Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........07
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti",swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza......

ENDELEA NAYO.....
Swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.
"Mama mimi yule simwamini tu na sio kwamba ety namchukia hapana simwamini kabisa yule binti",Albert aliongea.
"wewe humwamini ila mimi namwamini na ninampenda kama mwanangu na pia kumbuka yule ni mtoto wa rafiki yangu namchukulia kama mwanangu na kilichonivutia zaidi na kunifanya nimpe nafasi ya kushiriki ni kuwa yule binti ni mzuri sana sio kisura tu ata kitabia yupo tofauti na wengine na mabinti kama hao ni wachache sana", Mwanamama katalina aliendelea kushikilia msimamo wake wa kumuamini Angelina.

Albert hakutaka tena kuendelea kuongea na mama yake aliondoka pale sebleni na kuelekea chumbani kwake kupumzika lakini alichukua simu yake na kumtafuta Diana alipiga lakini simu iliita bira kupokelewa mpaka  ikakata yenyewe,
"Nimekaa mda mrefu sana nikisubiri huu mda ufike hapa ni lazima nije niweke wazi hisi zangu kwa Diana, kiukweli nampenda sana kesho lazima nimwambie kama nampenda",Albert aliongea na chumba chake mwenyewe akikili kumpenda Diana aliamua kuzima simu yake baada ya Diana kushindwa kupokea simu yake.
               
Nyumbani kwa Mr.James palikuwa hapakaliki kabisa na hii ni baada ya kufika mpaka saa 7 usiku pasipo binti yake kuonekana nyumbani,
"Nimefanya ujinga gani mimi sikutakiwa kumfanyia vile binti yangu na sijui atakuwa kwenye hali gani mda huu",Mr.James aliendelea kujilaumu kwa kitendo cha kumpiga binti yake Diana.

Licha ya kuwa ni usiku sana alitoka mpaka nje na kwenda kwa mlinzi wake,
"Shika kiasi cha laki moja hiki kama malipo ya kazi ambayo nakupatia sasa ivi", Mr.james aliongea.
"Kazi gani boss?"
"Nenda kamtafute Diana na hakikisha unarudi nae hapa nyumbani sasa ivi",Mr.James aliongea Huku akiondoka hakutaka kusubiri jibu kutoka kwa mlinzi wake.
"Jamani mbona tanenepa mwaka huu Yani kumtafuta mtu napewa laki, safi sana akirudi nitamwambia atoloke tena nipewe laki nyingine",Mlinzi aliongea huku akitoka na kwenda kumtafuta Diana.

Mlinzi alifurahi baada ya kupewa kiasi kile cha pesa  pasipo kutegemea tena kazi yenyewe ni kumtafuta Diana, alizunguka karibu kila pande usiku huo lakini hakuafanyikiwa kumpata Diana usiku huo.
            
Ni siku nyingine mpya sauti za ndege zilimwamsha na kumfanya aamke lakini kichwa kilikuwa kikimuuma sana na alipotazama mazingira ya chumba alichokuwa amelala alishangaa kuona sehemu ile ni ngeni  kwake,
"Mmmh hapa nipo wapi tena na nimefikaje?",hakuwa mwingine bali ni mwanadada Diana aliyeamka  kutoka usingizini.
"Gari langu,simu yangu...", Alinyenyuka haraka baada ya kumbukumbuku kumrudia za wapi alipokuwa siku ya Jana, alitoka na kufunga mlango wa kile chumba.

Alianza kutembea ndani ya nyumba asiyoijua na mazingira ya mle ndani yalimvutia zaidi hasa alipokuwa akiyatazama,aliendela kuzunguka mle ndani ili aone kama atakutana na mwenyeji ya ile nyumba.

Stewart nae mda huo ndiyo alikuwa akiamka kutoka chumbani kwake alitoka na kukutana na mwanamke ambae alifanya amtazame mara mbilimbili kuhakikisha kama ni yeye,
"Weweee..."
"Wewee nim...."

wote walijikuta wanaongea kwa pamoja.

"Niambie nimefikaje hapa na kwanini umenileta hapa kwako bira ruhusa yangu", Diana aliongea na akimshutumu Stewart.
"Unaongea nini wewe, mimi ndiyo nikuulize umeingiaje humu ndani?",Stewart  nae alikuja juu.

Yalikuwa ni mabishano kati ya Stewart na Diana kila mtu akitamani kujua hasa Diana ambae alimkomalia kwa kumlalamikia Stewart kumleta kwake bira ridhaa yake.

Majibishano yale mama Stewart aliyasikia na kuamua kutoka na kuwafata,
"Ooh binti umeshaamka", sauti ya mama Stewart ilimfanya Diana aache kuzungumza na kugeuka nyuma kuangalia mtu anayemuongelesha.
"Mama wewe ndio umemleta huyu?,mana hapa lawana napewa mimi sasa ivi",Stewart aliongea baada ya kumuona mama yake mzazi.
"Kwani mnajuana au mmeshawahi kuonana?",Mama Stewart aliamua kuwauliza.
"Hapana hatujuani",Diana aliamua kumuwahi Stewart kabra hajalopoko.

Mama Stewart alimuelezea Diana jinsi ilivyokuwa jana yake mpaka wao kuchukua maamuzi ya kumsaudia na kumleta pale,baada ya maneno yale Diana alijikuta anamwaga machozi na hii iliwashangaza Stewart na mama yake.
"Binti mbona unalia?"
"Kwa uliyonisimulia sikutegemea kama mimi ndiyo wa kufanya yale mambo, nipende kuomba samahani kwa usumbufu niliowapatia siku ya jana naombeni niondoke nikaangalia usalama wa gari yangu mana niliiacha katika ile klabu".

Mama Stewart alimruhusu Diana huku akimsititiza awe makini zaidi lakini Stewart aliamua kumpeleka kwa kutumia gari lake.

Ndani ya gari Diana alikuwa ni mwenye mawazo na Stewart  alilitambua hilo.
"Hupaswi kuwa na mawazo Diana, nyakati za wanadamu siku zote zinatofautiana huwezi kuwa na furaha kila siku leo utakuwa na mawazo kesho utakuwa na furaha ni moja ya jaribu unalopaswa kulipitia kwa wakati huu Diana, japo najua kuna kitu kilichokufanya mpaka ukachukua maamuzi uliyoamua kuyafanya", Stewart aliongea lakini Diana hakumjibu kitu mpaka pale walipofika na yeye kushuka kwenye gari na kwenda kwenye gari yake na bahati ilikuwa kwake kwani gari yake aliikuta ikiwa salama kabisa na alimuaga Stewart na yeye akaelekea nyumbani kwao.         

Mwanamama Katalina asubuhi hiyo alijiandaa mapema sana kwa ajili ya kuondoka,Albert alivyotoka chumbani kwake alishangaa kumkuta mama yake yupo kwenye maandalizi ya kuondoka,
"Mama leo mbona mapema sana unasafari ya wapi?"
"Leo kuna zoezi kubwa linatakiwa lifanyike la washiriki wote kuonyesha kile walichonacho na tutawagawia namba kabisa watakazokuwa wakitumia", Mwanamama katalina alijibu.
"Nimekuelewa mama lakini mara ya mwisho kuwasiliana na baba ilikuwa lini?"
"Albert naona unataka kuharibu siku yangu asubuhi hii,baba yako tangu aende marekani mpaka sasa ivi hakumbuki kama ameacha familia huku atakama kampuni ni yake lakini familia pia ina umhimu mkubwa sana, wewe umeshakuwa sasa ivi unaweza kumtafuta baba yako mwenyewe na kuongea nae", Mwanamama katalina hakupendezwa na kila kilichoulizwa na Albert aliondoka pale nyumbani na kumuacha mwanae akimtazama tu.

Palepale Albert alichukua simu yake na kumpigia Diana ambae mda huo alikuwa akiendesha gari akielekea nyumbani kwao, aliamua asimamishe gari pembeni ili apokee simu, na temu hii upande wa Albert ilikuwa tofauti na jana usiku kwani simu ilipokelewa,
"I'm sorry Albert niliona missed call zako na mda huu ndiyo nilikuwa najiandaa kukupigia sema umeniwahi my dear",Diana aliongea.
"Jambo la kawaida ila jiandae huku leo kuna kitu cha mhimu mnachotakiwa kukifanya nazani unafahamu Diana"
"Ndio naielewa ratiba nzima",Diana alimjibu.
"Mwisho wa yote leo nahitaji unipe mda wa kuongea na wewe jioni ya leo kuna kitu mhimu ninachotamani kukwambia", Albert alimuomba Diana waonane.
"Albert naanzaje kukataa kuonana na wewe my dear,ata mimi pia na mengi yakuongea na wewe na umefanya jambo la maana sana kufanya tuonane"

Simu ilikatwa na kumfanya Diana awashe gari na kuendelea na safari na ndani ya mda mfupi aliweza kuwasili nyumbani kwao na kumkuta baba yake amesimama nje.
Mr.James aliitazama gari ya binti yake kwa umakini wa hali ya juu akimshuhudia binti yake akitelemka ndani ya gari lake hilo,
"Jana ndiyo ukaona ukalale nje ya nyumba  kisa kukwambia ukweli?"
"Nisamehe baba ni makosa yangu nakili nilikosea", Diana aliamua ajishushe mbele ya baba yake.
"Ivi unajua nilipata tabu kiasi gani kukulea Diana na umeshawahi kujiuliza mama yako yupo wapi?", maneno ya Mr.James yalifungua akili ya mwanadada Diana baada ya kutamkiwa neno mama.
"Baba, mara zote nilikuwa naitafuta hii nafasi ya kuongea vizuri na wewe baba yangu,uniambie kuhusu mama yangu mzazi yupo wapi?...ITAENDELEA.

Nyie mbele ya hii simulizi kuna vipande ambavyo hutakiwi kuvikosa kabisa yani utakuwa umepitwa utamu ???????????? kabisa, karibu katika sehemu inayokuja.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........07
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti",swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza......

ENDELEA NAYO.....
Swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.
"Mama mimi yule simwamini tu na sio kwamba ety namchukia hapana simwamini kabisa yule binti",Albert aliongea.
"wewe humwamini ila mimi namwamini na ninampenda kama mwanangu na pia kumbuka yule ni mtoto wa rafiki yangu namchukulia kama mwanangu na kilichonivutia zaidi na kunifanya nimpe nafasi ya kushiriki ni kuwa yule binti ni mzuri sana sio kisura tu ata kitabia yupo tofauti na wengine na mabinti kama hao ni wachache sana", Mwanamama katalina aliendelea kushikilia msimamo wake wa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

637
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

58
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest