Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........01
Whatsapp..............0613083801

Anza nayo...
Tarehe husika ya usajili ilitangazwa kwa wadada wote wenye sifa  ya kuweza kushindana kwenye mashindano ya  Miss Tanzania au wengine hupenda kuita mrembo wa taifa,wadada mbalimbali na warembo waliwasili katika kampuni ya FNF iliyopewa haki ya kusimamia mashindano hayo ndani ya mwaka huo husika,si wenye rangi nyeusi, weupe na ata wenye mwonekano wa maji  kunde wote walionekana ndani ya kampuni hiyo  kwa ajili ya kujisajili.

Kulikuwa na wadada wa kutosha na karibu kila mtu aliamini ataweza kunyakua taji hilo ndani ya mwaka huo.

Nje ya jengo la FNF kuna magari mawili ya kifahali yanawasili maeneo ya jengo hilo na kwenye gari la kwanza anatelemka Mwanamama pia gari la pili anatelemka kijana mweupe na mtanashati aliyevaa kinadhifu, waliingia ndani ya jengo hilo wakielekea moja kwa moja mpaka walipo kinadada waliokuja kwa ajili ya usajili katika kampuni hilo, karibu kila mwanadada aliyekuja kwa ajili ya usajili macho yao yalikuwa kwa watu wale wawili walionekana ni watu wakubwa ndani ya ile kampuni.

Mwanamama pamoja na kijana yule waliwasogelea warembo waliokuwa maeneo yale na hii kuwafanya wote waliokuwa pale wakae kimya na wasitishe mazungumzo waliyokuwa nayo baada ya kuwaona watu wale wakija upande wao,
"Hi ladies,I'm katalina nitakuwa pamoja na nyinyi, na mimi ndiye msimamizi wenu mkuu mpaka pale tutakapofika tamati ya haya mashindano, mnakalibishwa wote katika kampuni hii ya FNF na mjisikie kama mpo nyumbani", Mwanamama aliyejitambulisha kwa jina la katalina aliongea.

Baadhi ya wadada walitoa sauti za kumshukuru kwa kumfahamu Mwanamama aliyejitambulisha kwa jina la katalina na mda huo wakiwa na mazungumzo kijana aliyeongoza na  mwanamama katalina nae pia alitoa salamu kwa wanadada wote waliokuwa pale kisha alimsogelea karibu mwanamama katalina nakumwambia,
"Mama namazungumzo na wewe,naomba tuongee pembeni kidogo",kijana yule aliongea
"Okay my son,ila ngoja kwanza nikutambulishe na  litakuwa ni jambo jema kwa wao kukufahamu", Mwanamama katalina aliongea,basi aliwaambia wanadada wote kuwa anataka kufanya utambulusho mwingine mbele yao na hii iliwafanya wote kutega masikio yao vizuri ili kumsikiliza,
"Huyu mnayemuona hapa anaitwa Albert ni mwanangu wa peke, mtakapo mwona popote pale basi mjue ni yeye pekee aliyenifanya niitwe mama na anafanya kazi katika kampuni hii ya FNF tutakuwa naye bega kwa bega kwa baadhi ya mambo mpaka pale tutakapohitimisha mashindano yetu",Mwanamama katalina alimaliza kuongea.

Wanadada walipiga makofi kumfahamu Albert mtoto wa msimamizi wao na kilichowavutia zaidi ni mwonekano aliokuwa nao kijana huyo uliowavutia wengi  waliokuwa pale.

Baada ya utambulisho huo mama na mtoto walisogea pembeni kwa ajili ya maongezi,
"Mama mda tayali wa kwenda kumpokea Diana airport umefika,nahisi tayali atakuwa ameshawasili hapa Tanzania na nilimuahidi nitafika mda mwafaka kumpokea"
"Albert mwanangu kwani Diana amekupa Nini mpaka ushindwe kufata ratiba zako za kazi unajua kabisa wewe ndiyo utakayekuja kuwa mlithi wangu badae lakini haiwezi pita siku hujamtaja Diana",Mwanamama katalina aliongea kuonyeshwa kutokupendezwa na maneno aliyotamka mwanae.
"Najua mama wewe Huwa humpendi Diana na sijui ni kwanini ila yule ni rafiki yangu na kaniambia ata yeye atakuja kushuriki mashindano haya ya Miss Tanzania, I will see you later mom( nitakuona badae mama)", Albert aliongea Huku akiondoka na kuelekea kwenye gari kwa ajili ya kwenda airport.
"Huyu mtoto ana matatizo Gani huyo Diana kwani kampa Nini na mbaya zaidi aje kushuriki haya mashindano hiyo haiwezekani labda sio Mimi katalina, sema hajui ni kitu gani kinachonifanya nimchukie Diana ila ipo siku atajua",
Mwanamama katalina aliongea na ilionekana hapendi Diana kuona akiwa Karibu na kijana wake Albert.

Ndani ya mgahawa mkubwa na maarufu ulio katika ya mji wanaonekana waudumu wawili  mmoja ni mwanadada anayefahamika kwa jina la Anjelina akiwa amekaa na rafiki aliyefamika kwa jina la Manka na hii ni baada ya kumaliza kutoa hudumia kwa wateja wao huku wakisubiri wateja wengine waje, na story mbalimbali zilichukua nafasi,
"Anjelina kuna habari mpya zinazosamba, umezipata izo habari?", Manka alimuuliza rafiki yake.
"Habari gani tena?"
"Mashindano ya Miss Tanzania sio mda yataanza kwa jinsi ulivyo mrembo rafiki yangu na unavyo tembea kimiss, mimi naona yanakufaa kabisa na inatakiwa uende ukashiriki"
"Eeeh!!,yani jinsi ulivyoanza kuongea Manka nikajua utaongea kitu cha mana mimi tangu lini nikafaa kuwa Miss Tanzania?, acha tu niendelee na kazi yangu ya kuwa mhudumu wa mgahawa na uzuri ninachopata kinanitosha",Angelina alimjibu Manka.

Manka hakupenda kile alichozungumza Angelina na aliona rafiki yake ana kila sifa za kushiriki mashindano hayo,
"Yani wewe ndio mana Huwa sikupi madili kila kitu ninachokwambia Huwa unasema ivyoivyo, tangu tumemaliza chuo mwaka uliopita madili mengi ya maana nakupa lakini unapuuzia tu, yani basi tu kwakuwa mimi sina sura kama yako na bahati mbaya tena umbo langu halieleweki ningeenda kushiriki huenda ningekuwa mtu mashuhuli kwenye hii nchi, mambo ya  kufanya kazi za ajabu na malipo yenyewe ni ovyo tu hapa",Manka alilalamika na kuondoka maeneo Yale.

Angela alibaki anacheka tu mana ameshamzoea rafiki huyo hakosi maneno na viugomvi vidogo visivyo na sababu na alinyenyuka nakuendelea na kazi baada ya wateja wengine kuanza kuongezeka katika mgahawa huo.

Albert anafika katika uwanja wa ndege na gari lake kwa ajili ya kumpokea mtu ambae kamfanya awe hapo ila anakuta ndege bado haijawasili ilibidi akae kusubiri mpaka itakapo wasili, haikuchukua mda ndege iliweza kuwasili,
Abiria walianza kushuka kwenye ndege na moja ya abiria hao ni mwanadada mrembo naye anaonekana akitelemka kwa madoido huku usoni akiwa kavaa miwani na nyuma yake kulikuwa na kijana waliyeshuka nae wote kwenye ndege ila kijana huyo alikuwa akimtazama mwanadada aliyekuwa mbele yake na alivutiwa na jinsi alivyokuwa akitembea, ilibidi amuwahi akaongee nae,
"Excuse young lady, is this your country?",kijana alimuuliza baada ya kumsogelea.
"Yes ofcourse,nini ulichotaka kusema"
"Ooh kumbe ni mtanzania mwenzangu samahani sana nilijua ni mtu wa kutoka taifa jingine ndio mana nilikuuliza kwa kingeleza ,mimi naitwa Stewart sijui mwenzangu  unaitwa nani",Stewart alijitambulisha lakini mwanadada huyo hakutaka kumjibu zaidi ya kuendelea na safari yake mpaka sehemu ya mapokezi.

Albert alikuwa yupo makini kuangalia kila mtu aliyekuwa anapita pale Ili asije kupotezana na mtu aliyemfanya kuwa maeneo yale, kwa mbali anamuona mtu aliyekuwa akimsubiri kwa hamu ila akiongozana na kijana mmoja aliyekuwa nyuma yake,
"Yule nani aliyeongozana na Diana?,anyway ngoja nikampoke tu",aliongea kana kwamba kuna mtu anayeongea nae, akiwa kama mwanaume alijikuta akipata wivu baada ya kumuona Diana  akiongozana na kijana mwingine.

Albert alisogea mpaka pale alipo Diana na ata mwanadada Diana  alivyomwona Albert alimkimbilia na kumkumbatia huku kila mtu akiwa na furaha ya kumuona mwenzake,
"Umebadilika sana Diana unazidi kuwa mrembo zaidi"
"Ata wewe Albert  unazidi kuwa handsome zaidi ya nilivyokuacha"
"uliyekuwa umeongozana nae yuko mbona simuoni hapa?", Albert aliuliza.
"Nani tena!"
"Mmmh nimewaona kuanzia kule mmeongozana  ila mwenzako nashangaa gafra kapotea tu"
"Hahahaha yule ata sijuani nae kabisa tumeshuka wote kwenye ndege",Diana alianza kumwelezea jinsi ilivyokutana na kijana aliyekuwa anamwongelea hali iliyomfanya Albert amwelewe vizuri na waliamua kuondoka maeneo yale.

Kipindi wao wanaongea kumbe kijana Stewart aliyejitambulisha mbele ya Diana alisikia kila kitu walichozungumza mana alikuwa amejibanza mahali akiwasikiliza.
"Huyu mwanamke lazima nimtafute na lazima nitampata tu", yalikuwa ni maneno ya Stewart aliyeamua kuondoka maeneo hayo.

Wakiwa ndani ya gari baada ya kutoka uwanja wa ndege Diana alivyotazama kwa nje aliona kuna mgahawa wa kisasa hali iliyomfanya amuongeleshe Albert,
"Albert naomba usimamishe gari mara Moja".
Albert alifanya kama mwanadada alivyokuwa anataka na gari ikawa imesimama.
"I miss Tanzanian coffee, twende kwanza tukanywe kahawa kisha baada ya hapo tuendele na safari", Diana aliongea na wakati huo wakiwa wanatelemka kwenye gari,moja kwa moja walielekea mahali kulipokuwa na mgahawa.

Walipofika Diana aliagiza kahawa na mhudumu aliyeenda kwa ajili ya kuwahudumia hakuwa mwingine bali alikuwa Angelina aliyeenda kuwafatia kahawa,Diana na Albert waliendelea kuongea huku wakisubiri kahawa iletwe.

Angelina alibeba vikombe vya kahawa ila alipofika karibu na meza waliyokuwa wamekaa na akijianda kwa ajili ya kuweka vikombe vile vya  kahawa mezani bahati mbaya alijikwaa na kumwaga kahawa iliyoenda kuwalowanisha Albert pamoja na Diana, kilikuwa  ni kitendo kilichomkela Diana.

Diana alinyenyuka kwa hasira na kumfata Angelina Kisha kumpiga Kofi,
"Unaakili wewe, unashindwaje kuwa makini mpaka unachafua watu kiasi hichi",aliongea kwa sauti ya juu  iliyomfanya ata boss wa mgahawa ule asogee kuangalia tatizo nini?.........ITAENDELEA.

Sina msaada na Angelina nini ambacho kinamkuta karibu katika sehemu ya pili ya mkasa huu wa kusisimua.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
 

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........01
Whatsapp..............0613083801

Anza nayo...
Tarehe husika ya usajili ilitangazwa kwa wadada wote wenye sifa  ya kuweza kushindana kwenye mashindano ya  Miss Tanzania au wengine hupenda kuita mrembo wa taifa,wadada mbalimbali na warembo waliwasili katika kampuni ya FNF iliyopewa haki ya kusimamia mashindano hayo ndani ya mwaka huo husika,si wenye rangi nyeusi, weupe na ata wenye mwonekano wa maji  kunde wote walionekana ndani ya kampuni hiyo  kwa ajili ya kujisajili.

Kulikuwa na wadada wa kutosha na karibu kila mtu aliamini ataweza kunyakua taji hilo ndani ya mwaka huo.

Nje ya jengo la FNF kuna magari mawili ya kifahali yanawasili maeneo ya jengo hilo na kwenye gari...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.2K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.15K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

534
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

243
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

81
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

31
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest