Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........10
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea........

ENDELEA NAYO..
Mwanamama katalina alienda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa mwanadada Angelina,na aliwakuta wakimbebeleza binti Anjelina aliyegoma kabisa kurudi  kufanya kazi kwenye kampuni ya FNF,
"Anjelina unajua ni kipi kilichonileta hapa?",mwanamama katalina aliuliza baada ya kufika.
"Hapana mama sijui",Angelina alijibu kwa unyenyekevu wa hali  ya juu.
"Kesho jitajidi sana uje kuna zawadi imeandaliwa kwa ajili yako na kampuni tuliloingia nalo mkataba wa nyie kuvaa viatu vinavyotengenezwa na kampuni hilo", Mwanamama katalina aliongea.
"Zawadi ya kuaibika mama na sura yangu nitaiweka wapi", Angelina bado hakukubaliana nae kabisa mwanamama katalina.

Uwepo wa wao watatu kuwa pale yani mwanamama katalina,Manka na mama yake mzazi walifanya ushawishi mkubwa uliomfanya mpaka Angelina akubali kwenda.
                  
Baada ya maongezi ya mda mrefu kati ya Albert na Diana wakiwa bado wanaendelea kuongea, kijana Albert alichukua simu na kuiwasha na baada ya simu yake kuwaka alikutana na ujumbe huku namba iliyotumika kutuma ujumbe huo ikiwa ni ngeni,
"Mama mzazi ni mmoja tu duniani sijui kwanini umesahau kile nilichokwambia kwamba mama yako yupo kwenye hatari Albert",
Ni ujumbe uliosomeka kwenye simu yake na ulimtoa kwenye mudi ya kuendelea kuongea na Diana, ata Diana aliliona hilo.
"Albert kuna tatizo?",Diana ilibidi amuulize baada ya kumuona ameishiwa raha na tabasamu kufutika usoni.
"Ndio diana naomba niende tutaongea siku nyingine", Albert hakutaka kusubiri kuona Diana ataongea nini aliamua kuondoka maeneo yale akimuacha Diana kwenye maswali yasiyokuwa na majibu.
"Huyu itakuwa kuna kitu kinachomsumbua sio bure lakini mimi hayanihusu mambo yake nikipata ninachokitaka ata urafiki kati yangu na yeye lazima ufe, sina kingine cha kufanya zaidi ya kuheshimu makubaliano niliyoweka na baba yangu", Diana aliongea kuonyesha kuwa yupo na Albert kwa sababu flani.

Nae palepale simu yake iliita ilimlazimu aipoke,
na mtu aliyempigia hakuwa mwingine bali ni Stewart,
"Diana nipo nyumbani kwenu nakusubiri nimepiga stori na baba yako mpaka amechoka nakuondoka",Stewart aliongea.
"Ivi unakichaa Stewart nani aliyekuelekeza nyumbani kwetu unawezaje kuja bira kuwa na ruhusa yangu na ulipajuaje?",Diana aliongea maneno ya kutosha na upande wa Stewart hakuwa ata na wasiwasi wowote zaidi ya kumuimiza awahi kurudi nyumbani yupo anamsubiri.

Albert baada ya kuachana na Diana alimtafuta Mary kwenye simu ili ajue ni kwanini amemtumia ule ujumbe na majibu aliyopatiwa ni waonane sehemu tulivu ili waweze kuongea vizuri,
Albert hakujali kama tayali giza limeshaanza kutanda mda huo aliitaji kujua atafanya nini kumsaidia mama yake mzazi alienda mpaka sehemu aliyoitwa na Mary na kufanyikiwa kumkuta akimsubiri,
"Nilijua huwezi kuja",Mary aliongea baada ya kumuona Albert.
"Mama yangu ni mhimu kuliko kitu chochote kile na ndiyo mana nipo hapa nahitaji uniambie nani aliye nyuma ya haya yote unayoniambia", Albert aliongea na mda huo alikuwa bado kasimama.
"relax Albert kwanza unatakiwa ukae ili unisikilize kwa umakini zaidi",Mary aliongea tana akiwa hana wasiwasi wowote ule.
"Aya nimekaa nani anayetengeneza mipango ya kumuangamiza mama yangu kama akishindwa kuwa Miss Tanzania?",Albert kwa mara nyingine tena aliuliza.
"Unataka kumjua huyo mtu?"
"Ndio tena sasa ivi tu"
"Aliyekaa mbele yako ndiyo anamipango ya kumuua mama yako kama tu akikoswa uMiss Tanzania",Mary aliongea.
"Unamaanisha wewe ndiyo una hiyo mipango ya kumuangamiza mama yangu kama usipokuwa Miss Tanzania?".

Albert alinyenyuka kwenye kitu alichokuwa amekaa na kumfata Mary ambae hakuwa na wasiwasi wowote ule.
"Nitakuua nakwambia ukijaribu kumuua mama yangu ole wako umguse na kuanzia sasa ivi nitafanya juu chini usiendelee na mashindano labda sio mimi Albert", Albert aliongea huku mboni za macho yake zikibadilika na kuwa nyekundu.
"Wewe ndio unatakiwa uniogope mimi na sio mimi kukuogopa, naitwa Mary na unachotakiwa kufanya kwa sasa nikunisikiliza kile ninachokitaka, una usiku wa leo tu wakujiuliza uwe upande wangu au ufanye kile unachoona ni sahihi ili mama yako afe, na kaa ukijua sipo peke yangu kwenye hilijambo na ole wako upeleke tarifa polisi usije kunilaumu kwa kitakacho mtokea mama yako Albert, kesho asubuhi nahitaji jibu langu upo upande gani wangu au upande wako?", Mary baada ya kumpiga mkwala Albert alinyenyuka na kuondoka maeneo yale.
"Huyu mwanamke mbona anajiamiani sana, subiri nitamwonyesha",ni maneno yaliyotoka  mdomo mwa Albert baada ya Mary kuondoka.
                
Upande wa Diana alifika nyumbani mida ya usiku na kweli alimkuta Stewart akiwa pale tena wanaongea na baba yake vizuri hali iliyomshangaza kidogo,
"Mwenzako kakusubiri sana na ametoka uingeleza kwa ajili yako", Mr.James aliongea na kumfanya Diana ashangae ni lini Stewart alienda uingeleza ila hakutaka kumwambia baba yake ukweli.

Mr.James ilibidi awapishe kwa ajili ya mazungumzo,

"Stewart ndio ujinga gani huu ulioamua kuufanya?",diana alimuuliza Stewart tena akiwa hana utani ata kidogo.
"Umesahau kama na wewe ulilala nyimbani kwetu Diana?, ata mimi leo nilitamani kuja kulala nyumbani kwenu na uzuri nilikufatilie ile siku bira wewe kujua ndiyo mana imekuwa vyepesi mimi kuja kwenu",Stewart aliongea.

Diana hakuwa na kingine tena zaidi ya kukubaliana na hali na stori mbalimbali ziliendelea lakini Stewart alikuwa tofauti na Albert kwani ni mtu mwenye matani mengi na hii ilimfanya Diana atabasamu na mpaka ulifika mda wa kula wote wakapata chakula kisha baada ya hapo Stewart alionyeshwa chumba anachotakiwa kulala usiku huo.

Upande wa Albert baada ya kufika nyumbani  hali haikuwa nzuri kutokana na kile alichoambiwa na Mary aliwaza sana ni kitu gani anatakiwa afanye ili mama yake awe salama mana kwa maneno aliyoambiwa na Mary yalimfanya aanze kuamini kuwa Mary alikuwa anamanishe kile alichokisema.

"Huyu inatakiwa niende nae kwa akili lasivyo nitampoteza mama yangu na ata nikisema niende kutoa tarifa polisi bado haitasaidia kitu zaidi ya kuongeza matatizo zaidi, ngoja nikubaliane nae alafu nione kapanga kufanya nini",Albert akiamua kufanya maamuzi ya kukubali ili aone atakachoambiwa na Mary ni kipi, alipanda kitandani na kulala.
              
Siku mpya ilifika na Albert asubuhi hiyohiyo alimtumia ujumbe Mary na kumtarifu kuwa yupo tayali kuwa upande wake ili mama yake awe salama,
Ata upande wa Mary baada ya kuupata ujumbe ule alilukaluka kwa furaha nakuona sasa mipango yake inaenda vizuri na amebakiza hatua chache tu afikie kile alichokuwa akikitaka, kwanza alimtarifu Albert wanapaswa kukutana jioni ya siku hiyo na amueleze kiundani zaidi ya kipi anachohitaji,

Angelina nae aliamua kwenda kwenye kampuni ya FNF kama alivyoambiwa na mwanamama katalina na alipofika alishangaa akiitwa ofisini kwa mwanamama huyo,
"Angelina unakumbuka nilichokwambia jana", ndicho alichoongea mwanamama katalina.
"Ndio mama nakumbuka"
"Hii ni zawadi yako imeletwa na hatukutaka washiriki wengine wajue mana ingeonekana jambo la ajabu sana kwa kile kilichotokea jana, yakupaswa uchukue naamini utaipenda".

Angelina aliichukua na kuangalia ndani ya box lile alikutana na simu ya garama na ndio zawadi aliyopatiwa na kampuni ile ya viatu.
"Hutakiwi kukata tamaa tuna miezi miwili tu imebaki fanya mazoezi ya kutembea na viatu vya aina ile na inatakiwa uniahidi kuwa kesho tutakapofanya mazoezi kwa mara nyingine hutoniangusha Angelina".Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Angelina kutafakari kile alichoambiwa.
"Nakuahidi na temu hii nitafanya kwa jitihada zangu zote, sitakubali tena kudhalaulika mbele za watu, kuanzia leo mimi nitakuwa mshindani wa kweli kwenye mashindano hayo ya Miss Tanzania".Angelina aliongea kwa kujiamini na ata mwanamama katalina hakuamini kusikia maneno yale kutoka kwa angelina.

Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...ITAENDELA.

Nyie bado tunaendelea na simulizi yetu ngoja tuone kama kweli Angelina ataweza kushindana na Mary pamoja na Diana.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........10
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea........

ENDELEA NAYO..
Mwanamama katalina alienda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa mwanadada Angelina,na aliwakuta wakimbebeleza binti Anjelina aliyegoma kabisa kurudi  kufanya kazi kwenye kampuni ya FNF,
"Anjelina unajua ni kipi kilichonileta hapa?",mwanamama katalina aliuliza baada ya kufika.
"Hapana mama sijui",Angelina alijibu kwa unyenyekevu wa hali  ya juu.
"Kesho jitajidi sana uje kuna zawadi imeandaliwa kwa ajili yako na kampuni tuliloingia nalo mkataba wa nyie kuvaa viatu vinavyotengenezwa na kampuni hilo", Mwanamama katalina aliongea.
"Zawadi ya kuaibika mama na sura...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

638
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

59
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest