Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........06
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia...........
Alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra.
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea...

ENDELEA NAYO.....
Albert aliamua kumfata ili ajue ni kitu gani kilichomfanya amwite, Mary alifika sehemu isiyokuwa na watu akasimama na mda huohuo albert nae aliwasili,
"Wewe ni nani?, na kwanini umeniita huku?",Albert alimuuliza, lakini Mary alimsogelea karibu zaidi,
"Nimesogea karibu yako ili nikupe siri ambayo ni mhimu kwako na kwa mama yako mzazi",Mary aliongea.
"Mama yangu mazazi!!"
"Nisikilize kwa umakini kuna tarifa nilizozipata za chini ya kapeti kuwa kuna watu wamepanga kumfanyia kitu kibaya mama yako endapo watashindwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania",Mary aliongea tena akimwangalia usoni Albert,
"Nini unachoongea wewe, nani huyo aliyepanga kufanya kitu kibaya kwa mama yangu?",Albert alitamani kujua ni watu gani.

Swali la Albert lilimfanya Mary aanze kuwaza upya namana ya kuongeza maneno mengine ya uongo.

Ubongo wa Mary ulikuwa upo haraka sana kufikilia alikuwa ameshapata maneno ya kumwambia Albert,
"Mimi wala sijui ni kina nani, mana kuna watu baadhi hapa wanazo izo tarifa na kiufupi tarifa izo zimevuja na mimi nilipozipata nikaona nije  kukwambia".
"hii haiwezani naenda kuita polisi Sasa ivi hapa upelelezi uanze kufanyika lazima watu wanaoanda huo mpango wakamatwe", Albert aliongea.

Hii ilianza kumuogopesha Mary baada ya kusikia Albert anataka kwenda polisi.

"Nilifikilia ni mtu mwelewa kumbe huna uelewa wowote ule,hujui kama ukienda polisi kampuni yenu ya FNF itapoteza sifa za kusimamisa mashindano haya na hamtapewa tena hii haki", Mary aliongea nakuanza kuondoka.
"Wewe simama hapo", Albert ilibidi amuite Mary ambae nae alitii na kusimama mana ata kuondoka kwake ilikuwa nikujifanya aone Albert ataamua nini.
"Mbona unaondoka na wakati bado hatujamaliza mazungumzo,kwanza sijui unaitwa nani?"
"Mr.Albert you can call me Mary (bwana Albert unaweza kuniita Mary)",Mary alimjibu.
"Huenda ni ukweli ulichoniambia kwangu mama yangu ni kila kitu bora nikose vyote lakini sio kumpoteza mama yangu hii hapa card na ina namba zangu za simu naomba unitafute ili unifahamishe kiundani zaidi", Albert alimpatia card ile Mary na mda huo Mary hakujibu chochote zaidi ya kuichukua ile card na kuondoka maeneo yale akimuacha Albert peke yake.
"Utanisamehe Albert kwa kukudanganya,malengo kwanza mengine badae",Mary aliongea alipokuwa akiondoka pasipo Albert kusikia kile alichokizungumza kutokana na umbali uliokuwepo kati yao.

Mda wa semeni na mafunzo mbalimbali ulitamatika na sasa Diana alichukua simu yake amtafute Albert lakini palepale simu ilipigwa na aliyepiga hakuwa mwingine bali Mr.James.
"Hello Dady"
"Njoo nyumbani haraka sana" Mr.James hakutaka ata kuendelea kuongea na binti yake zaidi ya kukata simu kitendo hicho kilimfanya Diana abaki akishangaa kuna kipi kilichotokea na kumfanya baba yake awe kwenye hali ile, kwakuwa tayali mda wa mafunzo ya mda mfupi ulikuwa umeisha moja kwa moja alienda mpaka lilipo gari lake na kuelekea nyumbani kwao.

Upande wa Mary baada ya kuachana na Albert alifika kwa rafiki yake Faith,
"Mary huwa hashindwi kitu mambo tayali kanipa namba zake za simu mwenyewe tena bira ata kumuomba mimi ndio Mary Miss wa taifa hili", Mary alianza kuongea kwa malingo mbele ya rafiki yake huyo.
"Umemfanya nini kijana wa watu mpaka akakupa namba kirahisi ivyo"
"Siwezi nikakupa siraha yangu ya kivita Faith nakujua vizuri mno wewe ni mama wa kulopokalopoka utavuluga mipango yangu".
"Eeeeeh yamekuwa hayo haya shost twende zetu ila umepitwa na mambo mengi kwenye hii semina na kesho ndio tunaanza sasa kujifunza miondoko hapa tuone nani anamiondoko mikali ya kumfanya aje kuwa miss",
maongezi mengine yaliendelea huku wakiwa wanaondoka ndani ya kampuni hilo.

Upande wa Diana baada ya kupigiwa na baba yake alifika nyumbani kwao na kumkuta baba yake mzazi akiwa na hasira isiyo ya kawaida,
"Dady"
"Paaah",badala ya kuitikiwa na baba yake alifikia kwenye Kofi zito lililomfanya aangukie kwenye kochi lilokuwa pale sebleni.
"Nimepoteza pesa nyingi kukusomesha kumbe hamna chochote ulichokuwa unafanya yani miaka yote upo London kumbe unajitanua tu na sio kusoma"
"Babaaa nini unacho ongea?"
"Kaaa kimya Diana", Mr.james aliongea kwa hasira.

Alisogea mpaka ilipo laptop yake na kuiwasha.

"Aya njoo uangalie nimetumiwa hii kwenye email yangu nikiwa kama mzazi wako, madudu gani haya yani umekuwa wamwisho tena ukiwa na utendaji mbovu darasani poor poor kabisa".Mr.James alifoka.

Diana hakuwa nachakujibu zaidi ya kutulia na kumsikiliza baba yake aliyekuwa akifoka.

Mr.James aliendelea kuongea mbele ya binti yake,
"Akili zote zimekaa kwenye uMiss Tanzania,oohh Mimi nataka kuwa Miss Tanzania ni ndoto yangu kumbe kichwani hamna kitu ",Mr.James aliondoka baada ya kuongea maneno yale mbele ya binti yake.
Diana nae alinyenyuka kwa hasira nakuondoka pale nyumbani tena akiendesha gari lake kwa speed kubwa.
           
Turudi kwa Angelina baada ya kumaliza kazi zake ndani ya kampuni hiyo ya FNF aliamua aende kwenye mgahawa aliokuwa akifanya kazi kabra ya kufukuzwa,alifika na kumkuta rafiki yake Manka akiendelea na majukumu yake kama ilivyo kawaida,
"Angelina ni wewe",Manka hakuamini kumuona rafiki yake pale.
"Kumbe huwa unanikumbuka nikienda mbali leo nimeona ngoja nije nikuone mama wa kulalamika",Angelina aliongea na kila mtu alikuwa ni mwenye furaha kwa kumuona mwenzake.

Walizungumza mengi sana na Angelina alimwambia Manka kuwa na yeye atakuwa mshiriki wa mashindano ya mwaka ya kumtafuta Miss Tanzania.

Tarifa zile Manka alizipokea kwa furaha,
"Ooooh my god, mara zote nilikuwa natamani nikuone ukishiriki ndio mana siku ya kwanza tu nilikuletea tarifa na amini utaibuka mshindi na siku hiyo lazima nije nishuhudie kwa macho yangu"
"Hujui tu kwanini nimekubali kushiriki hayo mashindano na pia siwazi kama wewe unavyowaza, mimi nawaza tofauti kabisa Manka na ipo siku utaelewa ninachokimaanisha".,Angelina hakutaka kumwelezea sababu ya yeye kukubali kushiriki kwenye mashindano ya Miss Tanzania.
Waliendelea na mazungumzo mengine  na badae Angelina alimuaga Manka na kurejea nyumbani kwao.
           
Diana baada ya kukalipiwa na kupigwa na Mr.James alitoka nyumbani kwa hasira na safari yake ilimpeleka mpaka klabu, hakuwa mzoefu wa kutumia kilevi chochote kile ila siku hiyo kutokana na hasira alizokuwa nazo hakutaka kulijua hilo.

Aliletewa vinywaji alivyoagiza na kuanza kunywa kwapupa pasipo kujali kama ni vinywaji vikali na hatari,alichojua yeye kwa wakati huo ni kunywa tu.

Mpaka yanafika majira ya usiku Diana alikuwa bado anakunywa na baada ya pombe kumkolea alianza kuleta usumbufu ndani ya klabu hiyo,
"Heeeeh Mimi ndiyo Diana au niite Miss Tanzania", aliongea kwa sauti ya kilevi iliyowafanya watu waliokuwa maeneo yale wabaki wakimtazama tu.
"Binti mzuri Kama huyo anaanzaje kunywa pombe kwa kuifakamia ivyo na yupo peke yake",ni baba wa makamo aliongea aliyekuwa amekaa na mke wake pembeni.
"Mmmh, watoto wa siku ni shida tupu bora sisi kijana wetu ni msitarabu hana hayo mambo ya ajabu", mke wake nae alimjibu.

Usumbufu wa Diana ulikuwa mkubwa hali iliyowafanya wahudumu wamfate Ili wamtoe nje lakini kabra hata hawajamfikia alilala kwenye meza na kuangusha baadhi ya chupa zilizokuwa pale mezani na kuvunjika.
"Aaaah huyu leo analipa chupa zangu", mhudumu aliyetoa huduma kwa Diana aliliona tukio lile la chupa zake kuvunjwa na kuamua kumfata Diana.

Ulikuwa ni ugomvi mkubwa sana baada ya mhudumu kufika pale na kuanza kumuamsha Diana  ambae nae alianza kuleta ubishi kutokana na pombe alizokuwa amekunywa.

"Mume wangu twende tukamsaidie yule Binti japo hatumjui ila itakuwa vizuri zaidi mana moyo wangu unanisuta hapa nilipo",aliongea mama yule aliyekuwa amekaa na Mme wake.
Mume nae hakuwa nachakupinga zaidi ya kwenda kutoa msaada kwa Diana aliyetawaliwa na pombe katika kichwa chake,walimchukua na kuanza kumuuliza baadhi ya maswali hasa anapokaa lakini hakuna lolote lile waliloambulia zaidi ya kushauliana kipi wafanye,
"Mmmh hapa kazi ipo Mme wangu"
"Tumpeleke nyumbani ili kesho akiamka atakuwa kwenye hali yake na atatueleza vizuri", Mmewe alitoa wazo.

Diana akiwa hajitambui alipata kusaidiwa na watu wasiomjua waliamua kumpeleka mpaka kwenye makazi yao na walimfikisha salama na kumlaza moja kwa moja kwenye chumba cha wageni.

Mwanamama alitoka nakuanza kumuita mwanae,
"Stewart,wewe Stewart"
"Usiku sasa ivi mke wangu huenda kijana kalala  haipaswi umsumbue", Mmewe aliongea.
"Nalijua hilo ila nilitaka kumpa angalizo na vitu vya humu ndani siunajua mtu tuliyemleta hatupaswi kumwamini sana na hatujui tabia yake".

Mmewe alimtoa hofu na kumwambia kama ulinzi wanao wa kutosha ata kama binti waliyemleta angeamka asingeweza kuiba chochote kile.
           
Upande wa Albert usiku huo akiwa na mama yake alitamani kumwambia kile alichoambiwa na Mary lakini mtihani ulikuwa ni njia gani anatumia kumwambia na bahati mbaya au nzuri mama mtu aliliona lile la mtoto wake kutokuwa sawa,
"Tatizo nini Albert mwanangu naona unaniangalia tu na kwa jinsi ninavyokujua kuna kitu unatamani kusema ila unashindwa", Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Albert afikilie jinsi ya kumwambia.
"Ndio mama hujakosea kabisa ulichokisema, ni kweli kuna kitu natamani kuongea"
"Niambie nakusikilia mwanangu"
"Mama ivi yule binti kakupa nini mbona tena umempa  nafasi ya kushiriki kwenye mashindano hayo ya Miss Tanzania?",Albert aliamua aulize kitu kingine tofauti na kile alichopanga kumwambia.
Mwanamama katalina alishangaa kusikia mwanae anauliza kitu ambacho hakutegemea.
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti", swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.....ITAENDELEA.

Albert atamjibu  nini mama yake? na wazazi waliomsaidia Diana ni wazazi wa Stewart je?,ni Stewart yupi yule tunayemjua sisi au ni mwingine Karibu katika sehemu inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........06
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia...........
Alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra.
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea...

ENDELEA NAYO.....
Albert aliamua kumfata ili ajue ni kitu gani kilichomfanya amwite, Mary alifika sehemu isiyokuwa na watu akasimama na mda huohuo albert nae aliwasili,
"Wewe ni nani?, na kwanini umeniita huku?",Albert alimuuliza, lakini Mary alimsogelea karibu zaidi,
"Nimesogea karibu yako ili nikupe siri ambayo ni mhimu kwako na kwa mama yako mzazi",Mary aliongea.
"Mama yangu mazazi!!"
"Nisikilize kwa umakini kuna tarifa nilizozipata za chini ya kapeti kuwa kuna watu wamepanga kumfanyia kitu kibaya mama yako endapo watashindwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania",Mary aliongea tena akimwangalia usoni Albert,
"Nini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.2K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.15K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

531
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

243
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

81
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

31
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest