Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16

19th Apr, 2025 Views 6

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........16
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na hii kumfanya aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert.........

ENDELEA NAYO.....
Upande wa kijana Stewart akiwa amekaa na ameshika simu yake macho yake yalikuwa yakitazama picha za Miss Tanzania ambae ni Anjelina hakumkumbuka tena Diana kwa wakati huo na akili zake zilikuwa kwa mwanadada Angelina,
"rafiki yako anaendeleaje?", sauti ya mama yake mzazi ilisikika na kumfanya aweke simu pembeni ili ajibu kile alichoulizwa.
"Rafiki gani mama?"
"Mtu wa ajabu sana wewe kwani Diana sio rafiki yako, wewe sindio ulitukulupua hapa usiku twende tukampe hamasa Diana ya kushinda taji la Miss Tanzania?", mama yake aliongea.
"Aaah kumbe Diana yupo anaendelea vizuri tu japo hataweza kutembea tena na anatumia kiti kutembea sasa ivi"
"Masikini binti bado mdogo na ni mrembo kweli lakini kapatwa na matatizo ya ukilema mapema sana,nafikiri familia yake itakuwa kwenye majonzi sana",mwanamama aliongea.
"Mama ngoja mimi nitoke mara moja", Stewart hakutaka kuka pale nakuendelea kusikiliza story za mama yake mzazi tena zinazomhusu Diana, kiujmla alitaka kusahau jina la Diana ndio mana hakutaka ata kulisikia kwenye masikio yake.
            
Upande wa Mary akiwa na rafiki yake Faith walikuwa ni watu wakulaumiana hasa Faith alimulaumu sana Mary,
"Mimi nilijua utatengeneza mipango ya maana kumbe hamna kila kitu bora ata mimi nilikuwa kwenye kumi bora",Faith aliongea.
"Albert anajifanya mjanja nilimtisha kwa kumuigizia tu kuwa nitamuua mama yake kama nisipokuwa Miss Tanzania nasikuwa na mpango wa kumuua kabisa,sasa temu hii nitamuonyesha kama mimi ndio Mary", Mary aliongea.

Hasira zake za kushindwa kuwa Miss Tanzania aliamua kuzimalizia kwa Albert na alipanga kutimiza kile alichomwambia Albert.

Faith alishangaa kumsikia rafiki yake akitamka vile,
"Mimi naona unaenda kuwa kichaa yani unataka mpaka umue mtu kisa kutokuwa Miss Tanzania?,emu achana na hayo mambo rafiki yangu yameshaisha tuangalie michongo mingine maisha yaende",Faith aliongea kama kumshauli Mary.
"Huwa sipendi dharau kwenye maisha yangu kwakuwa Albert kanionyesha dharau acha nimuonyeshe mimi ni mtu wa aina gani, na wewe pia kama huna stori zingine unaweza kupotea hapa na usikanyage tena kuanzia leo"
"Heeeeeh!!, makubwa yamekuwa hayo tena aya mimi naondoka ila nilichokwambia kizingatie utaingia matatizoni kwa kufanya kitu ambacho hakina faida yoyote ile",Faith aliongea nakuondoka.

Hasira alizokuwa nazo Mary za kukosa taji la Miss Tanzania zilimfanya mpaka avunje urafiki na Faith akiapa kufanya kile alichomwambia Albert kuwa atamuangamiza mwanamama katalina.
              
Upande wa Miss Tanzania Angelina aliingia mkataba na makampuni tofauti tofauti na moja likiwa ni kampuni kubwa la uigizaji Tanzania, maisha ya Angelina yalibadilika kwa mda mfupi tu na hakuishi tena uswahilini yeye pamoja na mama yake kwani aliweka mashariti kwenye moja ya kampuni aliloingia nalo mkataba ya wao kumnunulia nyumba.

Akiwa amekaa na mama yake mzazi Miss Tanzania alipata wazo,
"Mama ni mda mrefu leo inatakiwa twende gerezani tukamsalimie baba", Angelina akiwa na mwanamama beatrice aliona ni mda mwafaka wa kwenda kumsalimia baba yake aliyekuwa gerezani.
"Huwa najihisi ni mwenye hatia kwa kumuona baba yako akiwa gerezani bira mimi huenda asingekuwa gerezani, huwa nashindwa kumtazama baba yako usoni",mwanamama beatrice aliongea na kumfanya Angela amsogele na kumkumbatia mama yake kama ishara ya kumtoa wasiwasi.

Mwanamama beatrice alikubali kuongozana na binti yake mpaka gerezani na walianza safari mda huohuo kuelekea gerezani.

Ndani ya gereza  anaonekana baba wa makamo aliyekondeana na kuchokeana na hii ni kutokana na maisha ya gerezani yalivyo,akiwa ameka ndani ya gereza asikari alifika,
"Mfungwa namba 12"
"Nipo afande",ilikuwa ni namba ya baba huyo wa makamo aliyefahamika kwa jina Gerald, alisimama na kumfata afande.

Mbele ya macho yake hakuamini kumuona mwanamke aliyempenda kwa dhati na pembeni yake kukiwa na binti mrembo,
"Unawafahamu hawa watu?",ni swali lililotoka kwa afande akimuuliza Gerald.
"Ndio afande ni mke wangu na huyo ni binti yangu na mtoto wangu wa peke",Gerald alijibu na kumfanya afande ampe ruhusa ya kufanya maongezi na watu waliokuja kumtembelea katika gereza hilo maarufu.
"Angelina mwanangu, umekuwa binti mkubwa sasa",Gerald alimwambia binti yake huku akiwa na furaha iliyoambatana na machozi.
"Ndio baba mwanao niko hapa".

Mda wote mwanamama beatrice alikuwa kimya aliwaacha baba na mtoto waonge.

"Nilipata bahati ya kupunguziwa kifungo cha kukaa gerezani nimebakiza miezi 6 tu ya mimi kuwa gerezani sio mda nitaungana na nyinyi tena uraiani",Gerald aliongea na kuifanya familia yake ifurahi baada ya kupata tarifa zile mpya.

Waliongea mpaka pale asikari alipokuja kumchua Gerald na kumrudisha gerezani huku Mwanamama Beatrice na mwanae wakiondoka, Angelina akiwa na furaha kwa alichokisikia kutoka kwa baba yake baada ya kuwaambia mda aliobakiza wa miezi 6 atoke gerezani.
                
Ni siku ya mapumziko siku hii mwanamama katalina hakwenda katika kampuni ya FNF aliamua kubaki nyumbani na kufanya mambo mengine, na ata mwanae Albert hakuwepo nyumbani siku iyo.
Baada ya mda mrefu pasipo  kumpigia mke wake temu hii aliamua ampigie mwanamama katalina tena kwa video call na ata mwanamama katalina alishanga kuona baba yake na Albert amempigia simu ilibidi apoke na wakaanza kuongea huku kila mtu akiwa anamuona mwenzake.

Upande wa nje wa nyumba hiyo mwanadada Mary alienda kukusanya vijana wa mtaani nakuja nao maeneo ya nyumba ya mwanamama katalina, akiwa ndani ya gari lake na kazi aliyotaka kuifanya niyakumteka mwanamama katalina,
"Sikilizeni nimebadilisha mawazo msimuue kwanza tupige pesa alafu mengine badae", Mary aliongea na vijana wake.
"Eleweka Mary kwahiyo tunambeba na kumleta huku nje au anafia hukohuko ndani", moja ya kijana aliongea.
"Punguza bangi jamaa yangu kwani hujamsikia sister Mary alivyosema emu twendeni ndani tukambebe huyo mama na kama tukikuta kuna wengine nikipigo tu nakumchukua mtu wetu sisi hatujali", moja ya kijana aliongea.

Walikubaliana na  walisogea mpaka sehemu ya geti nakubisha hodi na haikupita mda alifungua mlinzi ila alipigwa na kitu kizito kilichomfanya aanguke chini na kuzimia palepale.
Mwanamama katalina alikuwa hana habari akiwa bado anaongea na mme wake alishanga kuona vijana  wakiingia ndani na ata mme wake aliweza kuwaona kupitia simu ya mke wake,
"Nyie ni kina nani?", mwanamama katalina aliwauliza akiwa na wasiwasi wa hali ya juu.
"Hatuna mda wa kupoteza hapa kamateni twende nae", moja ya kijana aliongea.

Mwanamama katalina alijaribu kuleta ubishi ila hakuwa na nguvu za kuwazuia kwani walimchukua na kumpeleka mpaka kwenye gari lao tena akipewa vitisho vya hali ya juu kama tu atajaribu kunyenyua mdomo wake na kupiga kelele kifo kitakuwa halali yake.

Mary alifurahi kuona vijana wametekeleza agizo lake aliondoa gari kwa speed na mwanamama katalina akiwa ndani ya lile gari.

Upande wa Albert alikuwa hajui kilichokuwa kikiendelea nyumbani kwao akiwa amekaa na Diana akiendelea kumfariji alipowasha data kwenye simu yake alishangaa kukutana na sms nyingi zikiingia na zilionyesha zimetoka kwa baba yake na ndani ya mda huohuo baada ya kuwa online baba yake alipiga simu,
"Fanya unachojua uende nyumbani mama yako hayupo salama", alianza kumwelezea jinsi ilivyokuwa.
"Diana nakuja sasa ivi tu",Albert aliondoka upesi akimuacha Diana kwenye maswali mengi.....ITAENDELEA

Albert atafanyikiwa kumpata mama yake?,na Mary kapanga kufanya nini kwa Mwanamama Katalina?,sehemu ijayo ina majibu zaidi.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
Your settings were saved successfully!
Something went wrong!
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest