Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........12
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia sehemu iliyopita........
Alivyotokeza mbele ya umati karibu kila mtu alishangaa kuona tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake wa kitofauti uliwafanya wote ukumbini kukaa kimya......

ENDELEA NAYO.....
Tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake wa kitofauti uliwafanya watu wote ukumbini kukaa kimya.

Stewart alimtazama mwanadada Angelina na kujikuta akibaki mdomo wazi na kusahau kama amekaa na wazazi wake karibu,
"Wewe mtoto mbona mpaka unatuchaganya sisi tupo hapa kumshangilia Diana na sio hawa wengine?",Mama yake aliongea baada ya kumuona mwanae akimtazama Angelina, akili za stewart zilikuwa kwa Angelina aliyevutiwa na tabasamu lake na kile alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa lile.

Siku hiyo Angelina alikuwa tofauti kwani alivutia isivyo kawaida na ata Albert nae alikili ndani ya moyo wake kuwa Angelina siku hiyo alikuwa yupo tofauti na alitembea kwa mwondoko uliomvutia karibu kila mtu aliyekuwa kwenye huo ukumbi na ata kuongea aliyapangilia maneno yake yaliyomfurahisha karibu kila mtu.
"Aya mshiriki mwingine huyo hapo mnamuonaje majaji", Mwanamama katalina aliamua kuwauliza ili watoe mawazo yao.
"Sina cha kusema kwa huyu zaidi ya kumpa alama za juu tu", moja ya jaji aliongea na hii kumfanya mwanamama katalina kutabasamu.

Angelina alimaliza zamu yake nakuondoka huku watu wakimpongeza zaidi ya walivyompongeza Diana kuonyesha kuwa amefanya vizuri zaidi.

Washiriki wengine walipita mpaka walipomaliza na sasa ulifata mzunguko wa pili napo walifanya ivyoivyo na watu waliofanya vizuri zaidi ni Diana pamoja na Angelina, mwanadada Mary yeye hakuwa na wasiwasi mana aliamini kwa ujanja alioufanya wa kumtisha Albert lazima ushindi uwe upande wake  tu.

Baada ya mzunguko wa pili kuisha sasa walikuwa wanaenda mzunguko wa tatu ambao ni lala salama na kila mshiriki katika mzunguko huo alijitahidi kufanya vizuri zaidi kuliko mizunguko iliyopita.
Kama ilivyokuwa kwenye mzunguko wa kwanza na wa pili na ata watatu mwanadada Diana alifanya vizuri sana na pia ata mwanadada Angelina nae alifanya vizuri sana hali iliyoanza kuwaumiza majaji vichwa yupi anayefaa kuwa mshindi kati ya wale watu wawili.

Kila jaji aliandika marks kwa alivyoona yeye na ata upande wa mwanamama katalina nae pia akifanya ivyoivyo,

Mda ulifika wa washiriki wote kuitwa ili mshindi atangazwe, Mary alimtazama Faith na kumkonyeza kuwa ajiandae  kwenda kuchukua taji la mshindi wa pili.
Miss Tanzania wa mwaka uliopita nae pia alikuwa kwenye shuhuli hiyo kwa ajili ya kumkabizi taji mshindi wa mwaka huo.

Mhusika aliyekuwa akitangaza washindi alisimama nakuanza kutaja majina ya washindi huku karibu kila mshiriki akiwa na hofu na wengine make up kuanza kufutika kwenye nyusi zao kutokana na kutokwa na jasho.
Majina yalianza kusomwa ya washiriki waliofanya vizuri na temu hii utaratibu  ulikuwa ni kuanzia kusoma mshiriki aliyeshika nafasi ya kumi(10) mpaka nafasi ya kwanza (1),
Mshiriki aliyeshika nafasi ya kumi(10) alitajwa, badae akafata wa tisa mpaka wa tano(5),na kwenye majina yaliyotajwa jina la mwanadada Mary halikuwemo na hii kumfanya aamini kuwa yeye ndio mshindi sasa kilichokuwa kikisubiliwa ni kuanzia namba tano mpaka namba moja.

Mshiriki aliyeshika nafasi ya tano alisomwa na hakuwa mwingine bali alikuwa Faith na hii ilimfanya Mary kushituka baada ya kuona rafiki yake amekuwa wa tano badala ya kuwa mshindi wa pili baada ya yeye kuwa wa kwanza.

Mshiriki wa nne alisomwa na kujumuika na washiriki wenzake sita waliokuwa wametajwa  na sasa walibaki  washiriki watatu na hii ndio iliongeza hofu kwa wengine waliokuwa wamebaki mana kila mtu aliamini anafaa kuwa mshindi siku hiyo.

Mshiriki namba tatu alisomwa nakusogea mbele,

Mc wa kushuli aliongea kabra hajamtaka mshindi wa pili na mshindi wa kwanza....
"Huu mwaka umekuwa na ushindani wa kipekee mshindi wa kwanza kamzidi alama mbili tu mshindi wa pili,kwangu mimi kungekuwa na uwezekano basi ningebadilisha utaratibu na kuifanya tanzania iwe na Miss Tanzania wawili na sio mmoja tena kwani wote wanasifa za kuitwa Miss Tanzania...

Aliyeshika nafasi ya pili katika mashindano yetu haya ni....Diana...", jina la Diana lilitajwa kama mshindi wa pili na hii ilimfanya Diana masikio yake yasiamini kama ndoto zake zimeshindwa kutimia ila hakuwa na kingine zaidi ya kusogea sehemu husika.

Albert aliumia kuona ndoto za Diana zimeshindwa kutimia lakini kwa wakati huo akili zote zilikuwa kwa mama yake mzazi  juu ya usalama wake,
Upande wa Stewart nae hakutalajia kama Diana atakuwa mshindi wa pili ila alipiga makofi kumpongeza kwa nafasi aliyoipata.

Ni mtu mmoja tu aliyekuwa amesalia ambae ni mshindi wa mashindano na kila mtu alikuwa na hamu ya kusikia ni nani aliyeibuka msindi na kuwa Miss Tanzania.

Kama ilivyokawaida Mshereheshaji alijiandaa kwa ajili ya kumtaja msindi wa mwaka huo husika,
"Na mshindi wa mashindano yetu ya mwaka huu..... na ndiye atakaye kuwa Miss Tanzania jina lake ni Angelina....",
Jina la Angelina lilisikika na kuwafanya watu wapige makofi kumpongeza mshindi wa shindano hilo.

Angelina alitokwa na machozi ya furaha baada ya kutangazwa kama mshindi na baadhi ya washiriki walisogea na kuanza kumkumbatia kama ishara ya kumpongeza, ni mtu mmoja tu kati ya wale washiriki ambae hakwenda kumpongeza Angelina ambae ni Diana aliyeumizwa sana na kuona Angelina ameshinda na kumfanya asitimize ndoto aliyokuwa akiitamani kwa mda mrefu.

Mwanamama katalina alisogea mpaka alipo Angelina na kumkumbatia kwa furaha bira kujali kama kulikuwa na wanahabari waliokuwa wakipiga picha na wengine kuchukia video kwa kile kilichokuwa kikiendelea.

Mda wa zawadi ulifika mshindi wa tatu alipatiwa milion 15 huku mshindi wa pili akipatiwa milion 30 na mshindi wa kwanza ambae ni Angelina akijishindia milion 60 pamoja na gari alilozawadiwa hapohapo nakupatiwa funguo zake.

Kiti cha heshima kililetwa na Angelina alienda kukaa kwenye kile kiti huku upande wake wa mkono wa kulia akisimama Diana kama mshindi wa pili na upande wake wa mkono wa kushoto akisimama mshindi wa tatu na mataji yaliletwa ya washindi wote watatu pamoja na kofia ya kimalikia kwa ajili ya mshindi, na jukumu alilopewa la kuwavalisha washindi hao ni Miss Tanzania wa mwaka uliopita aliyemvalisha Angelina na kumpongeza kwa ushindi pia aliwavalisha mataji mshindi wa pili na mshindi wa tatu.

Upande wa Mary baada ya kuona mshindi mwingine katangazwa tofauti na alivyotarajia yeye alikasilika hali iliyomfanya aondoke maeneo yale kwa hasira na Albert alikuwa akimtazama,
Albert alivyoona Mary kaondoka alimfata mama yake bira kujali kama bado yupo kwenye majukumu yake,
"Mama naomba unyenyuke tuondoke",Albert alivyofika alimwambia mama yake.
"Unakichaa siku hizi mwanangu huoni kama bado nipo kwenye shuhuli maalumu hapa"
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...ITAENDELEA.

Nyie Miss Tanzania kaishapatikana lakini huko mbele kuna mambo huko subirini mtaona tu ????????????
NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........12
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia sehemu iliyopita........
Alivyotokeza mbele ya umati karibu kila mtu alishangaa kuona tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake wa kitofauti uliwafanya wote ukumbini kukaa kimya......

ENDELEA NAYO.....
Tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake wa kitofauti uliwafanya watu wote ukumbini kukaa kimya.

Stewart alimtazama mwanadada Angelina na kujikuta akibaki mdomo wazi na kusahau kama amekaa na wazazi wake karibu,
"Wewe mtoto mbona mpaka unatuchaganya sisi tupo hapa kumshangilia Diana na sio hawa wengine?",Mama yake aliongea baada ya kumuona mwanae akimtazama Angelina, akili za stewart zilikuwa kwa Angelina aliyevutiwa na tabasamu lake na kile alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa lile.

Siku hiyo Angelina alikuwa tofauti kwani...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.2K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

671
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

527
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

502
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

266
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

237
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

138
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

122
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

67
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

66

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest