Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........17
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia..........
"Fanya unachojua uende nyumbani mama yako hayupo salama", alianza kumwelezea jinsi alivyokuwa.
"Diana nakuja sasa ivi tu",Albert aliondoka upesi akimuacha Diana kwenye maswali mengi.........

ENDELEA NAYO......
Albert alifika nyumbani kwao na kweli alikuta get lipo wazi na mlinzi akiwa amelala chini aliingia mpaka ndani na kuanza kumuita mama yake lakini hakuambulia chochote zaidi ya ukimya kutawala katika nyumba yao,
"Huyo atakuwa Mary ndiye aliyefanya kitendo cha kumchukua mama yangu", alichukua simu yake na kumpiga Mary na mda huohuo Mary alipokea simu,
"Mr.Albert",Mary aliongea kwa mapozi.
"Mary naomba usimguse mama yangu nitakufanya kitu kibaya sana",Albert aliongea na kutoa vitisho kwa Mary, lakini mwenzake ndio kwanza alianza kumcheka na kuendelea kuongea,
"Umevunja makubaliano yetu Albert na mimi natekeleza kile nilichokwambia kosa lako ni moja tu la kushindwa kunifanya niwe Miss Tanzania", sauti ya Mary ilibadilika na hakuonyesha utani ata kidogo na ata Albert alilitambua hilo.
"Chochote kile nitakupa ila naomba usimguse mama yangu Mary mwache kama alivyo",Albert aliongea.
"Vizuri kijana mwelewa sana basi nisikilize kwa umakini kile nitacho kwambia na temu hii ukifanya kinyume na makubaliano yetu nakuahidi Albert utamkuta mama yako ameshakufa",

Mary aliongea na kumfanya Albert atege sikio lake vizuri kumsikiliza.

Mary aliendelea kuongea na kuna mpango aliokuwa nao,
"Nilipoteza pesa nyingi sana nilizotumia kama maandalizi kwenye mashindano ya Miss Tanzania, kwa kukuhurumia njoo na Tsh 100million  mama yako nitamuachia na baada ya hapo nitaenda kuzitumia nikimaliza nitakuja kuchukua tena pesa zingine mpaka nitakapo tosheka", mwanadada Mary alimaliza kuongea akisubiri jibu kutoka kwa Albert.
"Mary mbona unanifanyia ivyo,kama shida ni pesa nitakuja nazo izo pesa ili umuachie mama yangu", Albert alijibu kumaanisha amekubali kwenda na zile pesa ili mwanamama katalina aweze kuachiwa.

Albert hakuwa na njia nyingine zaidi ya kwenda kutoa kiasi hicho cha pesa na alikitoa kwenye akaunti ya familia yao ili mama yake aweze kuachiwa.
                 
Ndani ya gari la kifahari anaoenakana mwanadada Angelina akiwa na rafiki yake Manka aliyeamua kuacha kazi ya kwenye mgahawa na kazi aliyokuwa nayo kwa wakati huo nikutembea na Angelina karibu kila sehemu anayoenda na
safari yao iliwapeleka mpaka sehemu lilipo jengo la kampuni kubwa tu aliloingia nalo mkataba mwanadada Angelina,
"Angelina utaweza kweli kuigiza rafiki yangu?",Manka alimuuliza mwanadada Angelina.
"Sijui lakini nitajitahidi mpaka niweze japo haitakuwa kazi rahisi", Angelina aliona kazi ya kuigiza itamfaa na atazidi kujizolea umaarufu zaidi ndiyo mana aliingia mkataba na kampuni la uigizaji.

Kwenye kampuni hilohilo la uigizaji leo Stewart aliamua kuja ndani ya kampuni hilo na aliitaji kuonana na kiongozi kwa ajili ya mazungumzo japo ilikuwa ngumu kwake kupewa nafasi ya kuonana na kiongozi huyo ila siku zote pesa inaongea ndicho alichokifanya kijana Stewart, kiongozi alikuja kumsikiliza ni kipi kilichomfanya awe pale,
"Kipi ulichoniitia kijana na unashida gani na mimi?", manager wa kampuni hilo maarufu la uigizaji aliongea.
"Nina dili nahitaji tuweke makubaliano ya mimi na wewe",Stewart alikuwa na malengo yaliyomfanya aje kwenye kampuni ndiyo mana alihitaji kumuona manager.
"Makubaliano yapi hayo?"
"Nitakulipa kiasi cha pesa kitakacho kutosha ila nitafutie nafasi ya mimi kuwa karibu na Miss Tanzania nahitaji kuwa karibu nae, na ata ikiwezekana nipangie kipande cha uigizaji kitakacho tuweka karibu mimi na yeye", Stewart aliongea tena alionyesha kabisa anamaanisha kile alichokizungumza.
"Hahahahahahaha,unazani unaweza kunishawishi nikubali ilichokisema?, nisikilize kwa umakini mimi mwenyewe sina shida na pesa ninazo za kutosha tu ila nilimchukua Angelina kwa mipango yangu mwenyewe ujiulizi kwanini karibu Miss Tanzania wote sisi ndiyo tunakuwa wa kwanza kuwapa mikataba kwenye kampuni yetu?",Manager aliongea na kumfanya Stewart akili  ndani ya moyo wake kuwa anakazi kubwa ya kufanya.
"Kiasi chochote kile kilicho ndani ya uwezo wangu nitatoa ila naomba unifanyie kile ninacho kwambia",Stewart aliongea kwa mara nyingine lakini hata hakujibiwa zaidi ya manager yule kunyenyuka nakuondoka.

Alivyoondoka tu manager yule alikuja kijana mmoja na kumsogelea Stewart akimwambia kwa sauti ya chini ili watu wengine wasiwasikie,
"Nisikilize huyu manager ameshajikatia tamaa ya kuishi hapo unapomuona ana magonjwa kama yote likiwemo na gonjwa la virusi vya UKIMWI ndiyo mana ata pesa zako amekataa, fanya unachoweza wewe umsaidie yule binti na amefanya kosa kuingia makubaliano na hili kampuni bira yeye kujua", kijana yule aliongea na kuondoka akimuacha Stewart njia panda akiwa hajui kitu gani afanye aweze kumsaidia Angelina ndiyo mambo mengine yafate aliamua kutoka ndani ya lile kampuni,

Huku upande wa nje Angelina na Manka walikuwa wakiwasili ndani ya kampuni hilo na walipotelemka tu kwenye gari Stewart aliweza kuwaona,
"Huu ndio mda mwafaka wa kumwambia huyu mrembo lasivyo atapotea kama nilivyoambiwa na yule jamaa", Stewart aliongea na kuamua kuwasogelea mpaka walipokuwa.
"Hapa sio sehemu salama kwako Angelina inakupasa uvunje mkataba wako na hili kampuni lasivyo utaingia matatizoni mda sio mrefu", Stewart alifika nakuongea pasipo ata kutoa salamu.
"Heeeh makubwa unamjua huyu?",Manka aliongea kama kawaida maneno kwake huwa hayaishi aliamua kumuuliza Stewart.
"Namjua na nipo hapa kwa ajili ya kukusaidia Angelina niamini mimi"
"Nikuamini mtu ambae ata sikujui wewe mtu wa ajabu sana, Manka twende ni mda wa kazi huu hatuwezi kupoteza mda kuongea na mtu asiyeeleweka hapa",Angelina aliamua kuondoka akiwa na Manka.

Lakini Stewart alihapa kufanya juu chini ili amsaidie Angelina alafu badae aeleze kile kilicho ndani ya moyo wake na wakati huo alishamsahau kabisa mwanamke anayeitwa Diana.
                 
Upande wa Albert aliweza kufika sehemu aliyoelekezwa na Mary kwenye mkono wake akiwa na begi lenye pesa,simu ya mkononi iliita na kumfanya apokee,
"Simama hapohapo nimeshakuona hutakiwi kupiga hatua yoyote ile",ilikuwa ni sauti ya Mary iliyomwamulisha Albert.

Ndani ya mda huo alitokea Mary akiwa na vijana wake waliokuwa wamemshika mwanamama katalina.
"Mama!!", Albert aliita baada ya kumuona mama yake kafungwa kamba kama mtu aliyekamatwa kwa kosa la wizi.
"Tulia kijana mbona unataka kuwa kama mtoto,mama yako ni mzima nipatie pesa zangu na ole wake nikienda kuzihesabu nikute zimepungua utajuta kunifahamu Albert", Mary aliongea.
"Aya mwachieni huyo mwanamke".

Vijana walimwachia mwanamama katalina na Albert alimuwahi mama yake akienda kumshika na kumtazama kama kutakuwa na sehemu yoyote ile aliyodhulika

"Mwanangu hukutakiwa kutoa kiasi kikubwa cha pesa kiasi hicho",mwanamama aliongea mana milion 100 ni nyingi sana alizompatia Mary.
"Sio pesa hizi tu siku nyingine nitakuja tena kuchukua ngoja nikatumie kwanza hizi zikiisha nitarudi",Mary aliongea nakuondoka maeneo hayo akiwa na vijana wake.

Walipoondoka tu Albert alikunja mkono wake kwa hasira na kupiga ngumi chini na kufanya mkono wake utoke damu,
"Nini unachofanya Albert mwanangu ona mpaka umejiumiza", damu ni nzito kuliko maji mwanamama katalina alishika mkono wa mwanae nakufuta damu zilizokuwa zikimtoka kwa kutumia nguo yake aliyokuwa amevaa... ITAENDELEA

Mary kaahidi kurudi kwa mara nyingine akimaliza kutumia pesa walizompatia,karibu katika sehemu ijayo tuone kama atarudi tena.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........17
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia..........
"Fanya unachojua uende nyumbani mama yako hayupo salama", alianza kumwelezea jinsi alivyokuwa.
"Diana nakuja sasa ivi tu",Albert aliondoka upesi akimuacha Diana kwenye maswali mengi.........

ENDELEA NAYO......
Albert alifika nyumbani kwao na kweli alikuta get lipo wazi na mlinzi akiwa amelala chini aliingia mpaka ndani na kuanza kumuita mama yake lakini hakuambulia chochote zaidi ya ukimya kutawala katika nyumba yao,
"Huyo atakuwa Mary ndiye aliyefanya kitendo cha kumchukua mama yangu", alichukua simu yake na kumpiga Mary na mda huohuo Mary alipokea simu,
"Mr.Albert",Mary aliongea kwa mapozi.
"Mary naomba usimguse mama yangu nitakufanya kitu kibaya sana",Albert aliongea na kutoa vitisho kwa Mary, lakini mwenzake ndio kwanza alianza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

808
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

799
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

577
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

459
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

414
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

367
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

158
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

55
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest