Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........28
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
hasira zilimshika na kuwasha gari lake aliliondoa kwa kasi akiwafata wao walipo tena wakiwa hawana habari kama kuna gari nyuma yao inayokuja kwa kasi............

ENDELEA NAYO......
Gari ilikuwa ikija kwa kasi na bahati nzuri Doctor Tayler aliweza kusikia sauti ya gari hilo aligeuka nyuma na kuona gari ikiwafata haraka alimvuta Diana pembeni na yeye kusogea pembeni huku gari ikiwakosa kidogo tu kuwagonga.

Gari ilienda mpaka mbele na kusimama kisha alishuka mwanadada Naisha tena akiwa kwenye hasira isiyo ya kawaida nakuwafata,
"Huyu ndiyo mgonjwa uliyekuwa unaniambia Tayler?, nimewafatilia toka mda mrefu sana na dalili zote nimeziona kuwa nyinyi ni wapenzi",Naisha aliongea akiwa na hasira sana.
"Tayler,who is she?"Diana alimuuliza Doctor Tayler aliyekuwa kimya na kukoswa cha kumjibu.

Doctor Tayler alishindwa afanye maamuzi gani kwa kuwagonganisha warembo wale wawili na kila mmoja alikuwa na umhimu kwake.

Naisha aliamua kufanya maamuzi aliyoona ni sahihi kwa upande wake,
"Tayler inakubidi uchague kati ya mimi na huyu mwanamke nani unayempenda na unataka kuwa nae?",Naisha aliongea.

Ata Diana nae aliamua kukaa kimya aone Doctor Tayler atafanya maamuzi gani kwa kile alichokisema mwanadada Naisha,
Tayler alikaa kimya na hili likawa jibu tosha kwa wote kuwa hana uwezo wa kumchagua mmoja kati yao,Naisha aliamua kuondoka na kuwaacha wawili wale wakiwa wamesimama na ata hamu ya wao kuelekea sehemu waliyokuwa wakienda nayo iliisha kabisa huku Diana akiondoka kwa hasira na kurudi walipokuwa wakiishi, Doctor Tayler aliamua kumfata mwanadada Diana.

Walifika mpaka ndani huku Diana akiwa hataki kumsikiliza Doctor Tayler, na akiwa kama mwanaume aliamua kujitetea na hii ilimfanya Diana aweze kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Diana kumbuka ni mazingira gani tuliyokutana mimi na wewe niukweli usiopingika kuwa Naisha alikuwa mtu wangu zamani lakini sasa ivi wewe ndiyo upo katika moyo wangu",Doctor Tayler aliongea .

Diana pia alifikilia na kukubaliana na maneno ya mwanaume huyo na tofauti zao zikawa zimeisha huku maisha mengine yakiendelea kati ya Diana na Doctor Tayler.

Nchini Tanzania, ukaribu uliozidi kujengeka kati ya Albert na Angelina ulimfanya Albert ampende mwanadada huyo na sasa kilichokuwa kimebaki nikumweleza tu kile kilichokuwa ndani ya moyo wake na temu hii aliamua kumshirikisha Mwanamama katalina ili mambo yawe raisi kwa upande wake.

Angelina yeye alikuwa anaendelea na maisha yake kama ilivyokawaida lakini alishangaa kuona Albert amezidisha ukaribu kwake yani saa moja lilikuwa haliwezi kupita bira kutafutwa na Albert asipopiga simu atatuma ujumbe, kitu pekee ambacho hakuambiwa na mwanaume huyo ni neno nakupenda.

Taratibu siku zilizidi kusogea na Albert aliamua kuweka wazi hisia zake kwa mwanadada Angelina alimweleza ni jinsi gani anavyotamani kuwa na yeye kwenye maisha yake japo kwa Angelina ilikuwa ngumu kukubali kwa wakati huo lakini pia Mwanamama Katalina alienda kukaa na rafiki yake au Mwanamama Beatrice nakumuomba wawaunganishe watoto wao waweze kuoana, Beatrice aliona ni jambo la kheri na hakuwa na kipingamizi kwenye hilo alishauliana na mmewe Mr.Gerald na wote walikubaliana kumuozesha Angelina kwa Albert, kazi ilibaki kwenye kumshawishi Angelina aweze kukubali kuolewa na Albert.

Angelina alikuwa mgumu kukubali lakini mbele ya mama yake mzazi na Mwanamama katalina hakuwa na pingamizi lolote lile alikubali na bira kupoteza mda ndoa ilipangwa kati ya Angelina na Albert.

Manka alizipata tarifa zile za Angelina kuolewa na Albert, haraka alimpelekea Stewart tarifa zile ambae nae hakuamini kusikia mwanamke aliyekuwa akimpenda anaenda kuolewa na mwanaume mwingine alichukua simu yake na kumpigia Angelina aliyepokea huku akiwa na wasiwasi kidogo mana alijua ni jinsi gani Stewart alivyokuwa anajisikia kwa wakati hu baada ya kusikia yeye anaolewa,
"Angelina mbona umekubali kuolewa mapema sana na mimi uliniambia haupo tayali kuingia kwenye mahusiano kwa sasa, kwanini Angelina?",Stewart aliongea maneno ya kulalamika yaliyokuwa yakimfikia mwanadada Angelina kupitia simu.
"I'm sorry Stewart sikuwa na njia nyingine tofauti na hii naomba unisahau na umtafute mwanake mwingine atakaye kufaa mimi sifai kuwa mke wako nisamahe sana", Angelina aliongea nakukata simu huku upande wa pili Stewart akijihisi kuchanganyikiwa maumivu ya moyo yalikuwa ni makali isivyo kawaida alijaribu kumpigia  simu Angelina kwa mara nyingine ila simu iliita bira kupokelewa na badae ikawa haipatikani kabisa.

Tarehe ya ndoa ilipangwa na zilikuwa zimebaki siku chache tu waweze kufunga ndoa.

Nchini Canada Diana hakuwa na hamu ya kurudi Tanzania na ata Mr.James alivyokuwa akimhimiza alidai bado kwanza hali yake haijakaa sawa na akiwa sawa atarudi tu na yote ni kwa sababu ya mahusiano aliyokuwa nayo kwa wakati huo na Doctor Tayler.

Siku hii ilikuwa mbaya kwa mwanadada Diana kwani alitoka na kumuacha Doctor Tayler akiwa nyumbani lakini alivyorudi alishangaa kukutana na hali ya kitofoauti.
Kwanza alikuta nguo zote za Doctor Tayler hazipo na alipojaribu kuzunguka kumuangalia hakufanyikiwa kumuona, aliamua kurudi ndani na kukaa kwenye kochi akitafakari ni wapi Doctor Tayler atakuwa kaenda.

Alipotazama juu ya meza aliona barua iliyoandikwa na Doctor Tayler aliichukua na kuisoma barua ile iliyokuwa na maneno ya kuumiza,
"Nisamehe Diana kwa kukupotezea mda wako nikweli nakupenda lakini Naisha niwa mhimu zaidi kwangu pia siwezi kuwa mbali na Naisha Diana kwasababu nyumbani kwao wanamali nyingi na za kutosha,I'm sorry" ni barua iliyokuwa na maneno machache ila yenye kueleweka yaliyomfanya Diana alie kama mtoto mdogo kwa kuachwa na Doctor Tayler.

Mawazo yalitawala kichwa cha Diana tangu alipoondoka Doctor Tayler hali iliyomfanya apatwe na ugonjwa uliowafanya madoctor washindwe kuelewa ni kipi kinachomsumbua mana kama kumpima walimpima ila hawakugundua chochote kilichokuwa kikimsumbua.

Diana hakutaka tena kubaki Canada alijiandaa kwa ajili ya kurejea Tanzania.

Nchini Tanzania siku iliyokuwa inasubiliwa kwa hamu ilifika watu mashuhuli walihuzulia katika harusi hiyo ya Albert na Mwanadada Angelina, na ilizungumzwa karibu nchi nzima, ukubwa aliokuwa nao mwanadada Angelina ambae bado alikuwa akishikilia taji la Miss Tanzania .
Ata Mary mwanamke aliyetaka kuifilisi familia ya Albert nae alikuwepo na sasa walikuwa ni marafiki wakubwa na Albert.

Maumivu yalikuwa kwa kijana Stewart ila hakuwa na njia nyingine zaidi ya kukubaliana na hali halisi japo yeye hakutaka kwenda kwenye ndoa hiyo mana ingekuwa ni zaidi ya maumivu kumuona mwanamke aliyekuwa akimpenda akiolewa tena mbele ya macho yake.

Ndoa ilifungwa kati ya Albert na Angelina na karibu kila mtu aliisifia ndoa hiyo ikipambwa na vyombo mbalimbali vya Tanzania.

Nchini Canada tunamwona mwanadada Diana akiwa airport na akijiandaa kwa ajili ya kurejea Tanzania......ITANDELEA 

Diana anarejea na tayali Albert ameshafunga ndoa na mdogo wake Angelina, majibu zaidi yapo sehemu ya 29

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........28
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
hasira zilimshika na kuwasha gari lake aliliondoa kwa kasi akiwafata wao walipo tena wakiwa hawana habari kama kuna gari nyuma yao inayokuja kwa kasi............

ENDELEA NAYO......
Gari ilikuwa ikija kwa kasi na bahati nzuri Doctor Tayler aliweza kusikia sauti ya gari hilo aligeuka nyuma na kuona gari ikiwafata haraka alimvuta Diana pembeni na yeye kusogea pembeni huku gari ikiwakosa kidogo tu kuwagonga.

Gari ilienda mpaka mbele na kusimama kisha alishuka mwanadada Naisha tena akiwa kwenye hasira isiyo ya kawaida nakuwafata,
"Huyu ndiyo mgonjwa uliyekuwa unaniambia Tayler?, nimewafatilia toka mda mrefu sana na dalili zote nimeziona kuwa nyinyi ni wapenzi",Naisha aliongea akiwa na hasira...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-28

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

880
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

666
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

578
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

492
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

86
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

71
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.48K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest