Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........05
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
Kutokana na mazingira kuwa mageni kwa Angelina alijikuta akiwa bize kushangaa kuliko kuangalia mbele anakoelekea bahati mbaya aligogana na mtu mtu aliyekuwa mbele yake na kuanguka chini......

ENDELEA NAYO......
Ulikuwa ni mgogano uliompeleka mpaka chini Angelina na alinyenyua uso wake kumtazama mtu aliyegongana nae,
"Nilijua tu, mtu kama wewe hufai kufanya kazi kwenye hili kampuni sijui umempa nini mama mpaka akakupatia iyo nafasi", alikuwa ni Albert aliyegongana na Angelina na kumfanya mwanadada huyo kuanguka.
"Samahani ilikuwa ni bahati mbaya kaka angu sikuzamilia kabisa", Angelina alijibu kwa upole.
"Emu nyenyuka huko unitokee hapa", Albert aliongea kama vile anaongea na mtoto wake, Albert alinyenyuka na kuondoka maeneo Yale.

Tukio lile Mary aliliona na kumfanya asite kidogo kumfata Albert na kufanya kile alichopanga kukifanya.
"Mmmh, kumbe yule kaka ni mkali kiasi hicho,Leo sitakiwi kufanya nilichopanga kufanya ngoja nitafanya siku nyingine ngoja ",Mary aliongea na kuamua kuondoka maeneo yale hakutaka tena kufanya kile alichopanga kufanya.

Albert baada ya kumfukuza Angelina alichukua simu yake nakumpigia Diana,
"griiii,griiiii,griii", Diana aliitazama simu yake na kukuta mtu anayempigia ni Albert,kabra hajaipokea alikumbuka maeno ya baba yake pia makubaliano waliyowekeana aliamua aipoke,
"mambo vip Diana ",sauti ya upande wa mpigaji ilisikika.
"Niko poa dear hofu kwako Albert"
"Njoo katika kampuni yetu ujisajili leo zimebakia siku chache tu usajili ufungwe na pia semina zimekaribia kuanza yakupaswa ufanye haraki kipenzi", Albert aliongea na kumpa tarifa Diana.
"Sasa ivi tu nakuja na pesa za usajili nitakuja nazo hapo",Diana alikata simu na kwenda kujianda ili aende sehemu husika.

Siku zilizidi kusogea huku ikiwa imebaki siku moja tu  usajili uweze kufungwa na mwanadada Diana alifanyikiwa kujisajili baada ya kupata msaada kutoka kwa Albert licha ya mwanamama katalina kupinga lakini Albert alilazimisha mpaka akafanyikiwa kumsajili Diana.

Angelina nae alikuwa ameshazoea yale mazingira ya kazi licha ya zalau alizokuwa anapata kutoka kwa baadhi ya wanadada waliokuwa wakija pale lakini alichukulia kama changamoto tu ya kazi,
Siku hiyo alipeleka kinywaji ofisini mwa Mwanamama katalina aliyemkuta kakaa kwenye kiti chake akiaw bize na kuhakikisha usajili wa washiriki,
"Mama ulisema nikuletee cocoa hii hapa", Angelina aliongea huku akiweka kikombe kile cha cocoa katika meza ya mwanamama katalina.
"Ahsante sana mwanangu alafu emu kaa hapo uniambie, historia ya elimu yako ikoje mwanangu?",Mwanamama Katalina.
"Mama mimi nimesoma mpaka chuo kikuu pia na shahada ya biashara na nilimaliza mwaka Jana ila kutokana na ugumu wa maisha imenilazimu nijichanganye mtaani", Angelina aliongea.
"So,you can speak English?"(kwahiyo unaweza kuongea kiingeleza?),Mwanamama katalina alimuuliza Angelina.
"Yes, I can speak (ndio ninaweza kuongea)", Angelina alijibu.
"Safi kabisa mwanangu jiandae na wewe jina lako naliingiza kwenye mashindano ya uMiss Tanzania ", katalina aliongea nakumfanya Angelina atoe macho kwa kile alichokisikia.
"Lakini mama mimi sizani kama nitaweza naomba ubadilishe maamuzi yako",Angelina aliongea.
"Beatrice alikuwa rafiki yangu sana na wewe ni kama mwanangu ndio mana unaniita mama ivyo nisingependa upinge kile ninachokisema, garama zote nitasimamia mimi unatakiwa ufanye kile ninachotaka na usiogope kuhusu kazi yako utakuwa unafanya na kushiriki pia semina zitakazokuwa zikiendelea", mwanamama katalina aliongea.
"Lakin......"
"Mmmh Angelina nimeshamaliza kuongea licha ya ivyo wewe ni mzuri sana ndiyo mana nimeamua kuliweka jina lako kwa watu watakao shiriki",Mwanamama katalina alimaliza kuongea na kumfanya Angelina atoke katika ofisi yake akiwa na mawazo juu ya kile alichoambiwa.

Mda wa kazi uliisha alirudi nyumbani na kumwelezea mama yake kile alichoambiwa na Mwanamama katalina,
"Mimi nina kubaliana na maneno ya rafiki yangu Katalina, mwanangu kushiriki sio dhambi ata Kama ukishindwa halitakuwa tatizo lakini ukishinda unaweza kuyabadilisha maisha yako kabisa, mimi kama mama yako naomba ukashiriki hayo mashindano", Beatrice alimwambia mwanae na kumfanya akubali kushiriki kishingo upande kwa ajili ya kumlizisha mama yake na Mwanamama katalina.

Upande Mwanadada Diana leo aliamua kwenda supermarket na alifika nakuanza kununua vitu vilivyo mfanya awe pale lakini alishituka baada ya mtu kumgusa mgongoni na kumfanya ageuke,
"Tumekutana tena kwa mara nyingine, vip unanikumbuka ?", Sauti ya mwanaume ndiyo iliyosikika katika masikio yake.
"Hapana sikukumbuki kabisa", Diana alijibu na kumfanya mwanaume huyo kucheka.
"Naitwa Stewart, na tulikutana airport nikajitambulisha kwako Diana", Stewart aliongea.
"Umelijuaje jina langu na nani aliyekwambia?",Diana aliongea wakati huo wakitembea pamoja katika supermarket hiyo huku akiendelea kuangalia vitu mbalimbali vilivyomfanya awe pale.
"Umesahu kama plate namba ya gari lako imeandikwa kwa jina lako",Stewart  aliongea kwa kujiamini.

Kipindi Diana anawasili pale supermarket  Stewart  aliweza kumuona akishuka kwenye gari lake na yeye alikuwa maeneo hayo ya nje ndipo alipoamua kumfata mpaka ndani.

Diana hakuwa na kingine tena sababu ni kweli plate namba ya gari lake kuna jina lake,
"Okay,Nini unataka kutoka kwangu?"
"Namba yako Diana, sina kingine zaidi ya kuhitaji namba yako",Stewart  aliongea kuonyesha kweli anauhitaji wa namba ya Diana.
"Kama shida ni namba lipia vitu vyote nilivyonunua hapa utaipata namba yangu",Diana  aliongea akijua amemkomesha Stewart .
"Mbona vichache ulivyo chukua ongeza vingine mpaka utakapolizika".
Maneno ya Stewart  yalimfanya Diana akili kuwa amejikologa kumpa sharti lile ila hakuwa na pingamizi tena zaidi ya kutimiza ahadi yake, alinunua vitu alivyovitaka na kweli Stewart  alilipia na wakabadilishana namba za simu.
               
Ndani ya kampuni la FNF Semina na mafunzo mbalimbali yalianza kutolewa kwa warembo wote waliosajiliwa kwenye mashindano hayo husika kwa kufundishwa namna ya kutembea kimiss ili wasije kulitia aibu taifa siku ya tukio ,Diana akiwa ameka siku iyo akifatilia mafunzo waliyokuwa wakipatiwa alishangaa kumuona Angelina   maeneo hayo tena akiwa kama mshiriki wa mashindano,alikuwa na kisasi na Angelina kwa kosa la kumwagia kahawa na kumpiga kibao,
"inawezekanaje huyu binti aliyetumwagia kahawa na kunipiga kibao awe ni moja ya washiriki?, kwani Albert  hajui kama yupo hapa?",ni maswali aliyokuwa akijiuliza yasiyokuwa na majibu ila palepale aliamua kumtumia ujumbe Albert.

Upande wa Albert  alipata ujumbe kutoka kwa Diana uliomshitua kidogo,
"Yule binti aliyetumwagia kahawa na kunipiga kibao nimoja ya washiriki wenzetu katika mashindano haya ulikuwa  unalijua hili Albert kama yupo hapa na anashiriki haya mashindano?",Albert  ata yeye alishituka kuuona ujumbe ule.

Licha ya kufanyakazi kwenye ile kampuni alikuwa hajui kama Angelina na yeye ni moja ya washiriki.
"Ina mana mama ameona kumpa kazi haitoshi akaamua kabisa ampe nafasi ya kushiriki mashindano ya Miss Tanzania!!",ni mawazo ya kijana Albert aliyoyapata kutokana na ujumbe aliotumiwa na Diana.

Alinyenyuka na kutoka ndani ya ofisi yake Moja kwa moja alielekea sehemu ambayo semina inafanyikia ili ajihakikishie kwa macho yake mwenyewe.
Ndani ya dekika kadhaa tu alifika nakuanza kuangaza kama atafanyikiwa kumuona Angelina maeneo yale na kweli katika kuangaza alimuona akiwa kama moja ya washiriki lakini wakati yeye anamtazama Angelina, Faith alimuona na kumjulisha rafiki yake Mary,
"Wewe Mary yule kule mtoto wa kiongozi",Mary alitazama nakumuona Albert kasimama kwa pembeni kabisa akimtazama Angelina.
"Shoga yangu nakuja Sasa ivi tu",Mary alitoka nakumuacha rafiki yake huyo na bira kumwambia ni kipi anachoenda kufanya.

Alienda mpaka alipo Albert nakumgusa begani na hii kumfanya ageuke kuangalia ni nani huyo, alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra,
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea.....ITAENDELEA.

Mary anatamwambia nini Albert inakuja sehemu ya 6

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
 

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........05
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
Kutokana na mazingira kuwa mageni kwa Angelina alijikuta akiwa bize kushangaa kuliko kuangalia mbele anakoelekea bahati mbaya aligogana na mtu mtu aliyekuwa mbele yake na kuanguka chini......

ENDELEA NAYO......
Ulikuwa ni mgogano uliompeleka mpaka chini Angelina na alinyenyua uso wake kumtazama mtu aliyegongana nae,
"Nilijua tu, mtu kama wewe hufai kufanya kazi kwenye hili kampuni sijui umempa nini mama mpaka akakupatia iyo nafasi", alikuwa ni Albert aliyegongana na Angelina na kumfanya mwanadada huyo kuanguka.
"Samahani ilikuwa ni bahati mbaya kaka angu sikuzamilia kabisa", Angelina alijibu kwa upole.
"Emu nyenyuka huko unitokee hapa", Albert aliongea kama vile anaongea na mtoto wake, Albert alinyenyuka na kuondoka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

808
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

800
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

582
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

461
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

414
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

367
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

158
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

55
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest