Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25

12th May, 2025 Views 35

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........25
Whatsapp..............0613083801

Doctor Tayler alishika mkono wake na kujaribu kuangalia kwa utaalamu anaojua yeye ndani ya mda mfupi tu aliweza kugundua kitu kilichomfanya ata yeye jasho lianze kumtoka huku akiwa na wasiwasi wa hali ya juu......

ENDELEA NAYO....

Doctor Tayler alikuwa na wasiwasi na ata Diana aliliona hilo,
"Tatizo nini kipenzi mbona umekosa raha gafra na umegundua kitua gani kinachonisibu",Diana alitamani kujua ni kitu gani kilichomfanya mpezi wake awe na wasiwasi kiasi hicho.
"Diana hamna tatizo lolote lile sema unahoma kali sana hapo ulipo na inatakiwa nikutafatie dawa haraka sana uweze kutumia",Doctor Tayler aliongea na mda huo alitoka na kwenda kuchukua dawa.

Upande wa Diana baada kipenzi chake kutoka alijiona mwenye bahati sana kumpata mwanaume wa kizungu anayemjali na kumpenda tena akiwa na mvuto,lakini hakuona dalili zozote za yeye kuwa na homa kama mpenzi wake alivyosema japo hakuwa na mashaka na kitu chochote kile.

Doctor Tayler alikuwa akitembea kwa kasi sana tena akiwa na wasiwasi wa hali ya juu alifika na kumkuta doctor mwenzake ambae ni rafiki yake na wanafanya kazi pamoja katika hospital hiyo,
"Njoo tuongee pembeni na maongezi na wewe doctor", aliongea  huku akishika mkono wake na kumpeleka pembeni.
"Tatizo nini Doctor Tayler?, mbona unaonekana ni mtu mwenye wasiwasi sana?",swali kutoka kwa doctor mwenzake lilimfanya doctor Tayler kuangaza kila pande kama kuna mtu yoyote yule anayesikiliza mazungumzo yao alipohakikisha hamna alimgeukia rafiki yake nakuongea,

"Tatizo ni kuwa yule mgonjwa wa kiafrika aliyechini ya uangalizi wangu nilitengeneza nae mahusiano ndugu yangu", Doctor Tayler aliongea.
"Waafrika ni wazuri sana na ata mimi nataka niwe na mwanamke wa kiafrika",
"Sipo hapa kwa ajili yakuongea hayo mambo ila nimemwangalia na kwa utalamu atakuwa anamimba tayali japo yeye mwenyewe hajui isipokuwa mimi peke yangu ndiyo nafahamu",Doctor Tayler aliongea na kumfanya rafiki yake kushangaa.

Walikubaliana kufanya siri kati yao na Doctor Tayler hakutaka kuzaa na Diana kwasababu alikuwa na mwanamke mwingine waliyepanga kuoana, na kitu alichoshauliwa na doctor mwenzake ni kwenda kumpa dawa Diana itakayo mfanya mimba itoke na mambo mengine yaendelee kama walivyopanga.

Baada ya kupokea ule ushauli alichukua dawa na kwenda nazo, alifika na kumpatia Diana ambae nae alikunywa bira kujua kama anaua kiumbe kilicho ndani ya tumbo lake, na haikupita mda tumbo lilianza kuuma maumivu ya tumbo yalikuwa ni makali kwa mrembo Diana.

Doctor Tayler alienda kuchukua sindano na kuja kumchoma nayo iliyomfanya atulie na kulala usingizi wa kutokujitambua,Doctor Tayler alifurahi mana mambo yake yalienda kama alivyopanga na  aliamua kumfanyia matibabu yatakayo mrudisha Diana kwenye hali yake ya kawaida.

Baada ya wiki moja kupita Albert akiwa bado gerezani na mwanamama katalina aligoma kabisa kutoa pesa kwa  Mary hali iliyomfany mwanae aendelee kukaa gerezana na kusubiri siku ya kesi yake kusikilizwa ifike.

Nyumbani kwa Mwanamama katalina mme wake aliwasili baada ya kutoka nchi ya nje, ilikuwa ni furaha kwa Mwanamama katalina kumuona mmewe  aliyeondoka Tanzania kwa miaka kadhaa iliyopita.

Cha kwanza alimuomba picha za binti anaye isumbua familia yake, Mwanamama Katalina alitafuta picha za Mary kwenye simu na kufanyikiwa kuzipata na kumuonyesha mmewe aliyeichukua simu ya mke wake na kuangalia picha za mke wake,
"Huyu binti anajifanya anaakili sana basi mimi nitamwonyesha, lazima nimuondoe duniani", mmewe aliongea kitu kilichomfaya Mwanamama katalina ashituke.
"Hapana usije ukafanya kitu kama hicho mme wangu mimi ninachotaka tu ni mwanangu aweze kurudi sihitaji kuona wewe ukijiingiza kwenye mambo yakuanza kumwaga damu za watu,naomba tutumie akili mme wangu ili tumpate Albert", Mwanamama Katalina alitoa ushauli kwa mme wake.
"Sawa nahitaji kuwatafuta vijana wachache watakaoweza kunifayia kazi na ndani siku mbili nakuahidi Albert atakuwa hapa na mtaishi nae tena kwenye hii nyumba"alijua nini atafanya mme wa Mwanamama katalina mda huohuo aliondoka pale nyumbani asimwambie Mke wake ni wapi anakoenda.

Na safari yake ilimpeleke kwenye vijiwe vya vijana wa mtaani na akaongea nao pia aliwaahidi atawapatia pesa endapo watakubali kufanya kazi yake.
         
Stewart hakukata tamaa ya kutompata Angelina bado aliamini ipo siku ata mkubali,aliamua atumie njia nyingine aliyoona ni sahihi kwake, na mtu peke aliyeona ni msaada kwake ni Manka ambae ni rafiki wa  Angelina au ukipenda mwite  Miss Tanzania.

Alimuahidi malipo mazuri endapo atafanyikiwa kumshawishi Angelina japo Manka alikuwa mgumu kukubali lakini aliposikia ahadi ile ya pesa aliamua kukubali,siku hiyo alienda kwao Angelina na alimkuta ni mtu mwenye mawazo sana,
"Angelina tatizo nini rafiki yangu mbona leo upo tofauti au unamfikilia Stewart wako", Manka aliongea huku akimsikiliza rafiki yake kuona atajibu kitu gani.
"Mimi namuwaza Albert na wala sio Stewart", Angelina aliongea, na mda huohuo alipigiwa simu na aliipokea mbele ya Manka,
"Angelina njoo nyumbani haraka sana huku",sauti ya upande wa mpigaji ilisikika kisha baada ya hapo simu ilikatwa na hii kumfanya Manka abaki njia panda na alitamani kujua mtu aliyempigia Angelina ni nani huyo.

Mda huohuo Mwanamama Beatrice alifika na kuwakaribisha chakula ila Angelina hakuwa na mda wa kula zaidi ya kuondoka pale nyumbani huku akimuacha mama yake akilalamika tu mbele ya Manka aliyebaki nae,
"Huyu mtoto tangu Albert aende gerezani safari kwenda kwa rafiki yangu katalina haziishi na ata sasa ivi naamini atakuwa anaenda hukohuko tu",Mwanamama Beatrice aliongea na kumfanya Manka aelewe ni wapi Angelina anapoenda.

Mawazo yao yalikuwa sahihi kwani Angelina alikuwa ameshafika kwa Mwanamama katalina baada ya kuitwa  na siku hiyo alimwona baba mzazi wa Albert kwa mara ya kwanza,aliwakuta wote wakimsubiri yeye,

"Angelina samahani kwa usumbufu tumekuita hapa ili utusaidie kitu kimoja,ni wapi tutaweza kumpata Mary mana tangu afungue kesi anaishia kutupigia simu na kutoa vitisho na sasa ivi hapatikani kwenye simu", Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Angelina avute kumbukumbu kipindi cha mashindano ni yupi aliyekuwa rafiki wa mwanadada Mary,
"Nimekumbuka kuna rafiki yake alikuwa anaitwa Faith ngoja nimtafute kwenye mtandao humu naweza kumpata",Angelina palepale alianza kumtafuta Faith na baada ya mda alifanyikiwa kuona picha zake na alituma jumbe mbalimbali na kilichokuwa kikisubiliwa kwa wakati huo ni Faith kujibu moja ya jumbe zile.

Bahati ilikuwa upande wao kwani Faith alijibu ndani ya dekika kadhaa tu na Angelina akamuomba namba kwa ajili ya mawasiliano ambae nae hakukataa kutoa namba.

Walimweleza Faith msaada wanaohitaji wa kujua alipo Mary na yeye hakusita kuwasaidia kwani aliwaelekeza mahari alipo mwanadada Mary,na baada ya kupata uhakika tu mme wa Mwanamama katalina aliondoka na kwenda kuwachukua vijana wake mpka alipo Mary kwa wakati huo.

Mary akiwa hana hili wa lile alishangaa kuona kazungukwa na vijana na hawakuwa na mda wa kupoteza moja kwa moja walimchukua na kumpeleka kwa mhusika aliyewatuma,
"Wewe nani na umepata wapi nguvu ya kunikamata mimi?",Mary aliongea na hakutaka kuonekana zaifu mbele ya watu waliokuwa wamemzunguka.
"Umemweka jela mwanangu alafu unaniuliza swali la kijinga hapa haya nileteeni sindano yenye sumu nimchome kwanza huyu akili zimkae sawa",Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yenye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa...ITAENDELEA.

Mary atachomwa sindano?, karibu katika sehemu inayofata.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU 07

mjukuu rewards 100
 

Xabi Alonso tayari

mjukuu rewards 100
 

Rs Berkane imetwaa Ubingwa

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA FUNDI NGUO 01

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1

mjukuu rewards 100
 

Fanya mambo yako kimya kimya.

mjukuu rewards 100
 

Cristiano Ronaldo, Cristiano Jr

mjukuu rewards 100
 

Visit South Africa

mjukuu rewards 100
 

MORICE MICHAEL ABRAHAM

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS 14

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI WEKAA... Sehemu Ya 01

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -06

mjukuu rewards 100
 

MFANYAKAZI WETU SEHEMU YA 1

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -05

mjukuu rewards 100
 

?SHEMU KAUTAKA ?Sehemu-04

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS???13

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????12

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 02

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 01

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 14

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 13

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKAN SEHEMUN-02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA 09 AGE ????

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 06

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 05

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu ya 03

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Episode (1)

mjukuu rewards 100
 

CHAKULA CHA MUME

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKA Sehemu -01

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????11

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????9

mjukuu rewards 100
 

BALAA LA NYUMBA ZA KUPANGA--10

mjukuu rewards 100
 

CHAKA LANGU Episode 1

mjukuu rewards 100
 

Shangazi Kodogo tu ?EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

SHANGAZI KIDOGO TU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 3.

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 8

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 6~7

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 5

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 4

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??????3

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ? EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 11

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 10

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 9

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ,,,,, 3

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

We Kula Tu Binamu Sehemu 1

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

mjukuu rewards 100
 

SHANGA TISA EP: 20

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest