Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........26
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yanye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa......

ENDELEA NAYO........
Sindano ililetwe na baba mzazi wa Albert akaishika na kumsogelea Mary,
"Usinichome nakuomba bado napenda kuishi tafadhali,nitamtoa mtoto wako na kesi nitaifuta,na kingine nakuahidi sitaisogelea tena familia yako", maneno yalimtoka Mary akijijitetea lakini haikusaidia kitu mzee alizidi kumsogea na kuamlu vijana wamshike ili amchome sindano.

Vijana walimshika na sindano ililetwa Mary akachomwa,
"Hii sindano ina masaa 6 tu wewe kuweza kuendelea kuishi unachotakiwa kufanya ni kwenda polisi kwa miguu yako mwenyewe ukaongee vile unavyojua wewe ila mwanangu siku ya leo hakikisha anatoka,na wewe utakuja nyumbani kwangu kwa ajili ya kuchomwa sindano ya kuondoa iyo sumu....vijana mwachieni na tuondoke kazi kwake ibaki kwake", Mzee aliongea na kuondoka akiwa na vijana wake.

Mary alihisi kuchanganyikiwa kwanza alianza kukimbia kuelekea kituoni ili aendane na mda kama alivyoambiwa alivyofika kituoni alidanganya kumsamehe Albert na pia atalipia garama zote za usumbufu aliotoa kwa  jeshi la polisi na mda huohuo Albert aliweza kuachiwa.

Aliachiwa na kumkuta mbaya wake ambae ni Mary ila hakutaka kuongea chochote zaidi ya kuondoka na kwenda nyumbani kwao huku akimuacha Mary akisubili kupatiwa bill ya kwenda kulipa kwa usumbufu aliotoa kwa jeshi la polisi,
"Binti hii hapa bill yako lakini siku nyingine unatakiwa uwe makini usije ukaleta usumbufu tena kwa jeshi la polisi lasivyo selo itakuhusu"
"Sawa Afande nimeelewa"
Afande aliongea na Mary alipewa bill nakuondoka huku kichwa kikiwa kinawaka moto sehemu ya kuipata pesa na kulilipa jeshi la polisi.

Albert aliweza kuwasili nyumbani na kumkuta baba yake kitu kilichomfarahisha sana hakujalia kama alikuwa gerezani alisogea na kumkumbatia baba yake na ata mzee nae alifurahi kumuona kijana wake,
"kijana wangu umekuwa sana inatakiwa tukutafutie mwanamke wa kuoa ndiyo mda wenyewe huu",baba mtu aliongea na kumfanya Albert acheke akiwa na mama yake mzazi.
"Albert ingekuwa vyema ukienda kuoga kwanza mwanangu....
lakini kabra Mwanamama Katalina hajamaliza kuongea aliingia Mary pasipo ata kubisha hodi kama vile ameingia nyumbani kwake,

"Tayali mwanao nimeshamtoa Mzee wangu nichome sindano ya tiba nisije kufa mimi angalia yamebaki masaa mawili tu ili nife nakuomba baba ufanye ivyo"
Weeee usiniite baba mimi siwezi kuwa na binti mwenye tabia ya kijinga ivi, usiyekuwa na huruma na binadamu wenzako, yani kijana wangu unampakazia kosa mtu ambae hana hatia, watu kama nyinyi hamtakiwi kuishi kwahiyo mimi siwezi kukuchoma iyo sindano ya kukutibu na inatakiwa uondoke hapa kwangu",Mzee aliamua kumgeuka mwadada Mary nakuvunja makubaliano waliyowekeana.

Mary alihisi kuchanganyikiwa sababu alijaribu kumuomba msamaha baba mzazi wa Albert lakini bado aliweka mkazo hali iliyomfanya amfate mpaka Albert ambae kidogo aliingiwa na huruma.

Albert alisogea mpaka alipo baba yake,

"Baba naamini atakuwa ameshajifunza binadamu tunajifunza kutokana na makosa tunayofanya, na hii itakuwa fundisho kwake na kwa watu wengine inabidi umchome iyo sindano na aondoke akaendelee na maisha mengine",Albert aliongea akimtetea Mary.
"Binti umeona binadamu anavyotakiwa kuwa huyu ulitaka kumfunga kabisa lakini yeye amekusamehe tena kwa moyo mmoja unabahati angekuwa mtu mwingine sasa ivi usingekuwa kwenye hii dunia"
"Nakuahidi sitarudi tena na wala sitafanya kitendo kama hicho kwa mtu mwingine",Mary  aliongea kuonyesha kuwa kathamilia kubadilika.
"Kwakuwa umekili mwenyewe simama na uondoke",Baba Albert aliongea.
"Na sindano je, hunichomi?", Mary ilibidi aulize baada ya kumuona Baba Albert anamwambia aende bira kumchoma sindano.
"Hakuna cha sumu wala nini nilicheza na akili yako tu sisi tumepitia ayo mambo kabra ya wewe kuzaliwa, ile sindano niliyokuchoma ilikuwa na maji", alimaliza kuongea nakuelekea chumbani akimuacha Mary asiamini kile alichokisikia.

Licha ya yote bado alimuomba msamaha Albert na aliahidi kuanzia siku hiyo watakuwa marafiki wenye kujaliana bira kujali ni kipi kiliwahi kutokea kipindi cha nyuma,na tofaut zao wakawa wamezimaliza huku Mary akiondoka nyumbani kwa Mwanamama katalina.

Baada ya miezi 6 Mr.Gerald au baba mzazi wa mwanadada Angelina leo alikuwa akiachiwa huru na siku hiyo Angelina alikuja akiwa na Mwanamama Beatrice kwa ajili ya kumpokea Mr.Gerald,
"Baba Karibu uraiani, tulikukumbuka sana na atimae leo tunaenda kuishi pamoja",Angelina aliongea.

Macho ya Gerald yalikuwa kwenye gari waliyokuja nayo familia yake na uvumilivu ulimshinda ikabidi awaulize Mwanamama Beatrice alimweleza kila kitu Mr.Gerald kwamba binti yake ni Miss Tanzania na maisha aliyoyaacha yamebalika kwa kiasi kikubwa hayapo kama mwanzo,
"Siamini kama binti yangu umeweza kuyabadilisha maisha ya familia yetu kitu ambacho ata mimi nilishindwa mpaka kuingia kwenye kazi za wizi zilizonifanya nikawa gerezani",Mr.Gerald aliongea.
"Baba hayo yameshapita sasa ivi tugange yajayo na wewe sio mwizi tena kuanzia sasa baba".

Walimchukua Mr.Gerald na kwenda nae nyumbani na hii ni baada ya kukaa gerezani kwa mwaka mmoja na sehemu kutokana na kosa la wizi alilowahi kulifanya kipindi cha nyuma.

Nchni Canada baada ya mda mrefu kupita hali ya mwanadada Diana ilianza kutengemaa na sasa alikuwa na uwezo wa kutembea peke yake japo kwa shida ila ilitia matumaini ya kuja kupona mda wowote, huku penzi lake na Doctor Tayler likizidi kuchanua siku hadi siku.

Diana akiwa amekaa na mwenza wake Doctor Tayler alishangaa kumuona mwanadada mrembo mwenye asili ya kihindi akiingia maeneo hayo na kwenda kumkumbatia Doctor Tayler kitendo kilichomfanya Diana apate wivu ila aliamua kunyamaza kimya tu.

Doctor Tayler aliona asipokuwa makini anaweza kugonganisha magari aliamua kunyenyuka na kuondoka na yule mwanadada huku Diana akiwatazama tu jinsi wanavyoondoka.

Doctor Tayler alimfika mpaka nje na mwanadada huyo,
"Naisha mbona unakuja bira tarifa hujui kama na kazi ya kukaa karibu na mgonjwa kipenzi?",Doctor Tayler aliongea akiwa na hasira kwa kumwona Naisha maeneo yale mana aliona mipango yake itavulugika kwa uwepo wa mwanadada huyo.
"Mimi sio mtoto Tayler inaonyesha kuna kitu kinachoendelea kati yenu, kwakuwa upo bize na mgonjwa basi ukiniitaji utanitafuta mweyewe",Naisha aliondoka na kumuacha Doctor Tayler akimtazama.

Mda huo Daina nae alikuwa akija maeneo hayo alimkuta Doctor Tayler kasimama peke yake,
"Mgeni wako yuko wapi mbona ameondoka au umemfukuza?",lilikuwa ni swali kutoka kwa Diana lililomtoa kwenye mawazo Doctor Tayler.
"Aaah yule tulisoma nae na kuna sehemu anaenda sema alipita hapa kunijulia hali tu, lakini nani kakwambia utembee peke yako bira uwepo wangu Diana hii ni hatari kwako emu turudi ndani",Doctor Tayler aliamua kukatisha yale mazungumzo kwa kumwambia Diana arudi ndani.

Naisha alivyotoka kwa Doctor Tayler alienda moja kwa moja kwa rafiki wa Doctor Tayler ili amuulize kile kinachoendelea kati ya Doctor Tayler na mwanadada Diana....ITAENDELEA.

Naisha ataambiwa ukweli wa kinachoendelea kati ya doctor Tayler na Diana? Karibu katika sehemu ijayo.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........26
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yanye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa......

ENDELEA NAYO........
Sindano ililetwe na baba mzazi wa Albert akaishika na kumsogelea Mary,
"Usinichome nakuomba bado napenda kuishi tafadhali,nitamtoa mtoto wako na kesi nitaifuta,na kingine nakuahidi sitaisogelea tena familia yako", maneno yalimtoka Mary akijijitetea lakini haikusaidia kitu mzee alizidi kumsogea na kuamlu vijana wamshike ili amchome sindano.

Vijana walimshika na sindano ililetwa Mary akachomwa,
"Hii sindano ina masaa 6 tu wewe kuweza kuendelea kuishi unachotakiwa kufanya ni kwenda polisi kwa miguu yako mwenyewe ukaongee vile unavyojua wewe ila mwanangu siku ya leo hakikisha...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.2K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

670
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

527
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

502
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

265
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

237
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

138
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

122
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

67
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

65

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest