Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........06
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia...........
Alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra.
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea...

ENDELEA NAYO.....
Albert aliamua kumfata ili ajue ni kitu gani kilichomfanya amwite, Mary alifika sehemu isiyokuwa na watu akasimama na mda huohuo albert nae aliwasili,
"Wewe ni nani?, na kwanini umeniita huku?",Albert alimuuliza, lakini Mary alimsogelea karibu zaidi,
"Nimesogea karibu yako ili nikupe siri ambayo ni mhimu kwako na kwa mama yako mzazi",Mary aliongea.
"Mama yangu mazazi!!"
"Nisikilize kwa umakini kuna tarifa nilizozipata za chini ya kapeti kuwa kuna watu wamepanga kumfanyia kitu kibaya mama yako endapo watashindwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania",Mary aliongea tena akimwangalia usoni Albert,
"Nini unachoongea wewe, nani huyo aliyepanga kufanya kitu kibaya kwa mama yangu?",Albert alitamani kujua ni watu gani.

Swali la Albert lilimfanya Mary aanze kuwaza upya namana ya kuongeza maneno mengine ya uongo.

Ubongo wa Mary ulikuwa upo haraka sana kufikilia alikuwa ameshapata maneno ya kumwambia Albert,
"Mimi wala sijui ni kina nani, mana kuna watu baadhi hapa wanazo izo tarifa na kiufupi tarifa izo zimevuja na mimi nilipozipata nikaona nije  kukwambia".
"hii haiwezani naenda kuita polisi Sasa ivi hapa upelelezi uanze kufanyika lazima watu wanaoanda huo mpango wakamatwe", Albert aliongea.

Hii ilianza kumuogopesha Mary baada ya kusikia Albert anataka kwenda polisi.

"Nilifikilia ni mtu mwelewa kumbe huna uelewa wowote ule,hujui kama ukienda polisi kampuni yenu ya FNF itapoteza sifa za kusimamisa mashindano haya na hamtapewa tena hii haki", Mary aliongea nakuanza kuondoka.
"Wewe simama hapo", Albert ilibidi amuite Mary ambae nae alitii na kusimama mana ata kuondoka kwake ilikuwa nikujifanya aone Albert ataamua nini.
"Mbona unaondoka na wakati bado hatujamaliza mazungumzo,kwanza sijui unaitwa nani?"
"Mr.Albert you can call me Mary (bwana Albert unaweza kuniita Mary)",Mary alimjibu.
"Huenda ni ukweli ulichoniambia kwangu mama yangu ni kila kitu bora nikose vyote lakini sio kumpoteza mama yangu hii hapa card na ina namba zangu za simu naomba unitafute ili unifahamishe kiundani zaidi", Albert alimpatia card ile Mary na mda huo Mary hakujibu chochote zaidi ya kuichukua ile card na kuondoka maeneo yale akimuacha Albert peke yake.
"Utanisamehe Albert kwa kukudanganya,malengo kwanza mengine badae",Mary aliongea alipokuwa akiondoka pasipo Albert kusikia kile alichokizungumza kutokana na umbali uliokuwepo kati yao.

Mda wa semeni na mafunzo mbalimbali ulitamatika na sasa Diana alichukua simu yake amtafute Albert lakini palepale simu ilipigwa na aliyepiga hakuwa mwingine bali Mr.James.
"Hello Dady"
"Njoo nyumbani haraka sana" Mr.James hakutaka ata kuendelea kuongea na binti yake zaidi ya kukata simu kitendo hicho kilimfanya Diana abaki akishangaa kuna kipi kilichotokea na kumfanya baba yake awe kwenye hali ile, kwakuwa tayali mda wa mafunzo ya mda mfupi ulikuwa umeisha moja kwa moja alienda mpaka lilipo gari lake na kuelekea nyumbani kwao.

Upande wa Mary baada ya kuachana na Albert alifika kwa rafiki yake Faith,
"Mary huwa hashindwi kitu mambo tayali kanipa namba zake za simu mwenyewe tena bira ata kumuomba mimi ndio Mary Miss wa taifa hili", Mary alianza kuongea kwa malingo mbele ya rafiki yake huyo.
"Umemfanya nini kijana wa watu mpaka akakupa namba kirahisi ivyo"
"Siwezi nikakupa siraha yangu ya kivita Faith nakujua vizuri mno wewe ni mama wa kulopokalopoka utavuluga mipango yangu".
"Eeeeeh yamekuwa hayo haya shost twende zetu ila umepitwa na mambo mengi kwenye hii semina na kesho ndio tunaanza sasa kujifunza miondoko hapa tuone nani anamiondoko mikali ya kumfanya aje kuwa miss",
maongezi mengine yaliendelea huku wakiwa wanaondoka ndani ya kampuni hilo.

Upande wa Diana baada ya kupigiwa na baba yake alifika nyumbani kwao na kumkuta baba yake mzazi akiwa na hasira isiyo ya kawaida,
"Dady"
"Paaah",badala ya kuitikiwa na baba yake alifikia kwenye Kofi zito lililomfanya aangukie kwenye kochi lilokuwa pale sebleni.
"Nimepoteza pesa nyingi kukusomesha kumbe hamna chochote ulichokuwa unafanya yani miaka yote upo London kumbe unajitanua tu na sio kusoma"
"Babaaa nini unacho ongea?"
"Kaaa kimya Diana", Mr.james aliongea kwa hasira.

Alisogea mpaka ilipo laptop yake na kuiwasha.

"Aya njoo uangalie nimetumiwa hii kwenye email yangu nikiwa kama mzazi wako, madudu gani haya yani umekuwa wamwisho tena ukiwa na utendaji mbovu darasani poor poor kabisa".Mr.James alifoka.

Diana hakuwa nachakujibu zaidi ya kutulia na kumsikiliza baba yake aliyekuwa akifoka.

Mr.James aliendelea kuongea mbele ya binti yake,
"Akili zote zimekaa kwenye uMiss Tanzania,oohh Mimi nataka kuwa Miss Tanzania ni ndoto yangu kumbe kichwani hamna kitu ",Mr.James aliondoka baada ya kuongea maneno yale mbele ya binti yake.
Diana nae alinyenyuka kwa hasira nakuondoka pale nyumbani tena akiendesha gari lake kwa speed kubwa.
           
Turudi kwa Angelina baada ya kumaliza kazi zake ndani ya kampuni hiyo ya FNF aliamua aende kwenye mgahawa aliokuwa akifanya kazi kabra ya kufukuzwa,alifika na kumkuta rafiki yake Manka akiendelea na majukumu yake kama ilivyo kawaida,
"Angelina ni wewe",Manka hakuamini kumuona rafiki yake pale.
"Kumbe huwa unanikumbuka nikienda mbali leo nimeona ngoja nije nikuone mama wa kulalamika",Angelina aliongea na kila mtu alikuwa ni mwenye furaha kwa kumuona mwenzake.

Walizungumza mengi sana na Angelina alimwambia Manka kuwa na yeye atakuwa mshiriki wa mashindano ya mwaka ya kumtafuta Miss Tanzania.

Tarifa zile Manka alizipokea kwa furaha,
"Ooooh my god, mara zote nilikuwa natamani nikuone ukishiriki ndio mana siku ya kwanza tu nilikuletea tarifa na amini utaibuka mshindi na siku hiyo lazima nije nishuhudie kwa macho yangu"
"Hujui tu kwanini nimekubali kushiriki hayo mashindano na pia siwazi kama wewe unavyowaza, mimi nawaza tofauti kabisa Manka na ipo siku utaelewa ninachokimaanisha".,Angelina hakutaka kumwelezea sababu ya yeye kukubali kushiriki kwenye mashindano ya Miss Tanzania.
Waliendelea na mazungumzo mengine  na badae Angelina alimuaga Manka na kurejea nyumbani kwao.
           
Diana baada ya kukalipiwa na kupigwa na Mr.James alitoka nyumbani kwa hasira na safari yake ilimpeleka mpaka klabu, hakuwa mzoefu wa kutumia kilevi chochote kile ila siku hiyo kutokana na hasira alizokuwa nazo hakutaka kulijua hilo.

Aliletewa vinywaji alivyoagiza na kuanza kunywa kwapupa pasipo kujali kama ni vinywaji vikali na hatari,alichojua yeye kwa wakati huo ni kunywa tu.

Mpaka yanafika majira ya usiku Diana alikuwa bado anakunywa na baada ya pombe kumkolea alianza kuleta usumbufu ndani ya klabu hiyo,
"Heeeeh Mimi ndiyo Diana au niite Miss Tanzania", aliongea kwa sauti ya kilevi iliyowafanya watu waliokuwa maeneo yale wabaki wakimtazama tu.
"Binti mzuri Kama huyo anaanzaje kunywa pombe kwa kuifakamia ivyo na yupo peke yake",ni baba wa makamo aliongea aliyekuwa amekaa na mke wake pembeni.
"Mmmh, watoto wa siku ni shida tupu bora sisi kijana wetu ni msitarabu hana hayo mambo ya ajabu", mke wake nae alimjibu.

Usumbufu wa Diana ulikuwa mkubwa hali iliyowafanya wahudumu wamfate Ili wamtoe nje lakini kabra hata hawajamfikia alilala kwenye meza na kuangusha baadhi ya chupa zilizokuwa pale mezani na kuvunjika.
"Aaaah huyu leo analipa chupa zangu", mhudumu aliyetoa huduma kwa Diana aliliona tukio lile la chupa zake kuvunjwa na kuamua kumfata Diana.

Ulikuwa ni ugomvi mkubwa sana baada ya mhudumu kufika pale na kuanza kumuamsha Diana  ambae nae alianza kuleta ubishi kutokana na pombe alizokuwa amekunywa.

"Mume wangu twende tukamsaidie yule Binti japo hatumjui ila itakuwa vizuri zaidi mana moyo wangu unanisuta hapa nilipo",aliongea mama yule aliyekuwa amekaa na Mme wake.
Mume nae hakuwa nachakupinga zaidi ya kwenda kutoa msaada kwa Diana aliyetawaliwa na pombe katika kichwa chake,walimchukua na kuanza kumuuliza baadhi ya maswali hasa anapokaa lakini hakuna lolote lile waliloambulia zaidi ya kushauliana kipi wafanye,
"Mmmh hapa kazi ipo Mme wangu"
"Tumpeleke nyumbani ili kesho akiamka atakuwa kwenye hali yake na atatueleza vizuri", Mmewe alitoa wazo.

Diana akiwa hajitambui alipata kusaidiwa na watu wasiomjua waliamua kumpeleka mpaka kwenye makazi yao na walimfikisha salama na kumlaza moja kwa moja kwenye chumba cha wageni.

Mwanamama alitoka nakuanza kumuita mwanae,
"Stewart,wewe Stewart"
"Usiku sasa ivi mke wangu huenda kijana kalala  haipaswi umsumbue", Mmewe aliongea.
"Nalijua hilo ila nilitaka kumpa angalizo na vitu vya humu ndani siunajua mtu tuliyemleta hatupaswi kumwamini sana na hatujui tabia yake".

Mmewe alimtoa hofu na kumwambia kama ulinzi wanao wa kutosha ata kama binti waliyemleta angeamka asingeweza kuiba chochote kile.
           
Upande wa Albert usiku huo akiwa na mama yake alitamani kumwambia kile alichoambiwa na Mary lakini mtihani ulikuwa ni njia gani anatumia kumwambia na bahati mbaya au nzuri mama mtu aliliona lile la mtoto wake kutokuwa sawa,
"Tatizo nini Albert mwanangu naona unaniangalia tu na kwa jinsi ninavyokujua kuna kitu unatamani kusema ila unashindwa", Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Albert afikilie jinsi ya kumwambia.
"Ndio mama hujakosea kabisa ulichokisema, ni kweli kuna kitu natamani kuongea"
"Niambie nakusikilia mwanangu"
"Mama ivi yule binti kakupa nini mbona tena umempa  nafasi ya kushiriki kwenye mashindano hayo ya Miss Tanzania?",Albert aliamua aulize kitu kingine tofauti na kile alichopanga kumwambia.
Mwanamama katalina alishangaa kusikia mwanae anauliza kitu ambacho hakutegemea.
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti", swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.....ITAENDELEA.

Albert atamjibu  nini mama yake? na wazazi waliomsaidia Diana ni wazazi wa Stewart je?,ni Stewart yupi yule tunayemjua sisi au ni mwingine Karibu katika sehemu inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........06
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia...........
Alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra.
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea...

ENDELEA NAYO.....
Albert aliamua kumfata ili ajue ni kitu gani kilichomfanya amwite, Mary alifika sehemu isiyokuwa na watu akasimama na mda huohuo albert nae aliwasili,
"Wewe ni nani?, na kwanini umeniita huku?",Albert alimuuliza, lakini Mary alimsogelea karibu zaidi,
"Nimesogea karibu yako ili nikupe siri ambayo ni mhimu kwako na kwa mama yako mzazi",Mary aliongea.
"Mama yangu mazazi!!"
"Nisikilize kwa umakini kuna tarifa nilizozipata za chini ya kapeti kuwa kuna watu wamepanga kumfanyia kitu kibaya mama yako endapo watashindwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania",Mary aliongea tena akimwangalia usoni Albert,
"Nini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

637
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

58
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest