Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........20
Whatsapp..............0613083801

"Diana!!",Angelina aliuliza kwa mshangao na alishindwa kumuelewa mama yake anamuongelea Diana yupi na ata Stewart nae alishituka baada ya kusikia jina la Diana......

ENDELEA NAYO.......
Mwanamama Beatrice aliamua kumchukua mwanae Angelina na kwenda nae mpaka chumbani Ili wakafanye maongezi,
"Mwanangu najua unamjua vizuri sana Diana uliyekuwa ukishindana nae kwenye mashindano ya kumtafuta Miss Tanzania,naomba uamini maneno yangu yule ni dada yako na wote nyinyi ni ndugu",Mwanamama Beatrice aliongea na kumfanya Angelina asiamini kile alichoweza kukisikia.
"Mama utakuwa umekosea yule hawezi kuwa ndugu yangu mana mimi na yeye damu zetu haziendani ata kidogo",Angelina hakukubaliana na maneno ya mama yake.

Mwanamama Beatrice alimweleza kiundani zaidi mwanae hali iliyofanya aanze kuyaamini maneno yake na kutamani kwenda kuonana na ndugu yake huyo.

Stewart pamoja na mwanadada Manka baada ya wao kubaki peke yao,
"Diana gani aliyekuwa anamzungumzia?",Stewart aliamua kuvunja ukimya kwa kumuuliza Manka.
"Heeeeeh!!,wewe kaka umbea umezidi kwani lazima ujue ni mtu yupi waliokuwa wakimzungumzia mpaka uniulize mimi",maneno ya Manka yalimfanya Stewart anyamaze na kutulia kabisa mana Manka alionekana ni moja ya wanaoongea sana.

Angelina alitoka akiwa na mama yake mda huohuo na kumfata Manka aliyekuwa amekaa na Stewart,
"Manka kuna sehemu naenda nitakuja mda sio mrefu",alimuaga na kuondoka na alisahau kama Stewart alikuwa maeneo hayo ila akili zote za Anjelina kwa wakati huo zilikuwa ni kule alikokuwa akielekea yeye pamoja na mama yake.

"Kama mtu ambae nilikuja kwa ajili yake kaondoka na kuniacha hapa na mimi sioni haja ya kuendelea kubaki hapa acha niondoke",Stewart nae alinyenyuka na kuondoka  akimuacha Manka peke yake.
             
Msanii maarufu aitwae Big Don alikuwa anapongezana na mtu aliyempa zile picha za manager wa kampuni aliyokuwa anafanya kazi Angelina na kwenda kumtishia Ili aweze kumwachia mwanadada Angelina aje katika mikono yake,
"Huyu mwanamke alijifanya mjanja sana kukataa million 50 nilizompa ili afanye kazi yangu sasa temu hii kazi yangu atafanya na malipo hatopata",Big Don aliongea.
"Lakini ni mwanamke mrembo yule ndiyo mana Kawa Miss Tanzania, kama inawezekana boss niachie mimi awe wangu",kijana aliongea mbela ya Big Don neno lilomkera,
"Yani nikuachie wewe alafu mimi nibaki na nani? unakichaa wewe?, kipi ambacho huelewi kazi lazima afanye na mapenzi nitafanya nae mimi ndiyo Big Don kwakuwa ni Miss Tanzania jina langu litazidi kuwa kubwa zaidi na watu kuniongelea kama tu nikiingia nae kwenye mahusiano",Big Don nae alikuwa na mpango wa kuingia kwenye mahusiano na mwanadada Angelina.

Big Don alichukua simu yake na kumpigia mwanadada Angelina ila iliita bira kupokelewa,
"Boss mbona hapokei simu au manager wa ile kampuni kakupa namba za mtu mwingine?",
"Hawezi kufanya kitu kama hicho yani huyu Miss Tanzania lazima awe mikononi mwangu, temu hii sitakubali kumuacha kama wa mwaka jana nilivyowaachia wao",Big Don aliongea.

Mwanadada Angelina sasa alikuwa kwenye vita ya kugombaniwa pasipo yeye kufahamu na temu hii ata masanii maarufu nae aliingia kwenye kinyanganyilo hicho cha kumtaka Miss Tanzania.

Angelina akiwa na mama yake walifanyikiwa kufika kwa Mr. James na unakuwa ni ugeni mwingine tena kwa mwanadada Diana aliyekuwa amekea kwenye kochi na hii ni baada ya kijana Albert kumtoa kwenye kiti cha wagonjwa na kumuweka kwenye kochi.

Angelina alisogea mpaka alipo Diana ili kujihakikishia kwa  macho yake mwenyewe kama kweli yeye na Diana ni ndugu,
Wakati wote huo Mr.James na Mwanamama Beatrice walikuwa wakiwatazama tu mabinti zao na kijana Albert aliyekuwa amekaa pembeni,
"Angelina kwanini ndugu yangu asiwe mtu mwingine mpaka uwe wewe tena mtu niliyekuwa nakuchukia na sikutaka ata kukuona",Diana aliongea na alitoa ya moyoni pasipo ata kuficha kitu.

Angelina hakuwa na cha kuongea zaidi ya kumsikiliza ndugu yake aliyekiwa akilalamika.

"Kwanini Anjelina huu ulemavu nilioupata ni wivu niliokuwa nao baada ya wewe kunishinda kwenye mashindano  ya Miss Tanzania na sijui lini nitapona, nimeharibu maisha yangu mwenyewe kwa kuwa na chuki na mtu ambae ni ndugu yangu",Diana alizidi kuongea na kumfanya Angelina amsogele karibu na kumkubatia.
"Wewe ni dada yangu kuanzia sasa nitafanya kile unachokitaka ata kujivua taji hili la uMiss Tanzania nipo tayali Diana ilimradi uwe na furaha, kwenye hii dunia nilijihisi nipo peke yangu na nilijua pia sina ndugu mwingine zaidi ya mama yangu na baba yangu mzazi, Diana wewe ni dada yangu na mimi ni mdogo wako",Angelina aliongea.

Mwanamama Beatrice alifurahi kuona watoto wake wamepatana na kumaliza tofauti zao na ata Albert nae alifurahi kuona ndugu wawili wamekuwa kitu kimoja.

Mr.James hakuwa na cha kusema lakini akiwa anaangalia tukio la binti yake Diana akiwa na ndugu yake gafra simu yake iliita na kukutana na namba ngeni iliyomlazimu kuipokea,
"Nimekutumia zile milion 4 ulizoniambia za taa ya gari lako  niliyoiharibu",sauti ya upande wa pili ilisikika na hakuwa mwingine bali ni Mr.John au baba mzazi wa Stewart.

Mr.James alitaka kumjibu Mr.John ila mazingira hayakuruhusu akaamua kukata simu tu, kwanza alikuwa bado anamawazo kuhusu binti yake alafu Mr.John amechelewa kutuma ela tofauti na alivyomwambia alikuwa bado anakisasi na Mr.John cha kumchukulia Mwanamama katalina kipindi cha ujana wao kwa mawazo yake yalivyokuwa yakimtuma.

"Baba",Angelina alimwita Mr.James baba kitendo ambacho karibu kila mtu kilimfurahisha kuona binti huyo anamwita Mr.James baba  kwa mara ya kwanza.
"Namu binti yangu",Mr.James nae aliitikia kuonyesha kufurahishwa na jinsi alivyoitwa.
"Baba mimi naona dada anaweza kupona kwanini tusimpeleke nchi za nje akatibiwe huko ni bora tuingie garama za kutosha ila apone na arudi kwenye hali yake", Angelina aliongea.

Albert nae aliona ni wazo zuri aliloongea Angelina,
"Kwanini hatukufikilia hili toka mwanzo",Albert aliongea.

Kila mmoja wao walikubaliana na wazo la Angelina na taratibu zilianza kufanyika za kumpeleka Diana nchi za nje ili kuangalia kama anaweza kupatiwa matibabu,na Mr.James aliamua kumpeleka Canada binti yake kwa ajili ya matibabu.

Siku iliyopangwa ya kumpeleka Diana kwa ajili ya matibabu ilifika na siku hiyo Angelina akiwa na mama yake mzazi walimsindikiza Diana aliyekuwa akiongozana na baba yake mzazi Mr.James kwenda Canada,
"Diana binti yangu mungu akutangulie huko uendako naamini utarudi Tanzania ukiwa tayali umeshatibiwa na umepona, nakupenda sana mwanangu",Mwanamama Beatrice aliongea akiwa amemkumbatia Diana.

"Niambie neno moja tu dada angu kabra hujaondoka", Angelina aliongea.
"Naomba uniangalizie Albert hakikisha haingii kwenye mahusiano na mwanamke yoyote yule mpaka pale nitakaporudi",Ndio neno alilotamka Diana kwa mdogo wake Angelina.

Waliekea kwenye ndege Diana akiwa na Mr.James na ata nyumba yao iliachwa chini ya uangalizi wa Angelina na Mwanamama Beatrice.....ITAENDELEA.

Diana anaenda kutibiwa nje ya nchi je? atafanyikiwa kupona karibu katika sehemu inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........20
Whatsapp..............0613083801

"Diana!!",Angelina aliuliza kwa mshangao na alishindwa kumuelewa mama yake anamuongelea Diana yupi na ata Stewart nae alishituka baada ya kusikia jina la Diana......

ENDELEA NAYO.......
Mwanamama Beatrice aliamua kumchukua mwanae Angelina na kwenda nae mpaka chumbani Ili wakafanye maongezi,
"Mwanangu najua unamjua vizuri sana Diana uliyekuwa ukishindana nae kwenye mashindano ya kumtafuta Miss Tanzania,naomba uamini maneno yangu yule ni dada yako na wote nyinyi ni ndugu",Mwanamama Beatrice aliongea na kumfanya Angelina asiamini kile alichoweza kukisikia.
"Mama utakuwa umekosea yule hawezi kuwa ndugu yangu mana mimi na yeye damu zetu haziendani ata kidogo",Angelina hakukubaliana na maneno ya mama yake.

Mwanamama Beatrice alimweleza kiundani zaidi mwanae...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

789
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

775
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

438
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

402
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

360
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

320
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest