Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29

12th May, 2025 Views 36

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya............29
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia....
Nchini Canada tunamwona mwanadada Diana akiwa airport na akijiandaa kwa ajili ya kurejea Tanzania.....

ENDELEA NAYO......
Diana alipanda ndege kwa ajili ya kulejea Tanzania na akiwa ndani ya ndege kitu cha kwanza alichokiwaza ni kuonana na Albert na alikumbuka jinsi mwanaume yule alivyokuwa akimjali tangu wanasoma wote na ata alivyokuwa na matatizo ya kiafya ndani ya nafisi yake alikili maneno aliyowahi kuambiwa na baba yake siku ile kuwa Albert ni mwanaume anayetakiwa awe naye yalikuwa ni maneno ya kweli wa asilimia mia.

Diana alipanga kwenda kuweka mambo sawa ili aweze kufunga ndoa na Albert mwanaume aliyetokea kumuonyesha upendo wa kipekee.

Diana pia alitafakari jinsi DoctorTayler alivyomkimbia na kumuachia barua yenye maandishi ndani yake.

Akiwa amekaa na anamawazo alishangaa akiguswa na mtu,
"Hey sorry,is this your phone?(samahani hii ni simu yako)",sauti ilimtoa kwenye mawazo mwanadada Diana baada ya kupewa simu yake aliyoidondosha na mama wa kizungu aliyekuwa amekaa pembeni yake,aliichukua na kuiweka mahali pake huku safari ikiendelea.

Nyumbani kwa Mwanamama Beatrice akiwa amekaa na Mr.Gerald mmewe alionekana ni mwingi wa nawazo,
"Nilizoea kukaa na binti yangu, sikutegemea kama itakuja kutokea awe mbali na mimi kiasi hichi lakini kwa wakati huu hayupo karibu na mimi na yupo kwa mwenza wake",Mwanamama Beatrice aliongea kwa huzuni mbele ya mme wake baada ya Angelina kuolewa.
"ilikuwa ni lazima tutengane na mtoto wetu ni mda wake wa kutengeneza familia mke wangu, kumbuka ata sisi tulipitia magumu mengi na yenye kuumiza",Mmewe aliongea na kumtoa hofu Mkewe.
"Ni kweli bira wewe kunipokea na kukubali kuishi na mimi huenda nisingekuwa hapa nilipo"

Gerald na Mwanamama Beatrice ni watu waliopitia changamoto nyingi kipindi Beatrice anafukuzwa kwao alipokuwa na mimba ya Diana, Gerald ndiye aliyempokea na kuamua kuishi nae japo mwanzo waliishi kama marafiki ila baada ya kumzaa Diana na kumpeleka kwa Mr.James ndipo mahusiano yao yalipoanza na kufanyikiwa kumzaa Angelina,na maisha yao yalikuwa ya kawaida ila baada ya Angelina kukua na kufanyikiwa kufika mpaka chuo kikuu hali ya maisha ilizidi kuwa mbaya iliyomsababisha Mr.Gerald aingie kwenye kazi za wizi ili tu mwanae aweze kusoma,
Angelina alipobakiza miezi miwili amalize chuo Mr.Gerald alikamatwa kwa kosa la wizi na kukaa gerezani karibu mwaka mmoja na sehemu, hayo ndiyo maisha waliyoyapitia wapenda nao hao.

Albert na Angelina walipatiwa zawadi ya nyumba na mwanamama katalina akisaidizana na mmewe kuinunua nyumba hiyo tena ikiwa ya bei ya juu.

Upande wa wanandoa siku hiyo ilikuwa ni siku ya kihistoria kwao kwani walifurahia fungate lao na kila mmoja alilizika na mwenzake.
Angelina alikuwa kajilaza kwenye kifua cha mmewe,
"Albert umebadilisha mipango yangu gafra lakini ni mabadiliko yenye baraka kwangu,sikutegemea kama nitafunga ndoa mapema kiasi hichi", Angelina alimwambia mmewe.
"Nilikuwa mjinga sana kipindi cha nyuma sababu nilikuwa nakuchukia pasipo kuwa na sababu yoyote ya kunifanya nikuchukie,hakika mungu niwaajabu mtu niliyekuwa nikikuchukia  ndiyo umekuja kuwa mke wangu",
"Najua yote yalitokea kwa sababu ya mimi kugombana na dada yangu Diana na wewe kipindi hicho ulikuwa upande wa Diana, hivyo ilikuwa ni lazima uwe upande wake na unichukie."

Albert alijikuta pia akimuuliza Angelina kama ana tarifa zozote kuhusu Diana lakini naye alijibu hakuna chochote alichokuwa akikifahamu kuhusu Diana.
Waliendelea kuongea mpaka pale kila mtu usingizi ulipomchukua.

Asubuhi na mapema sauti ya simu ilimfanya Albert awe wa kwanza kuamka na alivyoangalia kioo cha simu yake mpigaji alikuwa ni Mary na kwa wakati huo walikuwa wameshakuwa marafiki aliipokea na kuiweka sikioni,
"Bado umelala rafiki yangu mpaka sasa ivi emu amka, kwani umesahau kama leo ulinipa ahadi ya mimi kuja kwenye kampuni yenu kwa ajili ya kunipa kazi?",Mary aliongea.
"Kila kitu nilishaweka sawa unatakiwa uende ukaanze kazi leo hii", Albert aliongea na kumfanya Mary akate simu.

Albert alinyenyuka kitandani na hakutaka kumsumbua mke wake aliyekuwa bado kalala.

Stewart kwa upande wake alikuwa ameshaanza kumsahau Angelina na sasa alikuwa na mazoea  na Manka rafiki wa Angelina na urafiki wako ulizidi kuongezeka siku hadi siku, na ukijumlisha na ubize wa kazi aliokuwa nao aliyotafutiwa na baba yake au Mr.John pia ulichangia kumfanya asahau kabisa kama aliwahi kumpenda mwanamke aliyekuwa akiitwa Angelina, akili zake zote kwa wakati huo zilikuwa kwa mwanadada Manka aliyeanza kuvutiwa nae kutokana na ucheshi aliokuwa nao binti huyo.

Diana aliweza kuwasili salama Tanzania na kitu cha kwanza alichotaka kukifanya ni kuonana na Albert, aliamua kwenda nyumbani kwao Albert tena akiwa na mabegi kwenye tax aliyoikodi ili amwone mwanaume anayempenda,
Alifika na kukalibishwa na Mlinzi wa nyumba ya Mwanamama Katalina,Diana alipelekwa mda ndani japo alikuwa na hali ya woga kutokana na yeye kutokupendwa na Mwanamama Katalina.

Diana alimkuta Mwanamama Katalina akiwa na Mmewe na kutoa salamu kwao na temu hii Mwanamama Katalina alimkaribisha bira kinyongo chochote kile mana tayali alikuwa ameshaambiwa ukweli kama Diana ni mtoto wa Mwanamama Beatrice,
"Mama samahani naomba kuonana na Albert",Diana alimwambia Mwanamama katalina.
"Yupo kwake kwa sasa ngoja nikuelekeze ni vyema ukaenda kwake kuongea nae"

Mwanamama Katalina alimwelekeza ni wapi Albert anapokaa na Diana alishukuru sana na aliamua kwenda mda huohuo mpaka kwa Albert akiwa na mtu wa tax aliyoikodi.
Ndani ya mda mfupi tu aliweza kufika kwenye nyumbani aliyoelekezwa na Mwanamama Katalina na kuingia ndani huku akishangaa kumkuta mdogo wake Angelina maeneo yale,
"Diana ni wewe!!!",Angelina alienda kumkumbatia ndugu yake baada ya kupita mda mrefu bira wao kuonana,
"Ndiyo ni mimi Angelina,Albert yupo wapi nimeelekezwa na kuambiwa anaishi hapa?",Diana aliongea.

Mda huohuo Albert nae alitoka chumbani na kwenda mahali walipo wao baada ya kusikia sauti ya Diana,
Diana alivyomwona Albert alienda kumkumbatia na kutaka kumpiga kiss mwanaume huyo ila alishangaa kuona mwenzake anakwepesha mdomo,
"Albert ni mimi Diana wako nisamehe kwa kukuacha peke yako nimerudi tuishi wote na tutengeneze familia, najua sijawahi kukuonyesha upendo wowote ule ila tambua moyo wangu upo kwako",Diana aliongea.
"Umeshachelewa Diana,it's too late", Albert aliongea.
"Unamaanisha nini Albert?"

Albert hakutaka kumjibu bali alisogea mahali alipokuwa Angelina na kumshika mkono upande wa Angelina wakati huo alikuwa na aibu na kushindwa kumtazama Dada yake usoni.

Diana hakuhitaji uthibitisho tena kwani alipowatazama kwenye mikono yao wote walikuwa na pete hii ilionyesha ni wanandoa tayali,
"Diana huyu unayemuona hapa ni mke wangu na tayali tumeshafunga ndoa samahani sana kwa hili lililojitokeza",Albert aliongea na kumfanya Diana masikio yake yasiamini kile alichokisikia.
"Haiwezekani huu ni utani,Angelina huwezi kunifanyia ivi mimi,kwanini unapenda kuchukua furaha yangu uMiss Tanzania umesababisha niukose na leo tena umemchukua mwanaume aliyekuwa ananipenda,nakuchukia Angelina...",

Diana aliondoka kwa hasira na kwenda kupanda kwenye tax aliyokuja nayo, nakuondoka akielekea nyumbani kwao, hakuamini kama Albert amemuoa Angelina kwake aliona ni kama ndoto.
Diana alifika mpaka nyumbani na kumfanya Mr.James ashangae kwa ujio wa binti yake tena wa bira kutoa tarifa zozote zile....ITAENDELEA.

Karibu katika sehemu inayofata ya mkasa huu wa kusisimua..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

Xabi Alonso tayari

mjukuu rewards 100
 

Rs Berkane imetwaa Ubingwa

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA FUNDI NGUO 01

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1

mjukuu rewards 100
 

Fanya mambo yako kimya kimya.

mjukuu rewards 100
 

Cristiano Ronaldo, Cristiano Jr

mjukuu rewards 100
 

Visit South Africa

mjukuu rewards 100
 

MORICE MICHAEL ABRAHAM

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS 14

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI WEKAA... Sehemu Ya 01

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -06

mjukuu rewards 100
 

MFANYAKAZI WETU SEHEMU YA 1

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -05

mjukuu rewards 100
 

?SHEMU KAUTAKA ?Sehemu-04

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS???13

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????12

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 02

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 01

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 14

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 13

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKAN SEHEMUN-02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA 09 AGE ????

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 06

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 05

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu ya 03

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Episode (1)

mjukuu rewards 100
 

CHAKULA CHA MUME

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKA Sehemu -01

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????11

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????9

mjukuu rewards 100
 

BALAA LA NYUMBA ZA KUPANGA--10

mjukuu rewards 100
 

CHAKA LANGU Episode 1

mjukuu rewards 100
 

Shangazi Kodogo tu ?EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

SHANGAZI KIDOGO TU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 3.

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 8

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 6~7

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 5

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 4

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??????3

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ? EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 11

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 10

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 9

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ,,,,, 3

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

We Kula Tu Binamu Sehemu 1

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

mjukuu rewards 100
 

SHANGA TISA EP: 20

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest