Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12

11th May, 2025 Views 35

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........12
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia sehemu iliyopita........
Alivyotokeza mbele ya umati karibu kila mtu alishangaa kuona tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake wa kitofauti uliwafanya wote ukumbini kukaa kimya......

ENDELEA NAYO.....
Tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake wa kitofauti uliwafanya watu wote ukumbini kukaa kimya.

Stewart alimtazama mwanadada Angelina na kujikuta akibaki mdomo wazi na kusahau kama amekaa na wazazi wake karibu,
"Wewe mtoto mbona mpaka unatuchaganya sisi tupo hapa kumshangilia Diana na sio hawa wengine?",Mama yake aliongea baada ya kumuona mwanae akimtazama Angelina, akili za stewart zilikuwa kwa Angelina aliyevutiwa na tabasamu lake na kile alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa lile.

Siku hiyo Angelina alikuwa tofauti kwani alivutia isivyo kawaida na ata Albert nae alikili ndani ya moyo wake kuwa Angelina siku hiyo alikuwa yupo tofauti na alitembea kwa mwondoko uliomvutia karibu kila mtu aliyekuwa kwenye huo ukumbi na ata kuongea aliyapangilia maneno yake yaliyomfurahisha karibu kila mtu.
"Aya mshiriki mwingine huyo hapo mnamuonaje majaji", Mwanamama katalina aliamua kuwauliza ili watoe mawazo yao.
"Sina cha kusema kwa huyu zaidi ya kumpa alama za juu tu", moja ya jaji aliongea na hii kumfanya mwanamama katalina kutabasamu.

Angelina alimaliza zamu yake nakuondoka huku watu wakimpongeza zaidi ya walivyompongeza Diana kuonyesha kuwa amefanya vizuri zaidi.

Washiriki wengine walipita mpaka walipomaliza na sasa ulifata mzunguko wa pili napo walifanya ivyoivyo na watu waliofanya vizuri zaidi ni Diana pamoja na Angelina, mwanadada Mary yeye hakuwa na wasiwasi mana aliamini kwa ujanja alioufanya wa kumtisha Albert lazima ushindi uwe upande wake  tu.

Baada ya mzunguko wa pili kuisha sasa walikuwa wanaenda mzunguko wa tatu ambao ni lala salama na kila mshiriki katika mzunguko huo alijitahidi kufanya vizuri zaidi kuliko mizunguko iliyopita.
Kama ilivyokuwa kwenye mzunguko wa kwanza na wa pili na ata watatu mwanadada Diana alifanya vizuri sana na pia ata mwanadada Angelina nae alifanya vizuri sana hali iliyoanza kuwaumiza majaji vichwa yupi anayefaa kuwa mshindi kati ya wale watu wawili.

Kila jaji aliandika marks kwa alivyoona yeye na ata upande wa mwanamama katalina nae pia akifanya ivyoivyo,

Mda ulifika wa washiriki wote kuitwa ili mshindi atangazwe, Mary alimtazama Faith na kumkonyeza kuwa ajiandae  kwenda kuchukua taji la mshindi wa pili.
Miss Tanzania wa mwaka uliopita nae pia alikuwa kwenye shuhuli hiyo kwa ajili ya kumkabizi taji mshindi wa mwaka huo.

Mhusika aliyekuwa akitangaza washindi alisimama nakuanza kutaja majina ya washindi huku karibu kila mshiriki akiwa na hofu na wengine make up kuanza kufutika kwenye nyusi zao kutokana na kutokwa na jasho.
Majina yalianza kusomwa ya washiriki waliofanya vizuri na temu hii utaratibu  ulikuwa ni kuanzia kusoma mshiriki aliyeshika nafasi ya kumi(10) mpaka nafasi ya kwanza (1),
Mshiriki aliyeshika nafasi ya kumi(10) alitajwa, badae akafata wa tisa mpaka wa tano(5),na kwenye majina yaliyotajwa jina la mwanadada Mary halikuwemo na hii kumfanya aamini kuwa yeye ndio mshindi sasa kilichokuwa kikisubiliwa ni kuanzia namba tano mpaka namba moja.

Mshiriki aliyeshika nafasi ya tano alisomwa na hakuwa mwingine bali alikuwa Faith na hii ilimfanya Mary kushituka baada ya kuona rafiki yake amekuwa wa tano badala ya kuwa mshindi wa pili baada ya yeye kuwa wa kwanza.

Mshiriki wa nne alisomwa na kujumuika na washiriki wenzake sita waliokuwa wametajwa  na sasa walibaki  washiriki watatu na hii ndio iliongeza hofu kwa wengine waliokuwa wamebaki mana kila mtu aliamini anafaa kuwa mshindi siku hiyo.

Mshiriki namba tatu alisomwa nakusogea mbele,

Mc wa kushuli aliongea kabra hajamtaka mshindi wa pili na mshindi wa kwanza....
"Huu mwaka umekuwa na ushindani wa kipekee mshindi wa kwanza kamzidi alama mbili tu mshindi wa pili,kwangu mimi kungekuwa na uwezekano basi ningebadilisha utaratibu na kuifanya tanzania iwe na Miss Tanzania wawili na sio mmoja tena kwani wote wanasifa za kuitwa Miss Tanzania...

Aliyeshika nafasi ya pili katika mashindano yetu haya ni....Diana...", jina la Diana lilitajwa kama mshindi wa pili na hii ilimfanya Diana masikio yake yasiamini kama ndoto zake zimeshindwa kutimia ila hakuwa na kingine zaidi ya kusogea sehemu husika.

Albert aliumia kuona ndoto za Diana zimeshindwa kutimia lakini kwa wakati huo akili zote zilikuwa kwa mama yake mzazi  juu ya usalama wake,
Upande wa Stewart nae hakutalajia kama Diana atakuwa mshindi wa pili ila alipiga makofi kumpongeza kwa nafasi aliyoipata.

Ni mtu mmoja tu aliyekuwa amesalia ambae ni mshindi wa mashindano na kila mtu alikuwa na hamu ya kusikia ni nani aliyeibuka msindi na kuwa Miss Tanzania.

Kama ilivyokawaida Mshereheshaji alijiandaa kwa ajili ya kumtaja msindi wa mwaka huo husika,
"Na mshindi wa mashindano yetu ya mwaka huu..... na ndiye atakaye kuwa Miss Tanzania jina lake ni Angelina....",
Jina la Angelina lilisikika na kuwafanya watu wapige makofi kumpongeza mshindi wa shindano hilo.

Angelina alitokwa na machozi ya furaha baada ya kutangazwa kama mshindi na baadhi ya washiriki walisogea na kuanza kumkumbatia kama ishara ya kumpongeza, ni mtu mmoja tu kati ya wale washiriki ambae hakwenda kumpongeza Angelina ambae ni Diana aliyeumizwa sana na kuona Angelina ameshinda na kumfanya asitimize ndoto aliyokuwa akiitamani kwa mda mrefu.

Mwanamama katalina alisogea mpaka alipo Angelina na kumkumbatia kwa furaha bira kujali kama kulikuwa na wanahabari waliokuwa wakipiga picha na wengine kuchukia video kwa kile kilichokuwa kikiendelea.

Mda wa zawadi ulifika mshindi wa tatu alipatiwa milion 15 huku mshindi wa pili akipatiwa milion 30 na mshindi wa kwanza ambae ni Angelina akijishindia milion 60 pamoja na gari alilozawadiwa hapohapo nakupatiwa funguo zake.

Kiti cha heshima kililetwa na Angelina alienda kukaa kwenye kile kiti huku upande wake wa mkono wa kulia akisimama Diana kama mshindi wa pili na upande wake wa mkono wa kushoto akisimama mshindi wa tatu na mataji yaliletwa ya washindi wote watatu pamoja na kofia ya kimalikia kwa ajili ya mshindi, na jukumu alilopewa la kuwavalisha washindi hao ni Miss Tanzania wa mwaka uliopita aliyemvalisha Angelina na kumpongeza kwa ushindi pia aliwavalisha mataji mshindi wa pili na mshindi wa tatu.

Upande wa Mary baada ya kuona mshindi mwingine katangazwa tofauti na alivyotarajia yeye alikasilika hali iliyomfanya aondoke maeneo yale kwa hasira na Albert alikuwa akimtazama,
Albert alivyoona Mary kaondoka alimfata mama yake bira kujali kama bado yupo kwenye majukumu yake,
"Mama naomba unyenyuke tuondoke",Albert alivyofika alimwambia mama yake.
"Unakichaa siku hizi mwanangu huoni kama bado nipo kwenye shuhuli maalumu hapa"
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...ITAENDELEA.

Nyie Miss Tanzania kaishapatikana lakini huko mbele kuna mambo huko subirini mtaona tu ????????????
NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -06

mjukuu rewards 100
 

MFANYAKAZI WETU SEHEMU YA 1

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -05

mjukuu rewards 100
 

?SHEMU KAUTAKA ?Sehemu-04

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS???13

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????12

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 02

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 01

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 14

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 13

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKAN SEHEMUN-02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA 09 AGE ????

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 06

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 05

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu ya 03

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Episode (1)

mjukuu rewards 100
 

CHAKULA CHA MUME

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKA Sehemu -01

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????11

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????9

mjukuu rewards 100
 

BALAA LA NYUMBA ZA KUPANGA--10

mjukuu rewards 100
 

CHAKA LANGU Episode 1

mjukuu rewards 100
 

Shangazi Kodogo tu ?EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

SHANGAZI KIDOGO TU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 3.

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 8

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 6~7

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 5

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 4

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??????3

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ? EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 11

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 10

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 9

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ,,,,, 3

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

We Kula Tu Binamu Sehemu 1

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

mjukuu rewards 100
 

SHANGA TISA EP: 20

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

mjukuu rewards 100
 

KISURA WA DAMPO SEHEMU 2

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 21

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 20

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 19

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 18

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 17

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 16

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 15

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 14

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 13

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 12

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 11 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 10 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 09

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 08

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 07

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 06

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 05

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 04

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 03

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 02

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 01

mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest