Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........07
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti",swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza......

ENDELEA NAYO.....
Swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.
"Mama mimi yule simwamini tu na sio kwamba ety namchukia hapana simwamini kabisa yule binti",Albert aliongea.
"wewe humwamini ila mimi namwamini na ninampenda kama mwanangu na pia kumbuka yule ni mtoto wa rafiki yangu namchukulia kama mwanangu na kilichonivutia zaidi na kunifanya nimpe nafasi ya kushiriki ni kuwa yule binti ni mzuri sana sio kisura tu ata kitabia yupo tofauti na wengine na mabinti kama hao ni wachache sana", Mwanamama katalina aliendelea kushikilia msimamo wake wa kumuamini Angelina.

Albert hakutaka tena kuendelea kuongea na mama yake aliondoka pale sebleni na kuelekea chumbani kwake kupumzika lakini alichukua simu yake na kumtafuta Diana alipiga lakini simu iliita bira kupokelewa mpaka  ikakata yenyewe,
"Nimekaa mda mrefu sana nikisubiri huu mda ufike hapa ni lazima nije niweke wazi hisi zangu kwa Diana, kiukweli nampenda sana kesho lazima nimwambie kama nampenda",Albert aliongea na chumba chake mwenyewe akikili kumpenda Diana aliamua kuzima simu yake baada ya Diana kushindwa kupokea simu yake.
               
Nyumbani kwa Mr.James palikuwa hapakaliki kabisa na hii ni baada ya kufika mpaka saa 7 usiku pasipo binti yake kuonekana nyumbani,
"Nimefanya ujinga gani mimi sikutakiwa kumfanyia vile binti yangu na sijui atakuwa kwenye hali gani mda huu",Mr.James aliendelea kujilaumu kwa kitendo cha kumpiga binti yake Diana.

Licha ya kuwa ni usiku sana alitoka mpaka nje na kwenda kwa mlinzi wake,
"Shika kiasi cha laki moja hiki kama malipo ya kazi ambayo nakupatia sasa ivi", Mr.james aliongea.
"Kazi gani boss?"
"Nenda kamtafute Diana na hakikisha unarudi nae hapa nyumbani sasa ivi",Mr.James aliongea Huku akiondoka hakutaka kusubiri jibu kutoka kwa mlinzi wake.
"Jamani mbona tanenepa mwaka huu Yani kumtafuta mtu napewa laki, safi sana akirudi nitamwambia atoloke tena nipewe laki nyingine",Mlinzi aliongea huku akitoka na kwenda kumtafuta Diana.

Mlinzi alifurahi baada ya kupewa kiasi kile cha pesa  pasipo kutegemea tena kazi yenyewe ni kumtafuta Diana, alizunguka karibu kila pande usiku huo lakini hakuafanyikiwa kumpata Diana usiku huo.
            
Ni siku nyingine mpya sauti za ndege zilimwamsha na kumfanya aamke lakini kichwa kilikuwa kikimuuma sana na alipotazama mazingira ya chumba alichokuwa amelala alishangaa kuona sehemu ile ni ngeni  kwake,
"Mmmh hapa nipo wapi tena na nimefikaje?",hakuwa mwingine bali ni mwanadada Diana aliyeamka  kutoka usingizini.
"Gari langu,simu yangu...", Alinyenyuka haraka baada ya kumbukumbuku kumrudia za wapi alipokuwa siku ya Jana, alitoka na kufunga mlango wa kile chumba.

Alianza kutembea ndani ya nyumba asiyoijua na mazingira ya mle ndani yalimvutia zaidi hasa alipokuwa akiyatazama,aliendela kuzunguka mle ndani ili aone kama atakutana na mwenyeji ya ile nyumba.

Stewart nae mda huo ndiyo alikuwa akiamka kutoka chumbani kwake alitoka na kukutana na mwanamke ambae alifanya amtazame mara mbilimbili kuhakikisha kama ni yeye,
"Weweee..."
"Wewee nim...."

wote walijikuta wanaongea kwa pamoja.

"Niambie nimefikaje hapa na kwanini umenileta hapa kwako bira ruhusa yangu", Diana aliongea na akimshutumu Stewart.
"Unaongea nini wewe, mimi ndiyo nikuulize umeingiaje humu ndani?",Stewart  nae alikuja juu.

Yalikuwa ni mabishano kati ya Stewart na Diana kila mtu akitamani kujua hasa Diana ambae alimkomalia kwa kumlalamikia Stewart kumleta kwake bira ridhaa yake.

Majibishano yale mama Stewart aliyasikia na kuamua kutoka na kuwafata,
"Ooh binti umeshaamka", sauti ya mama Stewart ilimfanya Diana aache kuzungumza na kugeuka nyuma kuangalia mtu anayemuongelesha.
"Mama wewe ndio umemleta huyu?,mana hapa lawana napewa mimi sasa ivi",Stewart aliongea baada ya kumuona mama yake mzazi.
"Kwani mnajuana au mmeshawahi kuonana?",Mama Stewart aliamua kuwauliza.
"Hapana hatujuani",Diana aliamua kumuwahi Stewart kabra hajalopoko.

Mama Stewart alimuelezea Diana jinsi ilivyokuwa jana yake mpaka wao kuchukua maamuzi ya kumsaudia na kumleta pale,baada ya maneno yale Diana alijikuta anamwaga machozi na hii iliwashangaza Stewart na mama yake.
"Binti mbona unalia?"
"Kwa uliyonisimulia sikutegemea kama mimi ndiyo wa kufanya yale mambo, nipende kuomba samahani kwa usumbufu niliowapatia siku ya jana naombeni niondoke nikaangalia usalama wa gari yangu mana niliiacha katika ile klabu".

Mama Stewart alimruhusu Diana huku akimsititiza awe makini zaidi lakini Stewart aliamua kumpeleka kwa kutumia gari lake.

Ndani ya gari Diana alikuwa ni mwenye mawazo na Stewart  alilitambua hilo.
"Hupaswi kuwa na mawazo Diana, nyakati za wanadamu siku zote zinatofautiana huwezi kuwa na furaha kila siku leo utakuwa na mawazo kesho utakuwa na furaha ni moja ya jaribu unalopaswa kulipitia kwa wakati huu Diana, japo najua kuna kitu kilichokufanya mpaka ukachukua maamuzi uliyoamua kuyafanya", Stewart aliongea lakini Diana hakumjibu kitu mpaka pale walipofika na yeye kushuka kwenye gari na kwenda kwenye gari yake na bahati ilikuwa kwake kwani gari yake aliikuta ikiwa salama kabisa na alimuaga Stewart na yeye akaelekea nyumbani kwao.         

Mwanamama Katalina asubuhi hiyo alijiandaa mapema sana kwa ajili ya kuondoka,Albert alivyotoka chumbani kwake alishangaa kumkuta mama yake yupo kwenye maandalizi ya kuondoka,
"Mama leo mbona mapema sana unasafari ya wapi?"
"Leo kuna zoezi kubwa linatakiwa lifanyike la washiriki wote kuonyesha kile walichonacho na tutawagawia namba kabisa watakazokuwa wakitumia", Mwanamama katalina alijibu.
"Nimekuelewa mama lakini mara ya mwisho kuwasiliana na baba ilikuwa lini?"
"Albert naona unataka kuharibu siku yangu asubuhi hii,baba yako tangu aende marekani mpaka sasa ivi hakumbuki kama ameacha familia huku atakama kampuni ni yake lakini familia pia ina umhimu mkubwa sana, wewe umeshakuwa sasa ivi unaweza kumtafuta baba yako mwenyewe na kuongea nae", Mwanamama katalina hakupendezwa na kila kilichoulizwa na Albert aliondoka pale nyumbani na kumuacha mwanae akimtazama tu.

Palepale Albert alichukua simu yake na kumpigia Diana ambae mda huo alikuwa akiendesha gari akielekea nyumbani kwao, aliamua asimamishe gari pembeni ili apokee simu, na temu hii upande wa Albert ilikuwa tofauti na jana usiku kwani simu ilipokelewa,
"I'm sorry Albert niliona missed call zako na mda huu ndiyo nilikuwa najiandaa kukupigia sema umeniwahi my dear",Diana aliongea.
"Jambo la kawaida ila jiandae huku leo kuna kitu cha mhimu mnachotakiwa kukifanya nazani unafahamu Diana"
"Ndio naielewa ratiba nzima",Diana alimjibu.
"Mwisho wa yote leo nahitaji unipe mda wa kuongea na wewe jioni ya leo kuna kitu mhimu ninachotamani kukwambia", Albert alimuomba Diana waonane.
"Albert naanzaje kukataa kuonana na wewe my dear,ata mimi pia na mengi yakuongea na wewe na umefanya jambo la maana sana kufanya tuonane"

Simu ilikatwa na kumfanya Diana awashe gari na kuendelea na safari na ndani ya mda mfupi aliweza kuwasili nyumbani kwao na kumkuta baba yake amesimama nje.
Mr.James aliitazama gari ya binti yake kwa umakini wa hali ya juu akimshuhudia binti yake akitelemka ndani ya gari lake hilo,
"Jana ndiyo ukaona ukalale nje ya nyumba  kisa kukwambia ukweli?"
"Nisamehe baba ni makosa yangu nakili nilikosea", Diana aliamua ajishushe mbele ya baba yake.
"Ivi unajua nilipata tabu kiasi gani kukulea Diana na umeshawahi kujiuliza mama yako yupo wapi?", maneno ya Mr.James yalifungua akili ya mwanadada Diana baada ya kutamkiwa neno mama.
"Baba, mara zote nilikuwa naitafuta hii nafasi ya kuongea vizuri na wewe baba yangu,uniambie kuhusu mama yangu mzazi yupo wapi?...ITAENDELEA.

Nyie mbele ya hii simulizi kuna vipande ambavyo hutakiwi kuvikosa kabisa yani utakuwa umepitwa utamu ???????????? kabisa, karibu katika sehemu inayokuja.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........07
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti",swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza......

ENDELEA NAYO.....
Swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.
"Mama mimi yule simwamini tu na sio kwamba ety namchukia hapana simwamini kabisa yule binti",Albert aliongea.
"wewe humwamini ila mimi namwamini na ninampenda kama mwanangu na pia kumbuka yule ni mtoto wa rafiki yangu namchukulia kama mwanangu na kilichonivutia zaidi na kunifanya nimpe nafasi ya kushiriki ni kuwa yule binti ni mzuri sana sio kisura tu ata kitabia yupo tofauti na wengine na mabinti kama hao ni wachache sana", Mwanamama katalina aliendelea kushikilia msimamo wake wa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.2K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.15K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

534
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

243
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

81
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

31
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest