Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........03
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia sehemu iliyopita.......
Albert bira kujali kama yupo barabarani na barabara sio yake peke yake aligeuza gari pasipo kutazama vizuri ili........

ENDELEA NAYO......
Albert bira kujali kama yupo barabarani na barabara sio yake peke yake aligeuza gari pasipo kutazama vizuri, ilibaki kidogo tu apate ajari na bahati ikawa upande wake mana mtu aliyekuwa anaendesha gari lililotaka kuigonga gari alikuwa akiendesha kwenye mwendo wa kawaida na alipoona gari ya mbele yake imegeuza ilimlazimu kusimamisha gari yake ili asisababishe ajari,
"Wewe jamaa vipi hujui sheria za barabarani wewe",aliongea kwa sauti juu akimwambia Albert lakini aliyekuwa akiongea nae ni kama alikuwa hasikii kile anachoambiwa kwani gari la Albert lilitokomea tena kwa speed kali.

Ndani ya hospital alipo Mwanamama katalina,
"Wewe ndiyo mhusika wa mgonjwa aliyeletwa?",Nesi alimfata mwanamama katalina na kumuuliza.
"Ndio nesi ni mimi"
"Nifate huku".

Katalina alinyenyuka na kumfata huku akiomba mtu aliyemgonga asiwe kwenye hali mbaya itakayo mfanya awe na kesi kwa kile kilichotokea,alipelekwa moja kwa moja mpaka kwa doctor kwa ajili ya kupatiwa majibu ya mgonjwa wake,alifika na kuketi huku hofu ikiendelea kumtawala mwanamama Katalina,
"Mgonjwa wako hajapata majeraha makubwa sana, sema alianguka vibaya hali iliyompelekea apate jeraha mdomo lililosababisha damu kumtoka,na pia alipata mshituko uliomfanya azimie", doctor aliongea.
"Anaendeleaje kwa sasa doctor?"
"Nazani atakuwa ameshaamka na unaweza kwenda kumuona pia unaruhusiwa kwenda nae nyumbani na kuna dawa nitakuandikia anazopaswa kutumia kwa ajili ya kuondoa majeraha madogo aliyoyapata",doctor aliongea na hii ilipunguza hofu kwa mwanamama katalina alinyenyuka na kutoka kwenye chumba Doctor na aliende moja kwa moja kumuona mgonjwa.

Albert alifika hospital na kushuka haraka na kazi ya kwanza aliyokuwa nayo nikumpigia mama yake simu ili ampe maelekezo ni wapi alipo na na Mwanamama Katalina alimwelekeza mwanae ni wapi alipo kwa wakati huo.

Katalina tayali alikuwa ameshafika katika chumba alicholazwa Angelina na kumkuta amekaa kitanda akiwa ni mwingi wa mawazo mwanadada huyo,
"Pole sana binti kwa kilichotokea na pia nisamehe sana sikuthamilia kufanya kile nilichokifanya, naomba nikili kwako ilikuwa ni bahati mbaya tu mimi kukugonga wewe", ", Mwanamama katalina aliongea.
"Usijali mama yale yalikuwa nimakosa yangu mimi, mawazo niliyokuwa nayo yalinifanya nipoteze umakini wa kutembea barabarani", Angelina aliongea.

Na mda huohuo Albert aliweza kufika na kumkuta mama yake akiongea na mgonjwa aliyekuwa pale,
"Mama kimetokea nini?", ndio swali la kwanza aliloongea bira kujali mama yake anazungumza na mtu mwingine.
"Usijali mwanangu nitakuelezea badae mhimu ni kumshukuru mungu mana hamna kilichohalibika zaidi"
"Na huyu mgonjwa ni....", Albert alisita baada ya kuiona sura ya Angelina alikumbuka ndiyo mtu akiyewamwagia kahawa na kumpiga Diana,pia alikumbuka alivyomuahidi kuwa atamfanya kulipa kwa kile alichokifanya ila kwa wakati huo Albert hakutaka kuongea chochote.
"Binti naomba nikuchukue nikupeleke nyumbani kwenu na pia kuna dawa utatakiwa kuzitumia zitakazo kufanya hali yako iwe sawa", Mwanamama katalina aliongea.
"Usijali mama nitaenda mwenyewe tu haina haja ya wewe kijisumbua na kupoteza mda wako", Angelina alijibu kwa unyenyekevu.
"Wewe umeambiwa upelekwe mbona unaanza kuleta malingo tena hapa", Albert aliamua kuingilia mazungumzo yale na maneno aliyotamka yalimfanya mama yak3 akasilike kidogo.
"Albert maneno gani hayo unayomwambia mgonjwa, emu naomba uondoke  nitakuja nyumbani tuongee vizuri".
"Sawa mama endelea kumbembeleza mgonjwa wako",Albert aliongea na kuondoka.

Hali ile ilimshangaza Mwanamama katalina kwa kitendo alichokionesha mwanae ila upande wa Angelina yeye alifahamu ni kwanini Albert alikuwa vile mana alimuahidi ni lazima atamkomesha kwa alichowafanyia masaa kadhaa yalipita.

Mwanamama  katalina alimbembeleza Angelina ambae alikubali kupelekwa nyumbani kwao na wote walielekea kwenye gari lililoanza kundoka maeneo yale ya hospital.

Nyumbani kwa Mr. James aliamua kumuita binti yake Diana ili amuulize vitu vya msingi,
"Mwanangu najua wewe umeshakuwa sasa ivi na ata ukiniletea tarifa za wewe kutaka kuolewa siwezi kukataa mana najua tayali umeshafikia umri wa kuwa na mwenza kwa sasa Diana, emu naomba uniambie Albert ni mpenzi wako?", Mr.James alimuuliza binti yake.
"Yule ni rafiki yangu tu baba kama walivyo marafiki wengine na wala sio mpenzi wangu".
"Mimi nimtu mzima Diana nimepitia mengi zaidi yako ndio mana nakuuliza kwa mara nyingine tena,Albert ni mpenzi wako?", Mr. James aliuliza tena.
"Kiukweli baba ngoja nikwambie ukweli huenda utanielewa, kwa sasa sina malengo ya kuolewa ila malengo yangu mimi nikuwa Miss Tanzania na hiyo ndiyo sababu iliyonifanya niwe karibu na Albert ili iwe vyepesi kwangu kukamilisha ndoto zangu na uzuri ni kuwa kampuni yao inasimamia mashindano haya kwa miaka ya ivi karibuni", Diana aliongea.
"Kwa maana hiyo unataka kumfanya Albert kuwa daraja la wewe kufika unapotaka kufika",Mr.james alimuuliza mwanae kwa mara nyingine.

Beatrice hakutaka kujibu zaidi ya kutikisa kichwa tu na hii kumfanya Mr. James alelewa.

Mr.James alifikilia kitu alichoona ni sahihi kufanya kwa upande wake,
"Nimekuelewa binti yangu ni subiri nakuja sasa ivi tu kuna kitu lazima tukubaliane",Mr James alinyenyuka nakuondoka na haikupita mda alirudi akiwa na karatasi pamoja na pen.
"Baba pen na karatasi vya nini tena!!!",Diana aliuliza kwa mshangao.
"Subiri utaona tu".

Mr.James alimpa karatasi na pen binti yake na Diana alichukua akiwa bado hafahamu ni kipi ambacho baba yake anataka kufanya.

"Aya andika haya maelezo nitakayokuwa nakwambia", Mr. James aliongea.
"Baba maelezo gani?"
"Nisikilize kwa umakini kisha uandike,andika ivi MIMI DIANA NAWEKA MAKUBALIANO NA BABA YANGU MZAZI AU MR.JAMES YA KUWA SITAKUJA KUWA NA MAHUSIANO YOYOTE YALE YA KIMAPENZI NA KIJANA ALBERT NA ATABAKI KUWA RAFIKI YANGU KWENYE MAISHA YANGU YOTE, NA IKITOKEA TUKAWA WAPENZI, MAHUSIANO KATI YANGU NA BABA YANGU YATAKUWA YAMEKUFA.", Mr.James alimaliza kuongea.
"Baba kwanini lakini umeshindwa kuamini kile nilichokwambia, basi na kwakuwa huamini ngoja niandike kile unachokitaka",Diana aliongea na kuanza kuandika maelezo yale pia aliweka na sahihi kumaanisha kuwa ata yeye hana kipingamizi na kile alichokisema baba yake.

"Vizuri binti yangu hiyo karatasi ilete hapa nitaenda kutoa copy na wewe nitakupatia copy na mimi nitabaki na hii original"
"Lakini baba mbona ni jambo dogo hilo ila wewe unataka kulifanya liwe kubwa kweli"

Mr. James hakutaka kuongea zaidi ya kuichukua ile karatasi na kuondoka.

Mwanamama katalina akiwa na Angelina walifika katika nyumba iliyo maeneo ya uswahilini hali iliyomshangaza Mwanamama katalina kuona mazingara anayoishi Angelina na hii kumhuzunisha zaidi,
"Pale unapopaona ndio nyumbani kwetu naishi mimi na mama yangu mzazi", Angelina aliongea na wakiti huo akiwa anashuka kwenye gari.

Katalina nae aliona haitakuwa vyema kuondoka pasipo kwenda kumuona mama wa mtu aliyemgonga, alishuka nakuongozana na Angelina mpaka nyumbani kwao na kumkuta mama Angelina kalala kwenye kochi dogo akiendelea kuuchapa usingizi.

Sauti ya mwanae  iliyomtoa usingizini na kumfanya amke,
"Angelina umeshafika kumbe mwanangu"
"Ndio mama nimekuja na mgeni hapa alitaka kukuona na msalimiane", Angelina aliongea na kumfanya mama yake amtazame Mwanamama katalina kwa umakini zaidi.
"wewe sio katalina, mbona sura yako sio ngeni kwenye macho yangu?",Mama Angelina aliongea kwa kumaanisha na ilionyesha anamfahamu katalina na ata katalina alivyomtazama vizuri mwanamke aliye mbele yake na yeye alimukumbuka.
"Beatrice ni wewe?"
"Ndio ni mimi katalina",Mama Angelina  alijibu.

Sio Beatrice ambae ni mama wa Angelina na wala sio Mwanamama katalina wote walijikuta wakikumbatiana kwa furaha huku Angelina akiwa bado haelewi kilichowafanya watambuane na kukumbatiana kwa furaha kiasi kile aliamua kumuuliza mama yake,
"Mama kwani mmeshawahi kuonana hapo kabra ?"
Ni stori ndefu binti yangu nitakusimulia siku moja na utaelewa tu.

Mwanamama katalina na Beatrice waliongea mengi siku hiyo na ata Angelina alimweleza mama yake kuwa alipokuwa anafanya kazi tayali ameshafukuzwa  na sasa anajukumu la kutafuta kazi sehemu nyingine,lakini mwanamama katalina aliahidi kumpatia kazi katika kampuni lao la FNF,
na alimweleza siku inayofata asubuhi na mapema anatakiwa afike katika kampuni iyo ya FNF kwa ajili ya kuanza kazi na hiyo ikawa kama bahati nyingine kwa mwanadada Angelina...ITAENDELEA.

Mambo ndio kwanza yameanza hii niya moto tukutane sehemu ijayo.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu ????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
 

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........03
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia sehemu iliyopita.......
Albert bira kujali kama yupo barabarani na barabara sio yake peke yake aligeuza gari pasipo kutazama vizuri ili........

ENDELEA NAYO......
Albert bira kujali kama yupo barabarani na barabara sio yake peke yake aligeuza gari pasipo kutazama vizuri, ilibaki kidogo tu apate ajari na bahati ikawa upande wake mana mtu aliyekuwa anaendesha gari lililotaka kuigonga gari alikuwa akiendesha kwenye mwendo wa kawaida na alipoona gari ya mbele yake imegeuza ilimlazimu kusimamisha gari yake ili asisababishe ajari,
"Wewe jamaa vipi hujui sheria za barabarani wewe",aliongea kwa sauti juu akimwambia Albert lakini aliyekuwa akiongea nae ni kama alikuwa hasikii kile anachoambiwa kwani gari...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.2K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

670
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

527
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

502
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

265
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

237
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

138
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

122
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

67
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

65

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest