Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........18
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
damu ni nzito kuliko maji mwanamama katalina alishika mkono wa mwanae nakufuta damu zilizokuwa zikimtoka kwa kutumia nguo yake aliyokuwa amevaa.....

ENDELEA NAYO....
Mwanamama Katalina aliamua kumchukua mwanae nakwenda nae nyumbani ila Albert alipanga kuja kufanya kitu kibaya kwa mwanadada Mary.
Ndani ya mda mfupi tu waliweza kufika nyumbani na Albert alikumbuka mazingira aliyomwa nayo mwanadada Diana,
"Mama ngoja niende kwa Diana kwanza nahitaji kuwa nae karibu kwa sasa",Albert alikuwa amependa kwelikweli ulikuwa humwambii kitu kwa mrembo Diana na upendo wake ulikuwa wa kitofauti kwa mwanadada huyo licha ya ulemavu aliokuwa nao Diana bado haikumufanya apunguze upendo wake kwa Diana.
"Mwanangu wewe umeshafikia umri wa kuoa sasa ivi ni vyema ukatafuta mwanamke mwingine wa kuwa nae ila nisingependa kukuona ukiwa Karibu na Diana naomba ufanye ivi kwa ajili yangu"Mwanamama katalina bado alishikilia msimamo wake wa kutokumpenda Diana.
"Mpaka pale utakapo niambia sababu ya wewe kumchukia Diana ndiyo nitaweza kuacha kumpenda huenda utakuwa na sababu yenye mashiko mama itakayonifanya nifate uamuzi wako",Albert aliongea.

Aliamua kutoka pale nyumbani na kuelekea kwa Diana pia alikuwa na uhakika kuwa Mary hawezi kurudi tena kumchukua mama yake mzazi kwa wakati huo.

Alifika mpaka kwa Mr.James nyumbani kwao Diana na kupaki gari yake nje alishuka na mlinzi akamfungulia kisha yeye kuingia ndani ya get la nyumba hiyo, ila kabra hajafungua mlango ili aingie ndani alisikia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea mle ndani na hii ilimfanya asite kidogo kuingia ndani.
"Baba ulisema Kuna sababu iliyokuwa inakufanya umchukie mama yake na Albert?", Diana akiwa amekaa na baba yake aliamua kumuuliza.
"Ndio ipo sababu na yeye ndiye aliyesababisha mimi niharibu maisha ya mtu mwingine asiye kuwa na hatia ndiyo mana nilitokea kumchukia",Mr.James aliongea.
"Sababu gani iyo baba naomba usinifiche na uniambie kile kitu?".

Mr.James alifikilia kama ndiyo mda sahihi wa yeye kumwambia binti yake ukweli wote ila hakuona sababu ya kuendelea kumficha tena kwani ata kama angeficha lazima kuna siku ukweli wote ungefahamika tu.

Mr.James alianza kumsimulia kila kitu Diana tangu walipokuwa na mahusiano kipindi cha ujanani na Katalina na kutengeneza ugomvi kutokana na kukosana kwao pia alimpa sababu iliyomfanya amchukie na awe na ugomvi nae mpaka leo,
"Binti yangu bira katalina kunifanyia vile na kutengeneza mazoea na mwanaume mwingine mimi nisingetembea na rafiki yake aliyekuwa akiitwa Beatrice nilifanya vile makusudi kama sehemu ya kumuumizi katalina ili na yeye ajue kuwa kuna uchungu wa kusalitiwa,
Tazama nilikatisha ndoto za mama yako mana nilivyotembea nae alipata mimba na hakuweza kuendelea na shule tena na nyumbani kwao alifukuzwa japo aliamua kukuleta wewe nyumbani na mimi nilichukua jukumu la kukulea wewe,
Asingekuwa katalina basi huenda wewe mwanangu ungekuwa Karibu na mama yako mzazi", Mr.James aliongea.
"Lakini baba mbona haina haja ya sisi watoto kutuingiza kwenye ugomvi wenu yani leo hii mimi nasumbuliwa na miguu na nahisi katalina alininyima kula ile siku ya mashindano na ndiyo iliyonifanya nikose nafasi ya kuwa Miss Tanzania na yote ni sababu ya ugomvi wenu,na mpaka leo hii sijui mama yangu alipo toka alipokuja kunikabithi kwako..
"Mimi na jua ni wapi mama yako alipo",alikuwa ni kijana Albert aliyesikiliza mazungumzo yao mwanzo mpaka mwisho na hii kumfanya aingie ndani na kuongea.
"Unamaana gani wewe kijana kusema unajua alipo?",Mr.James aliongea.

Albert ilibidi aanze kuwaelezea jinsi anavyojua yeye sababu mama yake alishawahi kumwambia juu rafiki yake  wa enzi hizo ambae ni Beatrice mama mzazi wa Angelina, alimwambia Diana huenda atakuwa  ana undugu na Angelina kitendo ambacho Diana alipinga kabisa kwani hakuamini kama atakuwa na undugu na mtu anayemchukia kiasi hicho na yeye aliamini bira Angelina asingekuwa kwenye ulemavu kwa kukoswa uMiss Tanzania na huenda ungekuwa upande wake.

Mr.James na Albert walikubaliana kwenda kwao Angelina ili Mr.James ajihakikishie kama ndiye Beatrice mwenyewe wa enzi hizo.

Ndani ya kampuni kubwa la uigizaji manager sasa alianza kutengeneza ukaribu na mwanadada Angelina na Manka aliliona hilo,
"Ndugu yangu huyu manager wako mbona simuelewi yani tangu uje hapa mda wote anataka kuwa Karibu na wewe au tayali mnamahusiano nini Angelina",Manka alimuuliza rafiki yake.
"Ni mambo ya kikazi tu wala hakuna kitu kingine, unafikilia kitu ambacho hakipo Manka"

"Big Don!!!,Big Don!!! huyooo", ni sauti zilizokuwa zikisikika kutoka nje katika kampuni hilo na ata Angelina na Manka nao waliweza kuzisikia.
Alikuwa ni yuleyuke msanii mkubwa maarufu leo pia aliamua aje katika kampuni hilo kubwa la uigizaji na kama ilivyo kawaida uwepo wake lazima usababishe watu kujazana upande wa nje.

Aliingia mpaka ndani katika kampuni hilo na watu waliokuwa wakimfata kwa nje wazuiliwe kuingia ndani, safari ya msanii huyo maarufu mwimba mziki ilimpeleka mpaka kwa manager mwenyewe wa hiyo kampuni,
"Ni mda mrefu sana ndugu yangu leo mbona umekuja bira kutoa tarifa?,na sio kawaida yako kabisa"manager aliongea.
"ilikuwa lazima nifike hapa umesahau kama wewe ndio una mmiliki Miss Tanzania na yupo kwenye kampuni yako hii",Big Don aliongea.
"Hahahahahahahaha, huu mwaka kweli na kazi usitake kuniambia na wewe unamtaka?"
"Ndiyo mana niko hapa Mr.... yule kwangu ni pesa nipe yule mtu nikuonyeshe namna ya kumtumia mimi nitengeneze nae pesa"
"Siwezi kukupa temu hii Big Don",manager aliongea tena akiwa amethamilia kabisa kupinga kile anachokitaka  msanii huyo.
"Basi sawa",Big Don alijibu na mkono wake aliupeleka ulipo mfuko wa koti lake alilokuwa amevaa.

Big Don alichomoa simu yake na kufungua sehemu yenye picha Kisha kumuonyesha Manager huyo,
"Unaiona hii picha ya kwanza ni tarifa zako za wewe kuwa mwathilika na usijiulize nilizipataje, hii picha ya pili upo na huyu mdada tena mkiwa uchi kabisa, na hii ya tatu upo na mwanafunzi na unajua kabisa sheria zetu haziruhusu mtu kutembea na mwanafunzi", Big Don alimaliza kuongea.
"Nani kakupa izo picha"manager aliongea huku kijasho kikianza kumtoka.
"Sio mda wa kukwambia ni nani aliyenipa izi picha ila nasubiri kauli yako ya mwisho manager kabra sijafanya maamuzi unanipa Miss Tanzania au hunipi?"

Ulikuwa ni mtihani mgumu kwa manager ila hakuwa na kingine cha kufanya zaidi ya kukubali kumpa Miss Tanzania msanii huyu maarufu anayejulikana kama Big Don, na walipanga kufanya yale mabadilishano bira kumshirikisha mhusika mwenyewe ambaye ni Anjelina.            

Albert na Mr.James waliamua kwenda mpaka kwa Mwanamama Beatrice ili Mr.James akajihakikishie kama ni mama yake na Diana, kwakuwa wote walikuwa hawapafamu walijaribu kuulizia mpaka walipofanyikiwa kupapata na hii ni kutokana na ukubwa wa jina alilonalo mwanadada Angelina kwa wakati huo.

Mwanamama Beatrice akiwa ametulia ndani akitazama runinga alisikia mtu akibisha hodi hali iliyomfanya anyenyuke na kwenda kufungua mlango,alikutana na sura ya kijana Albert japo ilikuwa ngeni machoni mwake lakini kwa pembeni yake alimuona Mr.James ila  sura yake hakuikumbuka vizuri kutokana na miaka mingi kupita bira wao kuonana,
"Karibuni mpaka ndani,",Mwanamama Beatrice aliwakalibisha kiunyenyekevu ila sauti ile ilimfanya Mr.James aweze kuikumbuka vizuri licha ya miaka mingi kupita lakini sauti ya mwanamama Beatrice haikubadilika sana.

Mr.James aliingia ndani na kukaa na mda wote alikuwa akimtazama Mwanamama Beatrice hali iliyomfanya ata yeye aweze kushituka kwa jinsi alivyokuwa akiangaliwa na Mr.James.

Aliamua kuvunja ukimya Mwanamama Beatrice baada ya kuona wageni wake hawaongei kipi kilichowafanya wawe pale,
"Niwasaidie nini?",Mwanamama Beatrice aliongea.
"Beatrice", ni Neno lililotoka mdomoni mwa Mr.James na kumfanya Mwanamama Beatrice ashangae kidogo kwa jina lake kutamkwa.
"Ndio ni jina langu kwani wewe nani na umelijuaje jina langu?"
"Mimi ni James", Mr.James aliongea na Mwanamama Beatrice hakuhitaji maelezo mengine tena ya kuelezewa tayali alikuwa ameshamfahamu Mr.James na sasa alitaka kujua ni kipi kilichowaleta pale nyumbani.

Mr.James alimweleza Beatrice hali ya mwanae Diana ya ulemavu alionao na hii kumfanya Mwanamama aumie sana ndani ya moyo wake baada ya kupokea tarifa hizo na aliamua mda huohuo waongozane ili akamuone mtoto wake Diana.....ITAENDELEA.

Diana atachukua hatua gani akigundua mtu anayemchukia ni ndugu yake..?

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........18
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
damu ni nzito kuliko maji mwanamama katalina alishika mkono wa mwanae nakufuta damu zilizokuwa zikimtoka kwa kutumia nguo yake aliyokuwa amevaa.....

ENDELEA NAYO....
Mwanamama Katalina aliamua kumchukua mwanae nakwenda nae nyumbani ila Albert alipanga kuja kufanya kitu kibaya kwa mwanadada Mary.
Ndani ya mda mfupi tu waliweza kufika nyumbani na Albert alikumbuka mazingira aliyomwa nayo mwanadada Diana,
"Mama ngoja niende kwa Diana kwanza nahitaji kuwa nae karibu kwa sasa",Albert alikuwa amependa kwelikweli ulikuwa humwambii kitu kwa mrembo Diana na upendo wake ulikuwa wa kitofauti kwa mwanadada huyo licha ya ulemavu aliokuwa nao Diana bado haikumufanya apunguze upendo wake kwa Diana.
"Mwanangu wewe umeshafikia umri...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

886
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

749
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

564
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

301
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

188
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

110
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

79
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

71
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest