Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........25
Whatsapp..............0613083801

Doctor Tayler alishika mkono wake na kujaribu kuangalia kwa utaalamu anaojua yeye ndani ya mda mfupi tu aliweza kugundua kitu kilichomfanya ata yeye jasho lianze kumtoka huku akiwa na wasiwasi wa hali ya juu......

ENDELEA NAYO....

Doctor Tayler alikuwa na wasiwasi na ata Diana aliliona hilo,
"Tatizo nini kipenzi mbona umekosa raha gafra na umegundua kitua gani kinachonisibu",Diana alitamani kujua ni kitu gani kilichomfanya mpezi wake awe na wasiwasi kiasi hicho.
"Diana hamna tatizo lolote lile sema unahoma kali sana hapo ulipo na inatakiwa nikutafatie dawa haraka sana uweze kutumia",Doctor Tayler aliongea na mda huo alitoka na kwenda kuchukua dawa.

Upande wa Diana baada kipenzi chake kutoka alijiona mwenye bahati sana kumpata mwanaume wa kizungu anayemjali na kumpenda tena akiwa na mvuto,lakini hakuona dalili zozote za yeye kuwa na homa kama mpenzi wake alivyosema japo hakuwa na mashaka na kitu chochote kile.

Doctor Tayler alikuwa akitembea kwa kasi sana tena akiwa na wasiwasi wa hali ya juu alifika na kumkuta doctor mwenzake ambae ni rafiki yake na wanafanya kazi pamoja katika hospital hiyo,
"Njoo tuongee pembeni na maongezi na wewe doctor", aliongea  huku akishika mkono wake na kumpeleka pembeni.
"Tatizo nini Doctor Tayler?, mbona unaonekana ni mtu mwenye wasiwasi sana?",swali kutoka kwa doctor mwenzake lilimfanya doctor Tayler kuangaza kila pande kama kuna mtu yoyote yule anayesikiliza mazungumzo yao alipohakikisha hamna alimgeukia rafiki yake nakuongea,

"Tatizo ni kuwa yule mgonjwa wa kiafrika aliyechini ya uangalizi wangu nilitengeneza nae mahusiano ndugu yangu", Doctor Tayler aliongea.
"Waafrika ni wazuri sana na ata mimi nataka niwe na mwanamke wa kiafrika",
"Sipo hapa kwa ajili yakuongea hayo mambo ila nimemwangalia na kwa utalamu atakuwa anamimba tayali japo yeye mwenyewe hajui isipokuwa mimi peke yangu ndiyo nafahamu",Doctor Tayler aliongea na kumfanya rafiki yake kushangaa.

Walikubaliana kufanya siri kati yao na Doctor Tayler hakutaka kuzaa na Diana kwasababu alikuwa na mwanamke mwingine waliyepanga kuoana, na kitu alichoshauliwa na doctor mwenzake ni kwenda kumpa dawa Diana itakayo mfanya mimba itoke na mambo mengine yaendelee kama walivyopanga.

Baada ya kupokea ule ushauli alichukua dawa na kwenda nazo, alifika na kumpatia Diana ambae nae alikunywa bira kujua kama anaua kiumbe kilicho ndani ya tumbo lake, na haikupita mda tumbo lilianza kuuma maumivu ya tumbo yalikuwa ni makali kwa mrembo Diana.

Doctor Tayler alienda kuchukua sindano na kuja kumchoma nayo iliyomfanya atulie na kulala usingizi wa kutokujitambua,Doctor Tayler alifurahi mana mambo yake yalienda kama alivyopanga na  aliamua kumfanyia matibabu yatakayo mrudisha Diana kwenye hali yake ya kawaida.

Baada ya wiki moja kupita Albert akiwa bado gerezani na mwanamama katalina aligoma kabisa kutoa pesa kwa  Mary hali iliyomfany mwanae aendelee kukaa gerezana na kusubiri siku ya kesi yake kusikilizwa ifike.

Nyumbani kwa Mwanamama katalina mme wake aliwasili baada ya kutoka nchi ya nje, ilikuwa ni furaha kwa Mwanamama katalina kumuona mmewe  aliyeondoka Tanzania kwa miaka kadhaa iliyopita.

Cha kwanza alimuomba picha za binti anaye isumbua familia yake, Mwanamama Katalina alitafuta picha za Mary kwenye simu na kufanyikiwa kuzipata na kumuonyesha mmewe aliyeichukua simu ya mke wake na kuangalia picha za mke wake,
"Huyu binti anajifanya anaakili sana basi mimi nitamwonyesha, lazima nimuondoe duniani", mmewe aliongea kitu kilichomfaya Mwanamama katalina ashituke.
"Hapana usije ukafanya kitu kama hicho mme wangu mimi ninachotaka tu ni mwanangu aweze kurudi sihitaji kuona wewe ukijiingiza kwenye mambo yakuanza kumwaga damu za watu,naomba tutumie akili mme wangu ili tumpate Albert", Mwanamama Katalina alitoa ushauli kwa mme wake.
"Sawa nahitaji kuwatafuta vijana wachache watakaoweza kunifayia kazi na ndani siku mbili nakuahidi Albert atakuwa hapa na mtaishi nae tena kwenye hii nyumba"alijua nini atafanya mme wa Mwanamama katalina mda huohuo aliondoka pale nyumbani asimwambie Mke wake ni wapi anakoenda.

Na safari yake ilimpeleke kwenye vijiwe vya vijana wa mtaani na akaongea nao pia aliwaahidi atawapatia pesa endapo watakubali kufanya kazi yake.
         
Stewart hakukata tamaa ya kutompata Angelina bado aliamini ipo siku ata mkubali,aliamua atumie njia nyingine aliyoona ni sahihi kwake, na mtu peke aliyeona ni msaada kwake ni Manka ambae ni rafiki wa  Angelina au ukipenda mwite  Miss Tanzania.

Alimuahidi malipo mazuri endapo atafanyikiwa kumshawishi Angelina japo Manka alikuwa mgumu kukubali lakini aliposikia ahadi ile ya pesa aliamua kukubali,siku hiyo alienda kwao Angelina na alimkuta ni mtu mwenye mawazo sana,
"Angelina tatizo nini rafiki yangu mbona leo upo tofauti au unamfikilia Stewart wako", Manka aliongea huku akimsikiliza rafiki yake kuona atajibu kitu gani.
"Mimi namuwaza Albert na wala sio Stewart", Angelina aliongea, na mda huohuo alipigiwa simu na aliipokea mbele ya Manka,
"Angelina njoo nyumbani haraka sana huku",sauti ya upande wa mpigaji ilisikika kisha baada ya hapo simu ilikatwa na hii kumfanya Manka abaki njia panda na alitamani kujua mtu aliyempigia Angelina ni nani huyo.

Mda huohuo Mwanamama Beatrice alifika na kuwakaribisha chakula ila Angelina hakuwa na mda wa kula zaidi ya kuondoka pale nyumbani huku akimuacha mama yake akilalamika tu mbele ya Manka aliyebaki nae,
"Huyu mtoto tangu Albert aende gerezani safari kwenda kwa rafiki yangu katalina haziishi na ata sasa ivi naamini atakuwa anaenda hukohuko tu",Mwanamama Beatrice aliongea na kumfanya Manka aelewe ni wapi Angelina anapoenda.

Mawazo yao yalikuwa sahihi kwani Angelina alikuwa ameshafika kwa Mwanamama katalina baada ya kuitwa  na siku hiyo alimwona baba mzazi wa Albert kwa mara ya kwanza,aliwakuta wote wakimsubiri yeye,

"Angelina samahani kwa usumbufu tumekuita hapa ili utusaidie kitu kimoja,ni wapi tutaweza kumpata Mary mana tangu afungue kesi anaishia kutupigia simu na kutoa vitisho na sasa ivi hapatikani kwenye simu", Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Angelina avute kumbukumbu kipindi cha mashindano ni yupi aliyekuwa rafiki wa mwanadada Mary,
"Nimekumbuka kuna rafiki yake alikuwa anaitwa Faith ngoja nimtafute kwenye mtandao humu naweza kumpata",Angelina palepale alianza kumtafuta Faith na baada ya mda alifanyikiwa kuona picha zake na alituma jumbe mbalimbali na kilichokuwa kikisubiliwa kwa wakati huo ni Faith kujibu moja ya jumbe zile.

Bahati ilikuwa upande wao kwani Faith alijibu ndani ya dekika kadhaa tu na Angelina akamuomba namba kwa ajili ya mawasiliano ambae nae hakukataa kutoa namba.

Walimweleza Faith msaada wanaohitaji wa kujua alipo Mary na yeye hakusita kuwasaidia kwani aliwaelekeza mahari alipo mwanadada Mary,na baada ya kupata uhakika tu mme wa Mwanamama katalina aliondoka na kwenda kuwachukua vijana wake mpka alipo Mary kwa wakati huo.

Mary akiwa hana hili wa lile alishangaa kuona kazungukwa na vijana na hawakuwa na mda wa kupoteza moja kwa moja walimchukua na kumpeleka kwa mhusika aliyewatuma,
"Wewe nani na umepata wapi nguvu ya kunikamata mimi?",Mary aliongea na hakutaka kuonekana zaifu mbele ya watu waliokuwa wamemzunguka.
"Umemweka jela mwanangu alafu unaniuliza swali la kijinga hapa haya nileteeni sindano yenye sumu nimchome kwanza huyu akili zimkae sawa",Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yenye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa...ITAENDELEA.

Mary atachomwa sindano?, karibu katika sehemu inayofata.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........25
Whatsapp..............0613083801

Doctor Tayler alishika mkono wake na kujaribu kuangalia kwa utaalamu anaojua yeye ndani ya mda mfupi tu aliweza kugundua kitu kilichomfanya ata yeye jasho lianze kumtoka huku akiwa na wasiwasi wa hali ya juu......

ENDELEA NAYO....

Doctor Tayler alikuwa na wasiwasi na ata Diana aliliona hilo,
"Tatizo nini kipenzi mbona umekosa raha gafra na umegundua kitua gani kinachonisibu",Diana alitamani kujua ni kitu gani kilichomfanya mpezi wake awe na wasiwasi kiasi hicho.
"Diana hamna tatizo lolote lile sema unahoma kali sana hapo ulipo na inatakiwa nikutafatie dawa haraka sana uweze kutumia",Doctor Tayler aliongea na mda huo alitoka na kwenda kuchukua dawa.

Upande wa Diana baada...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-25

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

625
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

245
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

89
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest