Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........20
Whatsapp..............0613083801

"Diana!!",Angelina aliuliza kwa mshangao na alishindwa kumuelewa mama yake anamuongelea Diana yupi na ata Stewart nae alishituka baada ya kusikia jina la Diana......

ENDELEA NAYO.......
Mwanamama Beatrice aliamua kumchukua mwanae Angelina na kwenda nae mpaka chumbani Ili wakafanye maongezi,
"Mwanangu najua unamjua vizuri sana Diana uliyekuwa ukishindana nae kwenye mashindano ya kumtafuta Miss Tanzania,naomba uamini maneno yangu yule ni dada yako na wote nyinyi ni ndugu",Mwanamama Beatrice aliongea na kumfanya Angelina asiamini kile alichoweza kukisikia.
"Mama utakuwa umekosea yule hawezi kuwa ndugu yangu mana mimi na yeye damu zetu haziendani ata kidogo",Angelina hakukubaliana na maneno ya mama yake.

Mwanamama Beatrice alimweleza kiundani zaidi mwanae hali iliyofanya aanze kuyaamini maneno yake na kutamani kwenda kuonana na ndugu yake huyo.

Stewart pamoja na mwanadada Manka baada ya wao kubaki peke yao,
"Diana gani aliyekuwa anamzungumzia?",Stewart aliamua kuvunja ukimya kwa kumuuliza Manka.
"Heeeeeh!!,wewe kaka umbea umezidi kwani lazima ujue ni mtu yupi waliokuwa wakimzungumzia mpaka uniulize mimi",maneno ya Manka yalimfanya Stewart anyamaze na kutulia kabisa mana Manka alionekana ni moja ya wanaoongea sana.

Angelina alitoka akiwa na mama yake mda huohuo na kumfata Manka aliyekuwa amekaa na Stewart,
"Manka kuna sehemu naenda nitakuja mda sio mrefu",alimuaga na kuondoka na alisahau kama Stewart alikuwa maeneo hayo ila akili zote za Anjelina kwa wakati huo zilikuwa ni kule alikokuwa akielekea yeye pamoja na mama yake.

"Kama mtu ambae nilikuja kwa ajili yake kaondoka na kuniacha hapa na mimi sioni haja ya kuendelea kubaki hapa acha niondoke",Stewart nae alinyenyuka na kuondoka  akimuacha Manka peke yake.
             
Msanii maarufu aitwae Big Don alikuwa anapongezana na mtu aliyempa zile picha za manager wa kampuni aliyokuwa anafanya kazi Angelina na kwenda kumtishia Ili aweze kumwachia mwanadada Angelina aje katika mikono yake,
"Huyu mwanamke alijifanya mjanja sana kukataa million 50 nilizompa ili afanye kazi yangu sasa temu hii kazi yangu atafanya na malipo hatopata",Big Don aliongea.
"Lakini ni mwanamke mrembo yule ndiyo mana Kawa Miss Tanzania, kama inawezekana boss niachie mimi awe wangu",kijana aliongea mbela ya Big Don neno lilomkera,
"Yani nikuachie wewe alafu mimi nibaki na nani? unakichaa wewe?, kipi ambacho huelewi kazi lazima afanye na mapenzi nitafanya nae mimi ndiyo Big Don kwakuwa ni Miss Tanzania jina langu litazidi kuwa kubwa zaidi na watu kuniongelea kama tu nikiingia nae kwenye mahusiano",Big Don nae alikuwa na mpango wa kuingia kwenye mahusiano na mwanadada Angelina.

Big Don alichukua simu yake na kumpigia mwanadada Angelina ila iliita bira kupokelewa,
"Boss mbona hapokei simu au manager wa ile kampuni kakupa namba za mtu mwingine?",
"Hawezi kufanya kitu kama hicho yani huyu Miss Tanzania lazima awe mikononi mwangu, temu hii sitakubali kumuacha kama wa mwaka jana nilivyowaachia wao",Big Don aliongea.

Mwanadada Angelina sasa alikuwa kwenye vita ya kugombaniwa pasipo yeye kufahamu na temu hii ata masanii maarufu nae aliingia kwenye kinyanganyilo hicho cha kumtaka Miss Tanzania.

Angelina akiwa na mama yake walifanyikiwa kufika kwa Mr. James na unakuwa ni ugeni mwingine tena kwa mwanadada Diana aliyekuwa amekea kwenye kochi na hii ni baada ya kijana Albert kumtoa kwenye kiti cha wagonjwa na kumuweka kwenye kochi.

Angelina alisogea mpaka alipo Diana ili kujihakikishia kwa  macho yake mwenyewe kama kweli yeye na Diana ni ndugu,
Wakati wote huo Mr.James na Mwanamama Beatrice walikuwa wakiwatazama tu mabinti zao na kijana Albert aliyekuwa amekaa pembeni,
"Angelina kwanini ndugu yangu asiwe mtu mwingine mpaka uwe wewe tena mtu niliyekuwa nakuchukia na sikutaka ata kukuona",Diana aliongea na alitoa ya moyoni pasipo ata kuficha kitu.

Angelina hakuwa na cha kuongea zaidi ya kumsikiliza ndugu yake aliyekiwa akilalamika.

"Kwanini Anjelina huu ulemavu nilioupata ni wivu niliokuwa nao baada ya wewe kunishinda kwenye mashindano  ya Miss Tanzania na sijui lini nitapona, nimeharibu maisha yangu mwenyewe kwa kuwa na chuki na mtu ambae ni ndugu yangu",Diana alizidi kuongea na kumfanya Angelina amsogele karibu na kumkubatia.
"Wewe ni dada yangu kuanzia sasa nitafanya kile unachokitaka ata kujivua taji hili la uMiss Tanzania nipo tayali Diana ilimradi uwe na furaha, kwenye hii dunia nilijihisi nipo peke yangu na nilijua pia sina ndugu mwingine zaidi ya mama yangu na baba yangu mzazi, Diana wewe ni dada yangu na mimi ni mdogo wako",Angelina aliongea.

Mwanamama Beatrice alifurahi kuona watoto wake wamepatana na kumaliza tofauti zao na ata Albert nae alifurahi kuona ndugu wawili wamekuwa kitu kimoja.

Mr.James hakuwa na cha kusema lakini akiwa anaangalia tukio la binti yake Diana akiwa na ndugu yake gafra simu yake iliita na kukutana na namba ngeni iliyomlazimu kuipokea,
"Nimekutumia zile milion 4 ulizoniambia za taa ya gari lako  niliyoiharibu",sauti ya upande wa pili ilisikika na hakuwa mwingine bali ni Mr.John au baba mzazi wa Stewart.

Mr.James alitaka kumjibu Mr.John ila mazingira hayakuruhusu akaamua kukata simu tu, kwanza alikuwa bado anamawazo kuhusu binti yake alafu Mr.John amechelewa kutuma ela tofauti na alivyomwambia alikuwa bado anakisasi na Mr.John cha kumchukulia Mwanamama katalina kipindi cha ujana wao kwa mawazo yake yalivyokuwa yakimtuma.

"Baba",Angelina alimwita Mr.James baba kitendo ambacho karibu kila mtu kilimfurahisha kuona binti huyo anamwita Mr.James baba  kwa mara ya kwanza.
"Namu binti yangu",Mr.James nae aliitikia kuonyesha kufurahishwa na jinsi alivyoitwa.
"Baba mimi naona dada anaweza kupona kwanini tusimpeleke nchi za nje akatibiwe huko ni bora tuingie garama za kutosha ila apone na arudi kwenye hali yake", Angelina aliongea.

Albert nae aliona ni wazo zuri aliloongea Angelina,
"Kwanini hatukufikilia hili toka mwanzo",Albert aliongea.

Kila mmoja wao walikubaliana na wazo la Angelina na taratibu zilianza kufanyika za kumpeleka Diana nchi za nje ili kuangalia kama anaweza kupatiwa matibabu,na Mr.James aliamua kumpeleka Canada binti yake kwa ajili ya matibabu.

Siku iliyopangwa ya kumpeleka Diana kwa ajili ya matibabu ilifika na siku hiyo Angelina akiwa na mama yake mzazi walimsindikiza Diana aliyekuwa akiongozana na baba yake mzazi Mr.James kwenda Canada,
"Diana binti yangu mungu akutangulie huko uendako naamini utarudi Tanzania ukiwa tayali umeshatibiwa na umepona, nakupenda sana mwanangu",Mwanamama Beatrice aliongea akiwa amemkumbatia Diana.

"Niambie neno moja tu dada angu kabra hujaondoka", Angelina aliongea.
"Naomba uniangalizie Albert hakikisha haingii kwenye mahusiano na mwanamke yoyote yule mpaka pale nitakaporudi",Ndio neno alilotamka Diana kwa mdogo wake Angelina.

Waliekea kwenye ndege Diana akiwa na Mr.James na ata nyumba yao iliachwa chini ya uangalizi wa Angelina na Mwanamama Beatrice.....ITAENDELEA.

Diana anaenda kutibiwa nje ya nchi je? atafanyikiwa kupona karibu katika sehemu inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........20
Whatsapp..............0613083801

"Diana!!",Angelina aliuliza kwa mshangao na alishindwa kumuelewa mama yake anamuongelea Diana yupi na ata Stewart nae alishituka baada ya kusikia jina la Diana......

ENDELEA NAYO.......
Mwanamama Beatrice aliamua kumchukua mwanae Angelina na kwenda nae mpaka chumbani Ili wakafanye maongezi,
"Mwanangu najua unamjua vizuri sana Diana uliyekuwa ukishindana nae kwenye mashindano ya kumtafuta Miss Tanzania,naomba uamini maneno yangu yule ni dada yako na wote nyinyi ni ndugu",Mwanamama Beatrice aliongea na kumfanya Angelina asiamini kile alichoweza kukisikia.
"Mama utakuwa umekosea yule hawezi kuwa ndugu yangu mana mimi na yeye damu zetu haziendani ata kidogo",Angelina hakukubaliana na maneno ya mama yake.

Mwanamama Beatrice alimweleza kiundani zaidi mwanae...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

143
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

142
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

102
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

63
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.72K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest