Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05

19th Apr, 2025 Views 48

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........05
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
Kutokana na mazingira kuwa mageni kwa Angelina alijikuta akiwa bize kushangaa kuliko kuangalia mbele anakoelekea bahati mbaya aligogana na mtu mtu aliyekuwa mbele yake na kuanguka chini......

ENDELEA NAYO......
Ulikuwa ni mgogano uliompeleka mpaka chini Angelina na alinyenyua uso wake kumtazama mtu aliyegongana nae,
"Nilijua tu, mtu kama wewe hufai kufanya kazi kwenye hili kampuni sijui umempa nini mama mpaka akakupatia iyo nafasi", alikuwa ni Albert aliyegongana na Angelina na kumfanya mwanadada huyo kuanguka.
"Samahani ilikuwa ni bahati mbaya kaka angu sikuzamilia kabisa", Angelina alijibu kwa upole.
"Emu nyenyuka huko unitokee hapa", Albert aliongea kama vile anaongea na mtoto wake, Albert alinyenyuka na kuondoka maeneo Yale.

Tukio lile Mary aliliona na kumfanya asite kidogo kumfata Albert na kufanya kile alichopanga kukifanya.
"Mmmh, kumbe yule kaka ni mkali kiasi hicho,Leo sitakiwi kufanya nilichopanga kufanya ngoja nitafanya siku nyingine ngoja ",Mary aliongea na kuamua kuondoka maeneo yale hakutaka tena kufanya kile alichopanga kufanya.

Albert baada ya kumfukuza Angelina alichukua simu yake nakumpigia Diana,
"griiii,griiiii,griii", Diana aliitazama simu yake na kukuta mtu anayempigia ni Albert,kabra hajaipokea alikumbuka maeno ya baba yake pia makubaliano waliyowekeana aliamua aipoke,
"mambo vip Diana ",sauti ya upande wa mpigaji ilisikika.
"Niko poa dear hofu kwako Albert"
"Njoo katika kampuni yetu ujisajili leo zimebakia siku chache tu usajili ufungwe na pia semina zimekaribia kuanza yakupaswa ufanye haraki kipenzi", Albert aliongea na kumpa tarifa Diana.
"Sasa ivi tu nakuja na pesa za usajili nitakuja nazo hapo",Diana alikata simu na kwenda kujianda ili aende sehemu husika.

Siku zilizidi kusogea huku ikiwa imebaki siku moja tu  usajili uweze kufungwa na mwanadada Diana alifanyikiwa kujisajili baada ya kupata msaada kutoka kwa Albert licha ya mwanamama katalina kupinga lakini Albert alilazimisha mpaka akafanyikiwa kumsajili Diana.

Angelina nae alikuwa ameshazoea yale mazingira ya kazi licha ya zalau alizokuwa anapata kutoka kwa baadhi ya wanadada waliokuwa wakija pale lakini alichukulia kama changamoto tu ya kazi,
Siku hiyo alipeleka kinywaji ofisini mwa Mwanamama katalina aliyemkuta kakaa kwenye kiti chake akiaw bize na kuhakikisha usajili wa washiriki,
"Mama ulisema nikuletee cocoa hii hapa", Angelina aliongea huku akiweka kikombe kile cha cocoa katika meza ya mwanamama katalina.
"Ahsante sana mwanangu alafu emu kaa hapo uniambie, historia ya elimu yako ikoje mwanangu?",Mwanamama Katalina.
"Mama mimi nimesoma mpaka chuo kikuu pia na shahada ya biashara na nilimaliza mwaka Jana ila kutokana na ugumu wa maisha imenilazimu nijichanganye mtaani", Angelina aliongea.
"So,you can speak English?"(kwahiyo unaweza kuongea kiingeleza?),Mwanamama katalina alimuuliza Angelina.
"Yes, I can speak (ndio ninaweza kuongea)", Angelina alijibu.
"Safi kabisa mwanangu jiandae na wewe jina lako naliingiza kwenye mashindano ya uMiss Tanzania ", katalina aliongea nakumfanya Angelina atoe macho kwa kile alichokisikia.
"Lakini mama mimi sizani kama nitaweza naomba ubadilishe maamuzi yako",Angelina aliongea.
"Beatrice alikuwa rafiki yangu sana na wewe ni kama mwanangu ndio mana unaniita mama ivyo nisingependa upinge kile ninachokisema, garama zote nitasimamia mimi unatakiwa ufanye kile ninachotaka na usiogope kuhusu kazi yako utakuwa unafanya na kushiriki pia semina zitakazokuwa zikiendelea", mwanamama katalina aliongea.
"Lakin......"
"Mmmh Angelina nimeshamaliza kuongea licha ya ivyo wewe ni mzuri sana ndiyo mana nimeamua kuliweka jina lako kwa watu watakao shiriki",Mwanamama katalina alimaliza kuongea na kumfanya Angelina atoke katika ofisi yake akiwa na mawazo juu ya kile alichoambiwa.

Mda wa kazi uliisha alirudi nyumbani na kumwelezea mama yake kile alichoambiwa na Mwanamama katalina,
"Mimi nina kubaliana na maneno ya rafiki yangu Katalina, mwanangu kushiriki sio dhambi ata Kama ukishindwa halitakuwa tatizo lakini ukishinda unaweza kuyabadilisha maisha yako kabisa, mimi kama mama yako naomba ukashiriki hayo mashindano", Beatrice alimwambia mwanae na kumfanya akubali kushiriki kishingo upande kwa ajili ya kumlizisha mama yake na Mwanamama katalina.

Upande Mwanadada Diana leo aliamua kwenda supermarket na alifika nakuanza kununua vitu vilivyo mfanya awe pale lakini alishituka baada ya mtu kumgusa mgongoni na kumfanya ageuke,
"Tumekutana tena kwa mara nyingine, vip unanikumbuka ?", Sauti ya mwanaume ndiyo iliyosikika katika masikio yake.
"Hapana sikukumbuki kabisa", Diana alijibu na kumfanya mwanaume huyo kucheka.
"Naitwa Stewart, na tulikutana airport nikajitambulisha kwako Diana", Stewart aliongea.
"Umelijuaje jina langu na nani aliyekwambia?",Diana aliongea wakati huo wakitembea pamoja katika supermarket hiyo huku akiendelea kuangalia vitu mbalimbali vilivyomfanya awe pale.
"Umesahu kama plate namba ya gari lako imeandikwa kwa jina lako",Stewart  aliongea kwa kujiamini.

Kipindi Diana anawasili pale supermarket  Stewart  aliweza kumuona akishuka kwenye gari lake na yeye alikuwa maeneo hayo ya nje ndipo alipoamua kumfata mpaka ndani.

Diana hakuwa na kingine tena sababu ni kweli plate namba ya gari lake kuna jina lake,
"Okay,Nini unataka kutoka kwangu?"
"Namba yako Diana, sina kingine zaidi ya kuhitaji namba yako",Stewart  aliongea kuonyesha kweli anauhitaji wa namba ya Diana.
"Kama shida ni namba lipia vitu vyote nilivyonunua hapa utaipata namba yangu",Diana  aliongea akijua amemkomesha Stewart .
"Mbona vichache ulivyo chukua ongeza vingine mpaka utakapolizika".
Maneno ya Stewart  yalimfanya Diana akili kuwa amejikologa kumpa sharti lile ila hakuwa na pingamizi tena zaidi ya kutimiza ahadi yake, alinunua vitu alivyovitaka na kweli Stewart  alilipia na wakabadilishana namba za simu.
               
Ndani ya kampuni la FNF Semina na mafunzo mbalimbali yalianza kutolewa kwa warembo wote waliosajiliwa kwenye mashindano hayo husika kwa kufundishwa namna ya kutembea kimiss ili wasije kulitia aibu taifa siku ya tukio ,Diana akiwa ameka siku iyo akifatilia mafunzo waliyokuwa wakipatiwa alishangaa kumuona Angelina   maeneo hayo tena akiwa kama mshiriki wa mashindano,alikuwa na kisasi na Angelina kwa kosa la kumwagia kahawa na kumpiga kibao,
"inawezekanaje huyu binti aliyetumwagia kahawa na kunipiga kibao awe ni moja ya washiriki?, kwani Albert  hajui kama yupo hapa?",ni maswali aliyokuwa akijiuliza yasiyokuwa na majibu ila palepale aliamua kumtumia ujumbe Albert.

Upande wa Albert  alipata ujumbe kutoka kwa Diana uliomshitua kidogo,
"Yule binti aliyetumwagia kahawa na kunipiga kibao nimoja ya washiriki wenzetu katika mashindano haya ulikuwa  unalijua hili Albert kama yupo hapa na anashiriki haya mashindano?",Albert  ata yeye alishituka kuuona ujumbe ule.

Licha ya kufanyakazi kwenye ile kampuni alikuwa hajui kama Angelina na yeye ni moja ya washiriki.
"Ina mana mama ameona kumpa kazi haitoshi akaamua kabisa ampe nafasi ya kushiriki mashindano ya Miss Tanzania!!",ni mawazo ya kijana Albert aliyoyapata kutokana na ujumbe aliotumiwa na Diana.

Alinyenyuka na kutoka ndani ya ofisi yake Moja kwa moja alielekea sehemu ambayo semina inafanyikia ili ajihakikishie kwa macho yake mwenyewe.
Ndani ya dekika kadhaa tu alifika nakuanza kuangaza kama atafanyikiwa kumuona Angelina maeneo yale na kweli katika kuangaza alimuona akiwa kama moja ya washiriki lakini wakati yeye anamtazama Angelina, Faith alimuona na kumjulisha rafiki yake Mary,
"Wewe Mary yule kule mtoto wa kiongozi",Mary alitazama nakumuona Albert kasimama kwa pembeni kabisa akimtazama Angelina.
"Shoga yangu nakuja Sasa ivi tu",Mary alitoka nakumuacha rafiki yake huyo na bira kumwambia ni kipi anachoenda kufanya.

Alienda mpaka alipo Albert nakumgusa begani na hii kumfanya ageuke kuangalia ni nani huyo, alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra,
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea.....ITAENDELEA.

Mary anatamwambia nini Albert inakuja sehemu ya 6

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
 .

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
Your settings were saved successfully!
Something went wrong!
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest