Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........17
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia..........
"Fanya unachojua uende nyumbani mama yako hayupo salama", alianza kumwelezea jinsi alivyokuwa.
"Diana nakuja sasa ivi tu",Albert aliondoka upesi akimuacha Diana kwenye maswali mengi.........

ENDELEA NAYO......
Albert alifika nyumbani kwao na kweli alikuta get lipo wazi na mlinzi akiwa amelala chini aliingia mpaka ndani na kuanza kumuita mama yake lakini hakuambulia chochote zaidi ya ukimya kutawala katika nyumba yao,
"Huyo atakuwa Mary ndiye aliyefanya kitendo cha kumchukua mama yangu", alichukua simu yake na kumpiga Mary na mda huohuo Mary alipokea simu,
"Mr.Albert",Mary aliongea kwa mapozi.
"Mary naomba usimguse mama yangu nitakufanya kitu kibaya sana",Albert aliongea na kutoa vitisho kwa Mary, lakini mwenzake ndio kwanza alianza kumcheka na kuendelea kuongea,
"Umevunja makubaliano yetu Albert na mimi natekeleza kile nilichokwambia kosa lako ni moja tu la kushindwa kunifanya niwe Miss Tanzania", sauti ya Mary ilibadilika na hakuonyesha utani ata kidogo na ata Albert alilitambua hilo.
"Chochote kile nitakupa ila naomba usimguse mama yangu Mary mwache kama alivyo",Albert aliongea.
"Vizuri kijana mwelewa sana basi nisikilize kwa umakini kile nitacho kwambia na temu hii ukifanya kinyume na makubaliano yetu nakuahidi Albert utamkuta mama yako ameshakufa",

Mary aliongea na kumfanya Albert atege sikio lake vizuri kumsikiliza.

Mary aliendelea kuongea na kuna mpango aliokuwa nao,
"Nilipoteza pesa nyingi sana nilizotumia kama maandalizi kwenye mashindano ya Miss Tanzania, kwa kukuhurumia njoo na Tsh 100million  mama yako nitamuachia na baada ya hapo nitaenda kuzitumia nikimaliza nitakuja kuchukua tena pesa zingine mpaka nitakapo tosheka", mwanadada Mary alimaliza kuongea akisubiri jibu kutoka kwa Albert.
"Mary mbona unanifanyia ivyo,kama shida ni pesa nitakuja nazo izo pesa ili umuachie mama yangu", Albert alijibu kumaanisha amekubali kwenda na zile pesa ili mwanamama katalina aweze kuachiwa.

Albert hakuwa na njia nyingine zaidi ya kwenda kutoa kiasi hicho cha pesa na alikitoa kwenye akaunti ya familia yao ili mama yake aweze kuachiwa.
                 
Ndani ya gari la kifahari anaoenakana mwanadada Angelina akiwa na rafiki yake Manka aliyeamua kuacha kazi ya kwenye mgahawa na kazi aliyokuwa nayo kwa wakati huo nikutembea na Angelina karibu kila sehemu anayoenda na
safari yao iliwapeleka mpaka sehemu lilipo jengo la kampuni kubwa tu aliloingia nalo mkataba mwanadada Angelina,
"Angelina utaweza kweli kuigiza rafiki yangu?",Manka alimuuliza mwanadada Angelina.
"Sijui lakini nitajitahidi mpaka niweze japo haitakuwa kazi rahisi", Angelina aliona kazi ya kuigiza itamfaa na atazidi kujizolea umaarufu zaidi ndiyo mana aliingia mkataba na kampuni la uigizaji.

Kwenye kampuni hilohilo la uigizaji leo Stewart aliamua kuja ndani ya kampuni hilo na aliitaji kuonana na kiongozi kwa ajili ya mazungumzo japo ilikuwa ngumu kwake kupewa nafasi ya kuonana na kiongozi huyo ila siku zote pesa inaongea ndicho alichokifanya kijana Stewart, kiongozi alikuja kumsikiliza ni kipi kilichomfanya awe pale,
"Kipi ulichoniitia kijana na unashida gani na mimi?", manager wa kampuni hilo maarufu la uigizaji aliongea.
"Nina dili nahitaji tuweke makubaliano ya mimi na wewe",Stewart alikuwa na malengo yaliyomfanya aje kwenye kampuni ndiyo mana alihitaji kumuona manager.
"Makubaliano yapi hayo?"
"Nitakulipa kiasi cha pesa kitakacho kutosha ila nitafutie nafasi ya mimi kuwa karibu na Miss Tanzania nahitaji kuwa karibu nae, na ata ikiwezekana nipangie kipande cha uigizaji kitakacho tuweka karibu mimi na yeye", Stewart aliongea tena alionyesha kabisa anamaanisha kile alichokizungumza.
"Hahahahahahaha,unazani unaweza kunishawishi nikubali ilichokisema?, nisikilize kwa umakini mimi mwenyewe sina shida na pesa ninazo za kutosha tu ila nilimchukua Angelina kwa mipango yangu mwenyewe ujiulizi kwanini karibu Miss Tanzania wote sisi ndiyo tunakuwa wa kwanza kuwapa mikataba kwenye kampuni yetu?",Manager aliongea na kumfanya Stewart akili  ndani ya moyo wake kuwa anakazi kubwa ya kufanya.
"Kiasi chochote kile kilicho ndani ya uwezo wangu nitatoa ila naomba unifanyie kile ninacho kwambia",Stewart aliongea kwa mara nyingine lakini hata hakujibiwa zaidi ya manager yule kunyenyuka nakuondoka.

Alivyoondoka tu manager yule alikuja kijana mmoja na kumsogelea Stewart akimwambia kwa sauti ya chini ili watu wengine wasiwasikie,
"Nisikilize huyu manager ameshajikatia tamaa ya kuishi hapo unapomuona ana magonjwa kama yote likiwemo na gonjwa la virusi vya UKIMWI ndiyo mana ata pesa zako amekataa, fanya unachoweza wewe umsaidie yule binti na amefanya kosa kuingia makubaliano na hili kampuni bira yeye kujua", kijana yule aliongea na kuondoka akimuacha Stewart njia panda akiwa hajui kitu gani afanye aweze kumsaidia Angelina ndiyo mambo mengine yafate aliamua kutoka ndani ya lile kampuni,

Huku upande wa nje Angelina na Manka walikuwa wakiwasili ndani ya kampuni hilo na walipotelemka tu kwenye gari Stewart aliweza kuwaona,
"Huu ndio mda mwafaka wa kumwambia huyu mrembo lasivyo atapotea kama nilivyoambiwa na yule jamaa", Stewart aliongea na kuamua kuwasogelea mpaka walipokuwa.
"Hapa sio sehemu salama kwako Angelina inakupasa uvunje mkataba wako na hili kampuni lasivyo utaingia matatizoni mda sio mrefu", Stewart alifika nakuongea pasipo ata kutoa salamu.
"Heeeh makubwa unamjua huyu?",Manka aliongea kama kawaida maneno kwake huwa hayaishi aliamua kumuuliza Stewart.
"Namjua na nipo hapa kwa ajili ya kukusaidia Angelina niamini mimi"
"Nikuamini mtu ambae ata sikujui wewe mtu wa ajabu sana, Manka twende ni mda wa kazi huu hatuwezi kupoteza mda kuongea na mtu asiyeeleweka hapa",Angelina aliamua kuondoka akiwa na Manka.

Lakini Stewart alihapa kufanya juu chini ili amsaidie Angelina alafu badae aeleze kile kilicho ndani ya moyo wake na wakati huo alishamsahau kabisa mwanamke anayeitwa Diana.
                 
Upande wa Albert aliweza kufika sehemu aliyoelekezwa na Mary kwenye mkono wake akiwa na begi lenye pesa,simu ya mkononi iliita na kumfanya apokee,
"Simama hapohapo nimeshakuona hutakiwi kupiga hatua yoyote ile",ilikuwa ni sauti ya Mary iliyomwamulisha Albert.

Ndani ya mda huo alitokea Mary akiwa na vijana wake waliokuwa wamemshika mwanamama katalina.
"Mama!!", Albert aliita baada ya kumuona mama yake kafungwa kamba kama mtu aliyekamatwa kwa kosa la wizi.
"Tulia kijana mbona unataka kuwa kama mtoto,mama yako ni mzima nipatie pesa zangu na ole wake nikienda kuzihesabu nikute zimepungua utajuta kunifahamu Albert", Mary aliongea.
"Aya mwachieni huyo mwanamke".

Vijana walimwachia mwanamama katalina na Albert alimuwahi mama yake akienda kumshika na kumtazama kama kutakuwa na sehemu yoyote ile aliyodhulika

"Mwanangu hukutakiwa kutoa kiasi kikubwa cha pesa kiasi hicho",mwanamama aliongea mana milion 100 ni nyingi sana alizompatia Mary.
"Sio pesa hizi tu siku nyingine nitakuja tena kuchukua ngoja nikatumie kwanza hizi zikiisha nitarudi",Mary aliongea nakuondoka maeneo hayo akiwa na vijana wake.

Walipoondoka tu Albert alikunja mkono wake kwa hasira na kupiga ngumi chini na kufanya mkono wake utoke damu,
"Nini unachofanya Albert mwanangu ona mpaka umejiumiza", damu ni nzito kuliko maji mwanamama katalina alishika mkono wa mwanae nakufuta damu zilizokuwa zikimtoka kwa kutumia nguo yake aliyokuwa amevaa... ITAENDELEA

Mary kaahidi kurudi kwa mara nyingine akimaliza kutumia pesa walizompatia,karibu katika sehemu ijayo tuone kama atarudi tena.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........17
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia..........
"Fanya unachojua uende nyumbani mama yako hayupo salama", alianza kumwelezea jinsi alivyokuwa.
"Diana nakuja sasa ivi tu",Albert aliondoka upesi akimuacha Diana kwenye maswali mengi.........

ENDELEA NAYO......
Albert alifika nyumbani kwao na kweli alikuta get lipo wazi na mlinzi akiwa amelala chini aliingia mpaka ndani na kuanza kumuita mama yake lakini hakuambulia chochote zaidi ya ukimya kutawala katika nyumba yao,
"Huyo atakuwa Mary ndiye aliyefanya kitendo cha kumchukua mama yangu", alichukua simu yake na kumpiga Mary na mda huohuo Mary alipokea simu,
"Mr.Albert",Mary aliongea kwa mapozi.
"Mary naomba usimguse mama yangu nitakufanya kitu kibaya sana",Albert aliongea na kutoa vitisho kwa Mary, lakini mwenzake ndio kwanza alianza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

669
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

584
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

411
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

284
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

282
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

219
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

123
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

120
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

40

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest