Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........28
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
hasira zilimshika na kuwasha gari lake aliliondoa kwa kasi akiwafata wao walipo tena wakiwa hawana habari kama kuna gari nyuma yao inayokuja kwa kasi............

ENDELEA NAYO......
Gari ilikuwa ikija kwa kasi na bahati nzuri Doctor Tayler aliweza kusikia sauti ya gari hilo aligeuka nyuma na kuona gari ikiwafata haraka alimvuta Diana pembeni na yeye kusogea pembeni huku gari ikiwakosa kidogo tu kuwagonga.

Gari ilienda mpaka mbele na kusimama kisha alishuka mwanadada Naisha tena akiwa kwenye hasira isiyo ya kawaida nakuwafata,
"Huyu ndiyo mgonjwa uliyekuwa unaniambia Tayler?, nimewafatilia toka mda mrefu sana na dalili zote nimeziona kuwa nyinyi ni wapenzi",Naisha aliongea akiwa na hasira sana.
"Tayler,who is she?"Diana alimuuliza Doctor Tayler aliyekuwa kimya na kukoswa cha kumjibu.

Doctor Tayler alishindwa afanye maamuzi gani kwa kuwagonganisha warembo wale wawili na kila mmoja alikuwa na umhimu kwake.

Naisha aliamua kufanya maamuzi aliyoona ni sahihi kwa upande wake,
"Tayler inakubidi uchague kati ya mimi na huyu mwanamke nani unayempenda na unataka kuwa nae?",Naisha aliongea.

Ata Diana nae aliamua kukaa kimya aone Doctor Tayler atafanya maamuzi gani kwa kile alichokisema mwanadada Naisha,
Tayler alikaa kimya na hili likawa jibu tosha kwa wote kuwa hana uwezo wa kumchagua mmoja kati yao,Naisha aliamua kuondoka na kuwaacha wawili wale wakiwa wamesimama na ata hamu ya wao kuelekea sehemu waliyokuwa wakienda nayo iliisha kabisa huku Diana akiondoka kwa hasira na kurudi walipokuwa wakiishi, Doctor Tayler aliamua kumfata mwanadada Diana.

Walifika mpaka ndani huku Diana akiwa hataki kumsikiliza Doctor Tayler, na akiwa kama mwanaume aliamua kujitetea na hii ilimfanya Diana aweze kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Diana kumbuka ni mazingira gani tuliyokutana mimi na wewe niukweli usiopingika kuwa Naisha alikuwa mtu wangu zamani lakini sasa ivi wewe ndiyo upo katika moyo wangu",Doctor Tayler aliongea .

Diana pia alifikilia na kukubaliana na maneno ya mwanaume huyo na tofauti zao zikawa zimeisha huku maisha mengine yakiendelea kati ya Diana na Doctor Tayler.

Nchini Tanzania, ukaribu uliozidi kujengeka kati ya Albert na Angelina ulimfanya Albert ampende mwanadada huyo na sasa kilichokuwa kimebaki nikumweleza tu kile kilichokuwa ndani ya moyo wake na temu hii aliamua kumshirikisha Mwanamama katalina ili mambo yawe raisi kwa upande wake.

Angelina yeye alikuwa anaendelea na maisha yake kama ilivyokawaida lakini alishangaa kuona Albert amezidisha ukaribu kwake yani saa moja lilikuwa haliwezi kupita bira kutafutwa na Albert asipopiga simu atatuma ujumbe, kitu pekee ambacho hakuambiwa na mwanaume huyo ni neno nakupenda.

Taratibu siku zilizidi kusogea na Albert aliamua kuweka wazi hisia zake kwa mwanadada Angelina alimweleza ni jinsi gani anavyotamani kuwa na yeye kwenye maisha yake japo kwa Angelina ilikuwa ngumu kukubali kwa wakati huo lakini pia Mwanamama Katalina alienda kukaa na rafiki yake au Mwanamama Beatrice nakumuomba wawaunganishe watoto wao waweze kuoana, Beatrice aliona ni jambo la kheri na hakuwa na kipingamizi kwenye hilo alishauliana na mmewe Mr.Gerald na wote walikubaliana kumuozesha Angelina kwa Albert, kazi ilibaki kwenye kumshawishi Angelina aweze kukubali kuolewa na Albert.

Angelina alikuwa mgumu kukubali lakini mbele ya mama yake mzazi na Mwanamama katalina hakuwa na pingamizi lolote lile alikubali na bira kupoteza mda ndoa ilipangwa kati ya Angelina na Albert.

Manka alizipata tarifa zile za Angelina kuolewa na Albert, haraka alimpelekea Stewart tarifa zile ambae nae hakuamini kusikia mwanamke aliyekuwa akimpenda anaenda kuolewa na mwanaume mwingine alichukua simu yake na kumpigia Angelina aliyepokea huku akiwa na wasiwasi kidogo mana alijua ni jinsi gani Stewart alivyokuwa anajisikia kwa wakati hu baada ya kusikia yeye anaolewa,
"Angelina mbona umekubali kuolewa mapema sana na mimi uliniambia haupo tayali kuingia kwenye mahusiano kwa sasa, kwanini Angelina?",Stewart aliongea maneno ya kulalamika yaliyokuwa yakimfikia mwanadada Angelina kupitia simu.
"I'm sorry Stewart sikuwa na njia nyingine tofauti na hii naomba unisahau na umtafute mwanake mwingine atakaye kufaa mimi sifai kuwa mke wako nisamahe sana", Angelina aliongea nakukata simu huku upande wa pili Stewart akijihisi kuchanganyikiwa maumivu ya moyo yalikuwa ni makali isivyo kawaida alijaribu kumpigia  simu Angelina kwa mara nyingine ila simu iliita bira kupokelewa na badae ikawa haipatikani kabisa.

Tarehe ya ndoa ilipangwa na zilikuwa zimebaki siku chache tu waweze kufunga ndoa.

Nchini Canada Diana hakuwa na hamu ya kurudi Tanzania na ata Mr.James alivyokuwa akimhimiza alidai bado kwanza hali yake haijakaa sawa na akiwa sawa atarudi tu na yote ni kwa sababu ya mahusiano aliyokuwa nayo kwa wakati huo na Doctor Tayler.

Siku hii ilikuwa mbaya kwa mwanadada Diana kwani alitoka na kumuacha Doctor Tayler akiwa nyumbani lakini alivyorudi alishangaa kukutana na hali ya kitofoauti.
Kwanza alikuta nguo zote za Doctor Tayler hazipo na alipojaribu kuzunguka kumuangalia hakufanyikiwa kumuona, aliamua kurudi ndani na kukaa kwenye kochi akitafakari ni wapi Doctor Tayler atakuwa kaenda.

Alipotazama juu ya meza aliona barua iliyoandikwa na Doctor Tayler aliichukua na kuisoma barua ile iliyokuwa na maneno ya kuumiza,
"Nisamehe Diana kwa kukupotezea mda wako nikweli nakupenda lakini Naisha niwa mhimu zaidi kwangu pia siwezi kuwa mbali na Naisha Diana kwasababu nyumbani kwao wanamali nyingi na za kutosha,I'm sorry" ni barua iliyokuwa na maneno machache ila yenye kueleweka yaliyomfanya Diana alie kama mtoto mdogo kwa kuachwa na Doctor Tayler.

Mawazo yalitawala kichwa cha Diana tangu alipoondoka Doctor Tayler hali iliyomfanya apatwe na ugonjwa uliowafanya madoctor washindwe kuelewa ni kipi kinachomsumbua mana kama kumpima walimpima ila hawakugundua chochote kilichokuwa kikimsumbua.

Diana hakutaka tena kubaki Canada alijiandaa kwa ajili ya kurejea Tanzania.

Nchini Tanzania siku iliyokuwa inasubiliwa kwa hamu ilifika watu mashuhuli walihuzulia katika harusi hiyo ya Albert na Mwanadada Angelina, na ilizungumzwa karibu nchi nzima, ukubwa aliokuwa nao mwanadada Angelina ambae bado alikuwa akishikilia taji la Miss Tanzania .
Ata Mary mwanamke aliyetaka kuifilisi familia ya Albert nae alikuwepo na sasa walikuwa ni marafiki wakubwa na Albert.

Maumivu yalikuwa kwa kijana Stewart ila hakuwa na njia nyingine zaidi ya kukubaliana na hali halisi japo yeye hakutaka kwenda kwenye ndoa hiyo mana ingekuwa ni zaidi ya maumivu kumuona mwanamke aliyekuwa akimpenda akiolewa tena mbele ya macho yake.

Ndoa ilifungwa kati ya Albert na Angelina na karibu kila mtu aliisifia ndoa hiyo ikipambwa na vyombo mbalimbali vya Tanzania.

Nchini Canada tunamwona mwanadada Diana akiwa airport na akijiandaa kwa ajili ya kurejea Tanzania......ITANDELEA 

Diana anarejea na tayali Albert ameshafunga ndoa na mdogo wake Angelina, majibu zaidi yapo sehemu ya 29

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........28
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
hasira zilimshika na kuwasha gari lake aliliondoa kwa kasi akiwafata wao walipo tena wakiwa hawana habari kama kuna gari nyuma yao inayokuja kwa kasi............

ENDELEA NAYO......
Gari ilikuwa ikija kwa kasi na bahati nzuri Doctor Tayler aliweza kusikia sauti ya gari hilo aligeuka nyuma na kuona gari ikiwafata haraka alimvuta Diana pembeni na yeye kusogea pembeni huku gari ikiwakosa kidogo tu kuwagonga.

Gari ilienda mpaka mbele na kusimama kisha alishuka mwanadada Naisha tena akiwa kwenye hasira isiyo ya kawaida nakuwafata,
"Huyu ndiyo mgonjwa uliyekuwa unaniambia Tayler?, nimewafatilia toka mda mrefu sana na dalili zote nimeziona kuwa nyinyi ni wapenzi",Naisha aliongea akiwa na hasira...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-28

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

1.17K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

1.02K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69

597
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

392
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

311
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

305
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

258
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

240
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

224
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

169

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.85K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE😂) 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "7_8"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "7_8"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh 🤮...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Mané, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest