoambiwa.
"Nakuahidi na temu hii nitafanya kwa jitihada zangu zote, sitakubali tena kudhalaulika mbele za watu, kuanzia leo mimi nitakuwa mshindani wa kweli kwenye mashindano hayo ya Miss Tanzania".Angelina aliongea kwa kujiamini na ata mwanamama katalina hakuamini kusikia maneno yale kutoka kwa angelina.

Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...ITAENDELA.

Nyie bado tunaendelea na simulizi yetu ngoja tuone kama kweli Angelina ataweza kushindana na Mary pamoja na Diana.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........10
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea........

ENDELEA NAYO..
Mwanamama katalina alienda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa mwanadada Angelina,na aliwakuta wakimbebeleza binti Anjelina aliyegoma kabisa kurudi  kufanya kazi kwenye kampuni ya FNF,
"Anjelina unajua ni kipi kilichonileta hapa?",mwanamama katalina aliuliza baada ya kufika.
"Hapana mama sijui",Angelina alijibu kwa unyenyekevu wa hali  ya juu.
"Kesho jitajidi sana uje kuna zawadi imeandaliwa kwa ajili yako na kampuni tuliloingia nalo mkataba wa nyie kuvaa viatu vinavyotengenezwa na kampuni hilo", Mwanamama katalina aliongea.
"Zawadi ya kuaibika mama na sura...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

945
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

321
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

134
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest