Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........24
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.........
Angelina hakuamini kusikia yale maneno kutoka kwa kijana Stewart na alipomtazama usoni macho ya stewart yalimaanisha kile alicho kizungumza kina ukweli, Angelina alifungua kichwa chake na kuongea......

ENDELEA NAYO......
"Stewart nashukuru sana kwa kunipa nafasi katika moyo wako nikupongeze kwa kushindwa kuficha hisia zako kiukweli nakupa hongera kwa hilo, lakini kwa sasa sipo tayali kuingia kwenye mahusiano ya aina yoyote ile na wala kuufungua moyo wangu kwa mwanaume yoyote yule ni ngumu kwa sasa, nivyema ukanisahau na kumtafuta mtu ambae atajali hisia zako na kukupenda  kwa dhati", Angelina baada ya kuongea hayo maneno hakutaka kukaa tena pale mana angekuwa anaendelea kumuumiza kijana wa watu.

Angelina alienda mpaka lilipo gari lake na kupanda kisha kuondoka maeneo hayo akimuacha Stewart  kwenye mawazo baada ya ombi lake kukataliwa na mwanadada Angelina.

"Diana nilimpenda sawa lakini wewe Angelina nimekupenda zaidi ata kama umenikataa lakini mimi siwezi kukata tamaa lazima nipambane na nitahakikisha unakuwa wangu",Stewart alikula kiapo cha kumpata mwanamke anayempenda ambae ni Angelina.

Stewart aliishia kutazama gari la mwanadada Angelina  likitokomea.

Upande wa mwanamama katalina siku huo nyumba ilikuwa haikaliki  palepale alikumbuka kumpigia mme wake aliye nchi za nje,alimtafuta na bahati nzuri alifanyikiwa kumpata,
"Albert amekamwatwa na polisi",ndio neno la kwanza aliloongea na hakukumbuka ata kutoa salamu kwa mme wake kwa wakati huo.
"Amekamatwa!!",Mmewe aliuliza kwa mshangao baada ya kupewa tarifa zile mpya.

Mwanamama katalina alianza kumsimuliza kila kitu mme ya kilichokuwa kikiendelea hasa kitendo cha Mary kuhitaji pesa kutoka kwenye familia yao,
"Nisikilizie kwa umakini katalina huyo binti hawezi kuicheza familia yangu kiasi hicho naomba usifanye kitu chochote atakachokwambia kufanya nakuja mda sio mrefu ni muonyeshe sasa kwamba pesa zinatafutwaje",mwanamama katalina kidogo alipunguza plesha na haichukuwa mda alikata simu baada ya kuongea na mme wake,
Lakini palepale simu nyingine iliita namba ikiwa ngeni iliyomlazimu kuipokea,
"Oooooh pole sana mama yake na Albert nazani sauti yangu umeshaifahamu tayali haina haja ya kuanza kujielezea kwako",ilikuwa ni sauti ya mwanadada Mary aliyeamua kumpigia Mwanamama Katalina ili apate kile anachokitaka.
"Shariti langu ni dogo tu kama unataka mwanao aachiwe huru na mimi niwaache muendelee na maisha yenu",mwanadada Mary alizidi kuongea kwa mapozi.
"Sharit gani unataka nifanye?"
"Nahitaji nusu ya mali zenu tugawane pasu kwa pasu hicho ndicho kitu ninachokihitaji",mwanadada Mary aliongea na kumtakia mwanamama katalina kufanya vile anavyotaka yeye.

Mwanamama katalina alikumbuka maneno aliyoambiwa na mme wake mda sio mrefu alikata simu bira kujali kama Mary mwenyewe ndiyo aliyepiga,
"Utanisamehe mwanangu Albert wewe ni mwanaume naomba uvumilie tu mda sio mrefu tutakuja kukutoa ila siwezi kukagawana mali na mtu kama Mary hata siku moja.

Upande wa mwanadada Mary baada ya kukatiwa simu na mwanamama katalina alichukia sana na alitamani ata Albert angekuwa mikononi mwake basi angempa ng'eo ila hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana na hali halisi.

Asubuhi ya siku hiyo mke wa Mr.John alishangaa kuona mwanae Stewart amechelewa kuamka na haikuwa kawaida yake ilimbidi amuulize tatizo nini ila kijana hajutaka kumwambia mama yake kipi kinachomsumbua zaidi ya kumtoa hofu tu kuwa hana shida yoyote ile.

Kama ni kupenda temu hii Stewart alikili mwenyewe kuwa anampenda sana Angelina na aliapa ikitokea amempata basi ata mtunza mrembo huyo kama mboni za macho yake

Upande wa mwanadada Angelina aliletewa tarifa na Manka zilimfanya ashangae kile alichokisikia,
"Unauhakika na unachoongea Manka au umetunga maneno yako kama ilivyokawaida?"
"Angelina nauhakika na ninachokuambia Albert yupo kituo cha polisi amekamatwa na kesi tayali imeshafunguliwa japo sijui ni kitu gani kinachoendelea kwenye kesi aliyonayo Albert", Manka alimaliza kuongea ila mda huo Angelina alinyenyuka na kuondoka akielekea polisi moja kwa moja kwenda kujihakikishia na macho yake.

Angelina alifika na kuruhusiwa kuonana na kijana Albert japo aliangaika kupatiwa nafasi ya kuonana naye,
"Albert tatizo nini mpaka uko hapa ?",Angelina alimuuliza huku akimtazama kwa jicho la huruma mwanaume huyo.
"Ni wanadamu tu sio kila aliye jera ana makosa Angelina wengine wanafungwa kwa kusingiziwa"
"Nikweli usemalo lakini ningetamani kujua ni kipi kilichotokea na kukufanya uwe hapa".

Albert alianza kumwelezea Angelina kuanzia mwanzo mpaka mwisho na hakuacha kumwambia kuwa chanzo cha yeye kuwa hapo ni Mary kushindwa kwenye mashindano ya Miss Tanzania.

Angelina aliondoka maeneo hayo akiwa ana mengi kichwani alimuona Mary ni mwanamke wa ajabu sana na anayethamini pesa kuliko kitu chochote kile,
"Hapa lazima nitafute njie ya kumsaidia Albert aweze kuachiwa",Angelina alitafakari na aliamua kwenda kwao Albert ili ajue mwanamama Katalina amechukua maamuzi gani.

Na alipokuwa njiani mwanadada Angelina kidogo tu apate ajari na hii ni kutokana na kutokuwa makini ila mungu alikuwa upande, ndani ya dekika kadhaa tu aliweza kuwasili nyumbani kwa mwanamama katalina na kumkuta akiwa ni mwenye mawazo,
"Nimetoka kumuona Albert mida hii mama nini tufanye tuwezi kumsaidia?", Angelina aliogea na alikuwa ameshazoea kumuita mwanamama katalina mama.

Katalina alimweleza alivyoambiwa na mmewe au mzazi mwenzake na hii kidogo ikamfanya Angelina aweze kuwa na matumaini ya Albert kuachiwa huru kwani kwa upande wake alikuwa anamchukulia Albert kama shemeji yake kama alivyoambiwa na dada yake Diana amchunge mpaka atakapo rudi.

Nchini Canada mahusiano kati ya Diana na doctor Tayler yalikuwa kwa kiasi kikubwa sana na Diana hakutaka kuifanya iwe siri tena aliamua kutuma picha zao kwenye mitandao ya kijamii na alifanya ivi bira kumshirikisha doctor Tayler.

Akiwa ameka na akijaribu kunyoosha miguu yake kama moja ya mazoezi aliyoambiwa na doctor Tayler kufanya, alishangaa mpenzi wake amekuja tena akiwa na sura ya kitofauti kabisa,
"Tatizo nini kipenzi mbona unaonekana haupo sawa?", Diana alimuulizi huku akiendelea kumdadisi machoni doctor Tayler.
"Nakupenda sana Diana lakini kwa hichi ulichokifanya umenikera sana na najisikia vibaya sana kwenye hili, haiwezekani utume picha kwenye mitandao ya kijamii bira ruhusa yangu mimi Diana",Doctor Tayler aliongea.

Diana alishangaa na hakuona ubaya wowote ule wa yeye kutuma picha tena akiwa na mtu anayempenda kwa dhati lakini maneno aliyozungumza Doctor Tayler yalimfanya awe na maswali mengi kichwani.

"Diana naomba ufute picha zote ulizotuma mitandaoni tafadhali, nielewe kwa hilo kipenzi", Doctor Tayler aliamua apunguze hasira zake mbele ya mwanadada Diana.
"Unaweza ukanipa sababu ya kwanini hutaki nitume picha kwenye mitandao ya kijamii?",Diana aliuliza
"Kwa sababu mimi sio mtu wa kuamini mitandao, na ata ivyo nilishaweka ahadi na mama yangu kuwa sitakuwa mtu wa mtandaoni kamwe",Doctor Tayler aliamua kuongea maneno ambayo Diana alikubaliana nayo kishingo upande.

Wakiwa bado na maongezi Diana alishikwa na kichefuchefu cha gafra alichoshindwa kukizuia na kujikuta akitapika hapohapo mana hakuwa na uwezo wa kutembea vizuri,
"Tatizo nini Diana emu kaa hapa nikuangalia",akiwa kama doctor alimkalisha Diana ili amwangalie tatizo nini.

Doctor Tayler alishika mkono wake na kujaribu kuangalia kwa utaalamu anaojua yeye ndani ya mda mfupi tu aliweza kugundua kitu kilichomfanya ata yeye jasho lianze kumtoka huku akiwa na wasiwasi wa hali ya juu....ITAENDELEA.

Nini alichogundua doctor tayler karibu katika mwendelezo.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........24
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.........
Angelina hakuamini kusikia yale maneno kutoka kwa kijana Stewart na alipomtazama usoni macho ya stewart yalimaanisha kile alicho kizungumza kina ukweli, Angelina alifungua kichwa chake na kuongea......

ENDELEA NAYO......
"Stewart nashukuru sana kwa kunipa nafasi katika moyo wako nikupongeze kwa kushindwa kuficha hisia zako kiukweli nakupa hongera kwa hilo, lakini kwa sasa sipo tayali kuingia kwenye mahusiano ya aina yoyote ile na wala kuufungua moyo wangu kwa mwanaume yoyote yule ni ngumu kwa sasa, nivyema ukanisahau na kumtafuta mtu ambae atajali hisia zako na kukupenda  kwa dhati", Angelina baada ya kuongea hayo maneno hakutaka kukaa tena pale mana angekuwa anaendelea kumuumiza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-24

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.2K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.15K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

536
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

243
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

81
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

31
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest