Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........05
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
Kutokana na mazingira kuwa mageni kwa Angelina alijikuta akiwa bize kushangaa kuliko kuangalia mbele anakoelekea bahati mbaya aligogana na mtu mtu aliyekuwa mbele yake na kuanguka chini......

ENDELEA NAYO......
Ulikuwa ni mgogano uliompeleka mpaka chini Angelina na alinyenyua uso wake kumtazama mtu aliyegongana nae,
"Nilijua tu, mtu kama wewe hufai kufanya kazi kwenye hili kampuni sijui umempa nini mama mpaka akakupatia iyo nafasi", alikuwa ni Albert aliyegongana na Angelina na kumfanya mwanadada huyo kuanguka.
"Samahani ilikuwa ni bahati mbaya kaka angu sikuzamilia kabisa", Angelina alijibu kwa upole.
"Emu nyenyuka huko unitokee hapa", Albert aliongea kama vile anaongea na mtoto wake, Albert alinyenyuka na kuondoka maeneo Yale.

Tukio lile Mary aliliona na kumfanya asite kidogo kumfata Albert na kufanya kile alichopanga kukifanya.
"Mmmh, kumbe yule kaka ni mkali kiasi hicho,Leo sitakiwi kufanya nilichopanga kufanya ngoja nitafanya siku nyingine ngoja ",Mary aliongea na kuamua kuondoka maeneo yale hakutaka tena kufanya kile alichopanga kufanya.

Albert baada ya kumfukuza Angelina alichukua simu yake nakumpigia Diana,
"griiii,griiiii,griii", Diana aliitazama simu yake na kukuta mtu anayempigia ni Albert,kabra hajaipokea alikumbuka maeno ya baba yake pia makubaliano waliyowekeana aliamua aipoke,
"mambo vip Diana ",sauti ya upande wa mpigaji ilisikika.
"Niko poa dear hofu kwako Albert"
"Njoo katika kampuni yetu ujisajili leo zimebakia siku chache tu usajili ufungwe na pia semina zimekaribia kuanza yakupaswa ufanye haraki kipenzi", Albert aliongea na kumpa tarifa Diana.
"Sasa ivi tu nakuja na pesa za usajili nitakuja nazo hapo",Diana alikata simu na kwenda kujianda ili aende sehemu husika.

Siku zilizidi kusogea huku ikiwa imebaki siku moja tu  usajili uweze kufungwa na mwanadada Diana alifanyikiwa kujisajili baada ya kupata msaada kutoka kwa Albert licha ya mwanamama katalina kupinga lakini Albert alilazimisha mpaka akafanyikiwa kumsajili Diana.

Angelina nae alikuwa ameshazoea yale mazingira ya kazi licha ya zalau alizokuwa anapata kutoka kwa baadhi ya wanadada waliokuwa wakija pale lakini alichukulia kama changamoto tu ya kazi,
Siku hiyo alipeleka kinywaji ofisini mwa Mwanamama katalina aliyemkuta kakaa kwenye kiti chake akiaw bize na kuhakikisha usajili wa washiriki,
"Mama ulisema nikuletee cocoa hii hapa", Angelina aliongea huku akiweka kikombe kile cha cocoa katika meza ya mwanamama katalina.
"Ahsante sana mwanangu alafu emu kaa hapo uniambie, historia ya elimu yako ikoje mwanangu?",Mwanamama Katalina.
"Mama mimi nimesoma mpaka chuo kikuu pia na shahada ya biashara na nilimaliza mwaka Jana ila kutokana na ugumu wa maisha imenilazimu nijichanganye mtaani", Angelina aliongea.
"So,you can speak English?"(kwahiyo unaweza kuongea kiingeleza?),Mwanamama katalina alimuuliza Angelina.
"Yes, I can speak (ndio ninaweza kuongea)", Angelina alijibu.
"Safi kabisa mwanangu jiandae na wewe jina lako naliingiza kwenye mashindano ya uMiss Tanzania ", katalina aliongea nakumfanya Angelina atoe macho kwa kile alichokisikia.
"Lakini mama mimi sizani kama nitaweza naomba ubadilishe maamuzi yako",Angelina aliongea.
"Beatrice alikuwa rafiki yangu sana na wewe ni kama mwanangu ndio mana unaniita mama ivyo nisingependa upinge kile ninachokisema, garama zote nitasimamia mimi unatakiwa ufanye kile ninachotaka na usiogope kuhusu kazi yako utakuwa unafanya na kushiriki pia semina zitakazokuwa zikiendelea", mwanamama katalina aliongea.
"Lakin......"
"Mmmh Angelina nimeshamaliza kuongea licha ya ivyo wewe ni mzuri sana ndiyo mana nimeamua kuliweka jina lako kwa watu watakao shiriki",Mwanamama katalina alimaliza kuongea na kumfanya Angelina atoke katika ofisi yake akiwa na mawazo juu ya kile alichoambiwa.

Mda wa kazi uliisha alirudi nyumbani na kumwelezea mama yake kile alichoambiwa na Mwanamama katalina,
"Mimi nina kubaliana na maneno ya rafiki yangu Katalina, mwanangu kushiriki sio dhambi ata Kama ukishindwa halitakuwa tatizo lakini ukishinda unaweza kuyabadilisha maisha yako kabisa, mimi kama mama yako naomba ukashiriki hayo mashindano", Beatrice alimwambia mwanae na kumfanya akubali kushiriki kishingo upande kwa ajili ya kumlizisha mama yake na Mwanamama katalina.

Upande Mwanadada Diana leo aliamua kwenda supermarket na alifika nakuanza kununua vitu vilivyo mfanya awe pale lakini alishituka baada ya mtu kumgusa mgongoni na kumfanya ageuke,
"Tumekutana tena kwa mara nyingine, vip unanikumbuka ?", Sauti ya mwanaume ndiyo iliyosikika katika masikio yake.
"Hapana sikukumbuki kabisa", Diana alijibu na kumfanya mwanaume huyo kucheka.
"Naitwa Stewart, na tulikutana airport nikajitambulisha kwako Diana", Stewart aliongea.
"Umelijuaje jina langu na nani aliyekwambia?",Diana aliongea wakati huo wakitembea pamoja katika supermarket hiyo huku akiendelea kuangalia vitu mbalimbali vilivyomfanya awe pale.
"Umesahu kama plate namba ya gari lako imeandikwa kwa jina lako",Stewart  aliongea kwa kujiamini.

Kipindi Diana anawasili pale supermarket  Stewart  aliweza kumuona akishuka kwenye gari lake na yeye alikuwa maeneo hayo ya nje ndipo alipoamua kumfata mpaka ndani.

Diana hakuwa na kingine tena sababu ni kweli plate namba ya gari lake kuna jina lake,
"Okay,Nini unataka kutoka kwangu?"
"Namba yako Diana, sina kingine zaidi ya kuhitaji namba yako",Stewart  aliongea kuonyesha kweli anauhitaji wa namba ya Diana.
"Kama shida ni namba lipia vitu vyote nilivyonunua hapa utaipata namba yangu",Diana  aliongea akijua amemkomesha Stewart .
"Mbona vichache ulivyo chukua ongeza vingine mpaka utakapolizika".
Maneno ya Stewart  yalimfanya Diana akili kuwa amejikologa kumpa sharti lile ila hakuwa na pingamizi tena zaidi ya kutimiza ahadi yake, alinunua vitu alivyovitaka na kweli Stewart  alilipia na wakabadilishana namba za simu.
               
Ndani ya kampuni la FNF Semina na mafunzo mbalimbali yalianza kutolewa kwa warembo wote waliosajiliwa kwenye mashindano hayo husika kwa kufundishwa namna ya kutembea kimiss ili wasije kulitia aibu taifa siku ya tukio ,Diana akiwa ameka siku iyo akifatilia mafunzo waliyokuwa wakipatiwa alishangaa kumuona Angelina   maeneo hayo tena akiwa kama mshiriki wa mashindano,alikuwa na kisasi na Angelina kwa kosa la kumwagia kahawa na kumpiga kibao,
"inawezekanaje huyu binti aliyetumwagia kahawa na kunipiga kibao awe ni moja ya washiriki?, kwani Albert  hajui kama yupo hapa?",ni maswali aliyokuwa akijiuliza yasiyokuwa na majibu ila palepale aliamua kumtumia ujumbe Albert.

Upande wa Albert  alipata ujumbe kutoka kwa Diana uliomshitua kidogo,
"Yule binti aliyetumwagia kahawa na kunipiga kibao nimoja ya washiriki wenzetu katika mashindano haya ulikuwa  unalijua hili Albert kama yupo hapa na anashiriki haya mashindano?",Albert  ata yeye alishituka kuuona ujumbe ule.

Licha ya kufanyakazi kwenye ile kampuni alikuwa hajui kama Angelina na yeye ni moja ya washiriki.
"Ina mana mama ameona kumpa kazi haitoshi akaamua kabisa ampe nafasi ya kushiriki mashindano ya Miss Tanzania!!",ni mawazo ya kijana Albert aliyoyapata kutokana na ujumbe aliotumiwa na Diana.

Alinyenyuka na kutoka ndani ya ofisi yake Moja kwa moja alielekea sehemu ambayo semina inafanyikia ili ajihakikishie kwa macho yake mwenyewe.
Ndani ya dekika kadhaa tu alifika nakuanza kuangaza kama atafanyikiwa kumuona Angelina maeneo yale na kweli katika kuangaza alimuona akiwa kama moja ya washiriki lakini wakati yeye anamtazama Angelina, Faith alimuona na kumjulisha rafiki yake Mary,
"Wewe Mary yule kule mtoto wa kiongozi",Mary alitazama nakumuona Albert kasimama kwa pembeni kabisa akimtazama Angelina.
"Shoga yangu nakuja Sasa ivi tu",Mary alitoka nakumuacha rafiki yake huyo na bira kumwambia ni kipi anachoenda kufanya.

Alienda mpaka alipo Albert nakumgusa begani na hii kumfanya ageuke kuangalia ni nani huyo, alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra,
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea.....ITAENDELEA.

Mary anatamwambia nini Albert inakuja sehemu ya 6

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
 

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........05
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
Kutokana na mazingira kuwa mageni kwa Angelina alijikuta akiwa bize kushangaa kuliko kuangalia mbele anakoelekea bahati mbaya aligogana na mtu mtu aliyekuwa mbele yake na kuanguka chini......

ENDELEA NAYO......
Ulikuwa ni mgogano uliompeleka mpaka chini Angelina na alinyenyua uso wake kumtazama mtu aliyegongana nae,
"Nilijua tu, mtu kama wewe hufai kufanya kazi kwenye hili kampuni sijui umempa nini mama mpaka akakupatia iyo nafasi", alikuwa ni Albert aliyegongana na Angelina na kumfanya mwanadada huyo kuanguka.
"Samahani ilikuwa ni bahati mbaya kaka angu sikuzamilia kabisa", Angelina alijibu kwa upole.
"Emu nyenyuka huko unitokee hapa", Albert aliongea kama vile anaongea na mtoto wake, Albert alinyenyuka na kuondoka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

143
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

142
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

101
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

63
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.72K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest