Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........26
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yanye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa......

ENDELEA NAYO........
Sindano ililetwe na baba mzazi wa Albert akaishika na kumsogelea Mary,
"Usinichome nakuomba bado napenda kuishi tafadhali,nitamtoa mtoto wako na kesi nitaifuta,na kingine nakuahidi sitaisogelea tena familia yako", maneno yalimtoka Mary akijijitetea lakini haikusaidia kitu mzee alizidi kumsogea na kuamlu vijana wamshike ili amchome sindano.

Vijana walimshika na sindano ililetwa Mary akachomwa,
"Hii sindano ina masaa 6 tu wewe kuweza kuendelea kuishi unachotakiwa kufanya ni kwenda polisi kwa miguu yako mwenyewe ukaongee vile unavyojua wewe ila mwanangu siku ya leo hakikisha anatoka,na wewe utakuja nyumbani kwangu kwa ajili ya kuchomwa sindano ya kuondoa iyo sumu....vijana mwachieni na tuondoke kazi kwake ibaki kwake", Mzee aliongea na kuondoka akiwa na vijana wake.

Mary alihisi kuchanganyikiwa kwanza alianza kukimbia kuelekea kituoni ili aendane na mda kama alivyoambiwa alivyofika kituoni alidanganya kumsamehe Albert na pia atalipia garama zote za usumbufu aliotoa kwa  jeshi la polisi na mda huohuo Albert aliweza kuachiwa.

Aliachiwa na kumkuta mbaya wake ambae ni Mary ila hakutaka kuongea chochote zaidi ya kuondoka na kwenda nyumbani kwao huku akimuacha Mary akisubili kupatiwa bill ya kwenda kulipa kwa usumbufu aliotoa kwa jeshi la polisi,
"Binti hii hapa bill yako lakini siku nyingine unatakiwa uwe makini usije ukaleta usumbufu tena kwa jeshi la polisi lasivyo selo itakuhusu"
"Sawa Afande nimeelewa"
Afande aliongea na Mary alipewa bill nakuondoka huku kichwa kikiwa kinawaka moto sehemu ya kuipata pesa na kulilipa jeshi la polisi.

Albert aliweza kuwasili nyumbani na kumkuta baba yake kitu kilichomfarahisha sana hakujalia kama alikuwa gerezani alisogea na kumkumbatia baba yake na ata mzee nae alifurahi kumuona kijana wake,
"kijana wangu umekuwa sana inatakiwa tukutafutie mwanamke wa kuoa ndiyo mda wenyewe huu",baba mtu aliongea na kumfanya Albert acheke akiwa na mama yake mzazi.
"Albert ingekuwa vyema ukienda kuoga kwanza mwanangu....
lakini kabra Mwanamama Katalina hajamaliza kuongea aliingia Mary pasipo ata kubisha hodi kama vile ameingia nyumbani kwake,

"Tayali mwanao nimeshamtoa Mzee wangu nichome sindano ya tiba nisije kufa mimi angalia yamebaki masaa mawili tu ili nife nakuomba baba ufanye ivyo"
Weeee usiniite baba mimi siwezi kuwa na binti mwenye tabia ya kijinga ivi, usiyekuwa na huruma na binadamu wenzako, yani kijana wangu unampakazia kosa mtu ambae hana hatia, watu kama nyinyi hamtakiwi kuishi kwahiyo mimi siwezi kukuchoma iyo sindano ya kukutibu na inatakiwa uondoke hapa kwangu",Mzee aliamua kumgeuka mwadada Mary nakuvunja makubaliano waliyowekeana.

Mary alihisi kuchanganyikiwa sababu alijaribu kumuomba msamaha baba mzazi wa Albert lakini bado aliweka mkazo hali iliyomfanya amfate mpaka Albert ambae kidogo aliingiwa na huruma.

Albert alisogea mpaka alipo baba yake,

"Baba naamini atakuwa ameshajifunza binadamu tunajifunza kutokana na makosa tunayofanya, na hii itakuwa fundisho kwake na kwa watu wengine inabidi umchome iyo sindano na aondoke akaendelee na maisha mengine",Albert aliongea akimtetea Mary.
"Binti umeona binadamu anavyotakiwa kuwa huyu ulitaka kumfunga kabisa lakini yeye amekusamehe tena kwa moyo mmoja unabahati angekuwa mtu mwingine sasa ivi usingekuwa kwenye hii dunia"
"Nakuahidi sitarudi tena na wala sitafanya kitendo kama hicho kwa mtu mwingine",Mary  aliongea kuonyesha kuwa kathamilia kubadilika.
"Kwakuwa umekili mwenyewe simama na uondoke",Baba Albert aliongea.
"Na sindano je, hunichomi?", Mary ilibidi aulize baada ya kumuona Baba Albert anamwambia aende bira kumchoma sindano.
"Hakuna cha sumu wala nini nilicheza na akili yako tu sisi tumepitia ayo mambo kabra ya wewe kuzaliwa, ile sindano niliyokuchoma ilikuwa na maji", alimaliza kuongea nakuelekea chumbani akimuacha Mary asiamini kile alichokisikia.

Licha ya yote bado alimuomba msamaha Albert na aliahidi kuanzia siku hiyo watakuwa marafiki wenye kujaliana bira kujali ni kipi kiliwahi kutokea kipindi cha nyuma,na tofaut zao wakawa wamezimaliza huku Mary akiondoka nyumbani kwa Mwanamama katalina.

Baada ya miezi 6 Mr.Gerald au baba mzazi wa mwanadada Angelina leo alikuwa akiachiwa huru na siku hiyo Angelina alikuja akiwa na Mwanamama Beatrice kwa ajili ya kumpokea Mr.Gerald,
"Baba Karibu uraiani, tulikukumbuka sana na atimae leo tunaenda kuishi pamoja",Angelina aliongea.

Macho ya Gerald yalikuwa kwenye gari waliyokuja nayo familia yake na uvumilivu ulimshinda ikabidi awaulize Mwanamama Beatrice alimweleza kila kitu Mr.Gerald kwamba binti yake ni Miss Tanzania na maisha aliyoyaacha yamebalika kwa kiasi kikubwa hayapo kama mwanzo,
"Siamini kama binti yangu umeweza kuyabadilisha maisha ya familia yetu kitu ambacho ata mimi nilishindwa mpaka kuingia kwenye kazi za wizi zilizonifanya nikawa gerezani",Mr.Gerald aliongea.
"Baba hayo yameshapita sasa ivi tugange yajayo na wewe sio mwizi tena kuanzia sasa baba".

Walimchukua Mr.Gerald na kwenda nae nyumbani na hii ni baada ya kukaa gerezani kwa mwaka mmoja na sehemu kutokana na kosa la wizi alilowahi kulifanya kipindi cha nyuma.

Nchni Canada baada ya mda mrefu kupita hali ya mwanadada Diana ilianza kutengemaa na sasa alikuwa na uwezo wa kutembea peke yake japo kwa shida ila ilitia matumaini ya kuja kupona mda wowote, huku penzi lake na Doctor Tayler likizidi kuchanua siku hadi siku.

Diana akiwa amekaa na mwenza wake Doctor Tayler alishangaa kumuona mwanadada mrembo mwenye asili ya kihindi akiingia maeneo hayo na kwenda kumkumbatia Doctor Tayler kitendo kilichomfanya Diana apate wivu ila aliamua kunyamaza kimya tu.

Doctor Tayler aliona asipokuwa makini anaweza kugonganisha magari aliamua kunyenyuka na kuondoka na yule mwanadada huku Diana akiwatazama tu jinsi wanavyoondoka.

Doctor Tayler alimfika mpaka nje na mwanadada huyo,
"Naisha mbona unakuja bira tarifa hujui kama na kazi ya kukaa karibu na mgonjwa kipenzi?",Doctor Tayler aliongea akiwa na hasira kwa kumwona Naisha maeneo yale mana aliona mipango yake itavulugika kwa uwepo wa mwanadada huyo.
"Mimi sio mtoto Tayler inaonyesha kuna kitu kinachoendelea kati yenu, kwakuwa upo bize na mgonjwa basi ukiniitaji utanitafuta mweyewe",Naisha aliondoka na kumuacha Doctor Tayler akimtazama.

Mda huo Daina nae alikuwa akija maeneo hayo alimkuta Doctor Tayler kasimama peke yake,
"Mgeni wako yuko wapi mbona ameondoka au umemfukuza?",lilikuwa ni swali kutoka kwa Diana lililomtoa kwenye mawazo Doctor Tayler.
"Aaah yule tulisoma nae na kuna sehemu anaenda sema alipita hapa kunijulia hali tu, lakini nani kakwambia utembee peke yako bira uwepo wangu Diana hii ni hatari kwako emu turudi ndani",Doctor Tayler aliamua kukatisha yale mazungumzo kwa kumwambia Diana arudi ndani.

Naisha alivyotoka kwa Doctor Tayler alienda moja kwa moja kwa rafiki wa Doctor Tayler ili amuulize kile kinachoendelea kati ya Doctor Tayler na mwanadada Diana....ITAENDELEA.

Naisha ataambiwa ukweli wa kinachoendelea kati ya doctor Tayler na Diana? Karibu katika sehemu ijayo.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........26
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yanye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa......

ENDELEA NAYO........
Sindano ililetwe na baba mzazi wa Albert akaishika na kumsogelea Mary,
"Usinichome nakuomba bado napenda kuishi tafadhali,nitamtoa mtoto wako na kesi nitaifuta,na kingine nakuahidi sitaisogelea tena familia yako", maneno yalimtoka Mary akijijitetea lakini haikusaidia kitu mzee alizidi kumsogea na kuamlu vijana wamshike ili amchome sindano.

Vijana walimshika na sindano ililetwa Mary akachomwa,
"Hii sindano ina masaa 6 tu wewe kuweza kuendelea kuishi unachotakiwa kufanya ni kwenda polisi kwa miguu yako mwenyewe ukaongee vile unavyojua wewe ila mwanangu siku ya leo hakikisha...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

626
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

245
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

89
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest