Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........16
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na hii kumfanya aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert.........

ENDELEA NAYO.....
Upande wa kijana Stewart akiwa amekaa na ameshika simu yake macho yake yalikuwa yakitazama picha za Miss Tanzania ambae ni Anjelina hakumkumbuka tena Diana kwa wakati huo na akili zake zilikuwa kwa mwanadada Angelina,
"rafiki yako anaendeleaje?", sauti ya mama yake mzazi ilisikika na kumfanya aweke simu pembeni ili ajibu kile alichoulizwa.
"Rafiki gani mama?"
"Mtu wa ajabu sana wewe kwani Diana sio rafiki yako, wewe sindio ulitukulupua hapa usiku twende tukampe hamasa Diana ya kushinda taji la Miss Tanzania?", mama yake aliongea.
"Aaah kumbe Diana yupo anaendelea vizuri tu japo hataweza kutembea tena na anatumia kiti kutembea sasa ivi"
"Masikini binti bado mdogo na ni mrembo kweli lakini kapatwa na matatizo ya ukilema mapema sana,nafikiri familia yake itakuwa kwenye majonzi sana",mwanamama aliongea.
"Mama ngoja mimi nitoke mara moja", Stewart hakutaka kuka pale nakuendelea kusikiliza story za mama yake mzazi tena zinazomhusu Diana, kiujmla alitaka kusahau jina la Diana ndio mana hakutaka ata kulisikia kwenye masikio yake.
            
Upande wa Mary akiwa na rafiki yake Faith walikuwa ni watu wakulaumiana hasa Faith alimulaumu sana Mary,
"Mimi nilijua utatengeneza mipango ya maana kumbe hamna kila kitu bora ata mimi nilikuwa kwenye kumi bora",Faith aliongea.
"Albert anajifanya mjanja nilimtisha kwa kumuigizia tu kuwa nitamuua mama yake kama nisipokuwa Miss Tanzania nasikuwa na mpango wa kumuua kabisa,sasa temu hii nitamuonyesha kama mimi ndio Mary", Mary aliongea.

Hasira zake za kushindwa kuwa Miss Tanzania aliamua kuzimalizia kwa Albert na alipanga kutimiza kile alichomwambia Albert.

Faith alishangaa kumsikia rafiki yake akitamka vile,
"Mimi naona unaenda kuwa kichaa yani unataka mpaka umue mtu kisa kutokuwa Miss Tanzania?,emu achana na hayo mambo rafiki yangu yameshaisha tuangalie michongo mingine maisha yaende",Faith aliongea kama kumshauli Mary.
"Huwa sipendi dharau kwenye maisha yangu kwakuwa Albert kanionyesha dharau acha nimuonyeshe mimi ni mtu wa aina gani, na wewe pia kama huna stori zingine unaweza kupotea hapa na usikanyage tena kuanzia leo"
"Heeeeeh!!, makubwa yamekuwa hayo tena aya mimi naondoka ila nilichokwambia kizingatie utaingia matatizoni kwa kufanya kitu ambacho hakina faida yoyote ile",Faith aliongea nakuondoka.

Hasira alizokuwa nazo Mary za kukosa taji la Miss Tanzania zilimfanya mpaka avunje urafiki na Faith akiapa kufanya kile alichomwambia Albert kuwa atamuangamiza mwanamama katalina.
              
Upande wa Miss Tanzania Angelina aliingia mkataba na makampuni tofauti tofauti na moja likiwa ni kampuni kubwa la uigizaji Tanzania, maisha ya Angelina yalibadilika kwa mda mfupi tu na hakuishi tena uswahilini yeye pamoja na mama yake kwani aliweka mashariti kwenye moja ya kampuni aliloingia nalo mkataba ya wao kumnunulia nyumba.

Akiwa amekaa na mama yake mzazi Miss Tanzania alipata wazo,
"Mama ni mda mrefu leo inatakiwa twende gerezani tukamsalimie baba", Angelina akiwa na mwanamama beatrice aliona ni mda mwafaka wa kwenda kumsalimia baba yake aliyekuwa gerezani.
"Huwa najihisi ni mwenye hatia kwa kumuona baba yako akiwa gerezani bira mimi huenda asingekuwa gerezani, huwa nashindwa kumtazama baba yako usoni",mwanamama beatrice aliongea na kumfanya Angela amsogele na kumkumbatia mama yake kama ishara ya kumtoa wasiwasi.

Mwanamama beatrice alikubali kuongozana na binti yake mpaka gerezani na walianza safari mda huohuo kuelekea gerezani.

Ndani ya gereza  anaonekana baba wa makamo aliyekondeana na kuchokeana na hii ni kutokana na maisha ya gerezani yalivyo,akiwa ameka ndani ya gereza asikari alifika,
"Mfungwa namba 12"
"Nipo afande",ilikuwa ni namba ya baba huyo wa makamo aliyefahamika kwa jina Gerald, alisimama na kumfata afande.

Mbele ya macho yake hakuamini kumuona mwanamke aliyempenda kwa dhati na pembeni yake kukiwa na binti mrembo,
"Unawafahamu hawa watu?",ni swali lililotoka kwa afande akimuuliza Gerald.
"Ndio afande ni mke wangu na huyo ni binti yangu na mtoto wangu wa peke",Gerald alijibu na kumfanya afande ampe ruhusa ya kufanya maongezi na watu waliokuja kumtembelea katika gereza hilo maarufu.
"Angelina mwanangu, umekuwa binti mkubwa sasa",Gerald alimwambia binti yake huku akiwa na furaha iliyoambatana na machozi.
"Ndio baba mwanao niko hapa".

Mda wote mwanamama beatrice alikuwa kimya aliwaacha baba na mtoto waonge.

"Nilipata bahati ya kupunguziwa kifungo cha kukaa gerezani nimebakiza miezi 6 tu ya mimi kuwa gerezani sio mda nitaungana na nyinyi tena uraiani",Gerald aliongea na kuifanya familia yake ifurahi baada ya kupata tarifa zile mpya.

Waliongea mpaka pale asikari alipokuja kumchua Gerald na kumrudisha gerezani huku Mwanamama Beatrice na mwanae wakiondoka, Angelina akiwa na furaha kwa alichokisikia kutoka kwa baba yake baada ya kuwaambia mda aliobakiza wa miezi 6 atoke gerezani.
                
Ni siku ya mapumziko siku hii mwanamama katalina hakwenda katika kampuni ya FNF aliamua kubaki nyumbani na kufanya mambo mengine, na ata mwanae Albert hakuwepo nyumbani siku iyo.
Baada ya mda mrefu pasipo  kumpigia mke wake temu hii aliamua ampigie mwanamama katalina tena kwa video call na ata mwanamama katalina alishanga kuona baba yake na Albert amempigia simu ilibidi apoke na wakaanza kuongea huku kila mtu akiwa anamuona mwenzake.

Upande wa nje wa nyumba hiyo mwanadada Mary alienda kukusanya vijana wa mtaani nakuja nao maeneo ya nyumba ya mwanamama katalina, akiwa ndani ya gari lake na kazi aliyotaka kuifanya niyakumteka mwanamama katalina,
"Sikilizeni nimebadilisha mawazo msimuue kwanza tupige pesa alafu mengine badae", Mary aliongea na vijana wake.
"Eleweka Mary kwahiyo tunambeba na kumleta huku nje au anafia hukohuko ndani", moja ya kijana aliongea.
"Punguza bangi jamaa yangu kwani hujamsikia sister Mary alivyosema emu twendeni ndani tukambebe huyo mama na kama tukikuta kuna wengine nikipigo tu nakumchukua mtu wetu sisi hatujali", moja ya kijana aliongea.

Walikubaliana na  walisogea mpaka sehemu ya geti nakubisha hodi na haikupita mda alifungua mlinzi ila alipigwa na kitu kizito kilichomfanya aanguke chini na kuzimia palepale.
Mwanamama katalina alikuwa hana habari akiwa bado anaongea na mme wake alishanga kuona vijana  wakiingia ndani na ata mme wake aliweza kuwaona kupitia simu ya mke wake,
"Nyie ni kina nani?", mwanamama katalina aliwauliza akiwa na wasiwasi wa hali ya juu.
"Hatuna mda wa kupoteza hapa kamateni twende nae", moja ya kijana aliongea.

Mwanamama katalina alijaribu kuleta ubishi ila hakuwa na nguvu za kuwazuia kwani walimchukua na kumpeleka mpaka kwenye gari lao tena akipewa vitisho vya hali ya juu kama tu atajaribu kunyenyua mdomo wake na kupiga kelele kifo kitakuwa halali yake.

Mary alifurahi kuona vijana wametekeleza agizo lake aliondoa gari kwa speed na mwanamama katalina akiwa ndani ya lile gari.

Upande wa Albert alikuwa hajui kilichokuwa kikiendelea nyumbani kwao akiwa amekaa na Diana akiendelea kumfariji alipowasha data kwenye simu yake alishangaa kukutana na sms nyingi zikiingia na zilionyesha zimetoka kwa baba yake na ndani ya mda huohuo baada ya kuwa online baba yake alipiga simu,
"Fanya unachojua uende nyumbani mama yako hayupo salama", alianza kumwelezea jinsi ilivyokuwa.
"Diana nakuja sasa ivi tu",Albert aliondoka upesi akimuacha Diana kwenye maswali mengi.....ITAENDELEA

Albert atafanyikiwa kumpata mama yake?,na Mary kapanga kufanya nini kwa Mwanamama Katalina?,sehemu ijayo ina majibu zaidi.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........16
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na hii kumfanya aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert.........

ENDELEA NAYO.....
Upande wa kijana Stewart akiwa amekaa na ameshika simu yake macho yake yalikuwa yakitazama picha za Miss Tanzania ambae ni Anjelina hakumkumbuka tena Diana kwa wakati huo na akili zake zilikuwa kwa mwanadada Angelina,
"rafiki yako anaendeleaje?", sauti ya mama yake mzazi ilisikika na kumfanya aweke simu pembeni ili ajibu kile alichoulizwa.
"Rafiki gani mama?"
"Mtu wa ajabu sana wewe kwani Diana sio rafiki yako,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

638
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

58
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest