Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........27
Whatsapp..............0613083801

iliyopita.......
Naisha alivyotoka kwa Doctor Tayler alienda moja kwa moja kwa rafiki wa doctor tayler ili amuulize kile kinachoendelea kati ya Doctor Tayler na mwanadada Diana......

ENDELEA NAYO.......
Naisha alifika kwa rafiki wa Doctor Tayler na kuanza kumhoji lakini hakuambulia chochote zaidi ya kuambiwa kuwa Doctor Tayler anafanya kazi ya kumtibu mwanadada Diana na hamna kingine kinachoendelea zaidi ya hicho, aliondoka huku akiwa na mpango wa kufatilia mwenyewe bira kusaidiwa na mtu yoyote yule.

Naisha aliamua kuishi karibu na nyumba ya wanaokaa, Doctor Tayler pamoja na Diana ili afatilie na kujua ni kipi kinachoendelea kati yao na alifanya vile bira kumshirikisha mtu yoyote yule.


Albert baada siku kadhaa kupita aliamua kwenda nyumbani kwa Mr.James ili ajue kipi kinachoendelea kwa Diana na alikili ndani ya nafisi yake kuwa Diana ni moja ya wanawake anaowapenda kwenye hii dunia ukimtoa mama yake mzazi.

Alimkuta Mr.James na siku hiyo hakumchangamkia kama ilivyo siku zote ila hakujali sana zaidi ya kufata kile kilichompeleka pale,
"Ningependa kujua hali ya Diana inaendeleaje sababu mimi nikimtafuta kwenye simu anijibu na nimejaribu kumtafuta kwenye mitandao karibu yote ya kijamii ila bado jibu ni lilelile la yeye kukaa kimya",Albert aliongea mbele ya Mr.James.
"Kijana pole sasa mimi najua unampenda sana binti yangu na upo tayali kufanya kila kitu kwa ajili yake, ata mimi miaka ya nyuma limeshawahi kunitokea hilo (Mr.James alimaanisha mama yake mzazi na Albert ambae ni mwanamama katalina)... lakini niliamua kuacha hatima iamue ndiyo mana mpaka leo sina mke mana nilimpoteza mwanamke niliyekuwa nikimpenda....

Cha kukushauli ni vyema ukamtoa Diana kwenye kichwa chako mana awezi kuolewa na wewe na ata yeye ameshakili kwa mdomo wake tafuta mwanamke utakayempenda kwa dhati na yeye kukupenda",Mr.James aliongea pasipo kumficha kitu Albert.
"Basi baba nimekuelewa naomba siku ukienda ufikishe salamu zangu kwa Diana mwambie namsalimia sana na apone haraka",Albert aliongea na kuagana na Mr.James.

Maneno ya Mr.James yalimwingia kwenye kichwa chake, na alikumbuka pia alishawahi kumtamkia Diana kuwa anampenda lakini hakupata jibu lolote lililo kamili kutoka kwa Diana, Albert alipanga kuanza maisha mapya na kumsahau kabisa Diana licha ya kuwa na upendo zidi yake.

Taratibu siku zilizidi kusogea na Albert alikuwa ameshaanza kumsahau Diana na alikuwa bize na kazi katika kampuni yao ya FNF, lakini haikupunguza urafiki wake na mwanadada Angelina na temu hii ukiwa mkubwa zaidi kwani walikuwa wakitembeleana mara kwa mara.

Siku moja mwanamama katalina aliitikia wito wa mwanamama Beatrice na aliamua kwenda ili asikilize kitu alichomwitia  Mwanamama Beatrice rafiki wa enzi hizo,
"Katalina kuna kitu nahitaji nikiweke sawa na kiwe wazi ili na wewe ukifahamu",Mwanamama Beatrice alifungua mazungumzo mbele ya rafiki wake wa enzi hizo.
"Kitu gani rafiki yangu"
"Ni kuhusu Diana mtoto wa Mr.James nafikili unamfahamu",Mwanamama Beatrice aliongea.
"Kiukweli huwa sitaki kumsikia yule mtoto mana baba yake alinifanya nimchukie mpaka mtoto wake", Mwanamama Katalina aliongea bira kujua kama na yule ni mtoto wa mtu ambae anaongea nae hapo.

Beatrice aliamua kumweleza ukweli wote kuwa Diana ni mwanae na alimweleza kila kitu  kilivyotokea mpaka kumzaa Diana, Mwanamama Katalina alimpa pole sana kwa kilichomtokea miaka hiyo ya nyuma na kusababisha ashindwe kuendelea na masomo yake.
"Nilikuwa namchukia bure yule mtoto sikujua kama atakuwa binti yako kwakweli leo umenifanya nikaujua ukweli".

Maongezi mengine yaliendelea na walikumbushiana mambo waliyowahi kuyafanya enzi hizo marafiki hao wawili.

Upande wa Albert baada ya Diana kuanza kutoka kwenye ubongo wa kichwa chake mwanamke aliyeanza kuteka hisia zake alikuwa ni Mwanadada Angelina na hii ni kutokana na wao kuwasiliana mara kwa mara,
"Mbona nikikaa karibu na Angelina najihisi mtu wa kitofauti, na nitofauti na zamani ilivyokuwa?,emu ngoja leo nimwambie tuonane, nione kama itanitokea tena kwa mara nyingi",Albert aliongea na kuchukua simu yake na kumtafuta Angelina na alimwomba waonane, upande wa Angelina hakuwa na pingamizi alikubali kuonana na Albert kwa ajili ya mazungumzo.

Albert alisubiri mda ufike kama walivyopanga na Angelina na hatimae masaa hayakuchelewa mda aliokuwa  akiusubiri uliweza kufika wa kwenda kuonana na mwanadada Angelina.

Ndani ya hotel ya kifahari na sehemu iliyokuwa na utulivu wa hali ya juu Angelina alikuwa amekaa huku pembeni yake yupo Albert,
"Shemeji, anaendeleaje dada yangu mana najua wewe utakuwa na mawasiliano nae",Angelina aliweka utani wake kama ilivyokawaida kwa kumuita Albert Shemeji.
"Angelina naomba tu uelewe mimi na Diana hatuwezi kuwa pamoja tena na haitokuja kutokea, naomba uwe unaniita jina langu tu na sio shemeji",Albert aliongea.
"Kwani kimetokea kitu gani au mmekosana?".

Albert aliamua kumweleza Angelina kila kitu alichoambiwa na Mr.James  kitu ambacho kilimsikitisha sana Angelina.

Albert aliamua kubadili mazungumzo na sasa alitaka kumpeleleza Angelina ajue ni mtu wa aina gani,
"Na wewe Miss Tanzania hujawahi kunitambulisha mwenza wako?",Albert aliongea.
"Kwa sasa sifikilii kuingia kwenye mahusiano labda miaka ya badae ila sio sasa ivi mana sipo kwenye mahusiano",Angelina alijibu

Jibu lile lilimfurahisha sana Albert kuona kuwa bado anaweza kupata nafasi ya kujaribu bahati yake ya kuwa na mwanadada Angelina japo alikiwa na upendo wa kawaida kwa mwanadada huyo tofauti na ilivyokuwa kwa Diana.

Wakati Albert yupo pamoja na Angelina wakipiga stori upande wa kijana Stewart aliamua kufata ushauli aliopewa na baba yake na usiku wa siku hiyo alimfata na kumuomba amuangalizie sehemu yoyote ile ya yeye kufanya kazi inayoendana na taluma aliyosomea,
Kitendo kile kilimfurahisha sana Mr.John nakuona mwanae sasa yupo tayali kwa ajili ya kutengeneza maisha.

Nchini Canada Diana alianza kutembea vizuri na alirudi katika hali yake na hii kumfanya sasa aweze kupata mda wa kuwa anaenda anakotaka na kurudi.

Mwanadada Naisha alikuwa akifatilia kila kitu kilichokuwa kikiendelea bira ya wao kujua na alipata viashilia vingi vilivyoonyesha Doctor Tayler na mwanadada Diana ni wapenzi na sio kama alivyoambiwa hapo mwanzo,siku hiyo Doctor Tayler ambae nae alikuwa ameshanogewa na mahusiano hayo walitoka pamoja wakiwa wameshikana mikono na kuanza kutembea barabarani,
Katika hiyohiyo barabara tunamuona Naisha akiwa ndani ya gari na aliweza kumuona Doctor Tayler kamshika mkono Mwanadada Diana, hasira zilimshika na kuwasha gari lake aliloliondoa kwa kasi akiwafata wao walipo tena wakiwa hawana habari kama kuna gari nyuma yao inayokuja kwa kasi.....ITAENDELA.

Nini ambacho amepanga kufanya mwanadada Naisha karibu katika sehemu ijayo.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........27
Whatsapp..............0613083801

iliyopita.......
Naisha alivyotoka kwa Doctor Tayler alienda moja kwa moja kwa rafiki wa doctor tayler ili amuulize kile kinachoendelea kati ya Doctor Tayler na mwanadada Diana......

ENDELEA NAYO.......
Naisha alifika kwa rafiki wa Doctor Tayler na kuanza kumhoji lakini hakuambulia chochote zaidi ya kuambiwa kuwa Doctor Tayler anafanya kazi ya kumtibu mwanadada Diana na hamna kingine kinachoendelea zaidi ya hicho, aliondoka huku akiwa na mpango wa kufatilia mwenyewe bira kusaidiwa na mtu yoyote yule.

Naisha aliamua kuishi karibu na nyumba ya wanaokaa, Doctor Tayler pamoja na Diana ili afatilie na kujua ni kipi kinachoendelea kati yao na alifanya vile bira kumshirikisha mtu yoyote...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-27

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

638
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

59
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest