Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........19
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia......
Mr.James alimweleza Beatrice hali ya mwanae Diana  ya ulemavu alionao na hii kumfanya Mwanamama aumie sana ndani ya moyo wake baada ya kupokea tarifa hizo na aliamua mda huohuo waongozane ili akamuone mtoto wake Diana....

ENDELEA NAYO......
Mwanamama Beatrice aliamua kuongozana na Mr.James akiwa pamoja na kijana Albert na mda ambao walitoka tu mwanae Angelina aliweza kuwasili akiwa na rafiki yake Manka,
Ajabu alivyofika ndani hakumkuta mama yake ikabidi aende kumuuliza mlinzi aliyemwambia kila kitu juu ya mama yake kuondoka na watu waliokuwa wamekuja pale mda sio mrefu.

Mwanadada Angelina alirudi ndani alimomwacha rafiki yake Manka,
"Mama kaondoka na Kuna watu alioondoka nao"
"Angelina isije kuwa mama yupo matatizoni, kumbuka wewe ni mtu mkubwa sasa ivi watu wanajua unapesa kwakuwa ni mtu maarufu",Manka aliongea na kuzidi kumpa wasiwasi rafiki yake.
"Huo ni wasiwasi wako ngoja nimpigie simu",alichukua simu yake ili ampigie mama yake ajabu simu iliita humohumo ndani kumaanisha kuwa simu iliachwa na mama yake.

Maneno aliyoongea Manka kidogo yalianza kumpa wasiwasi mwanadada Angelina ya kutokumuona mama yake na pia kitendo cha kuacha simu yake mle ndani.

Upande wa Mary sasa alikuwa mtu tofauti baada ya kupata pesa kutoka kwa Albert aliamua kumtafuta Faith siku hiyo baada ya kutengana nae kwa mda na kila mtu kuendelea na mambo yake.
yalikuwa ni kama maajabu kwa Faith baada ya kupita mda kidogo bira kutafutwa na Mary lakini siku hiyo alimtafuta ilibidi apokee simu, Mary alimwambia waonane kwa ajili ya mazungumzo.

Faith alijiandaa haraka na kwenda mpaka sehemu aliyoelekezwa na Mary kwanza alikuta meza yote imejaa vyakula na pia kulikuwa na vivywaji vya kila aina maeneo yale napesa baadhi zimewekwa juu ya meza,
"Faith nilikwambia hapo kabra Mary is genius always, kunywa chochote unachotaka na kula chochote unachotaka tajiri niko hapa",Mary aliongea na tayali pombe zilikuwa zimeshaanza kumtawala mwanadada.

Faith hakutaka ata kuuliza kwa wakati huo alikaa na kuanza kufakamia vyakula vilivyokuwa pale, na baada ya kuanza kushiba ndipo alipofungua kinywa chake,
"Umetoa wapi pesa zote hizi Mary?",Faith alimuuliza.
"Hahahaahaha, hiki ni kisasi cha mimi kukoswa uMiss Tanzania na hii ni kama adhabu kwa yule mpuuzi ninayompatia", Mary aliongea kilevi.
"Mpuuzi unamaanisha Albert".
"Huyohuyo katoa million 100 hapa najiandaa kesho kutwa tu natinga kwake temu hii nataka nichukue kila kitu kutoka kwao", Mary aliongea aliongea kwa kujiamini tena bira wasiwasi wowote ule.
"Lakini hii ni hatari rafiki yangu unaweza kuingia kwenye hatari Mary",Faith aliongea kama kumpa ushauli rafiki yake huyo.
"Naona umeshalizika na maisha mpaka unaanza kunitisha, aya nyenyuka na uondoke",Mary alibadilika gafra na kumtaka Faith aondoke mahali pale.

Faith aliamua kujishusha mbele ya Mary na kuanza kumpamba Mary ili asiweze kutolewa mahali pale.

Faith hakutegemea kama rafiki yake amebadilika kisa hicho kisa kukoswa taji la uMiss Tanzania, kuna mda alimuhurumia  mana aliitamani sana ile nafasi ila bahati haikuangukia kwa mwanadada huyo na iliangukia kwa Angelina.

Siku hiyo kama ni maisha Faith aliyafaidi mana pia alipatiwa pesa za kutosha kitendo kilichomfanya ata yeye aone kumbe kutajirika ni vyepesi kama ukiwa na akili za kukufanya utajiriki.

Mr.James aliweza kuwasili nyumbani kwake akiwa kaongozana na Mwanamama Beatrice na kijana Albert,na waliingia mpaka ndani na kumkuta Diana amekaa kwenye kiti chake anachotumia kutembelea.

Mwanamama Beatrice hakuamini kumuona binti yake akiwa kwenye hali ile alimsogelea na kuchuchumaa mbele yake huku Diana yeye akimuangalia tu akiwa haelewi kinachoendelea,
"Diana binti yangu unakumbuka mda sio mrefu tulikuwa tukimuongelea mama yako basi huyo unayemuona ni mama yako mzazi",Mr.James aliongea na kumfanya Diana aelewe.
"Hapana huyu sio mama yangu mzazi",Diana alimjibu baba yake.
"Unaongea nini wanangu yote yameshapita na Mimi baba yako nimeshakueleza mwanangu kila kitu naomba uelewe kile nilichokwambia",Mr.James aliongea  kwa mara nyingine.

Albert alijua ni kitu gani kinachomtia hasira Diana alimsogelea na kushika mikoni yake,
"Diana najua una machungu mengi sana ya wewe kupoteza nafasi ya kuwa mshindi katika mashindano ya Miss Tanzania lakini kila kitu kinatokea kwa sababu, naomba ukubaliane na hiki kilichotokea Diana na usamehe kila kitu",Albert aliongea.

Mwanamama Beatrice alianza kutoa machozi mbele ya binti yake na hakuamini kuwa kitendo cha mwanae huyo kukoswa ushindi wa Miss Tanzania ndio kilipelekea yey kupata ajali,
"Mimi sikuwa mama mazuri ata kidogo nilimuimiza sana mwanangu Angelina ashiriki mashindano hayo ya Miss Tanzania na nilitoa baraka zote za yeye kushinda katika mashindano hayo, kumbe pia kulikuwa na mwanangu mwingine aliyekuwa akishiriki  huenda nisingemlazimisha Angelina kushiriki basi wewe ungeibuka mshindi na yasingetokea haya yote",Mwanamama Beatrice aliongea kwa uchungu sana,Albert akimsogelea na kumtia moyo.

Mwanamama Beatrice alikuwa na kazi kubwa ya kujieleza kwa binti yake na badae mama na mtoto walipatana huku Mr.James na Albert wakifurahi kuona Diana akitoa chuki alizokuwa nazo kwa mama yake.

Stewart sasa aliamua kwenda kwao Angelina baada ya kuona imekuwa kazi kuonana nae ili aongee nae, alifika na kukutana na nyumba yenye hadhi ambayo ata yeye ilimvutia alibisha hodi na mlinzi akaja,
"Mambo vip, Angelina nimemkuta?",Stewart alitoa salamu kwa Mlinzi aliyekuja kumfungulia.
"Ndio yupo",Mlinzi alimruhusu kuingia mpaka ndani.

Alimpeleka mpaka kwa mwanadada Angelina aliyekuwa na mawazo yake siku hiyo ya kutokumuona mama yake tangu alipofika hapo nyumbani.

"Boss kuna mgeni wako huyu hapa", mlinzi aliongea na kuondoka huku mda huo akimuacha Stewart maeneo hayo.
"Ni wewe tena?", Manka aliongea aliyekuwa maeneo hayo na kumfanya Angelina avute kumbukumbu ya wapi amewahi kumuona Stewart na alifanyikiwa kukumbuka tu.
"Kuna kitu cha mhimu sana kimenileta hapa",Stewart aliongea huku akikaa kwenye kochi mda huo tena bira kukalibishwa na alianza kuwaelezea kila kitu kuhusu kampuni anayofanyia kazi Angelina kwa wakati huo.

Na alikuwa amejipanga mana alikusanya tarifa zote za warembo waliowahi kushinda taji la Miss Tanzania na waliochukuliwa na kampuni hilo kwenda kufanya kazi na niukweli usiopingika kuwa wanadumu kwa mda mfupi tu katika kampuni iyo ya uigizaji,
"Hapo kidogo nimeaanza kukuelewe lakini wewe ni nani na kwanini umeamua kuja kumpa tarifa hizi Angelina?",lilikuwa ni swali la Manka lililomfanya Stewart awe na kigugumizi cha kujibu kile alichoulizwa.

Wakiwa bado wanaendelea na maongezi Mwanamama Beatrice aliingia ndani tena akionekana hayupo sawa,
"Mama,Mwanadada Angelina alimwita mama yake.........
ulikuwa wapi mama mda wote huo nimekaa kusubiri hapa?".
"Nilikuwa kwa dada yako Diana",Mwanamama Beatrice alijibu bira kujali kama kuna mgeni maeneo yale ambae ni Stewart na pia Manka aliyekuwa maeneo yale.
"Diana!!",Angelina aliuliza kwa mshangao na alishindwa kumuelewa mama yake anamuongelea Diana yupi na ata Stewart nae alishituka baada ya kusikia jina la Diana....ITAENDELEA.

Angela atagundua ni Diana yupi anayemwongelea mama yake anayedai ni ndugu yake Karibu katika sehemu inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........19
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia......
Mr.James alimweleza Beatrice hali ya mwanae Diana  ya ulemavu alionao na hii kumfanya Mwanamama aumie sana ndani ya moyo wake baada ya kupokea tarifa hizo na aliamua mda huohuo waongozane ili akamuone mtoto wake Diana....

ENDELEA NAYO......
Mwanamama Beatrice aliamua kuongozana na Mr.James akiwa pamoja na kijana Albert na mda ambao walitoka tu mwanae Angelina aliweza kuwasili akiwa na rafiki yake Manka,
Ajabu alivyofika ndani hakumkuta mama yake ikabidi aende kumuuliza mlinzi aliyemwambia kila kitu juu ya mama yake kuondoka na watu waliokuwa wamekuja pale mda sio mrefu.

Mwanadada Angelina alirudi ndani alimomwacha rafiki yake Manka,
"Mama kaondoka na Kuna watu alioondoka nao"
"Angelina isije...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

129
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

121
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

91
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

57
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.72K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest