Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........01
Whatsapp..............0613083801

Anza nayo...
Tarehe husika ya usajili ilitangazwa kwa wadada wote wenye sifa  ya kuweza kushindana kwenye mashindano ya  Miss Tanzania au wengine hupenda kuita mrembo wa taifa,wadada mbalimbali na warembo waliwasili katika kampuni ya FNF iliyopewa haki ya kusimamia mashindano hayo ndani ya mwaka huo husika,si wenye rangi nyeusi, weupe na ata wenye mwonekano wa maji  kunde wote walionekana ndani ya kampuni hiyo  kwa ajili ya kujisajili.

Kulikuwa na wadada wa kutosha na karibu kila mtu aliamini ataweza kunyakua taji hilo ndani ya mwaka huo.

Nje ya jengo la FNF kuna magari mawili ya kifahali yanawasili maeneo ya jengo hilo na kwenye gari la kwanza anatelemka Mwanamama pia gari la pili anatelemka kijana mweupe na mtanashati aliyevaa kinadhifu, waliingia ndani ya jengo hilo wakielekea moja kwa moja mpaka walipo kinadada waliokuja kwa ajili ya usajili katika kampuni hilo, karibu kila mwanadada aliyekuja kwa ajili ya usajili macho yao yalikuwa kwa watu wale wawili walionekana ni watu wakubwa ndani ya ile kampuni.

Mwanamama pamoja na kijana yule waliwasogelea warembo waliokuwa maeneo yale na hii kuwafanya wote waliokuwa pale wakae kimya na wasitishe mazungumzo waliyokuwa nayo baada ya kuwaona watu wale wakija upande wao,
"Hi ladies,I'm katalina nitakuwa pamoja na nyinyi, na mimi ndiye msimamizi wenu mkuu mpaka pale tutakapofika tamati ya haya mashindano, mnakalibishwa wote katika kampuni hii ya FNF na mjisikie kama mpo nyumbani", Mwanamama aliyejitambulisha kwa jina la katalina aliongea.

Baadhi ya wadada walitoa sauti za kumshukuru kwa kumfahamu Mwanamama aliyejitambulisha kwa jina la katalina na mda huo wakiwa na mazungumzo kijana aliyeongoza na  mwanamama katalina nae pia alitoa salamu kwa wanadada wote waliokuwa pale kisha alimsogelea karibu mwanamama katalina nakumwambia,
"Mama namazungumzo na wewe,naomba tuongee pembeni kidogo",kijana yule aliongea
"Okay my son,ila ngoja kwanza nikutambulishe na  litakuwa ni jambo jema kwa wao kukufahamu", Mwanamama katalina aliongea,basi aliwaambia wanadada wote kuwa anataka kufanya utambulusho mwingine mbele yao na hii iliwafanya wote kutega masikio yao vizuri ili kumsikiliza,
"Huyu mnayemuona hapa anaitwa Albert ni mwanangu wa peke, mtakapo mwona popote pale basi mjue ni yeye pekee aliyenifanya niitwe mama na anafanya kazi katika kampuni hii ya FNF tutakuwa naye bega kwa bega kwa baadhi ya mambo mpaka pale tutakapohitimisha mashindano yetu",Mwanamama katalina alimaliza kuongea.

Wanadada walipiga makofi kumfahamu Albert mtoto wa msimamizi wao na kilichowavutia zaidi ni mwonekano aliokuwa nao kijana huyo uliowavutia wengi  waliokuwa pale.

Baada ya utambulisho huo mama na mtoto walisogea pembeni kwa ajili ya maongezi,
"Mama mda tayali wa kwenda kumpokea Diana airport umefika,nahisi tayali atakuwa ameshawasili hapa Tanzania na nilimuahidi nitafika mda mwafaka kumpokea"
"Albert mwanangu kwani Diana amekupa Nini mpaka ushindwe kufata ratiba zako za kazi unajua kabisa wewe ndiyo utakayekuja kuwa mlithi wangu badae lakini haiwezi pita siku hujamtaja Diana",Mwanamama katalina aliongea kuonyeshwa kutokupendezwa na maneno aliyotamka mwanae.
"Najua mama wewe Huwa humpendi Diana na sijui ni kwanini ila yule ni rafiki yangu na kaniambia ata yeye atakuja kushuriki mashindano haya ya Miss Tanzania, I will see you later mom( nitakuona badae mama)", Albert aliongea Huku akiondoka na kuelekea kwenye gari kwa ajili ya kwenda airport.
"Huyu mtoto ana matatizo Gani huyo Diana kwani kampa Nini na mbaya zaidi aje kushuriki haya mashindano hiyo haiwezekani labda sio Mimi katalina, sema hajui ni kitu gani kinachonifanya nimchukie Diana ila ipo siku atajua",
Mwanamama katalina aliongea na ilionekana hapendi Diana kuona akiwa Karibu na kijana wake Albert.

Ndani ya mgahawa mkubwa na maarufu ulio katika ya mji wanaonekana waudumu wawili  mmoja ni mwanadada anayefahamika kwa jina la Anjelina akiwa amekaa na rafiki aliyefamika kwa jina la Manka na hii ni baada ya kumaliza kutoa hudumia kwa wateja wao huku wakisubiri wateja wengine waje, na story mbalimbali zilichukua nafasi,
"Anjelina kuna habari mpya zinazosamba, umezipata izo habari?", Manka alimuuliza rafiki yake.
"Habari gani tena?"
"Mashindano ya Miss Tanzania sio mda yataanza kwa jinsi ulivyo mrembo rafiki yangu na unavyo tembea kimiss, mimi naona yanakufaa kabisa na inatakiwa uende ukashiriki"
"Eeeh!!,yani jinsi ulivyoanza kuongea Manka nikajua utaongea kitu cha mana mimi tangu lini nikafaa kuwa Miss Tanzania?, acha tu niendelee na kazi yangu ya kuwa mhudumu wa mgahawa na uzuri ninachopata kinanitosha",Angelina alimjibu Manka.

Manka hakupenda kile alichozungumza Angelina na aliona rafiki yake ana kila sifa za kushiriki mashindano hayo,
"Yani wewe ndio mana Huwa sikupi madili kila kitu ninachokwambia Huwa unasema ivyoivyo, tangu tumemaliza chuo mwaka uliopita madili mengi ya maana nakupa lakini unapuuzia tu, yani basi tu kwakuwa mimi sina sura kama yako na bahati mbaya tena umbo langu halieleweki ningeenda kushiriki huenda ningekuwa mtu mashuhuli kwenye hii nchi, mambo ya  kufanya kazi za ajabu na malipo yenyewe ni ovyo tu hapa",Manka alilalamika na kuondoka maeneo Yale.

Angela alibaki anacheka tu mana ameshamzoea rafiki huyo hakosi maneno na viugomvi vidogo visivyo na sababu na alinyenyuka nakuendelea na kazi baada ya wateja wengine kuanza kuongezeka katika mgahawa huo.

Albert anafika katika uwanja wa ndege na gari lake kwa ajili ya kumpokea mtu ambae kamfanya awe hapo ila anakuta ndege bado haijawasili ilibidi akae kusubiri mpaka itakapo wasili, haikuchukua mda ndege iliweza kuwasili,
Abiria walianza kushuka kwenye ndege na moja ya abiria hao ni mwanadada mrembo naye anaonekana akitelemka kwa madoido huku usoni akiwa kavaa miwani na nyuma yake kulikuwa na kijana waliyeshuka nae wote kwenye ndege ila kijana huyo alikuwa akimtazama mwanadada aliyekuwa mbele yake na alivutiwa na jinsi alivyokuwa akitembea, ilibidi amuwahi akaongee nae,
"Excuse young lady, is this your country?",kijana alimuuliza baada ya kumsogelea.
"Yes ofcourse,nini ulichotaka kusema"
"Ooh kumbe ni mtanzania mwenzangu samahani sana nilijua ni mtu wa kutoka taifa jingine ndio mana nilikuuliza kwa kingeleza ,mimi naitwa Stewart sijui mwenzangu  unaitwa nani",Stewart alijitambulisha lakini mwanadada huyo hakutaka kumjibu zaidi ya kuendelea na safari yake mpaka sehemu ya mapokezi.

Albert alikuwa yupo makini kuangalia kila mtu aliyekuwa anapita pale Ili asije kupotezana na mtu aliyemfanya kuwa maeneo yale, kwa mbali anamuona mtu aliyekuwa akimsubiri kwa hamu ila akiongozana na kijana mmoja aliyekuwa nyuma yake,
"Yule nani aliyeongozana na Diana?,anyway ngoja nikampoke tu",aliongea kana kwamba kuna mtu anayeongea nae, akiwa kama mwanaume alijikuta akipata wivu baada ya kumuona Diana  akiongozana na kijana mwingine.

Albert alisogea mpaka pale alipo Diana na ata mwanadada Diana  alivyomwona Albert alimkimbilia na kumkumbatia huku kila mtu akiwa na furaha ya kumuona mwenzake,
"Umebadilika sana Diana unazidi kuwa mrembo zaidi"
"Ata wewe Albert  unazidi kuwa handsome zaidi ya nilivyokuacha"
"uliyekuwa umeongozana nae yuko mbona simuoni hapa?", Albert aliuliza.
"Nani tena!"
"Mmmh nimewaona kuanzia kule mmeongozana  ila mwenzako nashangaa gafra kapotea tu"
"Hahahaha yule ata sijuani nae kabisa tumeshuka wote kwenye ndege",Diana alianza kumwelezea jinsi ilivyokutana na kijana aliyekuwa anamwongelea hali iliyomfanya Albert amwelewe vizuri na waliamua kuondoka maeneo yale.

Kipindi wao wanaongea kumbe kijana Stewart aliyejitambulisha mbele ya Diana alisikia kila kitu walichozungumza mana alikuwa amejibanza mahali akiwasikiliza.
"Huyu mwanamke lazima nimtafute na lazima nitampata tu", yalikuwa ni maneno ya Stewart aliyeamua kuondoka maeneo hayo.

Wakiwa ndani ya gari baada ya kutoka uwanja wa ndege Diana alivyotazama kwa nje aliona kuna mgahawa wa kisasa hali iliyomfanya amuongeleshe Albert,
"Albert naomba usimamishe gari mara Moja".
Albert alifanya kama mwanadada alivyokuwa anataka na gari ikawa imesimama.
"I miss Tanzanian coffee, twende kwanza tukanywe kahawa kisha baada ya hapo tuendele na safari", Diana aliongea na wakati huo wakiwa wanatelemka kwenye gari,moja kwa moja walielekea mahali kulipokuwa na mgahawa.

Walipofika Diana aliagiza kahawa na mhudumu aliyeenda kwa ajili ya kuwahudumia hakuwa mwingine bali alikuwa Angelina aliyeenda kuwafatia kahawa,Diana na Albert waliendelea kuongea huku wakisubiri kahawa iletwe.

Angelina alibeba vikombe vya kahawa ila alipofika karibu na meza waliyokuwa wamekaa na akijianda kwa ajili ya kuweka vikombe vile vya  kahawa mezani bahati mbaya alijikwaa na kumwaga kahawa iliyoenda kuwalowanisha Albert pamoja na Diana, kilikuwa  ni kitendo kilichomkela Diana.

Diana alinyenyuka kwa hasira na kumfata Angelina Kisha kumpiga Kofi,
"Unaakili wewe, unashindwaje kuwa makini mpaka unachafua watu kiasi hichi",aliongea kwa sauti ya juu  iliyomfanya ata boss wa mgahawa ule asogee kuangalia tatizo nini?.........ITAENDELEA.

Sina msaada na Angelina nini ambacho kinamkuta karibu katika sehemu ya pili ya mkasa huu wa kusisimua.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
 

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........01
Whatsapp..............0613083801

Anza nayo...
Tarehe husika ya usajili ilitangazwa kwa wadada wote wenye sifa  ya kuweza kushindana kwenye mashindano ya  Miss Tanzania au wengine hupenda kuita mrembo wa taifa,wadada mbalimbali na warembo waliwasili katika kampuni ya FNF iliyopewa haki ya kusimamia mashindano hayo ndani ya mwaka huo husika,si wenye rangi nyeusi, weupe na ata wenye mwonekano wa maji  kunde wote walionekana ndani ya kampuni hiyo  kwa ajili ya kujisajili.

Kulikuwa na wadada wa kutosha na karibu kila mtu aliamini ataweza kunyakua taji hilo ndani ya mwaka huo.

Nje ya jengo la FNF kuna magari mawili ya kifahali yanawasili maeneo ya jengo hilo na kwenye gari...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

637
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

58
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest